Eeeeh Mwenyezi Mungu Linda kizazi chetu....waepushe n tamaa zote za dunia hii unaweza mlea mtoto vzur akaharbikia mikononi mwa marafiki shulen kanisan au mskitin. ....hamna sehemu salama isipokua kwako MUNGU .......Naamn MUNGU umeskia DUA HII AMEN
Aliyewatuma akamatwe na Hao Wanyongwe iwe funzo kwa wengine. Hakuna kula ugali wa bure huko jela. Wakirudi mtaani msije kuwalaumu wananchi wenye hasira
Wanasema eti “tunamlinda”, mnawezaje kusema mnamlinda wakati huo mnamuita kahaba!! Hii kitu imeniuma sana. Harafu eti walisema wamemuweka sehem wanampatia msaada wa kisaikolojia, wakati huo huo mnamuita kahaba! This isn’t fair at all
Umeonaeee ni kweli unachosema yani roho imeniuma Sana walivyomuhita kahaba alafu walimvalisha tisheti ya wafungwa ya orange je kahaba anavishwaje tisheti ya wafungwa na yule mwanamke aliyemuhita kahaba inawezekana akawa ndiyo afande mwenyewe aliyewatuma
@@raymondnlelwa427 Imagine RPC wa Mkoa anatoa kauli ya ajabu namna ile mpaka serikali kupitia IGP kuona aibu na kumuhamisha kikazi.Hii nchi inabidi reform ianze kuanzia wanasiasa mpaka Hawa watumishi wa umma.Kwanza hao 2 waliobaki ni wakina Nani? Na matukio Kama haya kwann rais yupo kimya?.Amani ya nchi hii Kuna siku itakuja kutoweka sababu ya chuki za wananchi dhidi ya watumishi na viongozi wao.Hawa watu ningekuwa Mimi sasa hivi ningewalambisha mchanga aisee.
Wewe hujui tamko la hukumu sio adhabu hao wanalindana hata wakitamka hukumu miaka 100 kesho wanatolewa sasa hapo kuna nini tatizo hii nchi inaendeshwa kishikaji sio tena kielimu
Binafsi namshukuru Mungu angalau tumewaona mahakamani... Mwenyezi Mungu aweke mkono wake,haki itendeke kwa yule binti jamani...Hiyo mijanaume ifungwe hata maisha na itakuwa fundisho kwa wengine.
Hivi hawa akili zao au ndio walitekeleza amri ya aliye watuma maana haiingii akilini wqsomi Tena wakada yao. Haya ngoja tusubiri labda wenyewe watamtaja aliye watu kama walitumwa ila kama niakili zao basi wapewe haki sitahiki bila huruma.
Hao kesho wapo nje mana hiyo serekali yenu wengi wazinifu na mabasha na masenge wamo kwa hiyo hapafanyiki kitu.bora mtu uchukue hatuwa mikononi tia mapanga basi au zamisha machiti ya nyuma na wao fureshi tu
Angekuepo magufuri angeamua kila apo apo kusingekua na hizo rongolongo ....wakamatwe wawekwe ndani miaka kadhaa na faini kadhaa kwishaaaa ....sasa mmeanza kutafutizaaa vitu vyaajabuajab tu
Yhn Allah alitaka kuwahukumu na kuwadhlirisha hapa hpa duniani maana kitendo cha kujirekod kwa selfie walijua wanamkomoa bint kumbe nao wamejiingiza kwenye mfumo pasipotegemea Allah analipa duniani wallah😢 Yhn ingekuwa amri yangu wanyongwe mpk kufa😢😢
Ktk video walionekana wa5 , lkn wao wanajua walikuwa wangapi . Na room ya kufanyia huo ujinga waliorganize na nani ..... yaan fagio lipite na wote walioshiriki.
Kwani kurecord na kurusha mitandaoni sio moja ya makosa ? Kama kubaka ni kosa moja na kulawiti ni kosa jingine , basi hata kurecord na kurusha mitandaoni ni makosa mengine . 😢😢😢
Wamekana vp wakati video zinaonyesha tena wafungwe milele laana ao naniwashezi na mungu awalaani wao na vizazi vyao mungu tenda miujiza yako lnshaallah
Kazi wanayo wanasubiriwa nyumba kubwa na wanaume wenye upwiru malipo ni hapa hapa duniani walikua hawajui washamba hao kwanza mioto yao yenyewe ni ya kupepea wasenge hao
Shida Tanzania tunadekezwa sana jitu limefanya maovu eti jera watu wamezoea sana mbona maovu yamezidi sana tubadilishe sheria mbona watu wanajiamini sana kufanya matukio yakutisha
Unambiwa kuw usipokuwa star 🌟 unaweza kufanya kaki2 ambako kanaweza kukufanya ujulikane zaid na ukapata umaarufu mkubwa sana ! Ko hawa jamaa wamekuwa mastar kwa mda mfupi sana mana kila m2 anataka kuwa jua ! Hongera vjana kwa kaz nzur 😅😅japo badiliken unapofanya v2 kama vile hakiksha ukimaliza unajiuwa lakn ety urecord ukimbie na sura inaoneka nchi hii n uongo bana!!😅😅
Naiomba jamhulinya muungano wa Tanzania ikiwapamoja na mahakama hawa watu wapelekwe jera kamamimi ningekua akim au lais wahichii wangepewa adhabu Kali nakwendajela
Eeeeh Mwenyezi Mungu Linda kizazi chetu....waepushe n tamaa zote za dunia hii unaweza mlea mtoto vzur akaharbikia mikononi mwa marafiki shulen kanisan au mskitin. ....hamna sehemu salama isipokua kwako MUNGU .......Naamn MUNGU umeskia DUA HII AMEN
Aliyewatuma akamatwe na Hao Wanyongwe iwe funzo kwa wengine. Hakuna kula ugali wa bure huko jela. Wakirudi mtaani msije kuwalaumu wananchi wenye hasira
Duuuuuue, watu wengine hata Shetani anawashangaa.
Kabisa mtu anakuwa kama mnyama!
😂😂😂
@@Ashrey82si Kama n wanyama
Kabisaa
Ujui kitu tulia
Vijana waovyo sana hao wapewe adhabu kali ili iwe funzo kwa wengine
Na huuo mwanamke aliewatuma akamatwe,mishenzi Sana hiyo,Ahsantw Rais wetu na mama gwajima kazi nzuri
Ukiwa na Yesu huwez kutana na ujinga huu. Waliozin, waliobaka, na aliyelipiza kisasi , haya yote yanakufata ukimkataa Yesu.
Hao wakienda gerezani na wenyewe watafanyiwa kama walivyomfanyia huyo binti,,Ni huzuni kwa kweli
Wamtaje aliyewatuma, au binti aulizwe huyo mzee aliyekuwa anatoka nae kwaajili ya kumpata huyo aliyewatuma
Akikusikia kazi unayo
Kbs yn ivyo ndo inavyo takiwa
Bint yupo chini ya miaka 18 pia yule bwana nimtuhumiwa kwa kumrubun mtoto pia yule alie watuma nimtuhumiwa namba Moja yupo wap na anafanya nn?
Kabisa yani akiojiwa yule binty ndio tutamjua huyo mwanamke
@@block24tv60naaje watukamate wote
hawa nahis walitaka wamtumie yule mama kwamba kazi wamemaliza ila wakajikuta wamepost mtandaoni😂😂😂😂wauwawe
Wanasema eti “tunamlinda”, mnawezaje kusema mnamlinda wakati huo mnamuita kahaba!! Hii kitu imeniuma sana. Harafu eti walisema wamemuweka sehem wanampatia msaada wa kisaikolojia, wakati huo huo mnamuita kahaba! This isn’t fair at all
Umeonaeee ni kweli unachosema yani roho imeniuma Sana walivyomuhita kahaba alafu walimvalisha tisheti ya wafungwa ya orange je kahaba anavishwaje tisheti ya wafungwa na yule mwanamke aliyemuhita kahaba inawezekana akawa ndiyo afande mwenyewe aliyewatuma
Tunataka hukumu stahiki ili iwe funzo kwa wengine na boss wao pia tunamtaka
Hawa ilitakiwa walawitiwe kwanza halafu wapigwe misumari ya kichwa mpaka vifo, ili.iwe fundisho kwa majeshi yetu ya ulinzi na usalama.
Huyo bosi wao anatakiwa anyongwe hadharani
@@raymondnlelwa427 Imagine RPC wa Mkoa anatoa kauli ya ajabu namna ile mpaka serikali kupitia IGP kuona aibu na kumuhamisha kikazi.Hii nchi inabidi reform ianze kuanzia wanasiasa mpaka Hawa watumishi wa umma.Kwanza hao 2 waliobaki ni wakina Nani? Na matukio Kama haya kwann rais yupo kimya?.Amani ya nchi hii Kuna siku itakuja kutoweka sababu ya chuki za wananchi dhidi ya watumishi na viongozi wao.Hawa watu ningekuwa Mimi sasa hivi ningewalambisha mchanga aisee.
Wewe hujui tamko la hukumu sio adhabu hao wanalindana hata wakitamka hukumu miaka 100 kesho wanatolewa sasa hapo kuna nini tatizo hii nchi inaendeshwa kishikaji sio tena kielimu
Hakuna haki hapo mmesha tufanya sisi watanzani majinga
Haki ipo mbinguni peke yake na Wala sio duniani💔🫶🙏
nani anauhakika na haki iko mbinguni
We vipi
@peterkabekem8mi362
Uyo wambele na ufupi uwo alijionea huruma jmn
Jeshi lenyewe ndo kwanza wanasema alikuwa anajiuza hadi unashangaa natamani angekuwa binti ya mkuu wa polisi labda wangejua maumivu
Inasikitisha sana
Walikuwa wa5 mmoja yuko wapi, hajapatikana..... Ameenda wapi ??? Atafutwe hadi apatikane
Sawa mkuu tutamtafta 😅
😂😂😂😂 bila kusahau boss wao
@@alitante4279nimecheka😂😂
😅😅😅😅
@@alitante4279Daaaaah 😂
Chinja..kodi yangu isitumike kuwalisha huko jera. PLEASE!!
Alihamdulinllah mungu ni mwema wameshikwa na mmoja atafutwe apatikane na boss wao pia
Emwenyezi mungu wanusuli watoto wetu
Yaani hapo waulizwe alie watuma nae tumuone na wote wachukuliwe hatua kali kwani itakuwa kama funzo kwa wengine
Binafsi namshukuru Mungu angalau tumewaona mahakamani... Mwenyezi Mungu aweke mkono wake,haki itendeke kwa yule binti jamani...Hiyo mijanaume ifungwe hata maisha na itakuwa fundisho kwa wengine.
Angekuwa makufuri yupo kesi ingeisha mapema nayure arisema arikuwa anajiuza kazihana lakinisasa mungutusaidie
Adhabu ni mbili tu wakalie chupa na wao au wapige nyeto wakidisa unapiga ruler za mboo ikisinyaa unapiga nheto tena ivo ivo
Yan hawa mbwa haki itendeke kwa kweli wamemdhalilisha san yul dad
Alowatuma mbona atumuoni yye ndo msababishaji. Achukuliwe atua haraka
Vizuri sana tu naomba na alie watuma lazima achukuliwe nayeye iwe fundisho Kwa mwengine
Icho kifupi si ndo kilikua kinajiona kibabe kinajiselfisha kabisa kione kilivyo😆 jamani em fanyeni haraka hii mijitu ikanyee ndoo uko.
JUSTICE MUST BE SERVED...
Hongera sana jeshi letu
Hawa wasiachiliwe wafungwe maisha ili iwe funzo kwa wengine.
HIVI KWANINI WATANZANIA TUSIANDAMANE HUYO RPC AFUKUZWE KAZI? JAMANI HAKI ZA WANAWAKE MPO WAPI? HAKI ZA BINADAMU MPO WAPI 😢
Acha ujinga wewe hujui kilicho nyuma ya pazia
Tatiz hap Tanzania ukiwa mtumish ukikosea unahanishwa ndio maan wat hawan nidham.na kaz
Tayari ameshaamishwa ktk kitengo chake kwa matamshi yake
Tutaandamana kwa mangapi ndugu yangu kila kona kuna wanyonge wanalia,watu wanapotea na hawapatikani shida tupuuu
@@Chettymlambalipsi-lb9km asante wewe mwerevuu
Hivi hawa akili zao au ndio walitekeleza amri ya aliye watuma maana haiingii akilini wqsomi Tena wakada yao. Haya ngoja tusubiri labda wenyewe watamtaja aliye watu kama walitumwa ila kama niakili zao basi wapewe haki sitahiki bila huruma.
Aliye watuma mbona haonekani.
Yeye ndio atafanya michakato watoke hao maana ndio afande kisha itakuwa anaukubwa ukubwa serikalini na ndio hajashikwa
Cndio kes inaanza watamtaja nafikiri ila ilipaswa akamatwe kwani inajulikana hao mafala walitumwa
@@EmmanuelMsangi-kb3vv ni kweli.ila nina wasiwasi.kama wana kana kosa.maana yake watapambana wao
@@EmmanuelMsangi-kb3vv Ndivyo ilivyo uwa wametumwa kwa mujibu wa ushahidi wa clip yao wenyewe.
Kwani kuna haja ya ushahidi Hao siwanatakiwa kwenda moja Kwa moja jela jmn, nitashangaa kama watashinda hii Keshi aixee
Mungu amtie nguvu muhanga .
Yaan wanavotembea na kujiamini duh😢
Manjemba makubwa hivyo jamani na Binti ni mdg tu jamani tendeni haki na nchi ibarikiwe
Safi sana sweka ndani pumbafu hao
Mungu mwema tusiwaone ulaiani watajuta.
Yaani Hawa wangenyongwa hadharani mpaka kufa Ili iwe funzo kwa wengine.
Hao kesho wapo nje mana hiyo serekali yenu wengi wazinifu na mabasha na masenge wamo kwa hiyo hapafanyiki kitu.bora mtu uchukue hatuwa mikononi tia mapanga basi au zamisha machiti ya nyuma na wao fureshi tu
Hapo sawa lazima haki itendeke
Hivii hawa wavulanaa hawana wazazii au ,,walilelewajee,,aau walilipwaa sh ngapii ,mpaka hawakuogopaa,,jee naa alieewatumaa,,
Aliyewatum hana kosa ukiambiwa kula mavi utakula jifunzeni
Dhamana tena kwa kosa hilo ....?
Basi sheria zitakuwa ni sanaa tu za unyanyasaji . Usenge ule waliofanya hao jamaa bado wanatakiwa dhamana .
Angekuepo magufuri angeamua kila apo apo kusingekua na hizo rongolongo ....wakamatwe wawekwe ndani miaka kadhaa na faini kadhaa kwishaaaa ....sasa mmeanza kutafutizaaa vitu vyaajabuajab tu
ILE NGOMA YA JAIVAA
Mtoto kautaka.
Wakisikilizishwa labda itasaidia kuharakisha kesi.
Kajamaa kumbe kafupiii
Waze wa utelezi wameteleza sana 😊
Sasa mbona camera mani wapo chapu chapu shida nini wavueni nguo muwaache uchi waangariwe km movie 😂😂😂😂
Asante mungu
Ila tunataka tusikie baada ya mahakama watamalizaje atutaki jambo lije liwe kimya
Yhn Allah alitaka kuwahukumu na kuwadhlirisha hapa hpa duniani maana kitendo cha kujirekod kwa selfie walijua wanamkomoa bint
kumbe nao wamejiingiza kwenye
mfumo pasipotegemea Allah
analipa duniani wallah😢 Yhn ingekuwa amri yangu wanyongwe mpk kufa😢😢
Na huyo aliyewatuma pia akamatwe
Hapo vijana WA hivyo hawafai kukaa uraiani hao kifungo cha maisha
Ktk video walionekana wa5 , lkn wao wanajua walikuwa wangapi . Na room ya kufanyia huo ujinga waliorganize na nani ..... yaan fagio lipite na wote walioshiriki.
Nachoshangaaaaa ety ni wanajeshi wa jwtz daaaaah 😢😢😢😢 nimelia sana
Nawaza uyu dada aliyefanyiwa unyama ule atawezaje kuomba ata kazi apate kma amesoma, na vipi jamii inayomzunguka atawezaje kuishi kwa amani 😢
Huu unyama waliomfanya huyo msichana kwa kweli sheria iwahukumu sawa sawa na makosa yao.Ukatili mbaya sana utafikiri hawana dada kwao.
Wanyongwe hao manina zao,mmoja hayupo jao walikuwa watano
Kwani kurecord na kurusha mitandaoni sio moja ya makosa ?
Kama kubaka ni kosa moja na kulawiti ni kosa jingine , basi hata kurecord na kurusha mitandaoni ni makosa mengine . 😢😢😢
Kama upelelezi umekamilika mbona wawili wahusika hawaonekani uyoo afande na uyo mbakaji tunataka tumuone jamani
Hawa wanasafirishwa kwa gari nzuri, isiyopitisha baridi tofauti na Mbeya. Hawajapigwa wala kurushwa kwenye gari.
Dah!
Hamna kec hapa
Yan cjui nafikiria kitu gn lkn moyo wangu unaogopa sana kwahabari ya hili jambo 😮😢
Wamekana vp wakati video zinaonyesha tena wafungwe milele laana ao naniwashezi na mungu awalaani wao na vizazi vyao mungu tenda miujiza yako lnshaallah
Ety wamekana mashtaka 😂😆😆
Kwan kukana maana yke ni nn?!!
Kazi wanayo wanasubiriwa nyumba kubwa na wanaume wenye upwiru malipo ni hapa hapa duniani walikua hawajui washamba hao kwanza mioto yao yenyewe ni ya kupepea wasenge hao
Uyo mama aliesema anajiuza alatumwa. na nani mana mi mwenyew nashangaa ujinga aloongea tena yuko makini kabisa kuongea ujinga wake
Anza kuhesabu namba hapoooooooooooooo,,mule mule serikali mmetishaaa
Yaani wanaume 😢hivi Kama mwaume mwenyewe akili unawezaje kuchangia sehemu za siri kwa mara moja
Eti ,.....usalama wa watuhumiwa daah Tanzania
Kamtu kenyewe kafupi kama nn kwanza kalipitaje kwenye usaili wa jeshi
Mbona wanatembea ki boss kabisa hawajafungwanpingu ivi jamani nikweli ndio hawa
Kimsigi huyo bint asimamiwe na watu wahaki za binadamu
Mimi nashindwa kuelewa arieye tuma picha ni hawo hawo au ni boss wawo
Huyo alie kua anaipuliza bangi mwenyewe mfupi kama mavi ya asubuh 😡😡
Afande aliyewatuma yupo wapi mbona hazungumziwi
Shida Tanzania tunadekezwa sana jitu limefanya maovu eti jera watu wamezoea sana mbona maovu yamezidi sana tubadilishe sheria mbona watu wanajiamini sana kufanya matukio yakutisha
Binafsi nimekuwa disappointed na mahakama! Haiwezikani makosa mawili kwa ukatili uliofanyika kwa bint.
Kosa la kwanza kuteka la pili kubaka kwa kundi,kosa la tatu kumuingilia kinyume na maumbile
Mimi ndio nimeskia vibya au wamekana au wamekiri😢😢😢😢😢😢😢
Hii ndo Tanzania tunayoitaka sasa, mtu akifanya kosa awajibishwe ili na wengine wasiendeleze kuepusha vizazi vya laana
Ipo siku atakuja kufanyiwa bint wa polisi halafu tuone kesi inaisha vipi
TUNAOMBA HAKI ITENDEKE NA WAPATE AZABU KALI ILI LIWE FUNZO KWA WENGINE.
Aliyewatumabona mmemficha nae akamatwe nae ahukumiwe.hapo hakuna hakuna kesi kuongelewa hapo ni hukumu tu.sababu kila kitu kipo wazi
mkamateni na aliyewatuma kwann yeye hachukuliwi sheria
Aliyewatuma yu wapiiiiiiiii😭😭😭😭
Tandika 30yrs jela iwe fundisho.
Yule shetani mama RPC amedanganya watanzania hamna police kwenye hiyo kesi, ilitakiwa afukuzwe kazi kwa kukosa uadilifu
Sasa jamani wanacheleweshwa nini? Ushahidi upo, uchunguzi gani tena???? Hao ni maisha au miaka 30 au kunyongwa, upelelezi gani tena????
Kwann wasingebakwa na wao
Na hukumu itatoka kuwa wamekutwa hawana hatia ila bint alikuwa kahaba😂😂😂😂😂ila nchi ngumu hii🙌
Ivyo ivyo
Wote ni 6 watano wabakaji na mmoja boss wao
Unambiwa kuw usipokuwa star 🌟 unaweza kufanya kaki2 ambako kanaweza kukufanya ujulikane zaid na ukapata umaarufu mkubwa sana ! Ko hawa jamaa wamekuwa mastar kwa mda mfupi sana mana kila m2 anataka kuwa jua ! Hongera vjana kwa kaz nzur 😅😅japo badiliken unapofanya v2 kama vile hakiksha ukimaliza unajiuwa lakn ety urecord ukimbie na sura inaoneka nchi hii n uongo bana!!😅😅
Naiomba jamhulinya muungano wa Tanzania ikiwapamoja na mahakama hawa watu wapelekwe jera kamamimi ningekua akim au lais wahichii wangepewa adhabu Kali nakwendajela
na usikute jamaa wanashinda kesi maana hii nchi , ngoja tuone hio ijumaaa watasema nini
Uyo alowatuma ndo muhimu na ndoanayeitajika zaidi jamani 😥
Hasa boss wao afikishwe mahakamani
Vipi yule afande mbona atuoni mrejesho wowote kumuhusu
Du wamekutwa na ajali mbaya sana hawa vijana, sijui wanajutaje mioyoni mwao
Sawa kabakwa ila na yy muda huo alikuwa wapi? Au ni mtu wao ?
Machozi yananitoka jamani
Yaani hata hawana wasiwasi maana wanajua soon Afande anakwenda front line kuwapigania dah Tanganyika Tanganyika Tanganyika 😢
Millado ayo naomba namba ya huyu wakili nna jambo langu