NINI KINAFATA BAADA YA KUFA? |SHEKH:MSELEM BIN ALY
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2021
- #AdilAbdallah #DarsaLaShekhShahran
Karibu ujiunge nasi Adil TV. Adil TV nikituo kinacho onyesha Video tofauti kama vile Move,Tamthilia,Qaswida,Comedy Clip,Show n.k Ili kujiunga nasi bonyeaza SUBSCRIBE ili kupata video mpya kila tunapo ingiza. Pia weka komenti zako katika video hii. Napia TUNATANGAZA BIASHARA YAKO tupigie 0774 362 246 - บันเทิง
Mashaallah mm huyu shekhe nampenda kuliko nnavojipenda mm kwa ajili ya Allah Allah tukutanishe sisi na waja wako wema na utupe hatma njema
Amiiin ❤
Faswaha wa Kuichambua Tafsiri ya Qur'an vilivyo Sheikh Mselem Bin Aly M/Mungu amjaze kheri Tunakupenda kwa Ajili ya Allah Sheikh Wetu.
Shekhe mselem bin alli allah akupe umri mrefu wenye manufaa kwa akhera yako na dunia pia ,uwe ni mwenye manufaa kwa watu
Allah akujaalie umr mrefu wenye neema kher barka na mafaniko
Sheikh msellem bin ally nakupenda sana kwa ajl ya Allah
Fundi Allah ameturudixhia ktka macho yetu alhamdulillah
MAASHALLAH NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH SHK MSELLEM ALLAH S.W AKULINDE
Subuhanallah yarabi tujaaliye mwisho mwema wajawako
Maashaallah tulikumisi shehe wetu
Allah akubarikini nyote masheikh wetu tuliowamiss muda mrefu
Sheikh yupo vizur mno anakumbusha kwa dalili na mifano
Umri wako uwe na manufaa sku zte inshallh
Yarab tupe husnlhatimaa wajawako
Huyu jamaaa fundi jaman achen masihara kabisa
Kaka sio mchezo she mselem anajuwa. ....Mana mm nlitegemea atakuwa kashasahu baadhi ya vit ila ndo kwanza amezd
Maashaa Allah
Mashaallah shekhe wetu
Mola amzidishie elimu ya dini na dunia
Hicho kipaji sio bahati
Mashaallah Allah akuhifadhi 😭😭😭kuamsha. Nafsi zetu yote unayozungumza tunapitia yaarabby tujalie kujenga aakhera yetu🤲🤲🤲
Allah akuifadhi sheikh
Alhamdulillah Quruan imetoka gerezan, Allah ampe siha njema
Alhamdullilah. Sauti tuliyoizoweya ktk tafsiri ya quran imerudi. Alhamdullilah. Barakallahu fyk.
th-cam.com/video/qjM_FIoJA1E/w-d-xo.html
Mungu azidi kukupa Ujuzi zaidi sheikh wetu
Fasaha la kutasir Quran,,,amerudi kwenye mimbar,,Allah amfanyie wepesi
th-cam.com/video/qjM_FIoJA1E/w-d-xo.html
Homgeraa sana mamaetu samiya allah akulipe ww na kizazi chako amin
Allah akupe umri mrefu sheikh wetu.
Subhan’Allah
Allah akupe kheir
MASHALLAH ALLAHUMMA BARIK
Allah akurefushie umri sheikh wetu na alipambe bongo lako na nur ya elmu
Masha Allah Allah akupe umri mrefu
Masha Allah Allah akupe pepo
INSHA ALLAH aamin
JAZAKA ALLAHU KHER SHEIKH ALLAH AKULIPE MALIPO BILA.YA HISABU NAKUPENDA SANA SHEIKH MSELEM UNAFAHAMIKA SHUKRAN SANA ALLAHU AKBAR
Allah akufanyie kwakila zito kwako liwe jepesi
Shukrni sna sheikh tuko pamja kutoka Kenya
Vp uko kenya mupo powa
Allah zidikumlinda hiyu fundiwetu aa rahasana shekhe wangu unajuasanaaaa
Mashallah Asante shekh wngu
MashaAllah
Allah tuwezeshe tuingie peponi inshaaaalah
In sha Allah ila juhudi tuioneshe ili kupitia juhud hiyo Allah atufanyie wepesi
Allah akuifadh shek mselem akupe umli mlefu
Alhamdulillah Neema imeturejelea
Kwa kweli shekhery umesemea kweli kabisa Allah atupe mwisho mwema
Yaaallah tujalie hatma njema sisi na masheghe w2 na utuingize peponi pmj na m2me wetu
@@khamisyussuf9645 AMIIN
Amiin allahumma amiin
Amin
Nuru imerudi znz Allah akupe umri mrefu
Barakallah fiiqum
Mashaallah
Mashallahh
Manshallah
Mim nimemuelewa vizuri kuhusu baada ya kufa nini kinafuata
mashaallah
Jaazakallah
Hii ndo quran tafsiri sio neno maana
Maashaallah tulikumisi shehe wetu
Mashaallah