Kama kusingelikuukwa kitu fulani basi tusingeona hiki kinachoendelea ila naiomba mahakama itende haki tu katika kusimamia hili jambo, la sivyo moto wa Mungu unawasubiri
NARUDIA TENA KUKWAMBIA DUGUYAGU KITENGE USITUMIE KUFANYA FURAHA KWA MAGOMBANO YA WAKU WA SEREKALI NA BUGE ITAKUPOZA NDUGUYANGU KITEGE UNAONESHA UNAFURAHISHWA KWA MAWAZIRI NA SPIKA KUPELEKWA MAHAKAMANI SASA SHAURI YAKO UTAKUJA KUNITAFUTA YAKIKUKUTA
mpina nimzarendo ila kwenye nchi hii angeweza magufuli alikua amefanikiwa kwaaasilimia kubwa ispokua maviongozi matapeli hayakupendezwa kabisa nakasi Ile ya mzalendo mwiguru anahujumu uchumi wetu kwakiwango kikubwa sana lkn rais yupo kimya
Kinachopelekwa mahakaman ni maamuzi yasiyofata sheria. Hata rais asipofata sheria anashtakiwa kwenye mahakama husika hata kama si za ndan ya nchi yake. Alafu spika ni mwanasheria wa kisiasa anayeminya haki za watu kwa kujikomba kwa rais tokea alipokula kiapo
Kama kusingelikuukwa kitu fulani basi tusingeona hiki kinachoendelea ila naiomba mahakama itende haki tu katika kusimamia hili jambo, la sivyo moto wa Mungu unawasubiri
Hata mm na muunga mkona, nipo tayar kumuchangia hata pesa ya nauli,
NARUDIA TENA KUKWAMBIA DUGUYAGU KITENGE USITUMIE KUFANYA FURAHA KWA MAGOMBANO YA WAKU WA SEREKALI NA BUGE ITAKUPOZA NDUGUYANGU KITEGE UNAONESHA UNAFURAHISHWA KWA MAWAZIRI NA SPIKA KUPELEKWA MAHAKAMANI SASA SHAURI YAKO UTAKUJA KUNITAFUTA YAKIKUKUTA
HAFURAHII HUYO NI MFUMO WAKE WA UTANGAZAJI ILI KUWEKA MVUTO
mpina nimzarendo ila kwenye nchi hii angeweza magufuli alikua amefanikiwa kwaaasilimia kubwa ispokua maviongozi matapeli hayakupendezwa kabisa nakasi Ile ya mzalendo mwiguru anahujumu uchumi wetu kwakiwango kikubwa sana lkn rais yupo kimya
😂 nidhamu ya uoga
Kinachopelekwa mahakaman ni maamuzi yasiyofata sheria. Hata rais asipofata sheria anashtakiwa kwenye mahakama husika hata kama si za ndan ya nchi yake. Alafu spika ni mwanasheria wa kisiasa anayeminya haki za watu kwa kujikomba kwa rais tokea alipokula kiapo
Hii Nchi Rais hashtakiwi😅
@@GabrielSky64 sawa..ila anashtakiwa kwenye mahakama za kimataifa. Pia tunaenda kumpata rais wa TLS atakaepigania katiba mpya
Anaweza kuwa na haki kweli ila kwa hii country 😂 akishinda nipo pale mniite Mbwa😅
@@GabrielSky64 nakuondoa hofu...atashinda tu.
😂😂
Achen kujikombakomba na nyie
@@jizzotheking9238 kujikomba wapi?! weka wazi
Kumbe vichwa panzi