MKASA MAUZINDE BABA AFUNGUKA YA MOYONI MWANANGU PIA NI SHOGA INANIUMA SANA NISAIDIENI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 มิ.ย. 2024
  • MKASA MAUZINDE BABA AFUNGUKA YA MOYONI MWANANGU PIA NI SHOGA INANIUMA SANA NISAIDIENI.

ความคิดเห็น • 167

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 หลายเดือนก่อน +16

    Nanimkafika chuo sasa.mauzinde we.mzee.umenunuliwa eheee mauzinde mzanzbar ww mmakonde.sijui msambaa alafu hata ujapatia kuact ujui hata umri wa mwanao hizi media hiz mshofeli

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน +1

      Kapangwa huyu msambaa

    • @YussufPandu-es7ou
      @YussufPandu-es7ou หลายเดือนก่อน

      Sasa huyu si babaake mauzinde ,,,,nyinyi media watu wa ajabu

    • @teedullah5708
      @teedullah5708 หลายเดือนก่อน

      Kweli c bbke huyu

    • @user-ow9cj2mv8b
      @user-ow9cj2mv8b หลายเดือนก่อน

      Sikilizeni vizuri huyu ni msambaa ila ameulizwa kunamtu amekawa masikio znz ndio akajibu auuuuuuu

    • @mwanaharusmohd3732
      @mwanaharusmohd3732 28 วันที่ผ่านมา

      Mzee wa kisambaa umekosa kazi Nini, muongo mkubwa we Mzee, katafute kazi

  • @jacklinefussy5227
    @jacklinefussy5227 หลายเดือนก่อน +11

    Mungu alinde kizaz changu pia amsaidie uyo kijana😢

    • @jeanmusamba8448
      @jeanmusamba8448 หลายเดือนก่อน

      sio tamaa ya pesa ni trained behaviour inayofanywa na wazungu kwa siri tunatakiwa amka tupinge ushoga kwa nguvu zetu zote vinginevyo si mda tuanaangamia

  • @officialfadhilomar5249
    @officialfadhilomar5249 หลายเดือนก่อน +13

    😂😂😂mbona baba km msambaa
    Wanangu huyu baba mmemtengeneza.....bila D mbili huez elewa

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 ausio baba wa mchongo

    • @sajdahsalum267
      @sajdahsalum267 หลายเดือนก่อน

      Aweeeeee😂 sio kwel

    • @sajdahsalum267
      @sajdahsalum267 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli ni msambaaa😂😂😂😂

    • @user-tb3hi9he5f
      @user-tb3hi9he5f หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @NahirSaid-wj6ux
    @NahirSaid-wj6ux หลายเดือนก่อน +4

    Muongo sie baba mauzinde anao ndugu, halafu baba yake ni shekh.

  • @MsJabalkiss
    @MsJabalkiss หลายเดือนก่อน +2

    Hichi sio kiswahili cha kwetu zanzibar huyu wa mchongo wala mavazi hayo hatuvai kama jinga😂😂😂

  • @fatmahassan7467
    @fatmahassan7467 3 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani yeye hajasema baba yake mauzinde, yeye mtoto wake ni mwengne, sema waandishi ndo wameandka kuvuta watu

  • @RiamiAli-dv5cl
    @RiamiAli-dv5cl หลายเดือนก่อน +3

    Bila D huwezi kuelwa kw baba wa mau 😂😂😂😂😂

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 หลายเดือนก่อน +2

    Hizo ndio Media za Tanganyika wakipewa pesa kidogo tu wanamchafua mtu yaani habari za maana hawana wao ni Ungese tu..

  • @jenipherelias4838
    @jenipherelias4838 หลายเดือนก่อน +4

    Acha uongo mzee sio mwanao njaa itakuua

    • @salhkasmm558
      @salhkasmm558 หลายเดือนก่อน

      Yy anasemea mwanawe sio mauzinde

  • @jasmintanga2474
    @jasmintanga2474 หลายเดือนก่อน +4

    Mwanzo na mwisho leo kuangalia habari jamii hua hamjui tu kama mnajiharibia wenyew media zenu hivi leo ukituma uongo kama huu mtu akaona kabisa kwamba mnaongopa ili tu watu waangalie unafikiri siku nyingine mtu akiiona hii media ataangalia tena hata km habar za ukweli? Acheni tamaa postin vitu halisia kama rizki mtapata tu

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk หลายเดือนก่อน +3

    Shemahonge wee msambaa bwana matamshi mkaza mwana

  • @salummussa1139
    @salummussa1139 หลายเดือนก่อน +4

    Umefanana nae mwanao lakini nyote ni mapapai

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 หลายเดือนก่อน +2

    Acheni upumbavu nyinyi kumbe nyinyi.midia wapuuzu kuputiliza hutu sio baba wala jamaa wa mauzinde na mau wapo watatu kwao baba mmoja mama mmoja au zaid

    • @HABARIJAMIIDIGITAL
      @HABARIJAMIIDIGITAL  หลายเดือนก่อน +1

      Sasa wewe aliyekuambia huyo ni baba wa mauzinde nani,tatizo hujasikiliza interview mpka mwisho unaanza kulalamika

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 หลายเดือนก่อน

    Inshaalla Allah atakujaalia uwe namtto msenge kumanina zenu siunaomba basi utapata subiri kidogo tu Ila sio tusotaka Allah atunusuru kuwa na watto km hao

  • @user-mk8ph8qc9k
    @user-mk8ph8qc9k หลายเดือนก่อน +7

    Uyo sio baba ake mauzinde

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli huyu si baba mauzinde hana lafudhi hata moja ya kinzanibar na mau mara ya mwisho kasema ana 30 na mau ana sister zake

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt หลายเดือนก่อน

      Yuko kama mzaramo au mmakonde sio babake 😅😅😅😅😂😂😂

  • @user-ib8vo3qb4c
    @user-ib8vo3qb4c หลายเดือนก่อน +1

    Baba wa mchongo hata umri WA mtoto wake haujui vizuri heti ana miaka kama ishirinatano thelathini hivi na hata UCHUNGU Hana ana chekacheka mmmmm njaa kali

  • @ibrahimmagere5545
    @ibrahimmagere5545 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu si baba ni wajinga wachache tu wanaopangwa

    • @BrunoNamanga
      @BrunoNamanga หลายเดือนก่อน +1

      Subiri yakukute tuulize sisi haya mambouyasikie tu

    • @BrunoNamanga
      @BrunoNamanga หลายเดือนก่อน +1

      Nilizika mwanangu sintosahau miaka 27

    • @prezgal8869
      @prezgal8869 หลายเดือนก่อน

      ​@@BrunoNamangaalipatwa na nini?

  • @pataniabdallah9578
    @pataniabdallah9578 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee msambaaa wa mtae😂😂😂😂😂

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂mzee anaongea aibu anaona yeye anataman kujicheka uwongo wake

  • @SalhasaidMsellem
    @SalhasaidMsellem หลายเดือนก่อน +2

    KAMA MWANAO BONA UNACHEKA CHEKA MITIHANI TU HII Y M.MUNGU ATUHIFADHIE WATT WETU

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo baba mwenyewe naona km hao anaowasema😂😂😂

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 4 วันที่ผ่านมา

    Wala hainogi anaweza akawa baba yk sio hoja wamakonde Zanzibar wamejaa mpk kuzaa huko huko wamezaa mbona mpk wamekuwa wenyeji na wamachinga

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bg 28 วันที่ผ่านมา

    Baba zidisha maombia mungu atamuongoza usikatea tamaa mungu nimkubwa kweli yaumaa

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni huu ujinga'mnawafundisha nn watoto? Huyu mzee si mzanzibar 'mau ni mzanzibar. Acheni fakes news

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam หลายเดือนก่อน +1

    Si baba wa Mauzinde sie kabisa huyu ni mtu kutoka bara matamshi tu

  • @lizzybrownlizzy6094
    @lizzybrownlizzy6094 หลายเดือนก่อน +2

    we mtangazaji kuma sana, mm ni jirani wa babake mau zinde anaishi kianga unguja

    • @hatimmohamed4299
      @hatimmohamed4299 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli bwege sana huyu, sie baba yake huyu, halafu mauzinde hajazaliwa peke yake kwao, wacheni kutafuta viewers.
      Habari Jamii waongo

    • @yunushaji5327
      @yunushaji5327 หลายเดือนก่อน

      Kweli yupo Kianga. Alikuwa anauza hapo sokoni Kwa Haji- Tumbo. Babake Mi class mate wangu. Anaitwa Hussein Abdalla. Na Babu yake alikuwa anakaanga Samaki.

    • @husseinshenkawa7484
      @husseinshenkawa7484 29 วันที่ผ่านมา

      Ácha uongo babu mauzinde Anakaa raha leo

  • @mbaroukally8655
    @mbaroukally8655 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo so baake,si ni mtwana mmemuokota wapi

  • @maxneemanngunda4911
    @maxneemanngunda4911 หลายเดือนก่อน +2

    Nilkuaga nime subscribe hii media lkn naomba niwablock, mana kila siku habar za kisengesenge ndo mnaona vya maana

    • @MTANGACOMEDYTZ
      @MTANGACOMEDYTZ หลายเดือนก่อน

      We nae acha usenge wako hapa kama unataka taharifa za vifo si uende tbc huko

  • @kilungumsabaha3891
    @kilungumsabaha3891 หลายเดือนก่อน +2

    Liongo hili libaba😂

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l หลายเดือนก่อน +1

    Mtanganyika kashiba mihogo

  • @davidbandajr3444
    @davidbandajr3444 หลายเดือนก่อน +3

    Yesu Ndiye awezae kutuokoa

    • @MohamedIbrahim-bn1gz
      @MohamedIbrahim-bn1gz หลายเดือนก่อน

      tunangojea

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y หลายเดือนก่อน

      ​@@MohamedIbrahim-bn1gz wee endelea kumngojea mtume YESU hakuhusu 😏😏😏

    • @BrunoNamanga
      @BrunoNamanga หลายเดือนก่อน

      Hali ni mbaya huko Makabisani ogopa sana

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y หลายเดือนก่อน

      @@BrunoNamanga kwani kaongelea habali zaka nisa au YESU

  • @KhalidAli-nk5qh
    @KhalidAli-nk5qh หลายเดือนก่อน +3

    Huyu muongo mzandik

  • @KhamisMnemale
    @KhamisMnemale หลายเดือนก่อน

    Ila hizi kiki nyengine hovyoo kabisa Mau Zinde si mpemba mbona huyu kama mnyasa🤣

  • @pataniabdallah9578
    @pataniabdallah9578 หลายเดือนก่อน +1

    Mgosi iweee💃💃💃😂😂😂😂

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna ki2 km hicho,mxaxi mchongo,anakusaidia kwa kukuvua suruali,wewe mwenyewe umekaa kisengesenge.

  • @khadijasaid4983
    @khadijasaid4983 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu sio baba yake mau wapuuzi nyie

  • @nadrasalum6039
    @nadrasalum6039 29 วันที่ผ่านมา

    Kwanza mtuzima haitwi muonga sna kitendo cha kusema ana mtoto moja tu ni uwongo mkubwa haon hata aibu ukimuangalia macho tu unaona huyu mzee sie😂😂😂😂

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2ju 8 วันที่ผ่านมา

    Mm nataka akuchambe wewe mzee mpaka ukome.juzi alikua na dua ya babaake. Hanaelimu kubwa mauzinde, tena umuache mama wa watu, siomkeo.

  • @aminasoud7797
    @aminasoud7797 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni uongo sio baba ake

  • @moseskillagane160
    @moseskillagane160 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanini mnaleta masihala kwenye hii taaruma nyie acheni kuchezea taaruma za watu

  • @user-no7vx6vk4j
    @user-no7vx6vk4j หลายเดือนก่อน +1

    Acheni ujinga huo
    Musichafue Media kwa habari za uongo.....vijana wa bongo acheni kuigiza ujinga

    • @salhkasmm558
      @salhkasmm558 หลายเดือนก่อน

      Hamjamfahamu huyu baba anataka ushauri wamwanawe yupo kama mau.

  • @Shamun-u9r
    @Shamun-u9r 14 วันที่ผ่านมา

    Wewe baba auko siliadhi mbona

  • @christinashaban7262
    @christinashaban7262 12 วันที่ผ่านมา

    Zee jinga na anaekuhoji pia jinga kubwa

  • @MwantumuJuma-sp5rk
    @MwantumuJuma-sp5rk 25 วันที่ผ่านมา

    Mungu amuepushie huy kijana

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz หลายเดือนก่อน

    Lisemwalo lipo hamjasikia mwkiembe uchunguz,wk,hd kapeleka Bungeni,n hk shuleni,huyo Mzee anaongea kweli,

  • @salmakibwana3367
    @salmakibwana3367 22 วันที่ผ่านมา

    Sio mwanao mauzinde acha kutafuta kiki 😂😂😂

  • @GfgGgg-sc2uy
    @GfgGgg-sc2uy หลายเดือนก่อน

    wewe Babu muongo huyu simwanao mtangazaji wewe mpuuzi mauzinde Hana mama huyu Babu ana cheke😂😂😂

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 หลายเดือนก่อน

    MZEE SUBILI MATUSI YA NGUONI NA KUPANGWA KUPEWA PESA KIDOGO UTAJUTA MATUSI UTAKAYOPOKEA 😂😂😂

  • @mengikiguruwe6750
    @mengikiguruwe6750 หลายเดือนก่อน

    Huyu baba mwenyewe anaonekana mhusika mkuu wa kuharibika kwa kijana

  • @salahhddindasuvic6447
    @salahhddindasuvic6447 หลายเดือนก่อน

    Dah

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln หลายเดือนก่อน

    Hizi media nyingne za kisenge sana baba mtu anaonge kinyamwezi huyo shoga anaedai mwanawe ni mzanzibar .achani kutumalizia bando zetu uwongo2 huyu mzee amepangwa

  • @fatmamuhammed9713
    @fatmamuhammed9713 หลายเดือนก่อน

    Msaada omba kwa ALLAH mjinga ww

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂yan huyo baba daa nishida

  • @rahmarashid1670
    @rahmarashid1670 27 วันที่ผ่านมา

    We mzee huoni vibaya kusema uwongo

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv หลายเดือนก่อน

    Hakuna mzazi mwenye akili timamu awezae kufanya huu ujinga kwa waandishi wa habari la sivyo nayeye anapakuliwa

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2ju 8 วันที่ผ่านมา

    Kwanza huyo mauzinde babaake kasema amefariki sasa wewe uetokea wapi tena? Na mauzinde kashawahi kuoa kamuacha wewe baba tuambie ukweli,karibuni tu alikua anagombea urithi wa babaake. Mpaka akafukuzwa na dadazake ndani ya nyumba.kah ww baba

  • @adievega1933
    @adievega1933 21 วันที่ผ่านมา

    Huyu sio bab wa kutunga kweli

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz หลายเดือนก่อน +1

    Kijana Wako anataka matibabu

  • @rastapeace9616
    @rastapeace9616 หลายเดือนก่อน

    Huyu baba yake wa mchongo na yeye naona Kama shoga mwenzake duuh anataka kiki

  • @user-ds6me1eh7n
    @user-ds6me1eh7n หลายเดือนก่อน

    Unataka kufirwa tu na wewe kumanina😂😂

  • @HaroubAbdallah
    @HaroubAbdallah หลายเดือนก่อน

    Hahaha, huu mtihani kwanini sasa anafanya ivi nayeye mtu mzima

  • @ZuberSalum-mq4jy
    @ZuberSalum-mq4jy หลายเดือนก่อน

    Wasenge wachen ujinga tunapotezana msaada akamfile mwenyewe au fila neni nyie wawili ili mjue nn kinampoteza

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mauzinde kafika chuo 😂

    • @shadyahamad3724
      @shadyahamad3724 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅

  • @adievega1933
    @adievega1933 21 วันที่ผ่านมา

    Mbona kama uongo 😂😂😂 kutia aibu kweli anatia ila sio baba wa ukweli

  • @user-wc3yh9ct3z
    @user-wc3yh9ct3z หลายเดือนก่อน

    Sema nn ww mzee mm nakujua muuza kahawa tabata msimbazi wa huna mtoto acha njaa huu ni uongo

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 หลายเดือนก่อน

    MBONA KM UNAONGEA HUNA UCHUNGU KM UNACHEKA BALADA YA KULIAA!!😢

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 หลายเดือนก่อน

    Mau ni MVP wa mashoga wa TZ

  • @muhammadjuma8457
    @muhammadjuma8457 หลายเดือนก่อน

    IYO TV YENU HAINA MAANA ATA KIDO YA KUFUNGIWA KABISA KUANZIA LEO TV SIIKUBALI TENA

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน

    Sidhani kama ungekuwa mwanao kama ungeweza kuwa hapo dhahir

  • @duskodalla7117
    @duskodalla7117 4 วันที่ผ่านมา

    Sio baba yake mauzinde

  • @rahmarashid1670
    @rahmarashid1670 27 วันที่ผ่านมา

    Waongo kabisa huyo sio babaake kabisa jamani mnachuma dhambi

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS
    @USACAUDIOVISUALMATERIALS 26 วันที่ผ่านมา

    MAUZINDE NA MSAMBAA WAPI NA WAPI? HAMJUI HATA KUDANGANYA. HALAFU MZEE ANAONGEA HAWEZI HATA KUIGIZA HUZUNI😂😂😂😂😂

  • @mawlodafarida
    @mawlodafarida หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂huy bba wamchngo

  • @selinakatega6691
    @selinakatega6691 หลายเดือนก่อน

    Bado nalijadili hilo koti la mmiliki wa magali Halafu huyu baba nae upinde

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 หลายเดือนก่อน

    Mh pesa mbaya mpaka mtu mzima anakuwa msanii kama hivi taii. Koti tajiri msambaaaaa

  • @adamjonasi8078
    @adamjonasi8078 หลายเดือนก่อน

    Sijui mnapata faida gani kuleta content za uongo, tutaanza kuwaripoti sasa

  • @Sasasa-bl2qc
    @Sasasa-bl2qc หลายเดือนก่อน

    Lakin na wewe hukuharibu watoto wa wenzio ktk ujana wako, hebu jitafakari,? Kwani malipo ni hapa hapaaaaa

  • @LatifaTwaha-nm3tg
    @LatifaTwaha-nm3tg หลายเดือนก่อน

    Mshmba sanaaaaa hata kuvaaa hajui

  • @tatoo0098
    @tatoo0098 หลายเดือนก่อน

    Huyu sio babaake mau bwana 😢niwaongo 😮

  • @user-me5jv4fq4c
    @user-me5jv4fq4c 27 วันที่ผ่านมา

    Kitu kinacho sababisha ni utandawazi vitu vya kuleta hisia ni vingi na waziwazi watoto wanaona na kuiga

  • @stonetown578
    @stonetown578 หลายเดือนก่อน

    Mpumbavu wa maisha njaa itakuuwa.

  • @user-ew9cp4jh9e
    @user-ew9cp4jh9e หลายเดือนก่อน

    Wewe Mzee ni mshenzi TU pamoja na hiyo channel inayokuhoji washenzi wiote wawili

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyu nimzazi kweli am ni punguwan san jinga san wallah huyu ni mtuy wa unguja kweli hata ongea yake ya bara duuh

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน

    Anatoa siri angemuonya kimya kimya anamtangaza mjinga mkubwa

  • @wanimzur5597
    @wanimzur5597 หลายเดือนก่อน

    huyu ni mtu mzima lakini kwa kwetu humwita mtu mzima ovyooooo

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 หลายเดือนก่อน

    Sio baba mauzinde ana ndugu wengi na dada anayo

    • @salhkasmm558
      @salhkasmm558 หลายเดือนก่อน

      Mau ni mfano wa mwanawe anaombaushauri Mumbai mumsaidie amfanye nini

  • @user-rt7hr4ey2q
    @user-rt7hr4ey2q หลายเดือนก่อน

    Acheni uongo nyinyi huyu masi kabisa ungoooo

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 หลายเดือนก่อน

    Eti mwandishj wa habari hapo utanisaidia vipi??2

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 20 วันที่ผ่านมา

    Hiyu sio baba yake mau jomon uongo mtupu

  • @DikuMussa
    @DikuMussa 24 วันที่ผ่านมา

    Copy 😂😂😂😂nimecheka oshieee

  • @najashdawood9680
    @najashdawood9680 หลายเดือนก่อน

    Wewe sie baba wa mau mtoyo wa kimjini mjini...wewe ni limtu la tanganyika huko ...wacheni ujinga

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน

    Huyu msambaa mbona kama amepagwa vile. Siyokweli kabisa kapangwa huyu. Histoli ya uwongo

  • @user-yc6ri5jz9r
    @user-yc6ri5jz9r หลายเดือนก่อน

    Its pain

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l หลายเดือนก่อน

    Waongo nahuyu mtu wa bara acheni msenege

  • @user-sp2fq5xu6v
    @user-sp2fq5xu6v หลายเดือนก่อน

    Yaani usaidiwe na mwandishi

  • @wanimzur5597
    @wanimzur5597 หลายเดือนก่อน

    wacheni uongo itakusaidieni nini wacheni uanafik

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630 หลายเดือนก่อน

    Anatakiwa delvarence mlete Kanisani Hakuna lisilowezekana

  • @rahmarashid1670
    @rahmarashid1670 27 วันที่ผ่านมา

    Babake mtu wa heshma hawezi kutoka kwenye mitandio nyie waandishi wa media waongo

  • @keemome158
    @keemome158 หลายเดือนก่อน

    mnatudanganya

  • @wanimzur5597
    @wanimzur5597 หลายเดือนก่อน

    mtu mzima unasema uongo mchana lohh