Ndio walivyofikia moja katika adhabu Allah aliowapa wazushi ni kuondoa ufahamu juu ya nusus jana mmoja kwenye khutba asema hizi ikhtilaful zimetengenezwa na mayahudi wkt ukisoma maswahaba wenyewe walitofautiana so waachen wamefilisika hadithi ya quraib ni mwez wa Ramadhan inafungamanaje na arafa
HAYA NDO YALOBAKI KWETU SISI KUPINGANA WENYEWE KWA WENYEWE HUKU MUSHIRIKINA WAKITUCHEKA TUU WENZETU ILIKUWA WANAPIGANIA DINI MTUME NA MASWAHABA KWA NAFSI NA MALI DHIDI YA MAADUI WA ALLAH
Mashallah huenda siku hiyo nzito kila upande ukatoa watakaofaulu usipokuwa tu wale wanaofuata kiushabiki sio ki ikhlaaswi
Shekh Aweso kaa chini usome acha kuwapotosha waumini
Mashekhe wa mombasa wamche Allah
Shekh awes mashaalla tukufahamu
Mnashidwa kukaa nakujadiliana kabla yatukio mashekhe mjitathimini myezi itawaangamiza mbel ayaall❤ah.
Mashalla ust Mubarak nimekuelewa vema sana
Shukran maalmu Allah akulipe Kila lakheri
Tafsiri Hadithi mbona wakaidi nyny. Mjibi Fadhwiilatu sheikh Mziwanda. Talented. Mnajizonga sanaaaa
Mubaaraka uwesu Amenyewa na kunguru kichwani kwahiyo muacheni aendelee kupwaya
Shekhe mziwanda yjpo sahiii sana
Mwenye kuelewa mziwanda kamaliza
Baadhi ya waislam wanachoka kwa kwa kuskiliza mas ala ya arafa wengine wanaona bora wasifunge kwa sababu ya mivutano kila mwaka dah
Mashallah
Sh mziwanda Allah akuhifadhi umemaliza kz umesema kweli ao wametengeneza ubishi so waacheni haki iko wz uyo mpaka nyimbo amehalalisha utamuweza
Ndio walivyofikia moja katika adhabu Allah aliowapa wazushi ni kuondoa ufahamu juu ya nusus jana mmoja kwenye khutba asema hizi ikhtilaful zimetengenezwa na mayahudi wkt ukisoma maswahaba wenyewe walitofautiana so waachen wamefilisika hadithi ya quraib ni mwez wa Ramadhan inafungamanaje na arafa
Barazanje hao wanarumbana acha inyeshe
Dah hawa mashekhe mungu anawaona wazushi sana
HAYA NDO YALOBAKI KWETU SISI KUPINGANA WENYEWE KWA WENYEWE HUKU MUSHIRIKINA WAKITUCHEKA TUU WENZETU ILIKUWA WANAPIGANIA DINI MTUME NA MASWAHABA KWA NAFSI NA MALI DHIDI YA MAADUI WA ALLAH
Wacha kupoteza watu arafa moja
Unamchezea Sh. Mziwanda Umekwisha. Ni afadhali ungenyamaza.