Inatisha: Dr Nandipha aliiba maiti 3 ili kusuka mpango wa kumtorosha Thabo Bester gerezani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

ความคิดเห็น • 193

  • @agneswilson908
    @agneswilson908 ปีที่แล้ว +2

    Utuepushe na yule muovu yaani Mungu atusaidie tusipende tukawa vipofu

  • @nicedavid8536
    @nicedavid8536 ปีที่แล้ว +21

    Kuna watu wanajua kupenda! Ukisikia niko tayari kufa kwa ajili yako ndio hii

  • @mohamedkhalifa6014
    @mohamedkhalifa6014 ปีที่แล้ว +8

    Safi kaka,ebu tuletee story Zaid za huyu mwamba na manz Wake

  • @monicacyprian9137
    @monicacyprian9137 ปีที่แล้ว +53

    Haya mapenzi hatari.alosema wanawake mwalimu wetu kipofu wala hawajakosea

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 ปีที่แล้ว +2

      Is not about love there

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 ปีที่แล้ว +6

      Hapo. Hakuna mapenzi peee tu Jua Ni maslai km hujui outside huyo Dada anajulikana km successful na. A kuwa km MFANO but behind all success we know kumbe yupo huyo bester 😁😁😎 Hakuna mwanamke anakaa au Ana associated na criminal man without to know wht she will benefit

    • @idrisashelimo307
      @idrisashelimo307 ปีที่แล้ว +1

      Uko sahihi snaaaaaaaa dada

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 ปีที่แล้ว

      Kuna mtu ana sema ati anajitolea Kwa mapenzi waogo wote haya Dio mapenzi ya kweli kwashi na Raha

    • @monicacyprian9137
      @monicacyprian9137 ปีที่แล้ว

      @@yama_virginhairthequeen1065 yawezekana ndomana katumia nguvu nyingi kumtoa ingekua mwenzangu na mm asinge angaika nae

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 ปีที่แล้ว +14

    Wapenz wa hiv huwa wanadumu hawaachani kabisa ulip yup true lv never die.

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 ปีที่แล้ว

      Mwanamke ana makosa zaidi ya kijana wacha mapenzi Yao yakishie gerezani

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 ปีที่แล้ว +5

    Mmmh Rabiy ghusni ghatima maana mpaka uvuke dunian salama tuseme Alhamdullah 🙏

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi ปีที่แล้ว +23

    Dada kiboko😢 nimemuogopa🙌

  • @MisosimitamuC
    @MisosimitamuC ปีที่แล้ว +1

    Hii story kumbe kweli nimejisikia Leo. Haya mnisupport dada yenu

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 ปีที่แล้ว +1

    Sidhani kama walihusika wazazi wao Hope wataachiwa

  • @ayshaahnad4472
    @ayshaahnad4472 ปีที่แล้ว

    Kheeeee! Mapenzi haya jamn hapan kabisa yaani mdada mzuri kabisa kaenda kujinunulia kezi kiza na mapenzi🙌🙌

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 ปีที่แล้ว +11

    She reminds me of the series" For My Man " ,things people do in the name of love..... Throwing away her whole life Chaaai!

  • @hubimogela9167
    @hubimogela9167 ปีที่แล้ว +17

    Ni hivi Mwanamke Amebarikiwa sana na Mungu ni Mama zetu ila Roho ya Mwanamke ikigeuka inakuwaka mbaya mara mia moja ,ni bora ukutane na Simba na sio Mwanamke ambaye Roho yake imegeuka .

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 ปีที่แล้ว +4

      Sahihi moyo wangu umebadilika had najishangaaa namuomba sana mungu

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 ปีที่แล้ว +1

      @@ashurahatibu5069 daah utakuwa ulitendwa dear so wamekugeuza moyo from good person to evil. Hiyo ni kawaida sana but pray pray pray

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 ปีที่แล้ว

      @@vanessalaizer4363 yani veee we acha tu kuna miovyo hutia huruma sana na ndio hubadilika vibaya now had nikiswali namuuliza mungu wangu ivi ni mimi yule ila kwa ajili ya waja mahusiano ndugu marafiki acha tu

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 ปีที่แล้ว +13

    Duh ama kweli mapenzi upofu mweee yani dada mzuri ivi, msomi very humble anahangaikia uyu muuaji ?! Ni huzuni sana 😔🙌🏻

    • @ahz6907
      @ahz6907 ปีที่แล้ว

      Mapenzy ni jambo jingine...moyo ulishakuwa dhaifu.

  • @sweetyjanne255
    @sweetyjanne255 ปีที่แล้ว +1

    Hawa walitakiwa wakae gereza la Supermax kama lile la marekani

  • @cocotz1892
    @cocotz1892 ปีที่แล้ว +21

    TRUE LOVE 👏🙌

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 ปีที่แล้ว +4

      Never don't always look things in the box there is outside the box my brother there is no love between these two

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 ปีที่แล้ว

      It’s just an illusion dear

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 ปีที่แล้ว

      How is that true love?

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 ปีที่แล้ว +15

    Mapenzi ujinga, mapenzi upofu 💔😭

  • @christinananyaro4333
    @christinananyaro4333 ปีที่แล้ว +3

    Duh! Hatari sana, mimi nilidhani ni habari za nnje ya nchi kumbe ni hapahapa Tz tena Arusha

    • @africatanzaniatours
      @africatanzaniatours ปีที่แล้ว +10

      Wamekamatiwa Arusha, Tanzania. Lakini sio watanzania ni wa South Africa, na hayo matukio yote wameyafanya south Africa

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 ปีที่แล้ว +4

    NAWAKUBALIGI SANA AO WAMBA WANAO ESCAPE KWENYEMAGEREZA,,SALUTE SANA

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 ปีที่แล้ว +16

    Utasema movie 😢 noma sana

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 ปีที่แล้ว

      Hii wasingeitangaza wangetolea movie kabisa

  • @mwambolamwambola4430
    @mwambolamwambola4430 ปีที่แล้ว

    True love

  • @rashidramadhan7708
    @rashidramadhan7708 ปีที่แล้ว +2

    Kama ameweza penya gereza hatari la huko South huko Arusha si atatoroka na majengo yote wafungwa wote na askari magereza wote watakaowepo zamu siku ya mkakati !?

  • @babrashabanu7073
    @babrashabanu7073 ปีที่แล้ว +1

    Hii inshu Hadi maafisa wa magereza watakosa kaz

  • @daudmadaha4168
    @daudmadaha4168 ปีที่แล้ว

    Very great effort

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 ปีที่แล้ว +1

    Wazuri. Jamani hutegei hii scandal heeee mungu wangu Sasa Hawa wote wanaenda kufungwa kizungu cha maisha jamani why like that

  • @khadijamwenda1851
    @khadijamwenda1851 ปีที่แล้ว +15

    Mungu WAngu 😢😢kama movie asee 🙌🙌 kuna watu ni mafia daah

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu ปีที่แล้ว

    Kama move

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 ปีที่แล้ว +3

    Mapenzi mapenzi unataka nn mapenzi mapeenzi NANDIPA matukio yako c kama sura yako

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +2

    Huyu siyo Dr she is ai big Mafia. Waiting for the movie in Netflix 😂😂😂

  • @angeljohn180
    @angeljohn180 ปีที่แล้ว +1

    Duh yani ana roho gumu jamn uwiii alivyo mzur jman

  • @fatmamussa6134
    @fatmamussa6134 ปีที่แล้ว +8

    Me huyo Dada mpaka namuogopa mjasiri

  • @eestermos9933
    @eestermos9933 3 หลายเดือนก่อน

    Dah hiv n mapenz au n kitu gan

  • @asha_homedecorations
    @asha_homedecorations ปีที่แล้ว +4

    Duh!! Dada Kiboko Huyu Roho Yake Ni Ngumu Kuliko Chuma 🙌

  • @mackysuphian
    @mackysuphian ปีที่แล้ว +11

    Directors story hio mushapata tuleteeni movie 🙌...na waliwezaj kuingiza maiti kwenye gereza kali kama hilo 🤔

    • @emmanuelmanga25
      @emmanuelmanga25 ปีที่แล้ว +1

      Netflix watakuja nayo ila siyo bongo movie

    • @mackysuphian
      @mackysuphian ปีที่แล้ว

      @@emmanuelmanga25 😂😂😂 true

    • @margaretmahege7948
      @margaretmahege7948 ปีที่แล้ว +1

      Hapo pesa tu ilifanya kazi

  • @sarafinabutashilaga6990
    @sarafinabutashilaga6990 ปีที่แล้ว +2

    Hii ni level gani love🤔 najaribu kufkria nashindwa yani mdada kapigania penzi la mtu ambaye ni muuaji ...na akatelekeza had watot wke wa kuzaa mwenyew kwa uchungu ksha kusepa na muuaji aseeeh jamaa alkuw anamp mapenz ya aina gan huy dad mpk ajitoe kias hk🤔 nyie daah kweli wanawake ni hatari

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 ปีที่แล้ว +5

    Yani kama hadithi, kuna watu wanaroho ngumu mwiyi dunia,Yani mairie zinasumbulia 😭😭😭

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 ปีที่แล้ว +1

    Mmm mwanamke shupavu huyu du andikwe kwenye history rengo nimtu ampendae kumuokoa

  • @khadijaabdala6876
    @khadijaabdala6876 ปีที่แล้ว +2

    SubhanaAllah huyu mdada ni hatari kwa jamii

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 ปีที่แล้ว +2

    98% ya Wanawake wembamba ni wabishi hatari na wana roho ngumu sana .

  • @zubynyaku6269
    @zubynyaku6269 ปีที่แล้ว

    Kwaiyoo haya ndomapenzi yakwelii ? Sawa dr umewakilisha vyema

  • @zarabati1750
    @zarabati1750 4 หลายเดือนก่อน

    Waaaa

  • @AhmedHassan-zh8dd
    @AhmedHassan-zh8dd ปีที่แล้ว +1

    My brother naomba ile story ya kijana wakiemerekani aliuwawa korea naipataje

    • @japhetlust5050
      @japhetlust5050 ปีที่แล้ว +1

      Nenda you tube andika Kama ivyo msho malizia simulizi na zsauti unaipata

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 ปีที่แล้ว +3

    Huyu Nandipha hakuwa mwenyewe kwa hii ishu Kuna watu atakuwa alikuwa nyuma yake

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 ปีที่แล้ว +1

    Duh hatar sana

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 ปีที่แล้ว +5

    What 😳 😳 😇 am speechless 🙊

  • @amoonatnzani9834
    @amoonatnzani9834 ปีที่แล้ว

    Hii ni hatari sana

  • @MaaneML
    @MaaneML ปีที่แล้ว +3

    Hapa ni pesa ndefu ulitumika na maofisa wakubwa huko gerezani wanahusika. Hivyo akibanwa atasema vyote. Ila huyu mwanamke ni hatari Sana

  • @deusntobi1450
    @deusntobi1450 ปีที่แล้ว +9

    History yaani ni kama movie kabsa ndo maana natakaga sky awe atuletea movie hapa SNS

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 ปีที่แล้ว +1

    Subhannallah, kupenda gani uku 😳 kama karogwa 🤔

  • @yakoboesenga5754
    @yakoboesenga5754 ปีที่แล้ว +4

    Sadness 😢

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 ปีที่แล้ว

    Uyo dada sasa ukikukanyaga unaweza mpiga kofi kumbe ni mafya sana😀

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 ปีที่แล้ว +3

    Yani nilipoanza kuisoma hii story nilijua TU mwanamke naye muuwaji na anaroho ya ukatili! Daaah ama kweli mapenzi upofu na usomi wote huo jmn eeeh Dunia yetu inamaajabu Sana!

    • @ahz6907
      @ahz6907 ปีที่แล้ว

      Usomi na roho ni vitu viwili tofauti. Sura sio roho!

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr ปีที่แล้ว

    Duh

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 ปีที่แล้ว +1

    Sheria nyie ameuwa souz amekamatwa alusha kweli sheria mkono mlefu

  • @j.iwakidato7822
    @j.iwakidato7822 ปีที่แล้ว +1

    Noma sana

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 ปีที่แล้ว

    What world 😮😮

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 ปีที่แล้ว +4

    Nandipha ni jini kweli

  • @maishamaisha1768
    @maishamaisha1768 ปีที่แล้ว

    Mbona stori ni ya Afrika kusini lakini magereza ya Arusha? 🤔🤔🤔

  • @kawanga0073
    @kawanga0073 ปีที่แล้ว +2

    Km muvi vile dah 👏👏👏

  • @princekarani7836
    @princekarani7836 ปีที่แล้ว +4

    Uyu dada ni mafia na ako na pesa,so pesa zimetumika pia 100%,maana hao wote wameongwa pesa kufanikisha kila jambi

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 ปีที่แล้ว +2

    Siwezi Muhukumu huyu dada 😢😢😢😢😢Mapenzi jamani daaah

  • @fatmarashid8163
    @fatmarashid8163 ปีที่แล้ว

    Mmh haya tunayaonaga kwenye movie

  • @noru9028
    @noru9028 ปีที่แล้ว +23

    Uyo mwanamke nae hatari😢

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 ปีที่แล้ว +6

      Wanawake ni hatari siku zotee 😢😢

    • @gloriadaniel3827
      @gloriadaniel3827 ปีที่แล้ว +5

      Tena hatari na nusu.

    • @savioursimon458
      @savioursimon458 ปีที่แล้ว +5

      ​@@faidhamyovela179 Yes we have that dark side within us.

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 ปีที่แล้ว +3

      Hatari kuliko huyo mwanaume, unaeza kuta hao maiti ni yeye ndo alowauwa

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 ปีที่แล้ว +2

      Ukisikia watu wanasema mwanamke akitaka jambo lake hata shetani hukaa pembeni anaanza kujifunza

  • @ayubumbaras776
    @ayubumbaras776 ปีที่แล้ว +2

    Huyu demu noma

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 ปีที่แล้ว +6

    Movie hii ni zaidi ya Ile prison break kwa wale wacheza cinema....

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 ปีที่แล้ว +6

    Hii ni Movie kabisa asee
    Tukiachana na yote Huyu mwanamke anapenda vibaya sana na ana ujasiri wakutisha

  • @publicrelations4600
    @publicrelations4600 ปีที่แล้ว +2

    Umafia wote huu alafu unakuja kukamatwa bongo...what a shame!!!

  • @angeakeza6542
    @angeakeza6542 ปีที่แล้ว

    Duuuh iy nizaid ya muvi

  • @celestineashiundu7426
    @celestineashiundu7426 ปีที่แล้ว +2

    Hii ndio inaitwa soul tie ama?

  • @naimanasoro4039
    @naimanasoro4039 ปีที่แล้ว

    Nayaonaga ktk tv t kumb kwl yapo duh

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 ปีที่แล้ว +2

    Hao wanataka kuacha historia duniani..na hayo yanayotokea ndio wanayotaka haswaa

  • @irakozethierry6699
    @irakozethierry6699 ปีที่แล้ว +3

    Huo dada nijini duuu hatarii😑😑

  • @angelmaige-yc5gb
    @angelmaige-yc5gb ปีที่แล้ว

    Yani walikosea kitu kimoja uyo dada walipomtorosh mpnz wak si angeend kumfanyia surgery ya kubadilish sura Wala wasingewez kufahamik yeye ingkuw Siri Yao kuw uyo thabo lakin anasur INGINE ni mawaz yang TU

  • @Zizzah2707
    @Zizzah2707 ปีที่แล้ว +1

    Upuuz uliopitiliz

  • @tembatembele5332
    @tembatembele5332 ปีที่แล้ว

    Duu kama movie vile

  • @ibrahimsamson4193
    @ibrahimsamson4193 ปีที่แล้ว

    Juliet & Romeo

  • @alainmuhigirwa5151
    @alainmuhigirwa5151 ปีที่แล้ว +11

    Yani wewe mtangazaji uko na kipaji kubwa sana. Na fuatilia story vizuri na na kuelewa kabisa. Yote unasumulia ni kweli kabisa kufuatana na sources apa Africa ya kusini. Nakuomba uendelee na kazi nzuri uko nafanya ku julisha jamii nini inaendelea. 🇿🇦🇨🇩 Apa Johannesburg 5/5

  • @henricamikambi6147
    @henricamikambi6147 ปีที่แล้ว

    Kama waliyotoka sauth Africa kwenye ulinzi mkali hapa tanzania, wawe makini kufumba na kufumbua watatoroka

  • @evankya1955
    @evankya1955 ปีที่แล้ว +2

    Apply for M-Pesa lipa number kwa ajili ya wanaopenda kuchangia katika kazi yako.

  • @bayernsulesh568
    @bayernsulesh568 ปีที่แล้ว

    Unaweza kusema movie kumbe ni kitu halisi nyiee🤔

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 ปีที่แล้ว

    Mental health bado ni tatizo, hii dunia ina insecurities nyingi watu wamevaa ndani yao...japo we all seem happy outside.

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 ปีที่แล้ว +6

    Duu anaroho ngumu huyu dada

  • @irenemichael5140
    @irenemichael5140 ปีที่แล้ว

    Kwahyo jikoni wenzake wanapoandaliwa chakula....yeye kaenda kuhifadhia maiti....yani kama kuna mtu alitibiwa na huyu dada na akapona akatoe sadaka ya shukrani.....watu tunachoma nyama za ng'ombe. Mbuzi yy anachoma maiti dah

  • @mariamdimosso621
    @mariamdimosso621 ปีที่แล้ว +5

    Mapenzi upofu

  • @shaggytarange2794
    @shaggytarange2794 ปีที่แล้ว

    Hatari aysee

  • @theresiakaruhanga364
    @theresiakaruhanga364 ปีที่แล้ว +5

    Huyu dada atakuwa anavuta bangi siyo bure

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 ปีที่แล้ว +2

    Mapenzi ayana umri😅
    Leo nataka wakunipenda tena awe team sns😊aya nangoja jibu me wakike jamani yatima wa mapenzi 😢😂

    • @respiciousfrankly
      @respiciousfrankly ปีที่แล้ว

      🙈🤗

    • @gb-one6435
      @gb-one6435 ปีที่แล้ว

      Lete namba tuzame whtsp mambo yaende sawa chap 😅🙈

  • @akimanaarlene851
    @akimanaarlene851 ปีที่แล้ว +1

    Duuh watu hawana uogha mimi nikiona pic kwanza nakimbia na hofu😢😢😢

  • @lovvy854
    @lovvy854 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mwanamke alikua Mafia

  • @omantr6029
    @omantr6029 ปีที่แล้ว

    Utasikia watu eti waacheni sijui wanawaza vitu gani weukikamatwa nchi zawatu umefanya kosa mungine ukimbilie uko ukikamatwa kwanza utajuta yani tuache watu waishi nchini wanaatari hizi bora mtu ambae ujamjua lakini ushasikia matukio yao yanaogopesha eti waacheni kivipi mnataka wajewawapige matukio nanyie ndio mfrah acheni selikar ifanye kazi yake

  • @shadiathemedshadiathemed8699
    @shadiathemedshadiathemed8699 ปีที่แล้ว +1

    Kama move vile daaah

  • @scottgeorge5677
    @scottgeorge5677 ปีที่แล้ว

    Jamaa hata kusoma hajasoma lakin ni kama prison break hv hii story yake n kama movie kabsa

  • @mkodojoseph-kt8wd
    @mkodojoseph-kt8wd ปีที่แล้ว +3

    After the devil, fear Women 😫😓

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 ปีที่แล้ว

    Nyie sisi wanawake tukipenda hatari

  • @reubenshaban6488
    @reubenshaban6488 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana Dr Nandipha huo ndio upendo halisi

    • @phillipngumbuke-le9ey
      @phillipngumbuke-le9ey ปีที่แล้ว

      upo sawa

    • @chulitolove6648
      @chulitolove6648 ปีที่แล้ว +1

      @ Reuben Shaban 😂😂 nimecheka ebu Acha basi khaa ,afu upo serious😂😂

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 ปีที่แล้ว

      Yanii anaonekana alimpenda sana huyo mwanaume hadi kafanya hayo yote ya kutisha

    • @reubenshaban6488
      @reubenshaban6488 ปีที่แล้ว

      Ni kati ya wanawake wenye hakili sana na upendo kiwango cha lami

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 ปีที่แล้ว

      @@reubenshaban6488 Ana upendo na anatumia hisia badala ya akili na hisia kidogo....

  • @halimamohammed395
    @halimamohammed395 ปีที่แล้ว

    Hii ishue ya hawa watu inahusisha watu wengi hawezi kufanya hayo yote peke ake bhana ndo maana mambo yalikua yanakua mepesi kila anachoamua kufanya kinapita fresh ila hapa ndo naamini alosema za mwizi arobaini😅😅

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 ปีที่แล้ว

    Hili lidada ni comandoo utafikiria movie 😊

  • @HelenahSian-hl5ue
    @HelenahSian-hl5ue ปีที่แล้ว

    Dr kashindwa tu na sehemu ndogo nyama ya Kiunoni 😂😂 tu. Sasa angepata ya Officialdogo, Fally ipupa, Will Paul,. Si angechoma Dunia huyu bibi😂😂😂

  • @khadijauledi3293
    @khadijauledi3293 ปีที่แล้ว

    Ni hajabu sana kutengeneza mambo yote hayo mazuri na yakuvutia katika maisha unakuja kuyaharibu kwa sekunde duuh inasikitisha sana , huyo dada sijui aliwaza nini kuwa na huyo kaka

  • @perpetuaishika2574
    @perpetuaishika2574 ปีที่แล้ว

    Huku ni kulogwa khaaa

  • @diodorussebastian4983
    @diodorussebastian4983 ปีที่แล้ว

    @sky mwamba huyo ameshiriki pamoja na askari wa gerezani