Samahanini jamani...Sasa Zanzibar hakuna Walimu walokuwa wanazo Qualifications kama miyaka ilopita. Private Schools Mjini Waalimu hawajuwi hata Lugha ya Kingereza (English) na wanasomesha kuharibu msingi wa Wanafunzi. Mlohusika kuweni makini sana na Waalimu. Walokuwa siyo Walimu...
Uyo bibi (rossana)matatizo sana na wako hapo kwakupiga hela tu,wanakushana pesa nyingi sana kutoka kwawafadhili kwa ajili ya skuli lakini zote zinaishia mikononi mwao......
Tatizo walimu wenu hawajuwi English-speaking. Kusoma wala kuandika . Wasomi wa zanzibar wana elimu ya kukrem to au kuhifaz masom lakini kuchanganuwa hawajuwi.
Samahanini jamani...Sasa Zanzibar hakuna Walimu walokuwa wanazo Qualifications kama miyaka ilopita. Private Schools Mjini Waalimu hawajuwi hata Lugha ya Kingereza (English) na wanasomesha kuharibu msingi wa Wanafunzi. Mlohusika kuweni makini sana na Waalimu. Walokuwa siyo Walimu...
Tunataka mamlaka kamili zanzibar tunataka Mashekhe wetu
Inshallah watatoka
@@mahmoudaziz4717 in sha Allah kila lenye mwanzo linamwisho n msimamo wetu pale pale
Uyo bibi (rossana)matatizo sana na wako hapo kwakupiga hela tu,wanakushana pesa nyingi sana kutoka kwawafadhili kwa ajili ya skuli lakini zote zinaishia mikononi mwao......
Mkuu wa mkoa nakukubali unachapa kaz
Tatizo walimu wenu hawajuwi English-speaking. Kusoma wala kuandika . Wasomi wa zanzibar wana elimu ya kukrem to au kuhifaz masom lakini kuchanganuwa hawajuwi.
Umenena mkuu 👏.