WOW oooo napenda watu kama Hawa amakweli elimu ni ufunguo wa maisha love you so much. Laki naogopa kazi hii nakuombea kila la heri katika kazi yako h 💖💖💖💯💯😀😀🖐️🖐️
Mungu akubariki sana Rubani Devid Na tangazaji pia mpo vizuri sana Namuheshim sana rubani✈️ maisha Mwangu mana wanakazi kubwa kwakweli From oman Arabun
Nimetiwa moyo sana, Mungu nakuomba umujalie Eliya Mwanangu kwani kusomea Urubani ndiyo ndoto na maono yake. Mungu tunakuomba utujalie sisi Wazazi wake neema ya uzima, afya njema, uhai na kuishi miaka mingi ili tuweze kumfikisha Eliya kwenye malengo yake. Mungu tunakushukuru kwani umefanya tayari umesikia Anima.
Hongera sana sana David.ume relax wakati wa kuelezea na kujibu maswali pia nimejifunza mambo mengi ambayo pia nilikuwa siyajui.Mungu azidi kukulinda na kukufanikisha zaidi
Hongera sana David mungu akupe maisha marefu na nataka there una roho nzuri ya kusaidia watu na taifa la Tanzania umetupatia mwanga wa kujuwa kuhusu gharama za urubani na ajira zake mungu akubariki sana.
Kipindi kizuri sana, nampongeza sana Mtangazaji kwa kuuliza maswali vizuri yenye mashiko pia nimpongeze David kwa uweledi mkubwa alionao katika taaluma yake ya urubani! 👏👏👏
Mtoto wng wa kwanza wa kiume pia ana ndoto ya kua rubani wa ndege hv sasa yko ktk mitihan ya kumaliza 4 baba yke alimuahidi akimaliza 4 atampeleka kusomea hicho anachokitaka ktk nchi yyte itakayotoa mafunzo vzr nasubir aje akimaliza mitihan yke nimuoneshe hiki kipindi ili aone kijana mweziwe
Asante Sana nimejifunza kitu maana nilizani kua rubani mpaka usomesana kumbe atakidato cha 4 Asante Kaka umejieleza vizuri Sana bilahata majivuno barikiwa Sana.
interview nzuri sana, nime enjoy kuiskiliza. David anaonekana ni mtulivu kiakili licha ya umri wake, ni taswira inayohitajika kwa mapilot. inaleta amani unapopanda ndege ukakutana na utulivu huu. nina swali moja, unaushaur wowote kwa anaetaka kuingia kwenye u-pilot akiwa na umri above 35
Very interesting,nimefurahi kusikia kijana mdogo Kama David Matonya akinieleza with more confidence kubwa kiasiki hiki... Good boy utafika mbali na Mungu akubariki Sana...
Good Job David .Kwa kweli umetufungua sana katika kutimiza ndoto za vijana ambao wangependa kufikia hapo ulipo.Mwenyezimungu akuongoze kufikia malengo yako..
Hongera sana co pilot jitahidi uwe full pilot Mungu atakujalia utafika unapopataka muombe Mungu sana pia uwemwangalifu unadhamana ya roho nyingi katika ndege.
so nice to you umejielezea vizuri sana na akili yako ipo tumamu sana ndomaana ukawa rubani nimekupenda sana na kz yko ni nzuri sana komaa bro uwakika wa maisha upo sawa kwako mungu akuongoze sana
Hongera sana pia ahsante kwa kunitia moyo kijana wangu ana ndoto hyo ila changamoto ndio hyo pesa ila tangu ana miaka 2 alianza kuonyesha hicho kipaji hadi sasa japo bado mdogo ila bado yupo ktk hyo ndoto
Poleni kwa kazi ngumu na ya hatari.Ulisema unahakikisha uzito wa abiria na mizigo.Baadaye ukasema hupimi ila unakadiria.Vipi kuhusu makadirio yoko kama hukupatia sawa sawa na kwa Bahati mbaya uzito ukawa umezidi, nani atawajibika
Mtangazaji nimekukubali sana na hakika David Matonya uko smart kwa kujibu maswali ya Mtangazaji na nikupongeze tu kwa hiyo hatua uliyofikia. Japo ni gharama watoto wangu wataenda kusomea Urubani na pia Family yetu kuna Mdgo wangu anasomea Uruban na kuna Uncle wangu anasomea Uruban pia. Japo mipesa ni mengi msikate tamaa yupo Mungu anayejibu Maombi na Vision ya watoto wetu itafanikiwa. Hongera sana David Matonya uko vizuri kwa kuwapa vijana wengi wa kitanzania wajue njisi ya kuendesha ndege
Hapo kwa ndege kugongana kwa kweli zimewahi gongana. Lakini hii ilitokea baada ya rubani kuafuata ushauri wa flight controller pale chini badala ya TCAS
The best interview ever.
Mimi mwalimu na nimeisevi hii ili nije niwasikilizishe wanafunzi wangu💪💪💪
Congratulations brother kwa mfano sisi tuna kwama wapi kwa mfano tuamkeni vijana wale wasoma comment nipeni like zangu niongezee ada🏃🏃🏃
Vipindi kama hiki ni muhimu sana Kwani vinatoa hamasa kwa watu kujuwa afanye nn ili aweze kuwa rubani 'big up'
@@raineryduwe7588 kweli kabsa my dear
mauwAj yapembAchmba
Hongera sana......unajua kujieleza na tukaelewa uhalisia wa unachokiongea ......happy for you broh
PROUD OF U DEAR SON👌 MY SON IS A COMATIONAL PILOT ALSO! STUDED IN NEW ZEALAND👍 CONGRATULATINS SON👌 SUPER GREAT👍
Wangap wamependa kaka akiongea pia yuko vzr
WOW oooo napenda watu kama Hawa amakweli elimu ni ufunguo wa maisha love you so much. Laki naogopa kazi hii nakuombea kila la heri katika kazi yako h 💖💖💖💯💯😀😀🖐️🖐️
Hongera David unanifurahisha Sana, kwanza unaongea kiswahili kizuri bila kuchanganya na lugha za kigeni,eti kwa kuwa wewe ni rubani.
Nimeipenda sana hii natamani wanangu wapigane mpaka hapa,congratration to you kaka
Kikubwa nia malengo na kujipanga kumuomba Mungu
Mungu akubariki sana Rubani Devid Na tangazaji pia mpo vizuri sana Namuheshim sana rubani✈️ maisha Mwangu mana wanakazi kubwa kwakweli From oman Arabun
Nimetiwa moyo sana, Mungu nakuomba umujalie Eliya Mwanangu kwani kusomea Urubani ndiyo ndoto na maono yake. Mungu tunakuomba utujalie sisi Wazazi wake neema ya uzima, afya njema, uhai na kuishi miaka mingi ili tuweze kumfikisha Eliya kwenye malengo yake. Mungu tunakushukuru kwani umefanya tayari umesikia Anima.
Ushamba huu kwan ndio mpak uunyeshe uma kuwa unaomba
In Shaa Allah amiin thumma amiin
AminA,,
Hongera sana sana David.ume relax wakati wa kuelezea na kujibu maswali pia nimejifunza mambo mengi ambayo pia nilikuwa siyajui.Mungu azidi kukulinda na kukufanikisha zaidi
Hongera sana David mungu akupe maisha marefu na nataka there una roho nzuri ya kusaidia watu na taifa la Tanzania umetupatia mwanga wa kujuwa kuhusu gharama za urubani na ajira zake mungu akubariki sana.
Natamani angekuwa Mwalimu wavijana wenzake, ni role model nzuri sana kwa vijana Wenye ndoto kama hii
Kipindi kizuri sana, nampongeza sana Mtangazaji kwa kuuliza maswali vizuri yenye mashiko pia nimpongeze David kwa uweledi mkubwa alionao katika taaluma yake ya urubani! 👏👏👏
Lovely. God bless you mightily Captain David Matonya. You are a good role model for aspiring youth.
Weeeeeeee wagogo tupoooo mbali akina matonya
Mtoto wng wa kwanza wa kiume pia ana ndoto ya kua rubani wa ndege hv sasa yko ktk mitihan ya kumaliza 4 baba yke alimuahidi akimaliza 4 atampeleka kusomea hicho anachokitaka ktk nchi yyte itakayotoa mafunzo vzr nasubir aje akimaliza mitihan yke nimuoneshe hiki kipindi ili aone kijana mweziwe
Congratulatoins Boy...your drea m has come true...be blessed❤and all the best in your journey to drive a big one❤
Yuko vizuri sana congrats to his parents 👌
Very smart n calm...kuna vijana wadogo but very calm, bright
Congratulation brother david plus udoba family,,msalimie sana aunty lucy
Mgogo
Mtangazaji unayemhoji rubani kijana,uko vzr .Mungu akubariki usonge mbele
Mungu akubariki mwanangu David! Mungu timiza ndoto za kijana wangu pia...amina!
Amin
Asante Sana nimejifunza kitu maana nilizani kua rubani mpaka usomesana kumbe atakidato cha 4 Asante Kaka umejieleza vizuri Sana bilahata majivuno barikiwa Sana.
Ubarikiwe kijana mungu akilinde kwenye kazi yako akuweke mukononi mwake nikiwa nakijana mwenye ndoto ya urubani
interview nzuri sana, nime enjoy kuiskiliza. David anaonekana ni mtulivu kiakili licha ya umri wake, ni taswira inayohitajika kwa mapilot. inaleta amani unapopanda ndege ukakutana na utulivu huu. nina swali moja, unaushaur wowote kwa anaetaka kuingia kwenye u-pilot akiwa na umri above 35
Very interesting,nimefurahi kusikia kijana mdogo Kama David Matonya akinieleza with more confidence kubwa kiasiki hiki... Good boy utafika mbali na Mungu akubariki Sana...
MASHALLAH MASHALLAH. ALLAH AKULIPE KILA LA KHER INSHALLAH NDUGU YETU MUNGU AKUONGOZE INSHALLAH
Maashallah nimeipenda hii interview imetulia sana, big up bro even me I wish it but there is no way. Therefore I'm so grateful to hear it. 👏
P
Asante kwa maherekezo yote nilitamani kuwa rubani nanitakua Heiman
Congratulations bro wish you all the best mungu akubaliki upate mstari wa 4
A
Wow uko vizuri Rubani wetu, unajua kujieleza....Hongera sana
Asante sana kwa lesson nzuri David. Tumejifunza mengi kwenye hiyi interview. Mungu awe nawe katika carrier yako God bless 👍
hongera sana kaka nimefurahi umeereza vizuri sana mungu akutangurie katika kazi yako
Hongera sana Mungu akusaidie sana na akuongoze katika maisha yako umetimiza ndoto zako.
Yes., continue 🇹🇿🎧🎤🌟
Kipind kizuri snaa mtangazaj na pilot wtee mpoo vzr I have enjoyed much
Good job from DCT Sec to South Africa. Mgogo wa kwanza kuwa rubani😁😁😁
Mashallah mungu akuzidishiye elimu yko n akupe maisha marefu sana akuondolee husdaa Inshllah hongera sana 😍😍
Mashaalahh mungu akusimamie kila la kher mtoto mzur
Hongera sana kijana kwa kusimamia ndoto yako yakusomea urubani angalia Mungu alivyo mwema umefanikiwa Mungu azidi kuku onyesha njia zaidi
All the Best Brother. Always simamia Kile unachokitaka Ndo unawezq kua tofauti na Wengine Na kupokea mafanikio yako Kutoka kwa mungu
Good Job David .Kwa kweli umetufungua sana katika kutimiza ndoto za vijana ambao wangependa kufikia hapo ulipo.Mwenyezimungu akuongoze kufikia malengo yako..
Hongera sana co pilot jitahidi uwe full pilot Mungu atakujalia utafika unapopataka muombe Mungu sana pia uwemwangalifu unadhamana ya roho nyingi katika ndege.
Mashallah
David ungetutajia range ya mishahara ya ma rubani pia na masono yanayohusiana na urubani but thank you in All 👏👏👏👏👏👏
So Cong my bro your speech is as a lesson to me and other s,thanks alot
Ebwaba kwnz nimekufanyia uchunguz una akili sana u are so skilled big up xana
Daaaah can't believe congratulations dav
Mashaallah Allah akuongoze....
Inapendeza sana kusema ukweli.maana kuanzia anaehoji na mhojiwa wote wamejieleza vizuri mno na hakika mm binafsi nimeenjoi sana kipindi 👊👊
Nice dialogue I appreciate
Good job our young.
Hongera sna,hakika Mungu amekuchagua🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Nimempenda uyu kaka anaongea vizur
Jamaa yupo smart sna
Dear Lord, you blessed me with two kids son & daughter,,, please and please one of them if not both should be a pilot in Jesus name I pray.Amen.
Hongera mtangazaji na pilot wetu kiukwel mpo vizur mno
Interview nimeipanda sana. Imeniamsha mno
Napenda Sana kuskiriza Story Za Maruban Jinsi Ya kuendesha Ndege Sjui Kwann yaan Ningekuwa Na Uwezo wa Hela Ningeenda Kusomea
Asante sana kwa elimu nzuri nimejifunza mengi
so nice to you umejielezea vizuri sana na akili yako ipo tumamu sana ndomaana ukawa rubani nimekupenda sana na kz yko ni nzuri sana komaa bro uwakika wa maisha upo sawa kwako mungu akuongoze sana
Mungu ambariki David matonya mungu akuzidishie kiwango namtakia kla la gheri dereva ndege.
Amejibu vizuri sana mungu akujalie kaka
Ooo9h!!!! So nice jmn lazma ndoto tutimizeeeeeeeeee❤❤❤❤❤❤ love u gud role model
Safi sana mdogo wangu umesom lakini haujisikii unaongea kiswahili kizuri San hakika wew in mtanzania halisi Mungu awe nawe ktka maisha yako yote
Mashallah
Thanks to the Lord
Safi sana Mungu akubariki na azidi kukuongoza
Hongera sana kk mungu akutangurey kwakirakit
Utakuta mswahili anamkosoa wazungu anarusha tan 300 yeye ukimwambia arushe hata jiwe la kilo moja litamrudi na kumtoa ngeu ya kujuta salute mzugu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera sana David.. Mungu akutangulie ktk kila hatua maishani mwako
Hongera sana kijana mwenzangu am really proud of you
You Did it Bro... Ila kwa gharama hiyo watoto wa buza wataishia kurusha ungo tu asee haina jinsi
Hahaaaaaaaaaa
😁😁😁😁😁
Unawanga wee basi tania weka hata imoj ya kucheka unajifanya uko sirias
Umetisha
Maa shaa Allah hongera San
May god bless us the same
Asante sanaaa kwa majibu yako rubani
Hongera sana pia ahsante kwa kunitia moyo kijana wangu ana ndoto hyo ila changamoto ndio hyo pesa ila tangu ana miaka 2 alianza kuonyesha hicho kipaji hadi sasa japo bado mdogo ila bado yupo ktk hyo ndoto
Kaka mungu akupe maujuzi zaidi barikiwa
Wooow! Am very inspired wid ur ctr
Poleni kwa kazi ngumu na ya hatari.Ulisema unahakikisha uzito wa abiria na mizigo.Baadaye ukasema hupimi ila unakadiria.Vipi kuhusu makadirio yoko kama hukupatia sawa sawa na kwa Bahati mbaya uzito ukawa umezidi, nani atawajibika
Hii interview nimeipenda Sana, natamani mwanangu aje kuwa rubani, Mimi nilikosea kuchagua.
Mashallah mashallah Mungu akulinde mdogowa.
❤❤❤ hongera Yako mwenyezi Mungu akulinde
Hongera sana kijana Mungu azidi kukusimamia. Je kama mtu amesoma na hakuchukua masomo ya chemistry na Physics. Anaweza kusoma urubani?
Kweli kabisa maisha yanataka uvumilivu🥰
Niombe kila anaesikiliza animée mimi niweze mtumikia mungu.niweza wapa nguvu.niombeen saana iman
Jamaa anajua sana kunyoosha maelezo 👊
Hongera sana Allah akuhifadhi
Masha Allah Masha Allah nakuombea kher hongera san
Masha a llah kila hatua dua
Mtangazaji nimekukubali sana na hakika David Matonya uko smart kwa kujibu maswali ya Mtangazaji na nikupongeze tu kwa hiyo hatua uliyofikia. Japo ni gharama watoto wangu wataenda kusomea Urubani na pia Family yetu kuna Mdgo wangu anasomea Uruban na kuna Uncle wangu anasomea Uruban pia. Japo mipesa ni mengi msikate tamaa yupo Mungu anayejibu Maombi na Vision ya watoto wetu itafanikiwa. Hongera sana David Matonya uko vizuri kwa kuwapa vijana wengi wa kitanzania wajue njisi ya kuendesha ndege
Brother hongera sana
Kaka Mama hakuhusika hata kukutia moyo. Hongera Sana jitahidi kusema wazazi. Kama wote wapo hai.
Daah yani brother unauliza maswali vizuri sana 🙏
ok dogo nime kuelewa soma sana nita kukodi uje kuendesha ndege yangu
😂😂😂😂
@@abalfadhilabdulqahari3018 😋😋😂😂😂😂
David Matonya nafurahishwa sana na maelezo yako maana unatengeneza ndoto za vijana wanaokufuata kiumri.
wow nafurahishwa kusikia ivo bro, hata mimi nina ndoto kama zako
Mtangulize Mungu unakuwa. Juu zaidi
Dream comes True
Hapo kwa ndege kugongana kwa kweli zimewahi gongana. Lakini hii ilitokea baada ya rubani kuafuata ushauri wa flight controller pale chini badala ya TCAS
Dah nimependa sana hii interview ngoja niwaombee wanangu wanangu waje kuwa marubani
Amen
Mungu akusimamie mdogo angu, Dodoma inajivunia uthubutu wako.
Yes wagogo tupo nyuma yako aise wagogo chiliwaswanu
Nchi ikiwa na amani mabo makubwa yana fanyika, hongera sana.
Ujinga mtupu
Kama serikali ilimpia ada sawa. Acheni kuchekesha
Hii kero sasa watu wanajadili habari ya urushaji ndege wewe unaleta utopolo hapa 😀😁😂
Be blessed sana David also my son like this fun
Hongera sana mungu akuongeze kaka ang katika kazi yako