Daaaa unyama sana huu, ifike hatua wanawake tubadirike twende na kusoma alama za nyakati,wanaume sio watoto wetu,wakitoka nje tujichinguze, pia mwanaume wako akiwa ndani cha mssingi heshima, akiwa mzinzi muombeee, kufaanya maamuzi ya hasira utapata hasara bureee na ukamuacha akiendelea kuienjoy
Mmeshasema hao watu ni askari mwenzao si ni kitendo tu cha kuwafata jamaniii bora magufuri 😢angekuwepo aisee huyu mama anajiachia sana utasema hajazaa jamani yeye ni mama vipi angekuwa analawitiwaa yeye au watoto wake pumbavu kabisaa na aonee hii
Daah ningekuwa mimi ndo mkuu wa polisi, hawa wanajeshi wangefia kwenye mahojiano hata mahakamani wasingeenda kabisaa.Ningewaua kabisaa kwa mkono wangu.
Jamani wanawake tulio olewa hebu tuombe tupewe roho za kikahaba, yaani tujali ya kwetu, mwanaume anampenda nani au anatembea na nani yasituhusu, tupambane kitafuta pesa na amani ya mioyo yetu. Ukimfuatilia mwanaume mwisho utaathiri maisha yako na watoto wako wakati yeye akiendelea kupatara raha
Tatizo la nyie wanawake mlioolewa Hua mnajisahau kwenye tendo mmekua wavivu na visingizio visit visivyo na sababu.mme anataka tendo we unadai umechoka.
Kikahaba?Kama ni hivyo ujue unapata dhambi,hulipe ubaya kwa ubaya ila ukigundua mtu wako ni malaya ambaye hawezi kubadirika na hofu ya Mungu hana huna budi kuachana naye kwa wema;husipo fanya hivyo uenda akakupa magonjwa kibao katika mfumo wako wako wa uzazi na magonjwa ya laana na giza kumbuka hao anaokutana nao kila mtu ana mwili wake na matatizo yake na sio halari labda hakufunga nao ndoa na hapo utajikuta unakumbwa na manukusi ya kila rangi.
@@ramadhanwilbard8196 kahaba Huwa Hana haja ya kujua mwanaume ana wanawake wangapi, yeye anachojali ametimiziwa haja na pesa amepata, hii itawasaidia wanawake walioolewa kuepuka malumbano ndani ya nyumba, na kuepusha balaa kama hilo, Sasa ona kwasababu alimpenda sana mumewe anaishia kulipiza kisasi Kwa aliyemchukulia mume, na hicho kisasi kinaenda kugharimu maisha yake na watoto wake, lakini asingejali kuhusu huyo mwanaume hayo yote yasingemkuta
Mm nataman niwajue walipo hao inabid watiwe mijiti au kuchunwa ngozi kulalek kuogop maaskar ujinga sana yan angebakwa ndug yangu loo zao zingekua mikonon mwangu hao maaskar
Niliangalia hadi nikalia nilishndwa kumaliza kuiangalia emb fkria kama angekuwa dadayako jaman. Ungefanyann ila sijakufru Mungu nisamehe ilawauwawe.2 iwemfano
Kwa mujibu wa sheria Kaz ya polis ni kulinda raia na mali zake lakin mara nying sana polis wetu wamekuwa wanafanya kinyume chake yaan kuhatarisha usalama wetu pamoja na kuharibu mali zetu. Sasa cjui shida iko wapi ni ujinga ama ni kitu gani hata cjui
Wananchi wengi waoga sijui kisa askar au nani nd mtu afanye uchokolaa aogopwe kisa askar sijui mm sifagilii ujinga siku ajichanganye mtu kufanya ujinga kama huo anga zangu ataelewa yan hao inabid waletwe kwangu niwachune ngoz alaf niwatie mijiti
Kakosa kazi kakosa mume najela anaingia hana hayaaa yaaan mijibaba ovyoooo yaaan alafu ilikuwa inafurahia kabisaaaa na wanajionesha yaaan hii kes nyepesi sana
Bila Shaka mwanamke ndo mtumaji wa hao waliofanya .uyo madam akamatwe na afukuzwe Kaz na kifungo kwa wote washirik .Ila najua Sheria apo haitamtia hatiani uyo aliewatuma sbb atakataa
Hao maaskar waniletee mm niwaoneshe show daaah yan mm ndug yang abakwe hatakam na mwanajeshi kulalek natoka na roho yake mm ningedil nao mmoja baada ya mwingine natoka na roho zao
Yaani uyo mama hao vijana Kama ningepewa Mimi mamlaka wakikamatwa waletwe kwangu napiga rungu hao wote mpaka nawapa ulemavu harafu mawapeleka jera uwo ulemavu nitakaowapa ndo itakuwa story ya maisha yao
Tatizo serikali ndo inawalinda hawa watu na kwakua ni watu wao kama ingekua nimtu mwingine wangengekua wamesha kamatwa na tungeonywesha ila sisi wanyonge haki zetu zina siginwa na watu tuliowapa dhamana 😢😢
Jamani hivi huyo mama Hana watoto au huwezi kumfanyia hivi mtoto wa mwenzio Tena ni mwanamke kama ww .Alafu Askari anajukumu la kulinda raia wake Sasa hivi ndo jinsi ambavyo unalinda raia wako
Mama alie chukuliwa mume yupo kwenywe haki sheria ya kiislamu ni kifo ila vitu kama serekali wanasababisha hakuna sheria ya mke wa mtu au mume wa mtu nikosa kubwa kubwa sana mama samia liangalie hili eka sheria ya usaliti
kila nikiwaza kuandika nasita ...basi itoshe kusema nitafute mwanasheria wa kunitetea kwanza😂 nawaza tu kama wamekamatwa kwa nini hawajawekwa hadhalani tuwajue maana wengine hatujaona huo uchafu waliofanya.
My name is simba aka Thuglife mentality,kwa kweli imeniumiza sana kwa huyo dada aliefanyiwa hivyo hao jamaa ni washamba sana na sio really nigers yani kama huyo angekuwa ni ndugu yangu basi ningemuuliza dada yangu anionyeshe huyo mama ninge mpa week tu ningemtia voicemail no discussion yani ningemtia gololi moja ya kichwa tu basi biashara iishe kwa kwel imeniuma sana
Hao maaskar inabid wafanywe kitu cha mateso watobolewe macho alaf wakatwe pua alaf watiwe mijiti kulalek zao daaah huyo dada Mungu amsaidie lakn maaskar kama hao wajichanganye kwangu kulalek natoka na roho ya askar siogop ujinga mm
Yule Bint huko Yombo Dovya hawamjui watu wamekataa sasa sijui anatokea wapi na yy hajitokezi ili asaidiwe jaman sasa sijui mzima au kafa Subhannallah Allah amnusuru😢😢
Mama Toka hazarani towa kauli. Wana nichi. Wana subiri kauli Yako. Kwa maoni yangu waitwe hazarani. Wa pigwexhaba wote. Na mini jexhi. Latanzania. Mama sema Neno. Uchungzi Gani.
Wanawake wenye tabia hizi badilikeni ukimjuwa mmoja unamalizia ujinga wako kwanini usidili na mumeo au bwana wako huko nje unajuwa ana wanawake wangapi kuna baadhi ya wanawake malimbukeni ukimuona mumeo au bwana humuelewi katika ndoa au mahusiano ondoka kuliko kufanya haya sheria isimamie haki haraka ili iwe fundisho
Jamani huyo mama asiye na haya ameshindwa kudili na mme wake anamfanyia yule binti vile imeniuma mnooo tena sana duuuh alafu hayo mafunzo mnatolea wapi askari hawezi kuwa mjinga kiasi kile huu niuzalilisha hata kwaviongozi wakijeshi mnawapa mafunzo yaaina gan vijana wenu duuuuh pole kwa binti mwenzetu na ndugu zake
Jaman tuwe makin sana na vitu kam hiv unajikuta unaingia kweny matatiz bila kutegemea na hii ndo shida kubwa ya sisi wabongo na inatuponza sana Unakuta mtu yuko siriaz kabisa anasoma comment yangu badala aandike yake😢😢😢😢😢
Alafu hajui tuuu mapenzi yananguvu,hajamkomesha bint bali na yeye mama kajikomezha sababu akipona wataliendeeza tena na mume wake na km magonjwa mtapakana tu, huo ni ufala tu
Sasa hao wanajeshi wanatilinda au ndo wanatubaka sasa hebu hao wenye vyeo wangetumia vyeo vyao kwenye kazi walizo ajiliwa sio kunyanyasa wana nchi kisa wanavyeo
Cmon Hando... Muroto ni number nyingne...ni mmoja kati ya Askari ambao walikua wanafanya kazi kwa ueredi wa hali ya juu... Natamani hata apewe ubunge wa kuteuliwa then apewe Uwaziri wa Mambo ya Ndani..
Mimi mwenyewe ningekuwa namjua huyo mama majina yake tu kesho tungemaliza kazi ya mungu make hana akili kwa tunawaweka kwenye igobyo kwisha habari yake kwa nini asihangaike na huyo bwana yake ngengrli wake
Najiuliza hawa police ambao walienda chuo kwa hiyari zao na wakaapa kwa hiyari zao na mishahara wanalipwa na serekali yao,huyu boss aliwabrainwash vipi mpaka wakasahau kila kitu wakamtii huyo afande surely?yaani wameamua kufedhehesha mpaka sura zao, familia zao, wake zao, na Jeshi la polisi sababu ni bosi kasema?
Hiii nchi ya hivyo sana hapo akamatwi mtu watabebana bebana tu rushwa kibao Tanzania ndo nchi ya hovyo kuliko taifa lolote like aibu lushwa itatembea hapo tu
Daaaa unyama sana huu, ifike hatua wanawake tubadirike twende na kusoma alama za nyakati,wanaume sio watoto wetu,wakitoka nje tujichinguze, pia mwanaume wako akiwa ndani cha mssingi heshima, akiwa mzinzi muombeee, kufaanya maamuzi ya hasira utapata hasara bureee na ukamuacha akiendelea kuienjoy
Waraaniwe jamani mim mpaka nakosa kula maskini mungu ampe wepesi uyu binti mwenzetu dah serikali yetu tunaomba aki ya uyu binti tumeumia sana
Linasikitisha sanaaa😢😢😢
Nyongeni wote ! Mpaka huyo afande! Ukimya watakuwa wanatafuta namna. Tuna idadi kubwa ya watu!
Huyo mama kama anawatoto wakike awachunge sana vipi kama nao wanatembea na waume za watu
Nimeumia sana kwakweli huyo afande alaaniwe
Mmeshasema hao watu ni askari mwenzao si ni kitendo tu cha kuwafata jamaniii bora magufuri 😢angekuwepo aisee huyu mama anajiachia sana utasema hajazaa jamani yeye ni mama vipi angekuwa analawitiwaa yeye au watoto wake pumbavu kabisaa na aonee hii
Hatari sana jamani
Daah ningekuwa mimi ndo mkuu wa polisi, hawa wanajeshi wangefia kwenye mahojiano hata mahakamani wasingeenda kabisaa.Ningewaua kabisaa kwa mkono wangu.
Nikikumbuka nalia na upya like tukio, mkono wa Mungu wetu ni mrefu lakini unafika popote🙌🙌💔💔😭😭
Uyo boss ailiye watuma kabla ya adhabu na yye arekodiwe na Jao vijana wake wamfanyie hvyo ili kutegeneza gender balance
Jamani wanawake tulio olewa hebu tuombe tupewe roho za kikahaba, yaani tujali ya kwetu, mwanaume anampenda nani au anatembea na nani yasituhusu, tupambane kitafuta pesa na amani ya mioyo yetu. Ukimfuatilia mwanaume mwisho utaathiri maisha yako na watoto wako wakati yeye akiendelea kupatara raha
Kabisa my dear coz mwanaume kma ni maraya maraya tu na hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja
Tatizo la nyie wanawake mlioolewa Hua mnajisahau kwenye tendo mmekua wavivu na visingizio visit visivyo na sababu.mme anataka tendo we unadai umechoka.
Kikahaba?Kama ni hivyo ujue unapata dhambi,hulipe ubaya kwa ubaya ila ukigundua mtu wako ni malaya ambaye hawezi kubadirika na hofu ya Mungu hana huna budi kuachana naye kwa wema;husipo fanya hivyo uenda akakupa magonjwa kibao katika mfumo wako wako wa uzazi na magonjwa ya laana na giza kumbuka hao anaokutana nao kila mtu ana mwili wake na matatizo yake na sio halari labda hakufunga nao ndoa na hapo utajikuta unakumbwa na manukusi ya kila rangi.
Safi kabisa dada angu wanaume wenyewe ndo Hawa Hawa wafilwaji aisee unamkatiri hvy mtoto mwenzio
@@ramadhanwilbard8196 kahaba Huwa Hana haja ya kujua mwanaume ana wanawake wangapi, yeye anachojali ametimiziwa haja na pesa amepata, hii itawasaidia wanawake walioolewa kuepuka malumbano ndani ya nyumba, na kuepusha balaa kama hilo, Sasa ona kwasababu alimpenda sana mumewe anaishia kulipiza kisasi Kwa aliyemchukulia mume, na hicho kisasi kinaenda kugharimu maisha yake na watoto wake, lakini asingejali kuhusu huyo mwanaume hayo yote yasingemkuta
Barack sit uko sawa
Mm nataman niwajue walipo hao inabid watiwe mijiti au kuchunwa ngozi kulalek kuogop maaskar ujinga sana yan angebakwa ndug yangu loo zao zingekua mikonon mwangu hao maaskar
Niliangalia hadi nikalia nilishndwa kumaliza kuiangalia emb fkria kama angekuwa dadayako jaman. Ungefanyann ila sijakufru Mungu nisamehe ilawauwawe.2 iwemfano
Jamani Mimi nilitafuta sijaiona by naumia
Serikali inafeli wapi?
Kwa mujibu wa sheria Kaz ya polis ni kulinda raia na mali zake lakin mara nying sana polis wetu wamekuwa wanafanya kinyume chake yaan kuhatarisha usalama wetu pamoja na kuharibu mali zetu. Sasa cjui shida iko wapi ni ujinga ama ni kitu gani hata cjui
Hawa wayongwe tu washezi sana
Hiii kesi kweli ni rahis kabisa ipo wazi kabisa
Wanajiamini sana hawajaficha sura wana uhakika hawakamatwi
Mama shuhulikia majitu kama haya tena kwa adhabu kali sana
Wananchi wengi waoga sijui kisa askar au nani nd mtu afanye uchokolaa aogopwe kisa askar sijui mm sifagilii ujinga siku ajichanganye mtu kufanya ujinga kama huo anga zangu ataelewa yan hao inabid waletwe kwangu niwachune ngoz alaf niwatie mijiti
Kakosa kazi kakosa mume najela anaingia hana hayaaa yaaan mijibaba ovyoooo yaaan alafu ilikuwa inafurahia kabisaaaa na wanajionesha yaaan hii kes nyepesi sana
Yani yeye alie watuma anawajua akamatwe awataje hao watu aliye watuma sio sawa na yeye anawatoto hajui watakuwa na makuzi gani.
Hanafaa kufuzwa kazi cheo sawa na nguo ya kuzima
Bila Shaka mwanamke ndo mtumaji wa hao waliofanya .uyo madam akamatwe na afukuzwe Kaz na kifungo kwa wote washirik .Ila najua Sheria apo haitamtia hatiani uyo aliewatuma sbb atakataa
Nawao wafanyiwe ivyo ivyo
Hao maaskar waniletee mm niwaoneshe show daaah yan mm ndug yang abakwe hatakam na mwanajeshi kulalek natoka na roho yake mm ningedil nao mmoja baada ya mwingine natoka na roho zao
Wachukuliwe hatua ya kunyongwa😂😂😂
Yaani uyo mama hao vijana Kama ningepewa Mimi mamlaka wakikamatwa waletwe kwangu napiga rungu hao wote mpaka nawapa ulemavu harafu mawapeleka jera uwo ulemavu nitakaowapa ndo itakuwa story ya maisha yao
😂😂😂Sasa Kama huyo binti mdg kafanyiwa ivo je wngn si Kuna vitu watu wanafanyiwa vitu vkubwa Sana dah jmn tuwe na Hofu ya Mungu😢😢😢
Tatizo serikali ndo inawalinda hawa watu na kwakua ni watu wao kama ingekua nimtu mwingine wangengekua wamesha kamatwa na tungeonywesha ila sisi wanyonge haki zetu zina siginwa na watu tuliowapa dhamana 😢😢
Jamani hivi huyo mama Hana watoto au huwezi kumfanyia hivi mtoto wa mwenzio Tena ni mwanamke kama ww .Alafu Askari anajukumu la kulinda raia wake Sasa hivi ndo jinsi ambavyo unalinda raia wako
Mama alie chukuliwa mume yupo kwenywe haki sheria ya kiislamu ni kifo ila vitu kama serekali wanasababisha hakuna sheria ya mke wa mtu au mume wa mtu nikosa kubwa kubwa sana mama samia liangalie hili eka sheria ya usaliti
Itafika wakati kama Shelia aichukui mkondowake wananchi tuchukue Shelia mkononi
Iyo story inauzunisha sn maulid acha mbwembwe
Kwel kabisa wakamtwe😢
Yani nimeumia sna daaah anaomba maji hata kumpa jamn 😭😭😭😭😭 nimeumia sana aki yani uyo askar hafai kuwa askar ni muuwaji mtoeni cheo 🥹🥹😩
Aseee washenzi Sana
kila nikiwaza kuandika nasita ...basi itoshe kusema nitafute mwanasheria wa kunitetea kwanza😂 nawaza tu kama wamekamatwa kwa nini hawajawekwa hadhalani tuwajue maana wengine hatujaona huo uchafu waliofanya.
Wakikamatwa wanyonge uwo ni uzalilishaji wa wanawake
My name is simba aka Thuglife mentality,kwa kweli imeniumiza sana kwa huyo dada aliefanyiwa hivyo hao jamaa ni washamba sana na sio really nigers yani kama huyo angekuwa ni ndugu yangu basi ningemuuliza dada yangu anionyeshe huyo mama ninge mpa week tu ningemtia voicemail no discussion yani ningemtia gololi moja ya kichwa tu basi biashara iishe kwa kwel imeniuma sana
Hao maaskar inabid wafanywe kitu cha mateso watobolewe macho alaf wakatwe pua alaf watiwe mijiti kulalek zao daaah huyo dada Mungu amsaidie lakn maaskar kama hao wajichanganye kwangu kulalek natoka na roho ya askar siogop ujinga mm
Wajichanganye kivipi kwako kivipi ...wakubake au .?
Nmeona hio video mara 5 jinsi wanavyomuingilia nyuma na mbele jaman huu ukatili utaisha lin😢
Tumefika pabaya jaman MUNGU ATUNUSURU KWA KWELI
Ipo sehemu gani nione
Yule Bint huko Yombo Dovya hawamjui watu wamekataa sasa sijui anatokea wapi na yy hajitokezi ili asaidiwe jaman sasa sijui mzima au kafa Subhannallah Allah amnusuru😢😢
Sindio apo sijui katulia wapi mm nasem ndgu zake binty pia wametulia
Msiba mzito sana.Ukatili mpaka kwa wanawake.Tulikuwa tunajua ni wanaume tu.
Daaah yan hao wapumbavu wangebak ndug yangu wangeelewa siogop askar mm wala nani ningewagonga hivyhvyo tena natamn ningewajua hao wapumbavu wote
Mama Toka hazarani towa kauli. Wana nichi. Wana subiri kauli Yako. Kwa maoni yangu waitwe hazarani. Wa pigwexhaba wote. Na mini jexhi. Latanzania. Mama sema Neno. Uchungzi Gani.
Hao maaskar wanayo mambo ya kichoko sana waje anga zangu siku natoka na roho zao
😭😭😭😭
Jeshi la police litende haki
Wafungwe kabisa hawa kama wamemuambukuza virusi
Ali kiba feat Mario SUMU
Ivi police anaweza kumkamata mwnajeshi jamani embu angalieni
Ashakosa kazi, Kakosa Mume na Jela kaipata
Kwanin TCRA wamekaa kimya maongezi yapo kuanzia huyo mama binti na mume pia na wawekwe wazi wanafichwa nin wahalifu
What is going on
Unaweza kushangaa kesi ikazimwa kimya kimya maaskari pepo hawataiona wanabebeana machafu yao
Awa jamaa wa waishi milele. Wanajua wanachofanya. Hatari sanaaaa
Mkinibakia dada😢 yangu kama hivyo 😮 nitawauwa.
Dada yako mbn namfila kila siku
@@MohHabibu mamae
Wakamatwe wote wahusika akiwemo na huyo mama aliewatumwa ikiwezekana wanyongwe wote pumbavu zao
Naomba niione iyo video kwanz
Sasa mbaka sasa awajatiwa nguvuni kweli
Wanawake wenye tabia hizi badilikeni ukimjuwa mmoja unamalizia ujinga wako kwanini usidili na mumeo au bwana wako huko nje unajuwa ana wanawake wangapi kuna baadhi ya wanawake malimbukeni ukimuona mumeo au bwana humuelewi katika ndoa au mahusiano ondoka kuliko kufanya haya sheria isimamie haki haraka ili iwe fundisho
Tumezoea kulindana jee? Nahawa wabakaji makatili tuwslinde??😢
Jamani huyo mama asiye na haya ameshindwa kudili na mme wake anamfanyia yule binti vile imeniuma mnooo tena sana duuuh alafu hayo mafunzo mnatolea wapi askari hawezi kuwa mjinga kiasi kile huu niuzalilisha hata kwaviongozi wakijeshi mnawapa mafunzo yaaina gan vijana wenu duuuuh pole kwa binti mwenzetu na ndugu zake
Wewe acha ujinga kwani huyo ni mwanajeshi
Usimtetee
Hawa Watuhumiwa tunaomba haki itendeke wakamatwe pia wapimwe akili.
Jaman tuwe makin sana na vitu kam hiv unajikuta unaingia kweny matatiz bila kutegemea na hii ndo shida kubwa ya sisi wabongo na inatuponza sana Unakuta mtu yuko siriaz kabisa anasoma comment yangu badala aandike yake😢😢😢😢😢
Hv kwanza hilo limume la huyo polisi nalo lilikuwa haliijui auuu…likazuia
Nchi ina nuka dhulma
kazi ipo hap naona mamb magumu
Maskini binti nimdogo sana alafu wanamfanyia huku wakimshkia chupa waowana furahi tuu 😭😭😭😭
Serekali isitutanie
Alafu hajui tuuu mapenzi yananguvu,hajamkomesha bint bali na yeye mama kajikomezha sababu akipona wataliendeeza tena na mume wake na km magonjwa mtapakana tu, huo ni ufala tu
Sasa we mama mshezi kwani usiondoke unamng'ng'ania huo mwanao
Sasa ndo kafaidika nini kumfanyia hivyo huyo bint?
Kisasi ni Cha mungu atakulipa Kwa mate do Yako wewe mm roho ya kichawi
Wapate humum Yao sio kitu kizuri kabisa walicho fanya uyo bosi alie watuma akamatwe navijana wakamatwe iwe funxo kwa watanzania wote
Haya polisi mmefikia wapi huko mmekuwa majambazi ni mapolisi wanafanya unyama ndo maan hawataki kusema hii nchi hii inafaa kuwa na kiogonzi mwanaume
Nani kama mama
Ila police 😅
Kwani huyo askali hayupo kwanini wasimkamate huyo askali
MSHTAKIWA WAKWANZA BOSI WA AFANDE NA WAFANDE WOTE WASHIKWE USHUNGUZI WA NINI WAKATI WANAJULIKANA ?
J makufuli umeondoka mapema
Masauni ajiuzulu anarembua tu macho
SIO SIRI HATA MIMI WAMENIJAZA SUMU SANA.
Nchi yetu ina unafki mwingi. Hawa polisi nao wazembe
Ni ukatili wa hali ya juu Mungu aingilie kati unyama huu😢
Sasa hao wanajeshi wanatilinda au ndo wanatubaka sasa hebu hao wenye vyeo wangetumia vyeo vyao kwenye kazi walizo ajiliwa sio kunyanyasa wana nchi kisa wanavyeo
Haya mambo ndo makonda alikua hayachekei ndo mana......
Wanalindana awawezi kuwakamata hiyo ndio polisi yetu
Da aseee
Cmon Hando... Muroto ni number nyingne...ni mmoja kati ya Askari ambao walikua wanafanya kazi kwa ueredi wa hali ya juu... Natamani hata apewe ubunge wa kuteuliwa then apewe Uwaziri wa Mambo ya Ndani..
Muroto anashughulikq na waharabu. Ingekuwa mwarabubtqyari amesha kujankueleza kawakamata
Mimi mwenyewe ningekuwa namjua huyo mama majina yake tu kesho tungemaliza kazi ya mungu make hana akili kwa tunawaweka kwenye igobyo kwisha habari yake kwa nini asihangaike na huyo bwana yake ngengrli wake
Najiuliza hawa police ambao walienda chuo kwa hiyari zao na wakaapa kwa hiyari zao na mishahara wanalipwa na serekali yao,huyu boss aliwabrainwash vipi mpaka wakasahau kila kitu wakamtii huyo afande surely?yaani wameamua kufedhehesha mpaka sura zao, familia zao, wake zao, na Jeshi la polisi sababu ni bosi kasema?
Hao ni jwtz sio police jamn kaaah
Mungu kataka kuwaumbua kwaniwamefanya vibaya
nadhani hata mfumo wa kuwapata ni changamoto ..wale ni wahuni tu.....walimtii afande wao wakaweka utashi wao pembeni....
Wanatakiwa wa nyongwe dem adi anasema na aomba maji lakini awampi wanyongwe
Nanyie wadada jama mlishaambiwa mme wa mtu ni sumu muelewe ndugu zangu
Na viongozi nao tunaomba adhabu Kali itolewe ikawe fundisho Kwa mijitu isiyokuwa na akili kama hawa
Ww na hao vijana wako mlaaniwe
Hiii nchi ya hivyo sana hapo akamatwi mtu watabebana bebana tu rushwa kibao Tanzania ndo nchi ya hovyo kuliko taifa lolote like aibu lushwa itatembea hapo tu
Mabukusu yupo atawashughulikia hii ndiyo kazi yake