Mungu azidi Kukuficha,una hekima mno,ndio waimbaji au mwenye huduma inayotokana na Mungu lazima awe na vita mno.Mungu akufunike na ngao yake hata yakija hayo mabaya hayatakuweza/kufika.
Hakuna mtu amekamilika hata kama ikitokea ni kweli hatutashangaa kwa sababu bro pale ni binadamu kikubwa ni kuendelea kumuomba Mungu na kukimbia kila aina ya vishawishi aendelee kublock wadada wasiojielewa.
Jaman kiukweli huyu kaka ananibariki sana nna mdogo wangu na mwanangu wa miaka 3 woiii aiseee wanapenda sana kuimba nyinbo zake tena ile ya MAJESHI YA MALAIKA YANAPAZA SAUTI WAKISEMA MTAKATIFU NI BWANA WE LOVE YOU SO MUCH MTUMISHI WA BWANA ZORAVO
@@chulelubella2819NASEMAJEEEE WEWE NA SHETANI WAKO ANAEKUTUMIA KUKASHIFU WATU WA MUNGU BADO HUJASEMA NA UTASEMA YAANI MPAAAKA USEMEEE😂😂😂 Yaani unaingiwa hasira adi unatukana huoni aibu babu 😂😂😂🤪🤪🤪
Huwa napenda sana nyimbo za huyu kaka wa MUNGU kuna nguvu kwenye nyimbo zake wanawake tuache kuwachafua watoto wawanawake wenzetu kama kuolewa tutaolewa kwa kudra za mwenyezi Mungu tu na sio bla bla
He is a man that has chosen for a certain work that has to be done from the Heaven to The world 🌎. May the Lord continue to protect him and give him strength 🙏
Bwana huyu pia ni mwanadamu ni kijana mzuri lazima atasumbuliwa sana na wadada, ni kumuomba Mungu amvushe salama ktk hilo, na hekima busara itumike, Kazi anayofanya ni kubwa na ina vita kubwa shetani yupo kazini muda woote, ni maombi yetu Mungu aliyekupa huduma hii akutetee na kukuinua zaidi ili kusudi uliloitwa kwalo lifanikiwe🙏
Mungu anaangalia ndani ya moyo wako umebeba niniiii.... Wangapi wanapona moyo juu ya ujumbe wa uimbaji wako.. BIG UP mtumishi... Na barikiwa sna na nyimbbo zangu.. Weee stail yako ya nywele haimfanyi mtu asipokeee ujumbe🙏
@@sarahsesa8851uliwashika unajua kwa kujikuta mtakatifu sana huku ukizusha vitu . Imagine kwende kuzimu kisa uzushi😂 uzushi tu dah unachomwa pamoja na Osama 😂😂 Acha umbea lipa maden ya watu punguza stress
Brooh Zoravo tusamehe sisi wadadaa.. Nadhan ni mihemko tu,na upande mwingine shetani anatumia watu kuangusha watu..ila most of us tunakukubalii tuu😢😢 May THE MERCY OF GOD BE UPON US😢🙇...
@@mwakipiano4568 Ni kweli yaniii..wadada Mungu aturehemu tuu,coz wengine we fancy him as our brother 😔ila wengine wanampa shetani nafasi awatumiee.. Hili swala limenigusa sanaa,coz naelewa hii vita inakuwaje kwa Mtumish wa MUNGU ( haswa MBEBA MAONO WA UFALME WA MUNGU)😢
Ukiongozwa na roho wala hauko chini ya sheria...msipende kujaji watumishi MUNGU,sisi ni mwili mmoja mguu hauwezi ng'oa jicho kisa umejikwaa be careful sana😂😂😂😂
Am just disappointed with Zoravo..it's either black or white.. He ought to address his status with urgency ,as a minister that matters.Many peopleare looking up to him..the devil shall us that to destroy him if he won't move with speed..all the best as he is praying for a life partner..
I like that quote "JUSTIFICATION IS FOR THE WEAK "💯💯💯💯
Kijana kweli Mungu aku baliki sana kwa majibu ya ki utu uzima
I am from Congo muandishi wa studa TV Line média
Wooooow!!! Nimependa vile Zolavo anajibu, Mungu akutunze
Umebarikiwa sana mtumishi wa Mungu ZORAVO, songa mbele katika BWANA💪
The way zoravo is responding to the questions, is just wisdom.Endelea kutumikia mungu na ubarkiwe
Zoravo is so wise.... May God's Favor, Grace and prosperous be upon your ministry 🎉🥳
Be blessed wherever you are.
my dear brother being protected by the precious blood of Jesus Christ always
Mungu azidi Kukuficha,una hekima mno,ndio waimbaji au mwenye huduma inayotokana na Mungu lazima awe na vita mno.Mungu akufunike na ngao yake hata yakija hayo mabaya hayatakuweza/kufika.
I love the way anajieleza na song zake uubariki moyo wangu ❤🎉
Hakuna mtu amekamilika hata kama ikitokea ni kweli hatutashangaa kwa sababu bro pale ni binadamu kikubwa ni kuendelea kumuomba Mungu na kukimbia kila aina ya vishawishi aendelee kublock wadada wasiojielewa.
Unaakiri sana ww malack
Jaman kiukweli huyu kaka ananibariki sana nna mdogo wangu na mwanangu wa miaka 3 woiii aiseee wanapenda sana kuimba nyinbo zake tena ile ya MAJESHI YA MALAIKA YANAPAZA SAUTI WAKISEMA MTAKATIFU NI BWANA
WE LOVE YOU SO MUCH MTUMISHI WA BWANA ZORAVO
Uko vizuri kihuduna ila Biblia inasema usinyoe denge , pembe za vichwani,Wala msihalibu pembe za ndevu zenu.mambo ya walawi 19;27
We endelea kuelezea kunyoa nywele sahau utakatifu kitakupata kitu😂
Sheria haikuweza kumuokoa mwanadamu...neema ya Mungu inatukamilisha
Ukiongozwa na roho wala hauko chini ya sheria😂
KUNAE HEKIMA IKO NDANI YA ZORAVO ADI HUWA NAOGOPA UKUU WA MUNGU NDANI YAKE 🙇🏾♂️🙇🏾♂️🙇🏾♂️🤍🤍🤍
Sana Zoravo amejawa na Roho ya MUNGU ndani yake
Bwana akutendee kadri utakavyo
🙌🏾
Acheni ujinga na kuwa na akili ndogo ukuu wa Mungu gani alionao nao huyu fala
@@chulelubella2819NASEMAJEEEE WEWE NA SHETANI WAKO ANAEKUTUMIA KUKASHIFU WATU WA MUNGU BADO HUJASEMA NA UTASEMA YAANI MPAAAKA USEMEEE😂😂😂 Yaani unaingiwa hasira adi unatukana huoni aibu babu 😂😂😂🤪🤪🤪
Huwa napenda sana nyimbo za huyu kaka wa MUNGU kuna nguvu kwenye nyimbo zake wanawake tuache kuwachafua watoto wawanawake wenzetu kama kuolewa tutaolewa kwa kudra za mwenyezi Mungu tu na sio bla bla
Me nakupenda
Hekima Hekima yako ni kuuu ndani yako, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu zaidi🙌
He is a man that has chosen for a certain work that has to be done from the Heaven to The world 🌎. May the Lord continue to protect him and give him strength 🙏
🙏
Bro nawez pata no yako?
Ladies behave yourself haki...
Anyway am always blessed by his ministry
Bwana huyu pia ni mwanadamu ni kijana mzuri lazima atasumbuliwa sana na wadada, ni kumuomba Mungu amvushe salama ktk hilo, na hekima busara itumike, Kazi anayofanya ni kubwa na ina vita kubwa shetani yupo kazini muda woote, ni maombi yetu Mungu aliyekupa huduma hii akutetee na kukuinua zaidi ili kusudi uliloitwa kwalo lifanikiwe🙏
Its better you get married all those fights will cease
Nabarikiwa mno na uimbaji wake,huwa wimbo ameniona naupiga kila weekend nikiwa home Kwangu siku nzima Yani siuchoki
Ila bro ukioa unakuwa umemaliza hizo kesi😂,,Oa bhana 😂😂😂 au unapenda hizo gossips?
Be blessed mtumishi umejibu vizuri kwa hekima usipungukiwe na chochote kwa jina la Yesu 🙏
Nakupenda Sana mtumishi wa Mungu zoravo maisha malefu my brother
Nakupenda Sana mtumishi wa Mungu zoravo maisha malefu my brother
Mbona mesg maelezo mingi...
Vimeumana😂
Wambieni backup wenu waache kuvaa suruali
Keep on humble yourself Bro,Mungu ataendelea kukuinua,Pray and pray and pray and keeping on praying.
Kizazi hiki nishidaa tupu.
Nikiwa Burundi huwana msikilizasana kama ana Rejesha
Wanafunzi wa Cuba Masters in mass communication and confusion tushajaza jibu. 😂😂😂 Presenter chukua maua 🎉🎉🎉😂
BE BLESSED BY JESUS
Napenda nyimbo zako yani ninazo Kama Zote .nikutue tu moyo endelea kunyenyeke Sana na hekima ya kiMUNGU iwe juu yako
Anaitwa zovoo😃
Zoravo be blessed
Nakupenda Sana zoravo kaka
Wisdom in another level,,God bless u ad protect u frm all evil
Amen 🙏🙏
Mungu anaangalia ndani ya moyo wako umebeba niniiii.... Wangapi wanapona moyo juu ya ujumbe wa uimbaji wako.. BIG UP mtumishi... Na barikiwa sna na nyimbbo zangu.. Weee stail yako ya nywele haimfanyi mtu asipokeee ujumbe🙏
Muombe mungu akuvushe katika hilii
Nimekaa kimya
This is very humbling ..may GODS GRACE be sufficient upon all his endevours
please Man of God you have to marry ,you're mirror that people look after they dress up to get out .come on...
Bado ujaokoka hakuna mahusiano ya mwenza wamaisha bila ndoa jibu liko pale pale huu ni uzinzi 😅
😂😂😂😂
@@happymaneno135 😜😜😜
Una kosea sanaa
@@KingSolomon-jo3dh nimekosea nin hapo huu unaitwa uzinzi mwanaume na mwanamke wakikutana kiwili kabla ya ndoa hao niwazinzi
@@sarahsesa8851uliwashika unajua kwa kujikuta mtakatifu sana huku ukizusha vitu . Imagine kwende kuzimu kisa uzushi😂 uzushi tu dah unachomwa pamoja na Osama 😂😂 Acha umbea lipa maden ya watu punguza stress
Mungu akutunze na upate kile uombacho
Man of God. Blessed minister Zolavo
Wisdom upon Man of God
Your intelligent brother
Zoravo imba lakin pia uwe unachana nywere kaka chana sana
Mi nina mashaka kwa nini ajawa straight kuhusu mchumba.
Never justify yourself zoravo.
Mr Big Brain zovoo
The wisdom 🔥🔥🔥❤️ God bless you
Kwel umejbu kama mtumishi wa Mungu ume present ulichobeba sio wengne watumish kanisan ila wakhojiwa wanjibu jibu tu utafkri anahojiiwa konde
Mwamba ananda huyo kinoma na anaimba kiroho❤❤❤❤
Waooooo ubarikiwe sana majibu yako ni tofauti nawengine endelea kupondeka
Mungu azidi kukutumia ili vijana tujifunze
Shucxy umeganda au 😂😂😂
God bless you brother
Endelea mbeleee,, huduma Yako njema,,
Kijana huyu ni mtumishi wamungu kbs
Hey
MFUMO..
Ribarikiwe tumbo lilokuzaa
I love your work #Zoravooo
A wisely minister ❤🎉
Huyo ni msanii aneimba ujumbe wa gosple ila sizani kama uwepo wa mungu
Uwepo wa Mungu unapimwaje kwani?
Sawa yesu msaidizi
Ala!🤷
@@angellwehela4303😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@@angellwehela4303 😂😂😂
Mungu azidi kukutunza minister Zoravo I'm always blessed by your ministry
Brooh Zoravo tusamehe sisi wadadaa..
Nadhan ni mihemko tu,na upande mwingine shetani anatumia watu kuangusha watu..ila most of us tunakukubalii tuu😢😢
May THE MERCY OF GOD BE UPON US😢🙇...
Nimepanda umeongea Kwa hisia sana
@@mwakipiano4568 Ni kweli yaniii..wadada Mungu aturehemu tuu,coz wengine we fancy him as our brother 😔ila wengine wanampa shetani nafasi awatumiee..
Hili swala limenigusa sanaa,coz naelewa hii vita inakuwaje kwa Mtumish wa MUNGU ( haswa MBEBA MAONO WA UFALME WA MUNGU)😢
Waseja wakasema iih!😂😂😂
Ila Mimi sipendi alivyo shave nywele duuuuh hata Kama Mungu anamtumia Ila badilisha muonekano wako ili vijana wengne wajifunze
Makubwa, mwengine atasema Mimi sipendi anavyovaa
Ukiongozwa na roho wala hauko chini ya sheria...msipende kujaji watumishi MUNGU,sisi ni mwili mmoja mguu hauwezi ng'oa jicho kisa umejikwaa be careful sana😂😂😂😂
@@aronjosephndaki6563umenena
Amen for the glory of our God... Jus a soft advice bro
ili akufurahishe😂😂 Acha ufarisayo hizo nywele hazina shida wew mbambana na roho yako iende mbingun
Son Of the King
✍️✍️
The chosen one blessing 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hakikaaaa
Nyoa nywele vizuri kama mtumishi wa Mungu
Nyoa zako uwe mfano ufanye interview uwe maarufu ajifunze kwako
Watumishi wana nyoa aje
I understand you bro,
Kabisa kaka
barikiwe mno kaka
Jamani nahitaji namba za huyu mtangazaji
0788581367
Am just disappointed with Zoravo..it's either black or white.. He ought to address his status with urgency ,as a minister that matters.Many peopleare looking up to him..the devil shall us that to destroy him if he won't move with speed..all the best as he is praying for a life partner..
It's private life. why does he need to publicly address it?
God bless you my dear brother
Yesu azidi kumtunza🎉
Be honest bro already you have shown a negative attitude regarding that simple question means you have sooo many girls
Vizuriiii Block kabisa
Ila zoravo jamani mbona utukule bloku😅