Gajma oyeeeeeeeeeeh una uchungu cn na 🇹🇿♥️♥️♥️wengine wangekua kama ww kesho tungepata katiba mpya we kichwa gajma uko vzr kuliko mungu ana kulinda na kukusmamia kazi yko gajiiiiiiiiiimaaaaaaaaaaaaaa noooooomaaaaaaaa oooooyeeeeeeeeeeeeeeeee love your spech gog bes u gajma⛪👏👏👏👏👏
Mweshimiwa gwajima uko vyema mno mungu akupe afya njema ili uzid kutuelimisha zaid na zaid me mi kama mi binafix gwajima.nimekuelew kiundan zaid mungu akubafik na endelea 2 kusema ukwel mwasho mwisho mweshiwa.🙏🙏🙏🙏
Daa mungu wangu wa izraeli nakupend sana nataman nisikutende dhmbi mpak nakufa naomb niweze coz najua wewe ni muweza wa yote nMpenda sana gwajima n.a. mungu umlinde sanasana shujaa mwingine tena gwajima tupo nyuma yako amen
Ndomaana mzee magu kataka kampeni alikua akisema nileteeni gwajima bungeni aliona mbali aaaa mungu amlaze mahali pema peponi Mina naampunguzie azabu hayati rais wetu mpendwa dct jpm da tunakukumbuka sana sikwamabaya balikwamema
Binafsi ninamtukuza Mungu kwa ajili yako,yaani uwepo wako bungeni ni kwa wakati sahihi mno,MUNGU wetu aliyesimamisha mbingu na Dunia kwa neno tu azidi kukutumia kwa ajili ya watanzania wengi,🙌🙌🙌I salute u
Asante sana mungu akujalie hekima kwa busara unazotumia bila kujali hawa wanaotaka kutumaliza mungu akuzidishie ulinzi tupambanie mungu mbele shetani ashindweee
Huyu ndiye m'mbunge mwenye wana inci wana itaji wakati kamahuu mungu akubariki na akuongezeye hekima namaisha marefu ili uendeleye kutetea wana ici mungu akubariki nakupenda sana
Gwajima uko sawa sana. Wacha wakuchukie lakini sema, sema tu. Hongera sana. Semeni msiogope mpaka kule Ulaya wajue Watanzania sio mazuzu tena wakuburutwa.
Magufuli ni mwanaume na nusu!!!! Natamani roho yake tena!!! Mwanaume anaethubutu!!!! Anaeamini anachoamini sio anachosikia!!! Gwajima ni nusu ya roho ya magu !!! Napata amani
Wewe kiumbe hapo bungeni Mungu akulinde sana sana na tunakushukuru kwa kuwatetea wananchi wakoo maadui mahasidi wakae mbali nawe kila atakaekufikiria kukifanyia vibaya afe huko huko kabla hajafika kwako
Pigaa💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪💪 funguka viongozi msikilize gawajima oja yke ya kizarendo cn🇹🇿 tumunge mkono gwajima anaongea kisayansi zaidi ya wengine wanavyo chukulia mungu akurinde kiongozi gwajma ubalikiwe cnaaa 2kop1💪💪💪💪💪💪💪💪💪⛪👏👏👏
Mibunge mingine imekaa tu bungeni kama.miZigo hata haitutetei haioni kama watanzania tunaenda kuteketezwa baba gwajima ww hufai kuwa mbunge tu uwezo wako. Unafaa uwe laisi Hongera gwajima
Mungu azidi kukutia nguvu na akupe maisha marefu askofu Gwajima.
Asante baba mungu azidi. Kukupalilia naroho mtakatifu azidi zaidi na zaidi kukufunulia,
Mungu akupe nini Askofu Gwajima. Akulinde na akupe maisha marefu Baba Mchungaji . Mungu akutawale zaidi .
Gajma oyeeeeeeeeeeh una uchungu cn na 🇹🇿♥️♥️♥️wengine wangekua kama ww kesho tungepata katiba mpya we kichwa gajma uko vzr kuliko mungu ana kulinda na kukusmamia kazi yko gajiiiiiiiiiimaaaaaaaaaaaaaa noooooomaaaaaaaa oooooyeeeeeeeeeeeeeeeee love your spech gog bes u gajma⛪👏👏👏👏👏
Nakupenda gwajima Kama nilvyompenda marehemu magu. Ukiongea wewe na msukuma, nafarijika Sana.
Kweli kabisa hawa watu wanatuelimisha ngozi nyeupe hawa sio watumaliza nia yao wabaki wenyewe
Wengine wanna misimamo ya kuigiza
Mwenye masikio na asikie!! hakika nimekuelewa vyema.
Gwajima anaonekana kama anamuda mlefu katka bunge la tanzania big up sana
Good good good
Ongea baba
Mweshimiwa gwajima uko vyema mno mungu akupe afya njema ili uzid kutuelimisha zaid na zaid me mi kama mi binafix gwajima.nimekuelew kiundan zaid mungu akubafik na endelea 2 kusema ukwel mwasho mwisho mweshiwa.🙏🙏🙏🙏
You are so intelligent gwajima we need more people like you inorder to save lives of Tanzania's. May God bless you Amen
Wajulishe baba ili wapate uponyaji.Tumkumbuke yona kwenda linawi kuwaambia watubu namungu ataiponya dunia amen, god bless you.
Nakubali sana Gwajima.umeongea point sana.Mungu Akubariki sana. Mungu yupo juu yako.
Asante askofu kwaufau wako mzuli nakufamu matatizo Yaafya zawatanzania ila unapigwa mbuzi gitaa hawajifahamu ata umejitaidi kuwafahanisha ila wameweka mbele misaada kuliko ubinadamu watanzania askofu mungu akulinde popote ulipo wameshingwa kuleta chanjo zakasa ukimwi je wanatuletea chanjo zakolona sijui wanawaza nini
Nimehamini Mungu uwa anamakusudi wewe ndiye mkweli mwenye uwezo wa kupinga chanjo ya mpinga kiristo asante gwajima
Daa mungu wangu wa izraeli nakupend sana nataman nisikutende dhmbi mpak nakufa naomb niweze coz najua wewe ni muweza wa yote nMpenda sana gwajima n.a. mungu umlinde sanasana shujaa mwingine tena gwajima tupo nyuma yako amen
Katika hii amekosekana JPM tu na angekuwepo hapa aise pasinge tosha , safi sana mch ngwajima mungu azidi kukupa maarifa zaidi
😁😁😁 yule mwamba hata dawa zisingefika Mungu amlaze mahali pema pepon kbx
Mungu simama na mtumishi wako gwajima asizulike maana ibirisi anachunguria simama yesu Amina
Ndomaana mzee magu kataka kampeni alikua akisema nileteeni gwajima bungeni aliona mbali aaaa mungu amlaze mahali pema peponi Mina naampunguzie azabu hayati rais wetu mpendwa dct jpm da tunakukumbuka sana sikwamabaya balikwamema
Hongera sana ngwajim
Mungu aendelee kututetea
Binafsi ninamtukuza Mungu kwa ajili yako,yaani uwepo wako bungeni ni kwa wakati sahihi mno,MUNGU wetu aliyesimamisha mbingu na Dunia kwa neno tu azidi kukutumia kwa ajili ya watanzania wengi,🙌🙌🙌I salute u
ur my inspire Gwajima lazma niingie katika siasa kupigania haki za wengi
Hiv hao viongozi wengine wanawaza nn wameinamisha vichwa tu hongera gwajima mungu akuwezeshe
Nileteeeni Gwajima🔥🔥🔥
Kweli magufuri aliona kitu juu yake, mungu amjalie kheri 🙏 nileteeni Gwajina kauri ya hayati magu mungu ampe mwanga wa milele
Asante sana mungu akujalie hekima kwa busara unazotumia bila kujali hawa wanaotaka kutumaliza mungu akuzidishie ulinzi tupambanie mungu mbele shetani ashindweee
Unajua mungu huwa awatupi watu wake asiwajulishe mambo mungu akutangulie Gwajima
Gwajima ukikuwa wap miaka yote Mungu kweli kakutuma utukomboe Gwajima Oyooooooooh
Kumbe gwaji boi Ni kichwa hatar duu noma Sana Hawa ndo watu tunawataka kwenye hii inchi sio tunakubali kubali
gwaji yani nakuelewaga sana ssa nashangaa kwann upo huku huku vpaji vinapotea wana angali tumbo tuu
Ukwel utabaki ukwel tu Na Mungu akubariki sana mtumishi umeenda bungeni kwa mda mwaafaka
Baba mungu wa mbinguni pekee azidi kukuwezesha katika mambo zote ijapokuwa ivyo nguvu yangu Bwana Jesu Christ wana zareth yupo juu Yako kabisa
Akili za Ngwajima zinafanya kazi kuliko viongozi wote wa Tanzania.
Kweli kabisa,we ndo ungekuwa rais
Akili za ngwajima nizr
Gwajima upo vzr bwana
afhali mway
ww uko vizur
Safi Sana kiongonzi umeongea kwa hekima na busara mpaka ata mtu yoyote amekuelewa sanaa God bless you Asante Sana, umefumbua vichwa vya watu
Gwajima msukuma mungu yupamoja nanyi bigap sana nawakaubali balaa teteeni nchi kwajili yaleo nakesho
Gwajima Safi tutamkumbuka sanamagu
Oyaaa weeeee GWAJI BOY NOMA SANA HII WASIPOELEWA WATAKUWA HAWAPO SAWA KIAKILI
Kweli
Umeonae yupo sahihi kabisa nakupenda gwajima wengine wote ☹️xxxxx
Aminaaa mbunge wetu Ngwajim kwa ufafanuz nzuri kubusu chanjo ya coronavirus, Mama Samia upoooo kaz kwako.
Kubusu chanjo
@@abellutonja4589 😂😂😂😂
Safii gwajma na kukubari cn mzee komaaa cna mzarendo wa kwer sio kila k2 wazungu🇹🇿♥️♥️💪💪💪💪💪💪💪💪💪⛪👏
Ubarikiwe Sana gwajima mungu akutazame
Safi sana taifa letu tunaitaji watu kama nyie ambao mnalipenda taifa lenu na wangene safi sana mungu akupe maisha malefu.
Asante mweshimiwa tunakumbuka mbali maana tunatazama leo mbele hatujui Kuna nn Bora tangawizi ziendelee kuzalishwa kuliko chanjo hiyo
Tangawizi na ndimu my. Na miti shamba kwa ujumla. Mungu ataleta neema yake.
Namuona JPM ndani ya Gwajima .......Je nibora viongozi wapewe vibari vya kwenda ulaya halafu watanzania walio wengi waangamie?
Kabisa
Ubarikiwe gwajima big up sana
Huyu ndiye m'mbunge mwenye wana inci wana itaji wakati kamahuu mungu akubariki na akuongezeye hekima namaisha marefu ili uendeleye kutetea wana ici mungu akubariki nakupenda sana
Magufuli alikataa awo wanaosema tuchanjwe wachwanjwe wenyewe kasema mengi jpm sitishwi Wala sitishiki
Thanks gwajima tuliihi kwakmtegemea Mungu tukaishinda corona now wanataka tuishi kizungu kumaliza kizaz cha mwafrika
Asante sana baba Mungu wa mbinguni akubariki sana
Wabunge wote wangekuwa km wewe TZ tusingefika hapa. Hongera gwajima Mungu aendelee kuwapa maarifa na hekima wewe na msukuma.
Huyu Archbishop bishop namkubali sana anajua vitu sana I appreciate the GODs service Reverend.
Utalipwa na mungu kwa ujitoleaj wako ktk kucmamia Hali na afya za watanzania
nimetetemeka sn.
tutakukumbuka daima mh Magu. Gwajima upo sahihi
Ehhhh safiii master wape ukweli ao mambanga
Mungu akulinde Gwaj boy usirudi nyuma ktk kuutetea umma wa watanzania nakukubali sana
Mungu akusimamie, baba akulinde apigane na kila atae kua kinyume na mapenz ya Mungu kwako Gwajima
Yes brother you are so intelligent as a Tanzanian's we need a bright people like you
Ukosawa baba
Ukigombea urais wallah kura yangu yakwanz
Aisee Gwajima nimekubali nimekubali, Mungu azidi kukuongoza na kukubariki pamoja na viongozi wetu wote
Big up salute mheshimiwa ngwajima umewaacha hoi walio na mtazamo wa papo kwa papo nakuaminia zidi kutukomboa
Unaakili sana wewe mungu akulinde na hii sauti yako iingie kwa kila sikio la mtanzania amen
Gwajima uko sawa sana. Wacha wakuchukie lakini sema, sema tu. Hongera sana. Semeni msiogope mpaka kule Ulaya wajue Watanzania sio mazuzu tena wakuburutwa.
One of the best speech from Gwajima.
MUNGU amekupeleka huko Kwa kusudi maalumu endelea kumuomba
Asante Bishop Gwajima ,Wabunge wanatakiwa kuwa na upeo Mkubwa , Hiyo Chanjo tusikimbilie
Gwajima wewe sio mbunge wewe unafaa kuwa waziri au rais kabisa
Absolutely
@@antoniakatongo4024 to the office today on a few m
Mbunge Gwajima ana hekima na busara. Barikiwa.
Allah kupe hidaya gwajima umeamuakusema unachokijuwa kwaajili ya uhai wa unaowajua na usiowajua hongera
washakula pesa hao uweleweki tena
gwajimA mungu atusimamie
Nileteeni ngwajimaaa nileteeni gwajimaaa nileteeni ngwajimaaaaah
Huyu jamaa ni profesor au ? I cyan see JPM devine in him. Blessed Gwaj bwoy😂😂😂
Sumu hii. Hamna kitu
Huyo Jamaaa Ana pHD
@@jumannechapembe8280 but it's rubbish in rhetoric tone
Hahhaha noma prfs
Ana phd uyo
Dah aisee nimeelewa vyakutosha walah mimi sintokubali kuchanjwa hata tone kamweee asante sana gwajima kwa kutufumbua macho.
Gwajima is alwayz giving remarkable and memorable contribution
Magufuli ni mwanaume na nusu!!!! Natamani roho yake tena!!! Mwanaume anaethubutu!!!! Anaeamini anachoamini sio anachosikia!!! Gwajima ni nusu ya roho ya magu !!! Napata amani
Akili kubwa Sana Mungu atunusuruuu
Wewe kiumbe hapo bungeni Mungu akulinde sana sana na tunakushukuru kwa kuwatetea wananchi wakoo maadui mahasidi wakae mbali nawe kila atakaekufikiria kukifanyia vibaya afe huko huko kabla hajafika kwako
Daaaaa.... uko vizur, God blees you
Gwajima Mungu amekupeleka bungeni kwa makusudi maalum. Mungu akurinde baba
Waaaoh🤷👍well done jembe letu nimekupenda Sana na mawazo yako
Pigaa💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪💪 funguka viongozi msikilize gawajima oja yke ya kizarendo cn🇹🇿 tumunge mkono gwajima anaongea kisayansi zaidi ya wengine wanavyo chukulia mungu akurinde kiongozi gwajma ubalikiwe cnaaa 2kop1💪💪💪💪💪💪💪💪💪⛪👏👏👏
Uko sawa kbs pmj San gwajim
Ongera sana muheshimiwa ngwanjima.
Nimeelewa Sana dkt gwajima, serikali iwe making mno kwa watu wengi, ili tuwe vizuri kwa generation ijayo,
Kwa jina la yesu Kamata mlima wautawala 2025 iongoze tanzania naiwe hivyo kwa jina la yesu
Safiii nimekupenda kuanziaa Leo adi mileleee
Mungu akulinde baba uzidi kututetea
mungu baba naomba mbunge kama huyu kwa mbunge la kenya🇰🇪🇰🇪
Gwaji boy we lijamaaaa ni fireeeee
Sijawahi kufikiria kama gwajima anaakili kuliko mbowe na tundulisu;hakika nimekupenda bure gwajimaboy
God bless you gwajima..
This guy is very smart and brave. Bigup gwajima.
Vizuri sana mweshimiwa na mchungaji
Hongera sana gwajima (mb)
Gwajima Mungu aendekee kukupa ujasili ndiyo maana Magu alikuona safi Sana..
Daah Asante san gwaj boy hakika nimetoshek🙏🙏🙏🙏
Safi sana ongeya tu watu waelewe
Safi Sana kuwa na wabunge wasomi kama hawa huyu ni tunu ❤️❤️❤️
Saf Sana hii nimeipenda
nakukubali sana katika hili mhshimwa, tuko pamoja
Hongera sana gwajima kwa kutufungua macho watanzania. Wewe ni jembe la watanzania.
Gwaji boy umeeleweka sana serikali Kazi kwenu ujumbe kuntu huoo.
Mungu akubariki na aendelee kukutetea maana umetufungua macho watanzania, hatutakiwi kuishi kizembe kizembe pasipokuwa na ufahamu.
Kwer kabisa gwajima tena yani ww Mungu akupe miaka ming
Mibunge mingine imekaa tu bungeni kama.miZigo hata haitutetei haioni kama watanzania tunaenda kuteketezwa baba gwajima ww hufai kuwa mbunge tu uwezo wako. Unafaa uwe laisi
Hongera gwajima
Maarifa haya hayawezi kuja kwa kila mtu, serikali kubalini mchango huu tutulie, wazungu si watu wema. Niko tayari kutokwenda ulaya lakini afya kwanza
Yiyi ndo nnatakiwa kuwa viongoz
excellent excellent Mr. Gwajima. mi nakuombea uje kuwa next president. 😄😄😃 maana mambo tunasukumiziwa n wamagaribi ni Habari sana 🤥
Huyu jamaa anaakili sana watu kama hawa ni tunu kwa taifa
Saaana
Yes, ujasili unahitajika maamuzi sahihi ,na wakati sahihi .
Gwajima brilliant 👏
Sana mkuu
Wakina jose wanakuwaga na akili san
Excellent ideas
thankyou bishop
God bless you Bishop
Mweshimiwa umetoa elimu sahihi kabisa naunga mkono hoja yako 10000
Hapa ndo ulikuwa gwajima kweli
Asante Gwajimaaa,,unakili Kama zaAnko Magu jmn😭😭
Acha nikusikilize huku nasoma commey hongera sana kiongozi