Kiukweli Hii combination inatakiwa iwe hivi nakumbuka mbali enzi wapo WCB now wapo wenyewe na ngoma zipo za moto hapa mafundi wamekutana kama unawakubali gonga likes za kutosha...🎉🎉🎉
American🇺🇸,Nigerians🇳🇬,South Africans 🇿🇦, Tanzanians🇹🇿, burundians🇧🇮, Rwandans 🇷🇼,kenyans🇰🇪,ugandans🇺🇬, Zimbabweans🇿🇼, Canada🇨🇦, ghananians🇬🇭,cameroonians🇨🇲, togonians🇹🇬, Congolese🇨🇩, my wicked landlord and I approve HARMONIZE xRAYVANNY this is a hit
Kuwa pamoja leo ni mipango ya allah!!! On va pas faire ce plaisir à nos ennemis 🖐️🖐️ futurs légendes en devenir Big up les gars 💪💪Une chanson qui donne autant de frissons depuis 🇵🇾
Angel Nyigu never disappoint us. Very attractive woman and talented, All Tanzanian we appreciate you 🎉Good job. KondeBoy for Everybody. Let us go to next Level yaaan Duniani kabisaaaa. Likes zangu please 😮
Love from burundi.ngila kali,vidéo kali.chuiiii n'a tembo Ni moto wakuotea mbali bwana. Kama Niko sahihi ginga liké zako hapa.🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Nipeni hizo like❤
Every artist's dream is to have friends who you will always come back together 💯💯💪💪💪. Congratulations to my brothers @harmonize and Rayvanny for putting your differences aside for greater good 👍. Very encouraging 🎉🎉
@@Gstonner254 wewe sitaki mjadala , mm nasifia nchi yangu, ww sifia nchi yako, ww wanijua mm?? Mm nishatembea sana Kenya hunambii kitu, acha shobo!! Ww ndo hujaja kwetu,
We love to see this Reunion we want more hits Harmonize na Ray ❤❤❤❤. Muendelee na upendo muepuke beef za kischana . 🎉🎉🎉🎉 Bwana asifiwe , Ray na Harmonize wamekuwa marafiki. Sai imebaki Dai na Harmonize warudishe uhusiano
Kiukweli Hii combination inatakiwa iwe hivi nakumbuka mbali enzi wapo WCB now wapo wenyewe na ngoma zipo za moto hapa mafundi wamekutana kama unawakubali gonga likes za kutosha...🎉🎉🎉
Soon utawaona wakiwa watatu NYIGU haendi popote Diamond asiposema
Angalieni bwana huyu mkali kuliko wasafi👇👇👇
mzimath-cam.com/video/X9kyuqsmoV4/w-d-xo.htmlsi=nIm5J7i41i6pQ9fH
🎉
Kenyans gather here😊
I love how you acknowledge God💯
Team konde hapaaaa ❤❤💛💛💛💚💛💛
Kama umekubaki kwamba konde ni mkali sana ni nipe like zangu kutoka Bujumbura tunakubali sana uku Burundi 🇧🇮🎉❤
Wa Congo 🇨🇩 fans Harmonize 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Nooooooomaaaaah yaani 🔥🔥🔥🔥🔥 showing love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nipeni likes za Chui na Tembo jamani
Tazama huyu msanii anyeshinda wasanii wote east africath-cam.com/video/X9kyuqsmoV4/w-d-xo.htmlsi=nIm5J7i41i6pQ9fH
🔥🔥🔥🔥 chui na tembo nyie ndy mlioshindikana
Walio shindikana kweli ndo hawa
Tembo never disappoint🐘
Kitu mwakemwake 🔥 from kenya 🇰🇪 need ya likes,number one fan of bongo music
Wanangu wa chui🐅na tembo🐘 kwahiyo sensema nikwet nipeni like nying❤🇧🇮💯🇨🇦
So fine song
❤❤
Fc
❤❤❤
Sensema
Director kauwa, ma dancers wame elewa assignment, Angle nyigu katisha sana big up guys, this is taking Africa next level again💥💥💥
Rayvanny saa hii fanya mediation Kati ya temboo na Simba, warudi kama kitambooo
Jeshi akiua utajua tu. Utafkiri nyimbo kaiimba mwenyewe. Dah!. Jeshi.. Bombo claaaat!.
Tokea pindi wana vita vya wanawake, naelewaga kuwa ni wazi Rayvany anamkubali Harmonize..... i can see the happiness in his face
Kenyans confirmed that harmonize and rayvanny are the beast of Amapiano🇰🇪🇹🇿
Total Respect 🙌🙌 kwa Vany boy na Konde Boy... Hii week inaendaa ya 3 Sasa ngoma Badoo Ipoo Trading... No 1.....kwanii nyiee Hamuogopiii
Tushaogopa na komasava , sensema 2 month 4.9million views , komasava 4 days 4 million views
DAMN !! I AM A NIGERIAN DJ AND I AM SO IMPRESSED WITH THIS SONG AND THE NEXT LEVEL PRODUCTION OF THIS AMAZING BANGER !!
Moto zaidi ya moto...wapi comment za V vannyboy❤
Ngoma kali sana sensema ni wimbo Wa mwaka huo🇨🇩🇨🇩
Nafurahi nikiona watoto wa Simba,,,wamekutana tena kujuliana Hali...any kenyan here, show love ❤❤❤
😂
,😂😂😂😂@@ElizabethMtweve-nb8xh
Kali sana
Hii nayo lazima ingepua trending number 1 na lazima ingie top 100 noma sana
mimi wa kwanza toka. Congo DRC 🇨🇩🙏💋. nipeni like zanguu kama unaamini nyimbo itakuwa hit songs 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Twende tu Kaka 🎉
American🇺🇸,Nigerians🇳🇬,South Africans 🇿🇦, Tanzanians🇹🇿, burundians🇧🇮, Rwandans 🇷🇼,kenyans🇰🇪,ugandans🇺🇬, Zimbabweans🇿🇼, Canada🇨🇦, ghananians🇬🇭,cameroonians🇨🇲, togonians🇹🇬, Congolese🇨🇩, my wicked landlord and I approve HARMONIZE xRAYVANNY this is a hit
Togolese
And Mozambique
Present family 🙋♀️🙋♀️🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬❤ 😊
She angolanos 🇦🇴 too
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
je valide depuis la RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
From Kenya Wapi likes za bongo Tz ❤
🎉😢😢
🎉😢😢
Wa Congo 🇨🇩 fans harmonize 🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥🔥
🇨🇩 samaani wa Tanzania, mpelekeni Harmonize hospitalini, kikoozi chake kina kuwa kia malali, ana umwa. sikilizeni vizuri iyo fasi
😂😂😂😀Wewe Bamutu bakongo unatuchezea Wabongo 🇹🇿
Aki Wakenya hawananga wivu...we promote Tanzanian musicians alot 🎉🎉Next level music × Konde Boy music🔥🔥We love our neighbours alot ❤️❤️
Mambo vp mrembo mzuri
❤💪👊🙌🙌🔥🔥🔥🌏
@@AbdirazaqNoorHello 😍😍
Head ❤🎉🎉
Wakenya🇰🇪 mko wapi muone bonge moja la collabo🔥🇰🇪🇹🇿
Bhu
Kuwa pamoja leo ni mipango ya allah!!! On va pas faire ce plaisir à nos ennemis 🖐️🖐️ futurs légendes en devenir Big up les gars 💪💪Une chanson qui donne autant de frissons depuis 🇵🇾
Rwanda likes here 🇷🇼🇷🇼
Mon Star préféré Harmonize
Angel Nyigu never disappoint us. Very attractive woman and talented, All Tanzanian we appreciate you 🎉Good job. KondeBoy for Everybody. Let us go to next Level yaaan Duniani kabisaaaa. Likes zangu please 😮
The best orupiano in East Africa ☝️💯💯
Love from burundi.ngila kali,vidéo kali.chuiiii n'a tembo
Ni moto wakuotea mbali bwana.
Kama Niko sahihi ginga liké zako hapa.🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nipeni hizo like❤
Tanzania ndio Africa walai. Mie mkenya nasema❤
Wa kwanza leoooo like kwa chuiii na konde jaman zifike hata 50 tu
Hit song nimefurah hii collabo mabifu hayana maana
Punguza makasiriko😂😂
@@abdulijuma3969 Ive been waiting for this colab for years. Acha vijana wachape kazi
Kama dj nimeongeza sauti....wapi likes za Chui na Konde gang
Nakutambua 🔥🔥🔥
Chui
@@baddy_Wave90 asante
@@baddy_Wave90 thank you
My two most favourite musicians! Mad love from 254❤❤❤ 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hata iweje mondi amefanya jitihada kuleta hawa vijana mjini💥💥, bonge ya jiwe hili aisee
Oya wanangu kutoka mjengon #kondegang like ziwe nyingi hapo tumeuaaaa sanaaa
Mmeuwa sana wanangu 🎉🎉🎉🎉
Chui kama chui kazi nzury sana kama
Zambia 🇿🇲 is feeling the jam ❤
Safi kabisa tembo na chui naona mmeingia mbugani sasa lkn mcumizane pls
Hila maneno ya Harmonize hime tisha sana kila hambaye hame hirudiA mara mbili naka likes hapa😂❤😊
Nilikuwa nangoja sana mfanyie pamoja tena...kali hiyo
Senzemaaa
Enyewe bongo flavour Ni history, Dope jam though 🧑🏿🦯🧑🏿🦯🧑🏿🦯
From Kenya......jameni mnipee like ya konde boy tembo❤❤❤❤❤
Harmonise🔥🔥🔥jomba kauaa
Chuiii on 🔥 🔥🔥 song of the year
Wakenya tupo ndani tunapenda kitu quality 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ii ni kali our music industry hawapendi ku invest
Every artist's dream is to have friends who you will always come back together 💯💯💪💪💪.
Congratulations to my brothers @harmonize and Rayvanny for putting your differences aside for greater good 👍.
Very encouraging 🎉🎉
Ila wabongo tuko mbaliii 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥
Zuchu
Tembea kenya
@@SadalaHappy-q5q khaaa we nani zuchu
@@Gstonner254 wewe sitaki mjadala , mm nasifia nchi yangu, ww sifia nchi yako, ww wanijua mm?? Mm nishatembea sana Kenya hunambii kitu, acha shobo!! Ww ndo hujaja kwetu,
Hi sir how are you
Mlikuwa wapi kutowa bonge la surprise kama iyi hein chui x Tembo Namipa like zangu kwa Roh moja 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Kama unamkubali harmonize Fundi tia Saini hapa😂😂🎉
😂😂
@@Tipaptz😅😅😅😅😅ni fundi kwel
Yani huyo harmonize ni hatari sana
Kashakwambia hkuna mmakonde mshambaaa😂😂😂🎉🎉🎉
@@REMMY171 😂😂😂😂😂
Kama unamkubali rayvany fundi itia saini hapa 😅😅🎉
sanaaa
huku Kenya tushaanguka na ii wimbo🔥😍chui na Tembo all the way
You can you call you back when you get a ❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🎉🎉
Gonga like nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿 kwa harmonize
Fans wa bongo wanaoishi abroad,lets all gather here tupige like tukisonga❤
Nimeangalia mpaka mwsho nione kama harmonize ataanguka
Namba moja hadi Leo au naona vibaya 🎉❤
Team harmonize like hapaa🎉🎉
😂😂❤
❤❤
Mg Zambia nikiwa huku naikuba xn
Mmbo
Hi
Representing all maasai here ngoma Kali ila harmonize na chui 🎉🎉
Wa kwanza leo ❤
We love to see this Reunion we want more hits Harmonize na Ray ❤❤❤❤. Muendelee na upendo muepuke beef za kischana . 🎉🎉🎉🎉
Bwana asifiwe , Ray na Harmonize wamekuwa marafiki. Sai imebaki Dai na Harmonize warudishe uhusiano
Konde. Ganng. Ongeza. Motooooo jmn. Naomba. Like. Zangu😢😮😅😊😊❤😂🎉
Goma linakimbiza hatari Tanzania 🇧🇼🇧🇼🇧🇼🇧🇼🇧🇼 oyeeeeee
Wakwanza 🇧🇮🇧🇮🔥🔥🔥
Hawa watu wakikutana ni moto wa kuotea mbali🔥🔥🔥
King ngoma kali na unaweza kutizama hii video hata na family ukiwa nyumbani
sijawahi kupata hata like 50 kwa ryvany ngoja nione leo❤❤
th-cam.com/video/dPcp0ZYOFBw/w-d-xo.htmlsi=nPyi5zp4K7FzZjgH
Nawaona Hit Makers hapo 🐅 X 🐘🔥🔥 Mmeua
Harmonize Bado ako juu ..... From Kenya
Rayvanny ❤❤❤
I guess I'm the first one from USA 🇺🇸🔥 who grew up in Africa 🌻.....both kondeboy and rayvanny fan's acheni like apa kwaju ya sensema to the fullest 💰🤑
tunakujua buda😅
th-cam.com/video/dPcp0ZYOFBw/w-d-xo.htmlsi=nPyi5zp4K7FzZjgH
@@princekillian3640 what do you mean buddy? Kunijuwa kivipi😃
We mmakonde wambagala eti usa 😂
Sammyboy
Nimecheza huu wimbo karibu na paka wangu akageuka saiz ni tembo😅❤❤
😂😂😂😂
I guess I'm the first one from Zambia 🇿🇲🔥,,,,, 1K likes
I am here after 3 months too
🔥🔥🔥🔥 chui na tembo nyie ndy mlioshindikana 2024.
Mmetisha saaana wakuu🎉🎉🎉🎉 😂😂
Hapa Burundi, we love you chui & tembo🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Harmonize never disappoint me Kama unampenda like me🙏🙏🤟🔥🔥🔥🌹🇧🇮
Marioo na Bien ni duet ingine ya mapenzi haiezi fananishwa upcoming producer from Kenya, mk hope one day will work with both of them ❤🙏💯
Best song ever ❣️❣️
Wa kwanza Léo naomba liké zangu plz 🇨🇩🇨🇩
hii ndio tunaita brotherhood sasa much love from 🇰🇪
Wallae harmonize kafunikwa na chui chui mkali sana
Kazi nzuri sana kaka napenda sana kazi zako natamani hata siku moja nikuone.tupia like kwa rayvanny 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Mashabiki wa Chui na Tembo tujuane kwa kulike hii comment🇹🇿💯
th-cam.com/video/dPcp0ZYOFBw/w-d-xo.htmlsi=nPyi5zp4K7FzZjgH
🎉
Ati nani kipita tumpige teke😂😂😂😂😂😂😂🎉
Mangikimambi
😂😂@@REMMY171
1:33 wooooooooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Hakuna M'makonde nshamba
Badoh miezi tatu kapita ila hii ngoma lina hiti 🎉
Kama unahisi navyo jihisi just like my comment from 254🔥💯
Kenyaans🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
to all kenyans lets gather here and show love to rayvanny kutoka kisumu bondo
Napenda kabisa uyu wimbo Kigali ndani🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼❤❤
Team chui like hapoo
Konde moto 🔥🔥 kbs anaye ampenda konde boy anipe like yangu nihondoke nayo
Bombooclat🎉🎉🎉🎉
Hata mkikaa mwaka mzima namba one mnadeserve kama vipi mkae milele maana goma kali sana
Naangalia harmonize nakumbuka akiimba matatizo naskia kucheka na kulia pamoja ❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂
Gerarahia
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂damn