Mwenyezi Mungu atusaidie! Vijana wa kitanzania kwa asilimia kubwa tupo iddle, hatuna kabisa shughuli za kufanya sisi tunasubiri tuajiriwe kufanya uovu. Ebu vijana mbadilishe mtazamo wenu, tuungane na serikali yetu tukufu ya Chama cha mapinduzi kuondoa maovu haya katika jamii..
Wallah inaumiza sana kijana mdog wamemfanyia kitendo kibaya sana Allah atawalani hawa watu awape mtihani mikubwa hapa duniani lazma watafutwe na huyo afande wao pamoja
@@annyquentic6722 Dunia imeisha Sasa aina uwislam wa ukristo fatilia vzr TH-cam utaona Mwanaume wa kikistu kafia kwa mchepuko hao wameruhisiwa kuwa na wake zaidi ya mmoja ndo ujue uyo hurka tu ya mtu mwenyewe na sio dini yake
@@annyquentic6722mbona kama una chuki na sunnah ya wake wanne! Mpaka unaileta pasipo husika? Kitendo alichofanyiwa huyo binti hakikubaliki kwa namna yoyote ile,aidha tukumbushane kuhusu hatari na ubaya wa Uzinzi.
Wanawake kuna mahali tunakosea.mumeo akichepuka deal na huyu mume wako.unajuaje kama mwanaume wako alisema hana mke?mimi lishawahi kukutana na mwanaume akaniambia mkewe amekufa kumbe ni mziiiimaaaaa!!Pambana huyo mbuzi wako mwenyewe. Ni wasichana wangapi watabakwa kisa huyo mbuzi wako?
Yan dada soph umesem kweli mm nishaonan nao weng t wanasem hawan wake Ila ukimfatiliy mtu Lina mke na watoto Ila mwanamk mwenzio unamfanyia hivy na mwanamm hatoshek na mwanamk mmoj
Yaan jaman mama Samia naomba Hawa vijana wanyongwe tuu maana hata kama amecheat ila hii sio sawa kwanini watafute kwa huyo dada si atafutwe aseme polisi yupi then huyo mwananamke akaoneshe hao vijana wake anawajua
Dhu mbiti pore sana jamani kama ingewenzekana wakikamatwa wamripe vidiya uyo biti nawao wangeukumiwa kunyongwa adi kufa iwe fundisho kwa wengine nimeumia sana 😭😭😭
Kwa kweli inaisha sana mwanadamu kawa mnyama??da!Mungu atusaidie Dunia Iko ukingoni ndugu zangu tukimbilie kwa YESU
Sheria ichukuliwe, serikali iache, hatua ya kusamehe, watu wanaofanya maovu, kama haya Mungu fanya kazi yako baba, wasaidie vijana
Jaman huyo afande anyongwe
Mwenyezi Mungu atusaidie!
Vijana wa kitanzania kwa asilimia kubwa tupo iddle, hatuna kabisa shughuli za kufanya sisi tunasubiri tuajiriwe kufanya uovu.
Ebu vijana mbadilishe mtazamo wenu, tuungane na serikali yetu tukufu ya Chama cha mapinduzi kuondoa maovu haya katika jamii..
Mungu atusaidie wanawake wengi sas hiv tunaishi kwa wasiwasi sana🙏🙏
Wasiwasi upi, wakati watoto wakike now days ni maninja kuliko wanaume
Mungu tunusuru😢
Justice for girl
Jaman huyo mwanamke ahukumiwe maisha yote au auliwe na hao vijana
Allah atunusuru na wahalifu kama hao, hatari 2024 bado wapo wahalifu namna hiyo subhanallah
Wallah inaumiza sana kijana mdog wamemfanyia kitendo kibaya sana Allah atawalani hawa watu awape mtihani mikubwa hapa duniani lazma watafutwe na huyo afande wao pamoja
Inauma sana aisee
Mm Samia fukuza kazi hao masherani
Subhanallah naumia km nimwanangu ama mdogo wangu 😢ya Allah wahukumu ww hawa waliofanya tukio hili usiwaache salama
Daaah Yan 😢
Hakika😢😢
Wanyongwe hao mashetani ingekuwa dada Yao wangefanya hvyo 😢😢😢
Subhanallah. Inalillahi wainailahi rajuun😢😢
Mungu atamlipia malipo hap hap dunia ipo siku watajutia kwa walichokifanya
Uyo afande akamatwe haraka na hao wabakaji wakamatwe wanyongwe
😂😂😂 sawa mkuu
Wanyongwe kabisa
Wasinyongwe wabakwe kama walivyomfanyia msichana
Mm hata sijaion
Duuu!! Mungu tusamehe
Mungu tusaidie 😧😧
Mungu tusamehe tumuogope
Kaniuma huyu Dada MUNGU amsaidie apate Hak yake 😥😥😥. Wanaume Wenyewe hawasemi kama wameoa 🤦♀️.
Alaf ukute mwanaume mwenyew n muislamu ndoa nne sunna ndo unapoachika anaolewa huyo
@@annyquentic6722 Yaan huyo mwanamke kfungo kumuhusu Maana n pepo haswaaa.
@@annyquentic6722 Dunia imeisha Sasa aina uwislam wa ukristo fatilia vzr TH-cam utaona Mwanaume wa kikistu kafia kwa mchepuko hao wameruhisiwa kuwa na wake zaidi ya mmoja ndo ujue uyo hurka tu ya mtu mwenyewe na sio dini yake
@@annyquentic6722mbona kama una chuki na sunnah ya wake wanne! Mpaka unaileta pasipo husika? Kitendo alichofanyiwa huyo binti hakikubaliki kwa namna yoyote ile,aidha tukumbushane kuhusu hatari na ubaya wa Uzinzi.
Kwel wamekosea Sana aisee, ila angebakwa mwanaume hapo ingeisha kimya kimya dadeki
Mungu tusamee tu
Duhhh huuu ni unyama,
😢😢 uwiii jamani inatisha jamani tisha
Wauliwe kabisa yani 😢
Muuuu ukatili wa juu sana sheria ichukue mkondo wake
Tamaa mbaya sana wanawake
Mungu wangu amsaidie kwa.hara sana
Subuallah Ewenyezi mungu mjarie mchn uyo ya rabby
Jamani wakamatwe na kifungo 30 yes iwe fundisho.
Maisha
Wafungwe maisha
Wangekuwa panya rod wangekuwa wamesha patikan ila wabakaj mpk.ss
Wauliwe kabisaa
Wafungwe maisha
sinapata hakiyangu
Hao.maafande hawana hofu ya Mungu kweli
Wafungwe maisha wamezalilisha jeshi
Hao ndo wale wasiyojulikana wana roho mbaya mno mnamdhalilisha mtoto kiasi hicho laana ya Mwenyezimungu iwe juu yenu
Wanawake kuna mahali tunakosea.mumeo akichepuka deal na huyu mume wako.unajuaje kama mwanaume wako alisema hana mke?mimi lishawahi kukutana na mwanaume akaniambia mkewe amekufa kumbe ni mziiiimaaaaa!!Pambana huyo mbuzi wako mwenyewe. Ni wasichana wangapi watabakwa kisa huyo mbuzi wako?
😢😢😢🎉🎉🎉🎉
Yan dada soph umesem kweli mm nishaonan nao weng t wanasem hawan wake Ila ukimfatiliy mtu Lina mke na watoto Ila mwanamk mwenzio unamfanyia hivy na mwanamm hatoshek na mwanamk mmoj
Akwambie ana mke ili umkatae??
Wanyongwe 😭😭😭
Kwa sasa kumuamin mtu dar Pole sana nchi imekuwa huru kila mtu anafanya anachojisikia duu hii hatari
Kabisa ..Yani😢
Mungu atuepushie Moja tu hoi wanaume wa 5 ningekufa dah 😢😢😢😢😢😢
Wanyogwe hao
Yaniiii unamtahalilisha binti kwa.sababu ya mwanaume
Iyo inaitwa mtt kautaka
Jaman wengine waoga 😢 mnatuharibu kisaikolojia tutakua tunashtuka shtuka 😢 Dunia imeisha huu unyama kabisa
Dunia ishakua yamoto hii
😢😢😢Jmn hii video nmeliona Yan mbka huruma😢😢
Yaan jaman mama Samia naomba Hawa vijana wanyongwe tuu maana hata kama amecheat ila hii sio sawa kwanini watafute kwa huyo dada si atafutwe aseme polisi yupi then huyo mwananamke akaoneshe hao vijana wake anawajua
Wa uwawe kabisa hawafai katika jamii
Jamn mungu atusaidie make ni hatal wahalifu wakamatwe miaka 30 ndani
Wako sawa
Akome umalaya
Acheni tamaaa
Inna lillah wainnaaa ilayhi rajiun
Afande na watu wake wanyongwe
dah wengine hatujaona hiii
Nimeona hii video ya huyu dada nimelia wallah nyie sie binadam tunaroho mbaya sana
Huu ni ushenzi wa hali ya juu Sana
daah hii sio sawa r,i,p jpm
Huyo Afande ukwaju akamatwe pia ,yaan ni udhalilishaji wa hali ya juu
Dah, amekumbuka PEP.
Dah unyama huwo jamanii dunia inaenda wapii MUNGU atusamehe
Ichi kitu kimeniuma sanaaa jmn 😭😭😭
Dah jamani jamani 😢
Duuuh hawa ni watu wa serikali hukumu yao wanyongwe tu maana niwanyama
Daah
Yani hapo hakuna cha msamaha has wote wakamatwe wachukuliwe shelia mana uwo ni unyanyasaji
Ina wenyewe hawaogopi hata magonjwa, mweeee.
Daa janeth mama umeacha nimelia
Janeth anaitwa au
Lakini akome kuingilia mapenxi ya wa2,angetemhea & vijana wenxake.
Mungu atunusuru
Tanzania Tanzaniaaa Nakupenda kwa moyooo wooteee lakini siwapendi viongozi FAKIIII viongozi
Kabisaaaa
Dhu mbiti pore sana jamani kama ingewenzekana wakikamatwa wamripe vidiya uyo biti nawao wangeukumiwa kunyongwa adi kufa iwe fundisho kwa wengine nimeumia sana 😭😭😭
dunia simama tushuke siye weny huruma daaaah
Hii Dunia inamengi maajabu
Safi sana afanda ndowa zinavunjika kisa wao
Weka akiba ya maneno vipi kizazi chako unahakika nacho
Hao walipaswa adhabu yakunyongwa coz huyo Binti anaweza jinyonga Kwa kitendo alichofanyiwa
Wamemdhalilisha mno 😢 ameumia sn 😩
Pole sana mdada kwa yaliyokukuta
Allah ajaalie wakatwe.
Sasa wanasubiri nn kunyongwa...😢😢😢 jaman mbn wana ushetani sana
Alafu picha zimesambaa nawanagonga gonga chupa
@@DaheerK so sad😪
Wanyongweee😭😭😭
Mmmh mtihan wallah 😢😢
Wahukumiwe au wauwawee kabisaaaa
Wakamatwe na wanyongwe kbs nchi imekuwa huru sn hii
Hào waliofanya hivyo wanyongwe na huyo afande
wachukuliwe hatua kali za kisheria
yaani mimi awa wanyongwe kabisa akuna hatua ya kufungwa
Subuhanallah da ubinadam ukoap ya Allah tunusuru na vtendo hivyo
Ukatili sio poa,😅
Hao So Kifungo wauuwawe kabisa yan dah
Waongo hao
Hawao vijana wakamatwe na wao kwa wenyew waingiliane iyo adhabu toshaa
Inatakiwa kuwe na kiongozi bandidu,,watu wanyongwe hazadhani,mipaka ilindwe,haswa,, majumba ya ibada Wageningen wadhibitiwe nk
Kweli ipo imevuja balaa
Tanzania tunaenda wapi
Nooo coment maana michepuko wanasumbua sanaa
Hiv ww ni mwanamke kwel au ni mwanaume
kweli mume wa mtu sumu duh
naomba zenu na mm mtotoi wangu alibakwa makama imenionea
But what's going on
Jamani binadamu sasa wamekua zaidi ya wanya dah 😭
Daaah! Inaumiza sana. Tunaomba Haki itendeke.
Kuna wakati raia tutajichukulia hatua mkononi km wahusika watakaa kimya