Kisima cha Milioni 600 na hakitoi maji, MAKONDA ambananisha mtumishi idara ya maji ARUSHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 78

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 3 หลายเดือนก่อน +4

    Funga wote hao wala rushwa ndio wanaharibu nchi ....Makonda Upo vzr kiongozi tukipata watu kama ww nchi itakuwa nzuri na salama na watu itafika mbali..

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwanangu hapo fedha m.l 600 hizo wamekula halafu kisima wamekitelekeza bila maji. Kuna maana gani hapo kuwepo hicho kisima. Hao Mwanangu:Mtan wangu hao kula nao sahan moja:wezi tu.❤❤❤❤❤👍👍

  • @stephanSandika
    @stephanSandika 4 หลายเดือนก่อน +4

    Anko alikuwa akifukuza watu mnasema dicteta Kwa hari hiii Anko alikuwa sahii

  • @astrinomgesi-np5xv
    @astrinomgesi-np5xv 4 หลายเดือนก่อน +7

    Inchi ipo sawa tukiwa na Mkuu wa mikoa yote Makonda 🎉

  • @ElisanteNjau
    @ElisanteNjau 4 หลายเดือนก่อน +9

    Mh.Makonda Mungu akuweke mzee unaijua kazi sana...taratibu mpaka kieleweke

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 4 หลายเดือนก่อน +20

    Nyie watumishi muwe na huruma na binaadam wenzenu mpo kwenye wizi utazani hamfi ukifa kila kitu utaacha makaazi yako chini ya ardhi na unawekwa porini mjitasmini watumishi wa uma dunia mapito tu

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 4 หลายเดือนก่อน +2

      umemaliza kbs I like your comment!

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 4 หลายเดือนก่อน +1

      Huzikwi na kitu lakin sielewei biandam tutalidhika na lipi watu wanaishi vizuri lakin hata kidogo cha jamii wanakilamba chote mwisho ukifa wanaobaki ni migogoro na hakuna faida yoyote

  • @breksalim6349
    @breksalim6349 3 หลายเดือนก่อน +3

    Njia ni moja tu MH Makonda.Tuweke sheria kali kwa ubadilfu wa fedha za wananchi.sheria itakapokuwa ni kunyongwa,wataishimu hizo fedha

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 4 หลายเดือนก่อน +16

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣milioni miasita jamani mtuurumie jamani hizo nikodi zetu daah😭😭😭

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @kunsah2
      @kunsah2 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli kabisa.

    • @kunsah2
      @kunsah2 4 หลายเดือนก่อน

      It's very, very sad.

    • @edisonemmanuel-
      @edisonemmanuel- 3 หลายเดือนก่อน

      Wanajisahau tu wakishapewa ofici ndo wanakuwa wao sasa

    • @edisonemmanuel-
      @edisonemmanuel- 3 หลายเดือนก่อน

      Wanajisahau tu wakishapewa ofici ndo wanakuwa wao sasa

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 4 หลายเดือนก่อน +5

    Makonda....maswali Yako ni ya msingi Hadi panapovuja panaonekana hata kwa kipofu....ofsini kalamu inaiba sana

  • @NuruBene
    @NuruBene 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa kweli Mimi nafikilia tungemuomba mhe rais wetu dkt Samia kma ingempendeza angependekeza makonda hawe mkuu wa mikoa wote ya Tanzania azunguke Ili kutatua changamoto mbali mbali za wananch Hawa wanyonge na masikin akika wanamengi ya kesema ila akuna pakusemea mi Namin Ili linawezekana mama akiamua kma alivyo Fanya kw nafasi ya mhe naibu waziri mkuu Veo viwili na tunaona kazi nzuri ya mhe naibu waziri mkuu umeme sa unaptkana dkt Samia dkt biteko woyeeee kzi iyenderee?

  • @HellenSulle-m7t
    @HellenSulle-m7t 4 หลายเดือนก่อน +7

    Bora tu mtumbuliwe kwa sababu mnafaidika na pesa ya wananchi bado hamuwathamini

  • @NuruBene
    @NuruBene 4 หลายเดือนก่อน +2

    Dkt Samia woyeeee makonda woyeeee kzi iyenderee na c morogoro tunatamin mkuu wetu wa mkoa awe kma makonda, akika morogoro uwozo mwingi na upgaji mwingi,

  • @mabulamanonga8722
    @mabulamanonga8722 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera makonda.kwautumishi wako mugu yupo pamojanaww amee

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 4 หลายเดือนก่อน +7

    Viongozi wengi wa hii nchi ni wezi

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097 4 หลายเดือนก่อน +3

    Huu mwaka mtasema,na mtasema sana....MAKONDA VIVAAAA

  • @AdamuAbdul-y3b
    @AdamuAbdul-y3b 4 หลายเดือนก่อน +3

    Arusha hatimaye tumefikiwa 🤸‍♂️🤸‍♂️

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tunataka viongozi wa Tanzania waige mfano wa makonda,na si kulinda ufisadi, RIP JPM

  • @lemmywanjeh4366
    @lemmywanjeh4366 3 หลายเดือนก่อน

    Am from kenya lakini nauliza 600 million ya tanzania inachimba kisima moja

  • @AlphonceJumanne-y1y
    @AlphonceJumanne-y1y 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda kiukweli upo vizuri 🎉

  • @JosephEmmanuel-eb7gj
    @JosephEmmanuel-eb7gj 4 หลายเดือนก่อน +3

    The next president

  • @mangakwigema
    @mangakwigema 3 หลายเดือนก่อน +2

    Maswali ya msingi sana asiyeona panapovuja ana lake jambo😊

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli jamani kima cha milioni mia sita hata maji wanaichi hawapati hii ni shida ya watumishi wengi wanapenda wizi kuliko kuwajibika kwa wanaichi

  • @sistajeremiakalinga5436
    @sistajeremiakalinga5436 4 หลายเดือนก่อน +4

    HeLa xinachexewa wanafungwa wexi wa kuku jela. Duu eeemwenyexi mungu

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa Tanzania niifahamuyo hiyo siyo news, ni kitu Cha kawaida kabisa!!
    Kwani Mkaguzi mkuu wa hesabu za umma C.A.G na kazi gani?

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nauliza Rais wetu Dr Samia,hayayanayo fanywa nawatumishi wake kwenye miradi wanavyo watesa watanza nia kunywa maji ya hovyo je anaona, pesa zinavyo liwa anaona, napatapicha ndio maana makonda alipokuwa katibu mwenezi kunawatu wameona wata haibika ,wakaamua kumpa ushauri Rais amtoe kumpeleka makonda kuwa rc arusha, kumbewanao fanya wizi sio hawa watumishi wadogo hawa kuna wajuu yao wanaiba pamoja nao, angekuwa naile nafasi tanzania nzima ingenyooka, okay sio mbaya tulikuwa tunamfutilia kila anapokuwepo makonda, lakini sasa tumeamia Arusha ndio kwenye habari, Mungu aitetee Tanzania

    • @ErizicDaud
      @ErizicDaud 3 หลายเดือนก่อน

      Ndio utawala walio wanautaka Sana watumishi usio fatilia hayo JPM alichukiwa kwa ufutiliaji wake acha wajipigie Sasa makonda pekeake ana pambana wengine wanetulia tu mikoa mingine Sana wanamjadili kwa ubaya tu kuwa anajipendekeza .makonda chapa kazi mungu atakulinda

    • @aliabdallah8456
      @aliabdallah8456 3 หลายเดือนก่อน

      Kwa kweli mama yetu anatakiwa awe mkali hii ichi bila kuwa mkali uiwezi majizi ni mengi sana

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mpambanaji Makonda Hapa Ndipo Nchi Yetu Ya Tanganyika Imefikishwa Na Hao Viongozi Wa Juu Wa Taifa Letu.Kumbuka Huu Usemi:Kila Mtu Ale Kulingana Na Urefu Wa Kamba Yake.Je Unaukumbuka Huu Msemo????

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hii inaitwa jino kwa jino makonda lala nao sambamba hao watumishi wa hovyo

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani hawa WaTZ ni majizi sanq hakuna wakumuamini hata huyo awesu ni shida tu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 หลายเดือนก่อน +1

    M.l.600 mhmhmhmh Mwanangu hapo si kweli

  • @EmilyMsacky-hq9qy
    @EmilyMsacky-hq9qy 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi hichi kisima ni Mt ngapi zinachimbwa kwa mil 600?wakati wachimbaji kawaida wanachimba Mt kw sh 100000,150000,na Kuna magari ya kuchimba maji ya serikali ,tufafanulieni vizuri mil 600 kwa kisima kimoja inakuwaje?

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 หลายเดือนก่อน

      Hatari!

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 หลายเดือนก่อน

      Hii, hivi km 900 ndio kupeleka Maji. Hii ni zaidi ya kisima kipo Mtende Kusini Unguja Zanzibar upeleke maji Makuwe Kaskazini Pemba bado ni karibu. Nani aliyesema tuungane.

  • @romwaldoamsi2783
    @romwaldoamsi2783 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hii nchi ngm

  • @JushuaBugali
    @JushuaBugali 4 หลายเดือนก่อน

    Ivi mama kwann ulimtoa makonda kwenye uenezi ungemwacha aendelee kuzunguka nchi nzima

  • @medylui5492
    @medylui5492 4 หลายเดือนก่อน

    Duh 🙄 mbona huku mitaani kuchimba kisima kuweka pampu na tank mbona ht haifiki milioni 6 watumish wa serekali mnatuumiza sisi wananchi walipa kodi na ndyo maana kla siku kodi zinazidi tu tuhurumieni na sisi

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 4 หลายเดือนก่อน

    Yani mheshimiwa huo ni wizi mkubwa sana milioni mia sita zimeisha na maji hayatoki daa kweli hii nchi imekuwa shamba la bibi kwanza waulize kina urefu gani😭😭😭😭

  • @NeemaMwangobola
    @NeemaMwangobola 4 หลายเดือนก่อน +1

    Pole makonda baba...mungu akulinde ktk yote.

  • @SaidHassen-gf5tx
    @SaidHassen-gf5tx 4 หลายเดือนก่อน

    Million mia sita jamani mwee cyo kwa kuzitafuna hukofwezwa dah nyny NY nyiny .million mia sita kwa kakisima hicho ?

  • @kinotasontravel2093
    @kinotasontravel2093 3 หลายเดือนก่อน

    Ni Shida madudu ya mafinyofinyo watu wanaramba asali

  • @musaamos2431
    @musaamos2431 3 หลายเดือนก่อน

    Nchi ya wapigaji

  • @SelijusiMalambo-ur6cr
    @SelijusiMalambo-ur6cr 4 หลายเดือนก่อน

    Wizi mkubwa huyo nomwizi kwakawaida tunachimbiwa visima milioni kumi ishilini hicho kinaulefu gani kinafika kenya ulefu

  • @GovenronMichael
    @GovenronMichael 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu yupo pamoja nasi

  • @masatumtani1588
    @masatumtani1588 4 หลายเดือนก่อน

    Dada anajua km 900 hiyo Dar to Songea

  • @JohnKilagini
    @JohnKilagini 3 หลายเดือนก่อน

    Kaz indelea

  • @neemalaizer2541
    @neemalaizer2541 3 หลายเดือนก่อน

    600 Ml?? 😳😳😳😳

  • @AstonMayengo
    @AstonMayengo 4 หลายเดือนก่อน

    Duuh kisima kikitumia garama sana ni milion 30 tu duuh milion 600😂😂😂😂

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 4 หลายเดือนก่อน

    hivi wakuu wa wilaya wako wapi na wanafanya nini mpaka mkuu wa mkoa tena mgeni aje aulizie hayo.

  • @VENANCEAUGUSTINO
    @VENANCEAUGUSTINO 4 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wanapiga mno awana huruma na wanawatumikia

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 หลายเดือนก่อน +1

      Waliruhusiwa kula urefu wa kamba zao 😢😢😢😢😢😢

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda hadanganyiki hanajuwa maswali kweli

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 4 หลายเดือนก่อน

    Milioni 600? 😮

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa ukimsikia Aweso anavyojielezea kumbe utapeli mtupu jamani kazi kumdanganyaa tu nakumsifia eti anaupigawingi kumbe wanamuibia ma wa watudah nimekata tamaa labisa na nchi hii kabisa sina hamau na chamachangu cha ccm kazi kupambana tu kupata vyeo lln lazi zerp ulaji tu

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 4 หลายเดือนก่อน

    Aweso aweso

  • @daudiathanasio1872
    @daudiathanasio1872 4 หลายเดือนก่อน

    Kazi iendeleee

  • @VENANCEAUGUSTINO
    @VENANCEAUGUSTINO 4 หลายเดือนก่อน

    Wamezoea kupiga funga tu miaka 40.mje na morogoro

  • @respiciuskabigumila5246
    @respiciuskabigumila5246 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe uliona wapi kisima kuchimbwa kwa milioni 600? He he he!!

    • @geofreykayombo401
      @geofreykayombo401 3 หลายเดือนก่อน

      Kisima kina Bluetooth!ukikaa home una share tu maji yanatoka kwa kazi sanaaa.😂😂😂😂

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 4 หลายเดือนก่อน

    Nchi yetu upigaji tu vijana wetu wakionyesha uaminifu tu ni maadui wa hata viongozi

  • @Donrugi
    @Donrugi 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda anafaa kuwa Rais kabisa

  • @VENANCEAUGUSTINO
    @VENANCEAUGUSTINO 4 หลายเดือนก่อน

    😢wakaguliwe mali zao hao

  • @YoakimMsuha
    @YoakimMsuha 4 หลายเดือนก่อน

    JAMAN KWELI HIKI KISIMA TSH MILION 600??????? AU NMESKIA VBAYA

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 4 หลายเดือนก่อน

    Wameshatajirika hao sisi ni mateso tu

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997 3 หลายเดือนก่อน

    Funga hao wezi

  • @AshuraChamwana
    @AshuraChamwana 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwiziiiiiiiiihuyoooooooo

  • @EmmanuelNdahya-ud5nj
    @EmmanuelNdahya-ud5nj 4 หลายเดือนก่อน

    Baadae wanataka Kodi

  • @DicksonNdalutv
    @DicksonNdalutv 4 หลายเดือนก่อน

    Nchi inaliwa

  • @eliaMatola-vy7xv
    @eliaMatola-vy7xv 4 หลายเดือนก่อน

    MAKONDA TATUA NA MATATIZO YA MIKOA MINGINE

  • @HRCopexcontractors
    @HRCopexcontractors 4 หลายเดือนก่อน

    Wezi tu nyie