SHEIKH: MSELEM BIN ALY INAUMA SANA KWA TULIYO FANYIWA SIO HAKI KABISA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2021
- #AdilAbdallah #DarsaLaShekhShahran
Karibu ujiunge nasi Adil TV. Adil TV nikituo kinacho onyesha Video tofauti kama vile Move,Tamthilia,Qaswida,Comedy Clip,Show n.k Ili kujiunga nasi bonyeaza SUBSCRIBE ili kupata video mpya kila tunapo ingiza. Pia weka komenti zako katika video hii. Napia TUNATANGAZA BIASHARA YAKO tupigie 0774 362 246
Allah mkubwa.
Tumuombe mwisho mwema.
Amiin.
Kwa hakika kila nikisikiliza hzi clip hua macho yang yanatoka machoz na moyo wangu hua unauma sana kwa waliofanyiwa hawa mashekh zetu,lkn Allah ndie mjuzi wa yoote haya,Shekh Msellem nakupenda kwa ajili ya Allah
Khaki utapatikana tu ata kama sio apa dunian ipo siku tutaeejea kwa Allah kila mtu atalipwa kwaalicho kichuma
Allah ni mlipaji wa haki Allah atakulipeni kheri na waliofanya dhulma Allah atawalipa dhulma yao
Watu wa nakupenda kwa busara zako ALLAH akulipe kheri
Allah atawalipa in sha Allah
Allah Atawahifadhi inshaallah
Allah awape subra
Allah awahifadhi masheikh wetu
Allah akuondoshee mazito.
Mashekhe zangu poleni sana malipo mtakwenda kuyapata kwa mungu
Allah atupe mwisho mwema
Maisha yetu ni ya kijungu jiko, tunakupenda kwa ajili ya Allah
Subra muhimu ila msiwe nahofu Allah ashamtia mkononi alie kukoseeni hata duniani hayupo
MSHEKHE MSELEMU TUNAKUPENDA SANA NA TUNAWAPENDA NYOTE KWA AJIL YA ALLAH ATAWALIPA KHEIRY
😭😭😭dunian hakuna haki haswaaaa nchi zenycahnganyiko wa dini
Allah akulipe na sot tup pamaj na we
Allah atujaalie mwisho mwema
HAO WOTE VIONGOZI WANAFIKI WAOVU MADHALIM MWENYEZI MUNGU MKUBWA HAKI ATAILETA KABLA YA MAUTI YAO ADHABU KUBWA IWIFIKIE HAPA DUNIANI NA KABURINI AMEEN YA RABI ALLAMEEN IN SHAA ALLAH.
amin
so sad ndo mitihani ya dunia mungu aendelee kukulinda insha allah
Mashaallah
Inasikitisha
allah kareem
Kwahakika ujira wenu uko mbele ya Allah Kwa subra mlio kua nayo
Huu misikiti kama wa Muhammad bachu vile
Sio huwo
Hao mnaowaita makafiri ndio waliokuwa wakipiga kelele bungeni mkatoka
Katika mashetani kuna majini na watu.
Fredy Tanzania niyawaislamu wakristo na dini zote,kafiri ni neno kama lilivyo kaburu kaburu anaweza kuwa hata mtuu mweusi sio lazima awe mzungu,hii nnchi ikiharibika hatuna pakukimbilia kwahiyo tupiganie haki yakila mmoja wetu bila kujali imani ya mtuu
Hawan lolot ao ndo walikua hao wakiwaumiza
Waliokuwa wakipaza sauti ni wale wenye kujua ubinaadamu na wengine wakishangiria.Ni udhalimu na uvunjaji wa haki za binaadamu.Vipi utamweka mtu maabusu miaka minane eti uchunguzi unaendelea.mwisho wa siku hakuna kesi.
Ww tulia hakuna mjinga asiyeelewa nn kinachoendele tz mtake msitake historia ya kweli lazima iandikwe,wadai uhuru wanajulukana kulikoni wawe second class leo hii?