TAMKO la Rais Jakaya Kikwete Kuhusu Vurugu Za MTWARA, MEI 22, 2013

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 29

  • @geofreymhando3702
    @geofreymhando3702 4 ปีที่แล้ว +11

    Nakiona Kichwa Mzee Magu Enzi Zake.

  • @magesamatiku7364
    @magesamatiku7364 4 ปีที่แล้ว +19

    Mzee wa Msoga tutakukumbuka kwa mengi ila umeondoka madarakani umeacha jembe JPM

  • @alexiganja7938
    @alexiganja7938 4 ปีที่แล้ว +3

    Kwel kabsa mzee

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn6851 4 ปีที่แล้ว +10

    Nimekiona Chuma kipo pembeni hapo. 😁

  • @abunwasihuruma3207
    @abunwasihuruma3207 4 ปีที่แล้ว +3

    Mzee pumzika uliko mungu akuongezee siku

  • @ndundahr.6367
    @ndundahr.6367 4 ปีที่แล้ว +7

    Mzee wa ukiambiwa changanya za kwako, mawazo hayapigwi rungu, tumezimis busara zako

  • @SinaniMvita-m7t
    @SinaniMvita-m7t 6 วันที่ผ่านมา

    Mwizi mkubwa ww.

  • @adammillanzi6087
    @adammillanzi6087 4 ปีที่แล้ว +3

    Tanzania ni wamoja, tusibaguane jamani. Kikwete tutakukumbuka kwa maneno yako ya busara.

  • @ELLYSTVONLINE
    @ELLYSTVONLINE 4 ปีที่แล้ว +2

    Akili kubwa

  • @stevenrobert6584
    @stevenrobert6584 4 ปีที่แล้ว +2

    Mhhh wa ukweli

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 4 ปีที่แล้ว

    Nimekumic Sana

  • @husseinkatuga414
    @husseinkatuga414 4 ปีที่แล้ว

    Good mzee

  • @mahupaabdul1455
    @mahupaabdul1455 3 ปีที่แล้ว +2

    Napatwa majonzi sana nikiickia kauli hii. Wawakilishi hawakuelewa dhamira ya wana Mtwara. Wana Mtwara walikua wanataka gesi ichakatwe Mtwara ili viwanda vinavyotumia makapi yatokanayo na gesi kutengeneza plastic na vinginevyo vijengwe Mtwara. Sangara wa Mwanza wanasindikwa mwanza, Zabibu ya Dodoma inatengenezwa vinywaji Dodoma, Madima yaliko uchenjuaji unafanyika huko huko, na nakadhalika. Shida ilikua kwa nn gesi isichakatwe Mtwara?.

  • @adammillanzi6087
    @adammillanzi6087 4 ปีที่แล้ว

    Tanzania ni moja, watuwao ni wamoja, tusianze kubaguana jamani.

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye5558 4 ปีที่แล้ว +1

    Hoja haipigwi rungu

  • @kiharamjema2393
    @kiharamjema2393 4 ปีที่แล้ว

    Millardayo nitumieni namba zenu za mawasiliano.

  • @patrickmadiwa3845
    @patrickmadiwa3845 4 ปีที่แล้ว

    Duuh mzee

  • @eliasmitoga3831
    @eliasmitoga3831 3 ปีที่แล้ว

    iyi nch naishangaa reo mzuri wakati yupo madarakani mnamponda

  • @leonardbundala
    @leonardbundala ปีที่แล้ว

    Tatizo mikataba ya hovyo

  • @fulgencejoachimpamojababa6612
    @fulgencejoachimpamojababa6612 4 ปีที่แล้ว +1

    Hizi hotoba tumezimis cana

  • @jacklinegabriel8093
    @jacklinegabriel8093 2 ปีที่แล้ว

    Huyu hakua Rais Bali alikua mpiga madili

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 4 ปีที่แล้ว

    Waandamane na sasa waone,😳😲😳😲😳

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 4 ปีที่แล้ว +1

    Sasa ni ubabe tu

    • @bashiraally6459
      @bashiraally6459 4 ปีที่แล้ว

      Ulikula batasa sana mzeee ,MAGUFULI JEMBE LAKAZI.

    • @waynealex2491
      @waynealex2491 4 ปีที่แล้ว

      @@bashiraally6459 si akalime huko chato kama jembe

    • @mariammussa2540
      @mariammussa2540 4 ปีที่แล้ว

      @@@waynealex2491 Akili huna na wewe lol

  • @abunwasihuruma3207
    @abunwasihuruma3207 4 ปีที่แล้ว +2

    Mzee pumzika uliko mungu akuongezee siku