SHEIKH:MSELEM BIN ALY HII NDIO HISTORIA KAMILI YA MAISHA YANGU YA GEREZANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2021
- #AdilAbdallah #DarsaLaShekhShahran
Karibu ujiunge nasi Adil TV. Adil TV nikituo kinacho onyesha Video tofauti kama vile Move,Tamthilia,Qaswida,Comedy Clip,Show n.k Ili kujiunga nasi bonyeaza SUBSCRIBE ili kupata video mpya kila tunapo ingiza. Pia weka komenti zako katika video hii. Napia TUNATANGAZA BIASHARA YAKO tupigie 0774 362 246
Polen sanaaa shekhe wetu inshallaa Allah akulipeni pepo tena frdausi
Shehe wetu bado tunakuelewa sana ALLAH atatulipia
Pole sana Sheikh wetu,
Kila Mahala Masalafiya jadidah ni mtiani sana
Allah akuhifadhi hapa duniyani na akupe pepo ya juu kwa rehema zake
Do!!! Yaani uliyokutananayo ndio maisha yetu waislam dunia nzima wallahi hii NI adhabu toka kwa Allah kwa kuwacha dini. Yaani umenipa funzo la kuogopa kushirikiana na muislam ila kwa tahadhari kubwa mno wallahi.
Mungu awaoneshe na wao hao walio watia ndan bila ya sababu yyote mungu awaoneshe hapahapa dunian Kila Alie shiriki kufanya hvyo
الله يحفظكم يافضيلة الشيخ مسليم علي وهكذ المسلمون داءما مختلفون.
Poleni sana masheikh wetu
Allah akulipe sheh wetu
Allah in shaa Allah atakulipeni
Asalaam aleikum Sheikh umeeleza vizuri sana lakini ulipotafsir "Ayat kursii" pale hakuna mtu wa kuombea ila. Muombaji apate radhi za Allah SUBHANA WATAALAH, "naomba mniweke sawa. Hapo
Hakika dunia ni chumba cha mtihani kwa muumini.Allh atawangaza wetesi kwa waumini.
Allah akulipeni
Subhana Allah
Allah akulipe mema saidi, akuondolee wabaya woote wauuni.
Amiin
Amiin
Wape dozi masheikh kula😊😊😊😊😊😊
Allah (S.W) hamtupi mja wake,hakuna mkamilifu n umetenda uliyojaliwa kadri uwezavyo .Hiyo n Mitihani y hapa Dunia.Na Uislam n Dini inayoongozwa n Kitabu Kitukufu Quraan,matendo yote y Mitume wetu Muhammad (S.W) n Quraan.Hivyo Mitume walipewa Wahyi n walifundishwa Kw kupitia Malika Jibril.
Rekebisha hapo bro Mtume wetu ni (S.A.W) sio S.W tafadhali kaka.
Allah akubarik sheikh
Pole sana sheikh mselem Allah atakusaidia
Ndio tatizo letu waislamu uongo ndio sera zetu.kichwa cha habari umetuambia ni historia kamili.Je ni kweli?
ATI Kisha tunatarajia nusra
Muongo weee na baba yako mulo wafunga mashekh wetu allah awakusameheni na akuongozeni
Huna lolote wewe abuu mjinga
Shukran
Mashaallah
Asante sana sheikh
Allah atakulipa
Allah Akbar
Eeeeeh mungu tulinde ss waja wko
Asant sana sheikh kwa kusema ukweli
Shukran. Al Akh Adil Abd. Ila mbona sio historia kamili kama tulivyotarajia
Assalam aleiykum Warahmatullaah Wabarakatul.
Dahhh! hatari sana jamani
Mimi nikupe pole sana lakini kwa jela sio waislam tu ni mfumo uliopo jela kuna watu wa usalma wanakuepo ktk makundi wana kuwa wafungwa au mahabusu na wakati mwingine hata mkuu wa gereza na askar awajui kwaiyo ni ngumu kufanya jumuia au kitu cha umoja ukiwa jela ila inshallah tumefahamu
Vichwa vigumu popote vipo !!ndio maana tunapata shida
Shari yako ioo dunian ndio her yko akhera na akher ndo itayobakia Allah ukulipe Pepo yote atayasahau Allah akudimishe ktka twaa
Sheikh Fareed yuko wp
Allah akupe malipo mema
Yaa rabbi nisamehe makosa yangu
ALLAH awavuwe hilii na jengineee
Amyn yaarabby😢😢
Asa unasemaje makafiri wew 😢 wakristo sio makafiri boya ww
Shekh Andika Kitabu#
Allah ni mlipaji wa yote
A alaykum naomba namba ya huyu shekh kwa aliyekuwa nayo japo nimpe pole
Ndo maisha.
❤❤❤
Danlood
Mayokeo
Tatizo linakuja kwa makundi fulani,kuupinga uongozi Saudi Arabia,na kuupiga vita na kuufitinisha utawala huu kwa waislamu,na hapa ndio mwanzo wa yote hayo,kuna wanaouzulia utawala huo ni wa kiyahudi,na mengine,na hilo Allah analishudia,jee Lina ukweli au Ndo tunamkasirisha Allah,Makka na Madina zipo Saudia,kuimarika kwa miji hiyo kunajionesha wazi,jamani hizi fitna ni za nini waislamu?tujiulize tawal ngapi zimepita,waislamu wanataka mtawala gani??.
punguza maandishi kwenye hizi klip boss wangu yanakera wanzio wanaweka neno moja tu au mstari mmoja tu hapo chini ya klipu
Sikiza sheikh tu, ndio bora,
Zuchu
Nyimbo
Mpya
Mashehe wetu múngu atawalipa
Oya
Yaani kumbe weye hujitambui itikadi yako niyaikhiwaanu msilimiina, inawezekanaje tuungane na mashia napote ambayo yanakwenda kinyume na Ahlu sunnat wal- jamaa?
Daah Hyyu kumbe mshia?
kwani mtume hakuunganisha waislamu wadunia nzima....shia no zao LA mgawanyo
Wewe chenga
Pooole
Nani mshia weee mhuni sheha mselem ahlu sunna waljamaa
UNAONGEA VIZUR SHEKHE, LAKINI NAOMBA UNAPOZUNGUMZIA NENO MAKAFIRI HEBU TOFAUTISHA NA KUITAJA DINI YA KIKRISTO , KWA KUWA MAKAFIRI NI WAPO, NA HAO MAKAFIRI SIO WAKRISTO WALA SIO WAISLAMU, kwa sababu ukafiri ni uovu Au ubaya, mbona sisi tunauhrshim uislam?
NIMEONGEA IVO KWA SABABU UMESEMA MAKAFIRI UKAUTAJA NA UKATOLIKI
Kafiri nikafir2 awe nimkirsto au laa wote nikufaar
Tujitahidi kuitafuta sheria ya alotuumba. Mtu asjihukumu kuwa yeye si kafiri pasi na kuheshimu muongozo wa Mwenyezi Mungu.
Mahana ya kafika ni mpinzani yani ni mtu yoyote anayepinga manenonya Mwenyezi Mungu ndoanaitwa kafili na kutaka wakilsto ni kuwasifia kwa umoja wao tofauti na waislam wameshindwa kuwa na umoja kama wakatoliki
😂😂😂😂😂pole saana
Dola Haichezewi,
Icho kitu hakiwexekani ata sikuu mojaa sunn hawexi kukaa nashia tena ixo fikira mxiondoshe kabisa fkra za kighawargy
Ulishawahi kwenda akhera ukaona huko uliko uko sasa mungu ndo mjuzi zaidi
Pole sana sheikh
Pole sana sheikh
Kweli wasomi wasio na maarifa mazuri wapo
Rudini katika manhaj ya Salafus swaalih acheni fikra za kikhawaarij
Kama wale wanaojitoa kwenye uongozi wa Demokrasia Ni Ukhawaariji, na wale wanao jitowa kwenye uongozi wa Kiislamu wanaitwaje?
Acha kutia Shubha kwenye Akili za watu. Walioitwa Khawaariij waliitwa kwa kujitoa kwenye uongozi wa Alii na Mua'wiyah ambao walikuwa wakiongoza kwa kitabu na Sunnah. Je hawa viongozi wenu wa nchi wanahukumu kwa kitabu na Sunnah? Mpaka muwaite watu Khawaariij kwa kujitoa kwenye uongozi wao.
Kama kujitoa chini ya kiongozi Kafiri haifai, mbona Mtume na Maswahaba walijitoa kwenye uongozi wa Abu jahl Makkah ? Si angebaki Makkah tu?
Tatizo lenu hamjalifahamu suala la Utawala na kubaki chini ya watawala katika Uislamu .Mtawala ambaye ukitoka chini ya Utawala wake Mtu huwa Khaarij, Ni Mtawala Muislamu, sio Hawa Makuffaar na Martadiin.
Kwa wao Wanavyoambiwa na mashekh zao Tanzania ni nchi ya kislam na wamekubali mashekh wanawafanya Kama mitume hawakosei Wana ushabik mwingi na majivuno kaz yao kubwa ni kuowa na kuacha wanawazazalisha mabinti za watu
@@karimulahiabdullahi6816 umeongea kitaalamu sana#
Mayahudi wametuletea masalafi ili kuwagawa waislamu na kwasasa wamefanikiwa kwa hilo.
Watu unawaita kafiri, unauhakika gani kwa mungu Bora ukafungwe Tena ili ujifunze
Kafiri inamaana pana wewe unachojua ni mkristo si uache kusikiliza
Ww deus sikulaumu kwani ww huna elimu hata muisilamu anaweza akawa kafiri sio mkristo tu mungu atakufanyia wepesi na ww utaenda jela kama ni vizuri kumtakia mwenzio abaki jela
😡😡😡😡😡😡
Huy deus ataka makwaju mshenz uyo
Sheikh wetu ataka arudshwe tena gerezani we deus mpuuzi nin NENDA ww uko gerezani!! Mshenz ww!!
Allah atakulipa