RUBANI MDOGO TANZANIA: ATAJA BEI YA KUSOMEA URUBANI/ UNAVYOLIPA/ JINSI YA KURUSHA NDEGE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
  • #RubaniMdogo #Dar24Media #exclusive

ความคิดเห็น • 465

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 3 ปีที่แล้ว +9

    The best interview ever.
    Mimi mwalimu na nimeisevi hii ili nije niwasikilizishe wanafunzi wangu💪💪💪

  • @abdulmalikhamadi8634
    @abdulmalikhamadi8634 3 ปีที่แล้ว +50

    Congratulations brother kwa mfano sisi tuna kwama wapi kwa mfano tuamkeni vijana wale wasoma comment nipeni like zangu niongezee ada🏃🏃🏃

    • @raineryduwe7588
      @raineryduwe7588 3 ปีที่แล้ว +3

      Vipindi kama hiki ni muhimu sana Kwani vinatoa hamasa kwa watu kujuwa afanye nn ili aweze kuwa rubani 'big up'

    • @abdulmalikhamadi8634
      @abdulmalikhamadi8634 3 ปีที่แล้ว

      @@raineryduwe7588 kweli kabsa my dear

    • @suleimansoud4575
      @suleimansoud4575 3 ปีที่แล้ว

      mauwAj yapembAchmba

  • @clara-ri9wt
    @clara-ri9wt 3 ปีที่แล้ว +10

    Hongera sana......unajua kujieleza na tukaelewa uhalisia wa unachokiongea ......happy for you broh

  • @bas2823
    @bas2823 ปีที่แล้ว +5

    PROUD OF U DEAR SON👌 MY SON IS A COMATIONAL PILOT ALSO! STUDED IN NEW ZEALAND👍 CONGRATULATINS SON👌 SUPER GREAT👍

  • @husnajuma5919
    @husnajuma5919 3 ปีที่แล้ว +16

    Wangap wamependa kaka akiongea pia yuko vzr

  • @zahraramadhan2373
    @zahraramadhan2373 3 ปีที่แล้ว +7

    WOW oooo napenda watu kama Hawa amakweli elimu ni ufunguo wa maisha love you so much. Laki naogopa kazi hii nakuombea kila la heri katika kazi yako h 💖💖💖💯💯😀😀🖐️🖐️

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 ปีที่แล้ว +6

    Hongera David unanifurahisha Sana, kwanza unaongea kiswahili kizuri bila kuchanganya na lugha za kigeni,eti kwa kuwa wewe ni rubani.

  • @vijiliamwakyelu1295
    @vijiliamwakyelu1295 3 ปีที่แล้ว +11

    Nimeipenda sana hii natamani wanangu wapigane mpaka hapa,congratration to you kaka

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 4 หลายเดือนก่อน

      Kikubwa nia malengo na kujipanga kumuomba Mungu

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule5180 3 ปีที่แล้ว +10

    Mungu akubariki sana Rubani Devid Na tangazaji pia mpo vizuri sana Namuheshim sana rubani✈️ maisha Mwangu mana wanakazi kubwa kwakweli From oman Arabun

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 3 ปีที่แล้ว +24

    Nimetiwa moyo sana, Mungu nakuomba umujalie Eliya Mwanangu kwani kusomea Urubani ndiyo ndoto na maono yake. Mungu tunakuomba utujalie sisi Wazazi wake neema ya uzima, afya njema, uhai na kuishi miaka mingi ili tuweze kumfikisha Eliya kwenye malengo yake. Mungu tunakushukuru kwani umefanya tayari umesikia Anima.

    • @hustlertv1271
      @hustlertv1271 ปีที่แล้ว

      Ushamba huu kwan ndio mpak uunyeshe uma kuwa unaomba

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 4 หลายเดือนก่อน

      In Shaa Allah amiin thumma amiin

    • @marymwasiga
      @marymwasiga 3 หลายเดือนก่อน

      AminA,,

  • @reginapeter1625
    @reginapeter1625 3 ปีที่แล้ว +8

    Hongera sana sana David.ume relax wakati wa kuelezea na kujibu maswali pia nimejifunza mambo mengi ambayo pia nilikuwa siyajui.Mungu azidi kukulinda na kukufanikisha zaidi

    • @nestoryremy8088
      @nestoryremy8088 ปีที่แล้ว +1

      Hongera sana David mungu akupe maisha marefu na nataka there una roho nzuri ya kusaidia watu na taifa la Tanzania umetupatia mwanga wa kujuwa kuhusu gharama za urubani na ajira zake mungu akubariki sana.

  • @priscakabeya1184
    @priscakabeya1184 3 ปีที่แล้ว +13

    Natamani angekuwa Mwalimu wavijana wenzake, ni role model nzuri sana kwa vijana Wenye ndoto kama hii

  • @Williamjamessr
    @Williamjamessr 3 ปีที่แล้ว +5

    Kipindi kizuri sana, nampongeza sana Mtangazaji kwa kuuliza maswali vizuri yenye mashiko pia nimpongeze David kwa uweledi mkubwa alionao katika taaluma yake ya urubani! 👏👏👏

  • @abellabv
    @abellabv 3 ปีที่แล้ว +14

    Lovely. God bless you mightily Captain David Matonya. You are a good role model for aspiring youth.

    • @maihussein3553
      @maihussein3553 3 ปีที่แล้ว

      Weeeeeeee wagogo tupoooo mbali akina matonya

  • @muznahmuznah8601
    @muznahmuznah8601 3 ปีที่แล้ว +19

    Mtoto wng wa kwanza wa kiume pia ana ndoto ya kua rubani wa ndege hv sasa yko ktk mitihan ya kumaliza 4 baba yke alimuahidi akimaliza 4 atampeleka kusomea hicho anachokitaka ktk nchi yyte itakayotoa mafunzo vzr nasubir aje akimaliza mitihan yke nimuoneshe hiki kipindi ili aone kijana mweziwe

  • @mariethangoma6317
    @mariethangoma6317 ปีที่แล้ว +2

    Congratulatoins Boy...your drea m has come true...be blessed❤and all the best in your journey to drive a big one❤

  • @priscakabeya1184
    @priscakabeya1184 3 ปีที่แล้ว +5

    Yuko vizuri sana congrats to his parents 👌

  • @margrethemanuel7501
    @margrethemanuel7501 3 ปีที่แล้ว +4

    Very smart n calm...kuna vijana wadogo but very calm, bright

  • @sudaydaudi1079
    @sudaydaudi1079 3 ปีที่แล้ว +5

    Congratulation brother david plus udoba family,,msalimie sana aunty lucy

  • @lwihurazakayo3864
    @lwihurazakayo3864 3 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji unayemhoji rubani kijana,uko vzr .Mungu akubariki usonge mbele

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 3 ปีที่แล้ว +14

    Mungu akubariki mwanangu David! Mungu timiza ndoto za kijana wangu pia...amina!

  • @christinakomba3524
    @christinakomba3524 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante Sana nimejifunza kitu maana nilizani kua rubani mpaka usomesana kumbe atakidato cha 4 Asante Kaka umejieleza vizuri Sana bilahata majivuno barikiwa Sana.

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 ปีที่แล้ว +6

    Ubarikiwe kijana mungu akilinde kwenye kazi yako akuweke mukononi mwake nikiwa nakijana mwenye ndoto ya urubani

  • @10gb27
    @10gb27 3 ปีที่แล้ว +3

    interview nzuri sana, nime enjoy kuiskiliza. David anaonekana ni mtulivu kiakili licha ya umri wake, ni taswira inayohitajika kwa mapilot. inaleta amani unapopanda ndege ukakutana na utulivu huu. nina swali moja, unaushaur wowote kwa anaetaka kuingia kwenye u-pilot akiwa na umri above 35

    • @deucecadico1879
      @deucecadico1879 3 ปีที่แล้ว

      Very interesting,nimefurahi kusikia kijana mdogo Kama David Matonya akinieleza with more confidence kubwa kiasiki hiki... Good boy utafika mbali na Mungu akubariki Sana...

    • @ashashaban6484
      @ashashaban6484 ปีที่แล้ว

      MASHALLAH MASHALLAH. ALLAH AKULIPE KILA LA KHER INSHALLAH NDUGU YETU MUNGU AKUONGOZE INSHALLAH

  • @abdillaahimatthew9414
    @abdillaahimatthew9414 3 ปีที่แล้ว +13

    Maashallah nimeipenda hii interview imetulia sana, big up bro even me I wish it but there is no way. Therefore I'm so grateful to hear it. 👏

  • @HadijaSachu
    @HadijaSachu 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa maherekezo yote nilitamani kuwa rubani nanitakua Heiman

  • @MrTouch-rm4rh
    @MrTouch-rm4rh 3 ปีที่แล้ว +17

    Congratulations bro wish you all the best mungu akubaliki upate mstari wa 4

  • @pendopeter1790
    @pendopeter1790 3 ปีที่แล้ว +6

    Wow uko vizuri Rubani wetu, unajua kujieleza....Hongera sana

  • @RajabKAMIS
    @RajabKAMIS 3 ปีที่แล้ว +12

    Asante sana kwa lesson nzuri David. Tumejifunza mengi kwenye hiyi interview. Mungu awe nawe katika carrier yako God bless 👍

  • @yusuphmathias4729
    @yusuphmathias4729 3 ปีที่แล้ว +3

    hongera sana kaka nimefurahi umeereza vizuri sana mungu akutangurie katika kazi yako

  • @sophiakaaya8290
    @sophiakaaya8290 3 ปีที่แล้ว +9

    Hongera sana Mungu akusaidie sana na akuongoze katika maisha yako umetimiza ndoto zako.

  • @andrewkazungu6542
    @andrewkazungu6542 ปีที่แล้ว +1

    Yes., continue 🇹🇿🎧🎤🌟

  • @mussabinford9872
    @mussabinford9872 2 ปีที่แล้ว +1

    Kipind kizuri snaa mtangazaj na pilot wtee mpoo vzr I have enjoyed much

  • @servantkombo8225
    @servantkombo8225 3 ปีที่แล้ว +4

    Good job from DCT Sec to South Africa. Mgogo wa kwanza kuwa rubani😁😁😁

  • @muniradaudi440
    @muniradaudi440 3 ปีที่แล้ว +7

    Mashallah mungu akuzidishiye elimu yko n akupe maisha marefu sana akuondolee husdaa Inshllah hongera sana 😍😍

  • @ashuraselemani5979
    @ashuraselemani5979 3 ปีที่แล้ว +5

    Mashaalahh mungu akusimamie kila la kher mtoto mzur

  • @rogasianmarandu537
    @rogasianmarandu537 3 ปีที่แล้ว +6

    Hongera sana kijana kwa kusimamia ndoto yako yakusomea urubani angalia Mungu alivyo mwema umefanikiwa Mungu azidi kuku onyesha njia zaidi

  • @pioustrevol3468
    @pioustrevol3468 ปีที่แล้ว

    All the Best Brother. Always simamia Kile unachokitaka Ndo unawezq kua tofauti na Wengine Na kupokea mafanikio yako Kutoka kwa mungu

  • @mzeemuhsin7891
    @mzeemuhsin7891 3 ปีที่แล้ว +4

    Good Job David .Kwa kweli umetufungua sana katika kutimiza ndoto za vijana ambao wangependa kufikia hapo ulipo.Mwenyezimungu akuongoze kufikia malengo yako..

  • @sultanalnaamani2156
    @sultanalnaamani2156 3 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana co pilot jitahidi uwe full pilot Mungu atakujalia utafika unapopataka muombe Mungu sana pia uwemwangalifu unadhamana ya roho nyingi katika ndege.

  • @zacharianicodemas184
    @zacharianicodemas184 3 ปีที่แล้ว

    David ungetutajia range ya mishahara ya ma rubani pia na masono yanayohusiana na urubani but thank you in All 👏👏👏👏👏👏

  • @joshuastephano9150
    @joshuastephano9150 3 ปีที่แล้ว

    So Cong my bro your speech is as a lesson to me and other s,thanks alot

  • @is-hakabinruweikh3833
    @is-hakabinruweikh3833 ปีที่แล้ว +1

    Ebwaba kwnz nimekufanyia uchunguz una akili sana u are so skilled big up xana

  • @NuruKabia-bx9nh
    @NuruKabia-bx9nh ปีที่แล้ว +2

    Daaaah can't believe congratulations dav

  • @amnegharib5196
    @amnegharib5196 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah Allah akuongoze....

  • @abdallaabedi2354
    @abdallaabedi2354 3 ปีที่แล้ว +36

    Inapendeza sana kusema ukweli.maana kuanzia anaehoji na mhojiwa wote wamejieleza vizuri mno na hakika mm binafsi nimeenjoi sana kipindi 👊👊

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 12 วันที่ผ่านมา

    Hongera sna,hakika Mungu amekuchagua🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️

  • @happyfabian7399
    @happyfabian7399 3 ปีที่แล้ว +10

    Nimempenda uyu kaka anaongea vizur

  • @masundelwa
    @masundelwa 3 ปีที่แล้ว +9

    Jamaa yupo smart sna

  • @joyceassey2347
    @joyceassey2347 6 หลายเดือนก่อน +1

    Dear Lord, you blessed me with two kids son & daughter,,, please and please one of them if not both should be a pilot in Jesus name I pray.Amen.

  • @paschalmugabe2226
    @paschalmugabe2226 3 ปีที่แล้ว +4

    Hongera mtangazaji na pilot wetu kiukwel mpo vizur mno

  • @mariamagoa7686
    @mariamagoa7686 3 ปีที่แล้ว +6

    Interview nimeipanda sana. Imeniamsha mno

  • @kanaanimkisi5290
    @kanaanimkisi5290 ปีที่แล้ว +1

    Napenda Sana kuskiriza Story Za Maruban Jinsi Ya kuendesha Ndege Sjui Kwann yaan Ningekuwa Na Uwezo wa Hela Ningeenda Kusomea

  • @teresiamgimba5498
    @teresiamgimba5498 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa elimu nzuri nimejifunza mengi

  • @suleimanmrita1992
    @suleimanmrita1992 8 หลายเดือนก่อน

    so nice to you umejielezea vizuri sana na akili yako ipo tumamu sana ndomaana ukawa rubani nimekupenda sana na kz yko ni nzuri sana komaa bro uwakika wa maisha upo sawa kwako mungu akuongoze sana

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ambariki David matonya mungu akuzidishie kiwango namtakia kla la gheri dereva ndege.

  • @EuniceMmari
    @EuniceMmari 21 วันที่ผ่านมา

    Amejibu vizuri sana mungu akujalie kaka

  • @joelagala8914
    @joelagala8914 9 หลายเดือนก่อน

    Ooo9h!!!! So nice jmn lazma ndoto tutimizeeeeeeeeee❤❤❤❤❤❤ love u gud role model

  • @deouskulinduka5717
    @deouskulinduka5717 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana mdogo wangu umesom lakini haujisikii unaongea kiswahili kizuri San hakika wew in mtanzania halisi Mungu awe nawe ktka maisha yako yote

  • @swafiyamansur4326
    @swafiyamansur4326 3 ปีที่แล้ว +7

    Mashallah

  • @catherinebosibori7977
    @catherinebosibori7977 3 ปีที่แล้ว +4

    Thanks to the Lord

  • @mamounmamoun7877
    @mamounmamoun7877 3 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana Mungu akubariki na azidi kukuongoza

  • @mwahiyalitunaisubiriykwaha9503
    @mwahiyalitunaisubiriykwaha9503 3 ปีที่แล้ว +5

    Hongera sana kk mungu akutangurey kwakirakit

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 3 ปีที่แล้ว +3

    Utakuta mswahili anamkosoa wazungu anarusha tan 300 yeye ukimwambia arushe hata jiwe la kilo moja litamrudi na kumtoa ngeu ya kujuta salute mzugu

  • @carenkachecheba5538
    @carenkachecheba5538 3 ปีที่แล้ว +8

    Hongera sana David.. Mungu akutangulie ktk kila hatua maishani mwako

  • @rose44ngotee33
    @rose44ngotee33 3 ปีที่แล้ว +8

    Hongera sana kijana mwenzangu am really proud of you

  • @radar41
    @radar41 3 ปีที่แล้ว +4

    You Did it Bro... Ila kwa gharama hiyo watoto wa buza wataishia kurusha ungo tu asee haina jinsi

  • @mlengineeringconsultancylt5250
    @mlengineeringconsultancylt5250 3 ปีที่แล้ว +2

    Umetisha

  • @enterenter7798
    @enterenter7798 ปีที่แล้ว

    Maa shaa Allah hongera San

  • @SmilingLavenderFields-gz2jo
    @SmilingLavenderFields-gz2jo 4 วันที่ผ่านมา

    May god bless us the same

  • @kingelieshabani7235
    @kingelieshabani7235 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sanaaa kwa majibu yako rubani

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana pia ahsante kwa kunitia moyo kijana wangu ana ndoto hyo ila changamoto ndio hyo pesa ila tangu ana miaka 2 alianza kuonyesha hicho kipaji hadi sasa japo bado mdogo ila bado yupo ktk hyo ndoto

  • @elynekaakyoo3142
    @elynekaakyoo3142 3 ปีที่แล้ว +2

    Kaka mungu akupe maujuzi zaidi barikiwa

  • @msajohn2035
    @msajohn2035 3 ปีที่แล้ว +2

    Wooow! Am very inspired wid ur ctr

  • @innocentjoseph9029
    @innocentjoseph9029 3 ปีที่แล้ว +1

    Poleni kwa kazi ngumu na ya hatari.Ulisema unahakikisha uzito wa abiria na mizigo.Baadaye ukasema hupimi ila unakadiria.Vipi kuhusu makadirio yoko kama hukupatia sawa sawa na kwa Bahati mbaya uzito ukawa umezidi, nani atawajibika

  • @ramlamburi9743
    @ramlamburi9743 3 ปีที่แล้ว +4

    Hii interview nimeipenda Sana, natamani mwanangu aje kuwa rubani, Mimi nilikosea kuchagua.

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 ปีที่แล้ว

    Mashallah mashallah Mungu akulinde mdogowa.

  • @AnnaLucas-dh7dg
    @AnnaLucas-dh7dg 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤ hongera Yako mwenyezi Mungu akulinde

  • @Triphonia-e9w
    @Triphonia-e9w ปีที่แล้ว

    Hongera sana kijana Mungu azidi kukusimamia. Je kama mtu amesoma na hakuchukua masomo ya chemistry na Physics. Anaweza kusoma urubani?

  • @mwanakombojuma9029
    @mwanakombojuma9029 3 ปีที่แล้ว +3

    Kweli kabisa maisha yanataka uvumilivu🥰

  • @HarunaFursana
    @HarunaFursana 5 หลายเดือนก่อน

    Niombe kila anaesikiliza animée mimi niweze mtumikia mungu.niweza wapa nguvu.niombeen saana iman

  • @andrewmsenga308
    @andrewmsenga308 3 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa anajua sana kunyoosha maelezo 👊

  • @zawiajuma715
    @zawiajuma715 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Allah akuhifadhi

  • @aishahassan9812
    @aishahassan9812 3 ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah Masha Allah nakuombea kher hongera san

  • @MuhammadiMnyawi
    @MuhammadiMnyawi หลายเดือนก่อน

    Masha a llah kila hatua dua

  • @victormtani7170
    @victormtani7170 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji nimekukubali sana na hakika David Matonya uko smart kwa kujibu maswali ya Mtangazaji na nikupongeze tu kwa hiyo hatua uliyofikia. Japo ni gharama watoto wangu wataenda kusomea Urubani na pia Family yetu kuna Mdgo wangu anasomea Uruban na kuna Uncle wangu anasomea Uruban pia. Japo mipesa ni mengi msikate tamaa yupo Mungu anayejibu Maombi na Vision ya watoto wetu itafanikiwa. Hongera sana David Matonya uko vizuri kwa kuwapa vijana wengi wa kitanzania wajue njisi ya kuendesha ndege

  • @JacknJacksosanga
    @JacknJacksosanga 2 หลายเดือนก่อน

    Brother hongera sana

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 3 ปีที่แล้ว +7

    Kaka Mama hakuhusika hata kukutia moyo. Hongera Sana jitahidi kusema wazazi. Kama wote wapo hai.

  • @-zj2zd
    @-zj2zd ปีที่แล้ว

    Daah yani brother unauliza maswali vizuri sana 🙏

  • @falesikitumbo4308
    @falesikitumbo4308 3 ปีที่แล้ว +5

    ok dogo nime kuelewa soma sana nita kukodi uje kuendesha ndege yangu

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 ปีที่แล้ว +1

    David Matonya nafurahishwa sana na maelezo yako maana unatengeneza ndoto za vijana wanaokufuata kiumri.

  • @danielngomuo
    @danielngomuo 5 หลายเดือนก่อน

    wow nafurahishwa kusikia ivo bro, hata mimi nina ndoto kama zako

  • @RoseBogwa
    @RoseBogwa 5 หลายเดือนก่อน

    Mtangulize Mungu unakuwa. Juu zaidi

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 3 ปีที่แล้ว +2

    Dream comes True

  • @edwardkhatiya4561
    @edwardkhatiya4561 3 ปีที่แล้ว +4

    Hapo kwa ndege kugongana kwa kweli zimewahi gongana. Lakini hii ilitokea baada ya rubani kuafuata ushauri wa flight controller pale chini badala ya TCAS

  • @Summerbtz
    @Summerbtz 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah nimependa sana hii interview ngoja niwaombee wanangu wanangu waje kuwa marubani

  • @robertmasagasi6407
    @robertmasagasi6407 3 ปีที่แล้ว +13

    Mungu akusimamie mdogo angu, Dodoma inajivunia uthubutu wako.

    • @husnajuma5919
      @husnajuma5919 3 ปีที่แล้ว +1

      Yes wagogo tupo nyuma yako aise wagogo chiliwaswanu

  • @pungwem4306
    @pungwem4306 3 ปีที่แล้ว +7

    Nchi ikiwa na amani mabo makubwa yana fanyika, hongera sana.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 ปีที่แล้ว +1

      Ujinga mtupu

    • @alextanzania
      @alextanzania 3 ปีที่แล้ว

      Kama serikali ilimpia ada sawa. Acheni kuchekesha

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 3 ปีที่แล้ว +2

      Hii kero sasa watu wanajadili habari ya urushaji ndege wewe unaleta utopolo hapa 😀😁😂

  • @triciamkwawi5170
    @triciamkwawi5170 3 ปีที่แล้ว

    Be blessed sana David also my son like this fun

  • @azizahamadi8414
    @azizahamadi8414 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mungu akuongeze kaka ang katika kazi yako