Yaan ata uwe muuaji au jambazi kiasi gani bado tu utapata mwanamke au mke. Na inaonekana watu wenye matukio mabaya mabaya ndio hupata wanawake kirahisi. Hii inathibitisha wanawake ni viumbe hatari sana.
Jamaa uyooo kwa huku South Africa 🇿🇦 lazima alipwe nakuonekana shujaa kutoloka jela South Africa siyo kitu rahisi kabisa kuna mchongo wa watuwengi sana hp
Wanawake tupo na roho ngumu..we libwana lishaua huko bado ameling'aninia kama jitu la maana wakati matukio yake anaweza hata kumuua yeye mwenyewe...damu ya mtu huwezi ikimbia sasa huyo nandipha akanyee ndoo sana akome.
Nimeamini umasikini unakuepusha na mambo mengi sanaaa usione watu wanaendesha magari ya kifahari wanakaa majumba ya ajabu ukasema Mungu amewabariki hapana wengine wauwaji
Wanagush passport za kusafilia na documents zote then lazima wa Juane na watu baadhi wa airport au kuna kuw na watu wao wanakula ma deal na watu wa airport yani hapo ni Mchezo wa pesa kila njia
Inaonekana mshikaj anapesa anaweza kuspend time nchi mbali nabado akafika Tanzania na kutaka kusepa kenya. Inshort mwamba pesa anayo ila ana tabia mbaya ya ubakaji.
SA trying to take all credit to themselves...you let him escape from prison now just shut up and say that they were caught in Tanzania by Tanzania Police. SA security operatives can not operate in Tanzania. SA must be way too corrupt!
Boraa maana wamelalamika Sana wa south, duh yn wanaita inchi Yao series ya movie kkkkk huyo kaka c tapeli he is also a scamer big one that's why he had money to pay all those people who prepared the massaca of him to act like he was dead but the jail warden wrote a letter to high position about it and he never got response. SA citizens have been complain about it on social media that's why government they make a move, first peoples they spotted this guy at the mall that's how news started to go out 😬
Sasa nyie endeleen kuumza wanawake n k2 cha kuamua 2 kutofanya ubaya 2kiamua 2nakula m2 mbch famasihara. nawaza huyo Mwanamke hakuogopa au hajui historia yake huyo mwamba 🤔
Anajua ukiwasikiliza hao wanaotoa maelezo, wanasema watuhumiwa wote wanamiliki hati tofauti tofauti za kusaria na wanatumia fake names. Wanawake tuna the other dark side, sisi ni watu hatari na jasiri haswa Kama tukiamua 😅
Daah hata muuaji nae ana mtu wake anayempenda mapenzi haya wanawake tuna roho ngumu mno
Sema mbakaji ana mtu anapenda sana tena ni doctor wanapendana.
Labda hakujua dada wa watu kaona kapata mpenzii mwenyewee kumbe amejiingiza kwenye kizaazaa
Ukipenda au kupendwa ndo utajua
Tanzania shines again!!!
Kwanini
@@Mpakauseme huwezi kuelewa sababu ameandika English 😂
@@ssaa7495 una dhambi sana😂😂😂
@@ssaa7495 😂😂😂
Polisi wetu hongereni sana. Lakini tunawaomba mumchunge sana Thobo asije akatorokea Unga limited akaendelea kubaka
Naomba kuwasilisha
Yaan ata uwe muuaji au jambazi kiasi gani bado tu utapata mwanamke au mke. Na inaonekana watu wenye matukio mabaya mabaya ndio hupata wanawake kirahisi. Hii inathibitisha wanawake ni viumbe hatari sana.
Upo sahihi mimi ni mwanamke and yess!! We, Women have have that other side that you don't wish to know. 😌
Hii story inatisha but well narrated! Hongera team ya SNS!
Na wanake kawaida wanapendaga mijitu zimwimtu kama hiyi sijuwi kwa nini jamani😢😢
Tz huku wakitaka kukuchunguza umekwisha maana Kila mtu ni FBI
😂😂😂😂😂
Kweli
😂😂😂wambeya wengi muno huchomoki.
@@soundmale 😂😂😂😂
😅😅😅
Karibuni chuga😚😚
Jamaa uyooo kwa huku South Africa 🇿🇦 lazima alipwe nakuonekana shujaa kutoloka jela South Africa siyo kitu rahisi kabisa kuna mchongo wa watuwengi sana hp
Exactly my dear
Yani hakuna mbabe kwenye mapenzi nyie ata muuaji nae ana mpenzi wake anaye mpenda 😂😂😂🙌🏻
Wanawake tupo na roho ngumu..we libwana lishaua huko bado ameling'aninia kama jitu la maana wakati matukio yake anaweza hata kumuua yeye mwenyewe...damu ya mtu huwezi ikimbia sasa huyo nandipha akanyee ndoo sana akome.
Yupo tena na galfrend wake ...wanawake wana huruma sana
😅kabisa mee hat kumsongelea sitasubutu kwaz pale ngerizani naimani wamemchama moto mfukwa wengine nd akatoroka😢
😂😂😂😂😂😂😂
@@surusuru1994 Police Wana usiku kwenye huu mchezo nawo walikuwa Wana angaika sana mtu una juwa una matukio kwanin uwaze kuangaika
Nimeamini umasikini unakuepusha na mambo mengi sanaaa usione watu wanaendesha magari ya kifahari wanakaa majumba ya ajabu ukasema Mungu amewabariki hapana wengine wauwaji
Kweli kabisaa dear
Angejua Ulinzi ulioko Tz angekimbilia Congo Democratic Ila za Mwizi Ni Arobaini
Wanaulizi gan wanashindwa kuzuia mashoga 😁😁😁🤸
@@hanifahanifa1010 pumzika
@@hijazhija316 Kachoka kweli
@@hanifahanifa1010 walicho kifanya wanaitaji pongezi siyo kilakitu kuwananga
Hapo aliekamata wala hatambuliki mweee nchi ngumu hii jamani....Ila polisi angeua tungeanza kuwaponda upolisi mgumu jamani
Subhannallah, mtihani kwakweli
Dah mtihani sana 🤲🤲🤲
Daaa, jamaa ana roho ngumu mno. Nawaza allikuwa anapitaje boda.
Wanagush passport za kusafilia na documents zote then lazima wa Juane na watu baadhi wa airport au kuna kuw na watu wao wanakula ma deal na watu wa airport yani hapo ni Mchezo wa pesa kila njia
@@sund2553 hatari sana 😨😨
Duuuu aiseee watu wabaya sana
Inaonekana mshikaj anapesa anaweza kuspend time nchi mbali nabado akafika Tanzania na kutaka kusepa kenya. Inshort mwamba pesa anayo ila ana tabia mbaya ya ubakaji.
Dah hatar
Ndo mana gadafi alitaka wanawake wawe walinzi wake na mwanamke akiamua my friend utajua hujui🙄
Sema Doctor mtu..
Yuko vzr
Cooperation fyoko watanzania wanakufa sana South huko
Safi sana huyo mbwa akome
Hee uyo mwanamke hakuogopi mume muuwaji n😢😢duuh dunia hii
Yaan kaacha watoto ,wazazi kamfuata boyfriend 😢😢😢
Pengine amjui story zake
Duuuh kweli mapenz hatar
Ila kama movie hii eeeeh
Uuwe mtu kwenu ukimbilie Tanzania pumbavu zenu, msituchezee nchi yetu na mabalaa yenu mbaki nayo huko huko kwenu
Tanzania, imekuwa Famous tena, let go Tanzania, tuanzie hapo kwanza, Tanzania walijuaje kama Anatoroka
Fuatilia news ya South Africa utaelewa kuwa walisha kuwa na habari kuhusu hawa watu ndiyo maana
Mapenzi shikamo 😢😢😢😢
Marhabaa😂😂
@@adomasanja2595😂
Dunia ndogo sanaaa jamani tuishi vizuri
Ayo ndo mambo nataka kuyasikia kutoka kwako sio bongo mamboling
SA trying to take all credit to themselves...you let him escape from prison now just shut up and say that they were caught in Tanzania by Tanzania Police. SA security operatives can not operate in Tanzania. SA must be way too corrupt!
Duh mwamba ana toa wapi pesa zakusafiria pesazakumpagawisha huyo mwanamke mbaka awe nauwezo wa kusafiri pamoja . Inamaana jamaa ana fwedha ndefu sana
Anapewa na Doctor mke wake
Boraa maana wamelalamika Sana wa south, duh yn wanaita inchi Yao series ya movie kkkkk huyo kaka c tapeli he is also a scamer big one that's why he had money to pay all those people who prepared the massaca of him to act like he was dead but the jail warden wrote a letter to high position about it and he never got response. SA citizens have been complain about it on social media that's why government they make a move, first peoples they spotted this guy at the mall that's how news started to go out 😬
Umesemaje kwan 😂
Mwamba angekuja aoneshwe machimbo
Sasa huyu dada hamwogopi mpenziwe ana matukio sema wanawake tunapenda wanaume makatili kama huyu sababu unajiamin kila upitapo hahahhahah
Wanawake tunahuruma jaman🤔🙌🏼
Itakua alitumia pesa kutoka jela kuwahonga wakubwa wajela
Dunia hii
Oooh now I get this trending stories on twitter
They supposed to run away to DR congo and no one will see them. Sorry for them
I was about to write that 😂😂😂😂😂😂
@@etonabintu 🤣🤣
Duuuh huyu jamaa kiboko
Duuh south africa is bleeding blood
Muuaji aliye ua watu tena wanawake wawili katoroshwa na mwanamke du dada anamoyo angefanikiwa kuto kamatwa angemuua pia ili asivujishe siri
Wale watekaji wa mo dewj wako wapi? hawakukimbilia south África?
Nandipa huenda mwamke aliye muua AKA
Wana wake tuna roho ngumu kweli au huyo girlfriend yke pia alishiriki kwa mauaji doh hatari
Risking your career because of love 🤦🤦
Duh mtihan afe tu
Waangalie Asitoroke...!!!!!!
Tanzania mnajipendekeza kwa hao watu wakati wana wauwia watu wenu kama taga😢
Kwa hiyo ulitaka waachiwe huru 😢
Hawajambinya pumbu kidogo
Simu zimemponza huyo
Dhhh jamaa so poa lakn 😂😂😂
Mmhh,huyo anaetoa report amezubaa
Duh
Damu za watu alioua chiz ukafie jela.
Duuu mbona kimya
AISee mabaya yanalipwa apa apa duniani no way unaiba unaua au chochote kibaya unafanya unalipa garama apa apa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️.
Pisi kali akiwa na jambo lake hata uwe maiti atalala na wewe kaburini 😂😂
😁😁😁 😁😁
Hahahah jaman huyo dada mwrma tu
Mpelelezi uyoo
@@hanifahanifa1010 Imemchukua miaka mingapi kupeleleza?
Tz mmemkamata waning wekwenu wako huko wanateswa na kuuliwa mbona hamuendi kuwaokoa mnajidai mtapewa nini
Damu ya mtu haikwepeki
Watch comedian movie
LIFE - Martin Lawrence with Eddie Murphy, it's become in real LIFE
duuh
Duu
Kwahyo na hilo gereza alichoma yy???
Alichoma sello
@@Titointokyo sasa alikimbiaje na kuna mapolice
Wanaaume ata muuwe ....muibe.....umalaya ....mabaya yooote mtapata tu mwanamke wakuwapenda Nakuwa défend........we mwanamke uzuliwe ata ongo .....Itakuwa ngumu kupata mwanaumee 😅😅😅 jamaniiiii
Sasa nyie endeleen kuumza wanawake n k2 cha kuamua 2 kutofanya ubaya 2kiamua 2nakula m2 mbch famasihara. nawaza huyo Mwanamke hakuogopa au hajui historia yake huyo mwamba 🤔
Anajua ukiwasikiliza hao wanaotoa maelezo, wanasema watuhumiwa wote wanamiliki hati tofauti tofauti za kusaria na wanatumia fake names. Wanawake tuna the other dark side, sisi ni watu hatari na jasiri haswa Kama tukiamua 😅
@@savioursimon458 N hatareee ndio Maana MUNGU akataka 2we chn Maana anajuwa ksanga klchopo ndan ye2 🙈
@@fatumajumanne5961 Haswaa
@@savioursimon458 🤣
Hii habar imechafua wanawake ila fresh 😅