MBOWE AFUNGUKA MAZITO SAKATA LA UTEKAJI wa "SATIVA", AMTAJA HAYATI MAGUFULI LIVE,.......

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 32

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 12 วันที่ผ่านมา +5

    Nyinyi kama hamtamuacha Magufuri mtapiga kelele sana hamtashinda uchaguzi. Kumsema Magufuri kunawafurahisha baadhi ya chadema tatizo lenu hamfanyi tafiti Magufuri bado anakubalika sana na ana wapiga kura wengi kupita CCM na chadema.

    • @nelsonnyamle
      @nelsonnyamle 12 วันที่ผ่านมา

      IPO SIKU ATATEKWA MWANAO NDIPO UTAJUA VIZURI JUU YA MANENO YAKO YA KUKEJELI WATU

    • @PhilipoMwita-wc1ku
      @PhilipoMwita-wc1ku 11 วันที่ผ่านมา

      KWAVILE sio wewe uliotekwa Wala aliotekwa sio ndugu Yako ...endelea

  • @husseinc
    @husseinc 12 วันที่ผ่านมา +3

    r.i.p shujaa dr jonh pombe magufuli

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 12 วันที่ผ่านมา +2

    Haki iko wapi Tanzania,?tnajifichaa kwenye kivuli cha Tanzania nchi Ya Amani,pole sna Mwanaharakati Sativah

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 12 วันที่ผ่านมา +2

    Wakati wa magufuli haikuwa hivi hii ni enzi ya ulimboka

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 12 วันที่ผ่านมา +3

    We mzee koma kumtaja taja magufur tena koma

    • @andrewkissava9184
      @andrewkissava9184 8 วันที่ผ่านมา

      Kwanini asitajwe magufuli na wakati magufuli ndo mwasisi wa utekaji?

  • @SaimonMrema
    @SaimonMrema 10 วันที่ผ่านมา +1

    Udhalim,utekaji unyangaji nauonevu nizao laserikali dhalim

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 6 วันที่ผ่านมา

    Inauma sana

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 11 วันที่ผ่านมา

    Mbowe namuheshimu sana ila hapa pakuwa anamtaja MAGUFULI ndio huwa wanafeli ,aachane na JPM kbs yule alikuwa ni kiongozi Bora kuwahi kutoka hpa Tz.

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 12 วันที่ผ่านมา +2

    We KENGEZA KOMA TENA KOMA KABISAAA MTETEA TUMBO SHENZI ZAKO

    • @georgesteven5185
      @georgesteven5185 5 วันที่ผ่านมา

      Kwakuwa anae ongelewa siyo mama yako Wala baba yako Wala dada yako ndomaana unaongea ushubwada wako

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 12 วันที่ผ่านมา +3

    Unaongea kama ulikwepo na unaushidi halafu jina la Magufuli ulikome kabisa wacha makufuli alale kwa amani kama nye hamana sera kazi yenu ni kutoa tarifa kama alvyosema komando Makonda 🤣🤣

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 12 วันที่ผ่านมา +1

      Tena akome akome akome
      Papa ame pumzka muachen

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 8 วันที่ผ่านมา

    Police osterbay kuna cctv tunaomba uchunguzi ✌️

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 3 วันที่ผ่านมา

    Ukimtaja tu magufuli umejipunguzia mambo makubwa sana. Halafu hilo kwa chadema, hawajawahi kujua kama ni doa kubwa huwa linawapunguzia thamani kwa watu. Magufuli anaaminika na watu wengi zaidi, ukimsema wanakuona ni miongoni mwa watu usiyependa mafanikio aliyoyafanya magufuli.
    Hivyo jifunzeni kurekebisha hapo, watu watawaelewa zaidi kuliko kumdharau JPM

  • @jumaahagu4764
    @jumaahagu4764 11 วันที่ผ่านมา

    Ila kila anayehusika na unyama huu kuteka kutesa kuua hasa kwa mtu anayetetea haki bula kujali dini yake au hana dini ajue naye mungu anamsubir kwa msimpeleke vyombo vya sheria

  • @husseinc
    @husseinc 12 วันที่ผ่านมา +1

    kijana wanafunzi wa chuo aleyekuwa chama cha zitto kabwe abdul nondo alijidai katekwa na kwenda mafichoni mkoani

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 12 วันที่ผ่านมา +4

    Magufuli hakuwahi kumfanya hivi mtu hata siku moja na hutapata kula hata kidogo kumsema magu

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 8 วันที่ผ่านมา

    Ninyi mnaye msema vibaya mbowe akiri zenu hazipo vizuri kama mbowe anasema juu ya suala la utekaji halafu ninyi mnaona sawa basi ninyi ni mAchawa ya mama kilemba

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 11 วันที่ผ่านมา

    Kamanda tuko pamoja

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 6 วันที่ผ่านมา

    Wakuu tuambieni bado ni mwenda zaka au tumtazamie mwingine ?

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 12 วันที่ผ่านมา

    Ila watu 😢😢

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 12 วันที่ผ่านมา

    HAKI HUINUA TAIFA

  • @user-oz4gz8kq9e
    @user-oz4gz8kq9e 12 วันที่ผ่านมา

    Wewe paka ulitaka watu wasiseme kwaajili ya matukio yasemee yapi?

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 12 วันที่ผ่านมา

    Kunaaja ya kulinda

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 12 วันที่ผ่านมา

    MUNGU WANGU SHUGHULIKA NA WALIOTENDA UBAYA HUU

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 11 วันที่ผ่านมา

    Yaani moja ya chama ambacho kimepoteza dira ni Chadema yaani badala ya kubanana na mambo ya sasa mko busy na mtu ambae kashafariki. Huo ujinga kweli kweli 😂😂😂

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 12 วันที่ผ่านมา

    Awa awana mpya kutekwa kulinzia tanzania wana sela ngaja wanasumbili matukio mbando la pina

    • @user-lt1nr4tk9r
      @user-lt1nr4tk9r 12 วันที่ผ่านมา

      Acha upimbi wewe

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 12 วันที่ผ่านมา

      Tanzania ni nchi nzuri sana, ukisikia hayo unaogopa sana. Mambo yote chini ya jua ni ubatili tu. Mahakama zipo kwa nini wasikamate mtu akashitakiwa?.