Utamaduni wa kushangaza Zanzibar, haupo sehemu nyingine Duniani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 พ.ค. 2017
- Tembea uone au subiri usimuliwe...zipo TAMADUNI mbalimbali duniani ambazo hauwezi kudhani kama zipo na zinatumika sehemu fulani kwa sababu huwa ni tofauti sana na ulivyozoea kwa kuwa zinashangaza sana.
- บันเทิง
Mungu atuwekee utamaduni wetu wakizanzibari
Zanzibar is a beautiful place to visit
MashaAllah zanzibar ilevokuwa mwanzo ilikuwa makka ndogo leo kila kona makanisa yametujaalia na wabara nchi imekuwa kama yatima wahamiaji kilakona
Beatiful Island For Real.
😊pia ndo watu pekee tunaomiliki magorofa yanayofanana na treni
Former east German yapo!!
msalaba mkubwa duniani kote
Hahaha
beautiful island
ni kweli asemayo..yaani kama hatujaskia honi basi unajiuliza kunani...pia honi ikilia saa 12 na nusu jioni ama jua kukuchwa ni time ya watoto wote kuingia majumbani,na wengine ndo time ya kuelekea tuition au darsa za madrasa..
Masha Allah
Mmmh nyny watu hamujaacha tu kuisu mba Zanzibar hamuna jema nyny watu kila mtu na dini yake au mmekatazwa musimuabudu Allah kisa honi na makanisa
hio si honi ni IDUVI kwa kiswahili cha asili na ukisema honi ni neno la kizungu.
millard hizoo honiii (VING'ORA) mpaka tangaa zipooo mbilii bandari na reli na sIKU ya mwakampya vinaliaaa pia kila saA moja na NUSU ASUBUH KILASIKUUU
Kila mji ambao ulikuwa chini ya wakoloni ina hivi ving'ora. Hata kuna mtaa hadi leo Mombasa unaitwa King'orani, na ving'ora vinaendelea na ukikisikia kulia ghafla basi ujuwe kuna hali ya hatari inajaribu kutangazwa.
Kitaa changu icho
NA AKIPITA RAISI VILE VILE KUAMKIA KWA KUSIMAMA LAZIMA ILIKUWA HESHIMA NZURI SANA KWA RAISI WA HAKI SIO KAMA HUYU WA KUBAMIZA BAMIZA TU NA WATANGANYIKA KWA KUMTUMIA KWA KAZIZAO ZA KITUMWA TUMWA KIUKOLONI WA NCHI YAKE
Honi iendelee hadi Yesu atakaporudi, msiacha utamaduni huo kwa ajili ya teknolojia. Kila nchi ina tamaduni zao na hawajaziacha kwa sababu ya teknolojia. Swiss wanapiga mlio mkubwa wa saa kila lisaa nilipotimia usiku na mchana, na hawajaacha kwa vile kila mtu ana saa au simu zenye saa, pamoja na teknolojia nyingine zote walizokonazo.
Damaris Zuckschwert : wewe bangi, yesu imehusu nini na honi jinga kubwa.
Kauli ya kwamba wao ni wenyewe,angalifafanunuwa "wenyewe "ni nani?.
nikweliunayo yasema
zanzibar kuzuri kuliko jijini mbona
IKILIA HONI WATU WALIKUWA WANASIMAMA BADALA YA KUKAA KITAKO NI HESHIMA YA ZANZIBARI UKIWA HUSIMAMI POLISI WANAHAKI YA KUKUKAMATA NA KUSHITAKI KWA NINI HUKUSIMAMA ULIPOISIKIA HONI ULIZIA ZAIDI
Inamaana mmekuja kutoka nje mmejifanya kuwa wenyewe basi rudini kwenu
Kuhusu honi na kuingia kwa sala ya magharibi hivi vitu haviendani hiyo sio kweli ukweli ni kwamba honi ya magharibi inafata saa za sala sio sala inafata honi si kweli,
zamani hata meli zikiondoka zilikuwa zinapiga honi na inaskika hadi michenzani ila sasa haziskiki