MJENGO ANAOISHI DJ ALLY B NI NOMA, ATUMIA MILIONI 200 KUUKARABATI TUU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ม.ค. 2024
  • MJENGO ANAOISHI DJ ALLY B NI NOMA, ATUMIA MILIONI 200 KUUKARABATI TUU
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 57

  • @worldtrends8183
    @worldtrends8183 5 หลายเดือนก่อน +4

    Renovating a rental house for 200 million is absurd, that amount is enough to build a classic house of your own...

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 5 หลายเดือนก่อน +2

    ally, usijali kaka yetu Mungu bado anakaa kweny Kiti cha Enzi Atakusaidia wee mtumanini kila siku na Kumtukuza. Atakupa

  • @Igauf3
    @Igauf3 5 หลายเดือนก่อน +1

    Bibi ! Mama ! Mjukuu ! Let the uncles and aunties handle. That’s not his responsibilities. Dj Ally B -the best entertainer. Kudos to Kayla said it well, you can’t build for everyone.

  • @geraldguda
    @geraldguda 5 หลายเดือนก่อน +4

    Ila wasanii🙌🙌

  • @ngido255
    @ngido255 5 หลายเดือนก่อน +8

    Hii nchi Kwan Hawa watu wanatuchukuliaje😢 eti milion 200 kuongeza unyama nyumba ya kupanga

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 5 หลายเดือนก่อน +1

      Umasikini na wivu na hasadi huwezi fanikiwa kwanini uteseke tafta pesa

  • @kingmorhano189
    @kingmorhano189 5 หลายเดือนก่อน +3

    Good inspiration

  • @josephlugala3182
    @josephlugala3182 5 หลายเดือนก่อน +3

    Waswahili wa mtandaoni ,,hawezi kujengea ukoo acheni upuuzi

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 5 หลายเดือนก่อน +15

    Hii nyumba n yake bwana hongera dj mafanikio yanatakiwa kua sir ukija kujionesha umejipata haswa kma hivi waroz n weng .......

    • @hassansalum2572
      @hassansalum2572 5 หลายเดือนก่อน

      Yake kaipata wapi?

    • @GiftAbduly
      @GiftAbduly 5 หลายเดือนก่อน

      @@hassansalum2572 unataka kujua Kila kitu kinakuhusu??

  • @MateiPs-kr9tg
    @MateiPs-kr9tg 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ally b n 🔥🔥🔥 wakuotea mbali kataa2 w mwenyew

  • @eliahmbano2414
    @eliahmbano2414 5 หลายเดือนก่อน

    Fact sana

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 5 หลายเดือนก่อน +1

    200 Akili Matope Wakati Nyumba Mjiji Baada Ya Miaka Michache Mbele Utaingiza Zaidi Ya 500 Au 600 Nyumba Na Kiwanja Ujui Kuwekeza

  • @MOVIEZONE-uy7yu
    @MOVIEZONE-uy7yu 3 หลายเดือนก่อน

    Ukiongelea 200M its enough for having a house hapo jamaa kaficha ila mjengo ni wake tu huu sema nimejifunza kitu ni bora uonekane low always

  • @vanessajumawarotwa8615
    @vanessajumawarotwa8615 5 หลายเดือนก่อน +6

    Yani u renovate a rent house for 200M while you can building your own 🙄 Niuongo gani huu mweupe please give us a break

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 5 หลายเดือนก่อน +4

      Ukiona hivyo ni ya kwake na ajapanga ila Kuna watu awapendi kujionyesha km wanamiliki ml, sio km akina mwijaku, kujitangaza kuwa una ml Kuna madhara asikuambie mtu, tena kwa Dunia hii ya Leo.

    • @chrissjapheth2803
      @chrissjapheth2803 5 หลายเดือนก่อน +1

      Dada amesema kwamba anampango wa kuinunua what if ameshalipia maybe 50% of it....

  • @chingaboy1149
    @chingaboy1149 5 หลายเดือนก่อน +2

    Bibi babu ndio mujiambie maisha yawatu yanasiri kubwa hamjui mtu hela anapataje

  • @padlockofficial9384
    @padlockofficial9384 5 หลายเดือนก่อน +3

    Wakifa hatutaki millady ayo apost wanaomba msaada kukamilisha matibabu 😅😅😂

    • @MatildeBjelland
      @MatildeBjelland 5 หลายเดือนก่อน +1

      Akifa anatibiwa VP tena

    • @twotimes503
      @twotimes503 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@MatildeBjelland😂😂😂😂

  • @strong8534
    @strong8534 5 หลายเดือนก่อน +3

    Innovation eti ukarabati

  • @godsson5954
    @godsson5954 5 หลายเดือนก่อน +4

    HUYU HANA HATA MIA NI MUIGIZAJ TU TUNAMJUA MAGARI ANAKODI NYUMBA ANAKAZO KAA SIO YAKE HAHHA

    • @cardozojonas9239
      @cardozojonas9239 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa hana hata mia alf nyumba anakod gar anakodi imekaaje hiyo mbn sio unyama😅😅

    • @Tumain-Kulubone
      @Tumain-Kulubone 2 หลายเดือนก่อน

      Tafta hela hizo chuki hazitakusaidia🤣🤣

    • @johnsilima1629
      @johnsilima1629 หลายเดือนก่อน

      Sasa hizo nyumba na gari anazikodi vp wakati umesema hana hela huoni na wew unatudanganya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha chuki bila hela huwezi kukodi chochote

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 5 หลายเดือนก่อน

    Athumaniiiiiiiii
    😊

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 5 หลายเดือนก่อน +2

    Trend ya nyumba sasa hivi ,baada ya kutoka kwene Jet

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ukipata kazi wcb lazima uvae jisuliali kubwa

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas3675 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nyumba yake mim ndio Dalal nliyemtaftia eneo

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 5 หลายเดือนก่อน +2

    Tajiri anasafisha uwanja

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uko bongo na ilo joto jumper za kazi gani au ndio izo PR

  • @shahiduhamada9229
    @shahiduhamada9229 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa ally.b.kama.hivo.si.mjengee.mama.pia.umtoe.kwenye lile.pagalaa

  • @nyagimkama2181
    @nyagimkama2181 5 หลายเดือนก่อน +1

    Icho nichuma

  • @Mkinga_og
    @Mkinga_og 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wakuu ni hivi pesa za hawa jamaa ni za mmiriki tu. Ndugu hawez kuzifurahia pesa za hawa jamaa wako wengi sana nyie wafuatilien ndugu zao muone wanaishi maisha gani

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 5 หลายเดือนก่อน +3

    Nachukia uongo wa watu maarufu

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 5 หลายเดือนก่อน +1

    Watu vyanzo vingi mjini Nyie

  • @issackathman850
    @issackathman850 5 หลายเดือนก่อน +1

    acheni uwongo bana sikuile yuko.kwa bibi yake yuko na shida

  • @abubakarikasamwa5792
    @abubakarikasamwa5792 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sf sanaaa dj allyB

  • @raymondgikaro5818
    @raymondgikaro5818 5 หลายเดือนก่อน +2

    Baba tu wa boss wako anapokaa apaeleweki

  • @henryminja3145
    @henryminja3145 5 หลายเดือนก่อน

    Adi renovation mna translate 😂

    • @johnsilima1629
      @johnsilima1629 หลายเดือนก่อน

      Unaumia ikiwa Kenya kijiji gani😂😂hutaki tutafsiriwe

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 5 หลายเดือนก่อน

    Not hali b ni allyb

  • @HajiHabibu-tf4ig
    @HajiHabibu-tf4ig 5 หลายเดือนก่อน

    We mchaga kaza mdomo huo msenge wewe alafu bibi sio yule alie kuzalia mama ata alie kuzalia baba nae bibi mshenzi wewe uyo dada ndo ana takiwa alegeze mdomo sio wewe au umesha legezwa nini

  • @kelvingauza703
    @kelvingauza703 5 หลายเดือนก่อน +1

    nimjengee mjomba haaaaaa

  • @jiiwolf2900
    @jiiwolf2900 5 หลายเดือนก่อน

    .mchaka ushaanza kuongea kama juma lokole😢

  • @chiriccmabobo8746
    @chiriccmabobo8746 5 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 5 หลายเดือนก่อน +1

    Itabaki kua yake x hai2husu

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 5 หลายเดือนก่อน +2

    Milioni miambili si ungejengaaa Yako au

  • @mudibojaffar9269
    @mudibojaffar9269 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huu mjengo Utamfunga Mdomo Mama Mwijaku..Mwijaku Njoo utazame Hii bw*ge

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 5 หลายเดือนก่อน

    Muchaga shoga nyooo kaniuzi

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain 5 หลายเดือนก่อน +1

    13:08 mkaona mueke na nyimbo ya Simba kwa vile tu ni mkurugenzi🤔 kwanini msieki nyimbo ambayo Ally anapiga miluzi??😏