WALIKUTANA MTANDAONI KUMBE ANASHIDA YA AFYA YA AKILI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 83

  • @vero57
    @vero57 8 หลายเดือนก่อน +8

    Asante sana shena nimejifunza kitu hapa, poleni sana family ya nadin

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 8 หลายเดือนก่อน +12

    Online dating for me its a Biggest No! Pia watu wenye matatizo ya akili ni wengi sana na huwa wanakuwa very kind mwanzoni, baada ya muda mfupi weeee utaona rangi zote

  • @pmarifamarifa7621
    @pmarifamarifa7621 8 หลายเดือนก่อน +8

    Asante saana Shenaa kwa kazi nzuli kwenye mtandao wako

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 หลายเดือนก่อน

      Shukran dear 🙏

    • @RoselineNaserian
      @RoselineNaserian 8 หลายเดือนก่อน +2

      Sante dada barikiwa nauzidi kutuelimisha aki

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@OfficialDatingAssistancewe Shena nae funika kichwa chako.

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 8 หลายเดือนก่อน +11

    Wanawake saa ingine hu ignore red flags sababu anaona kuanza upya ni ngumu na pia pressure kutoka katika jamii. Mwanamke ukiona kama mtu humuelewi elewi bora ku move on and never look back.

    • @Bushman000
      @Bushman000 8 หลายเดือนก่อน

      Uko sahihi kabisa,

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante hii inatokea muda unapita sasa. Inasikitisha na kutisha. Mungu atuepushe.

  • @salmanoorhashim5450
    @salmanoorhashim5450 8 หลายเดือนก่อน +2

    Asante kwa habari kujifunza muhimu sana

  • @susunabhan8115
    @susunabhan8115 หลายเดือนก่อน

    Weldone Shena

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 8 หลายเดือนก่อน +6

    So sad jamani.😢😢
    Mungu awalinde watoto wetu. Pole kubwa kwa hii familia

  • @maimukanabora8751
    @maimukanabora8751 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Shena Kwa kuzidi kutuelimisha pole sana Kwa Wana familia ya dada

  • @MarcyChola
    @MarcyChola 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana Shena, ndo maana nakupenda unagusa huku na huku.

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674 8 หลายเดือนก่อน +3

    Aliona red flags zote na zilikuwa wazi, saa nyingine ni vizuri kuhusisha mtu wa karibu kila movement na kumuomba Mungu sana.

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 8 หลายเดือนก่อน +3

    Baadhi wanaobahatika kupata mke/mume mtandaoni aliyesahihi ni bahati sn,hivo kuomba Mungu sn.Bora ukutane na unayemfahamu.

  • @ameerabdalla3820
    @ameerabdalla3820 8 หลายเดือนก่อน +12

    Huwezi kuoa wala kuolewa na mtu usiemjua from no where unariski sana maisha yako ya online

    • @ameerabdalla3820
      @ameerabdalla3820 8 หลายเดือนก่อน

      Sasa alikamatwa wapi hujaeleza uk au tz

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kuna wanaobahatika wanaopoa vitu Safi.

    • @bundaman8542
      @bundaman8542 8 หลายเดือนก่อน

      Sasa mtandao ni wa dini yenu watu wasiyokuwa na zambi iweje tena uwe na sintofahamu. Acheni kiburi Cha dini

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@ameerabdalla3820TZ

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 7 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@bundaman8542MTANDAO WA DINI YAKO MPUUZI WEWE

  • @AbdullahOmar-be4wy
    @AbdullahOmar-be4wy 8 หลายเดือนก่อน +6

    Kwa ufupi innalillahi wa inna ilaihi rajiuna uislamu uliweka taratibu ukizifuata utafanikiwa ukienda kinyume utapata madhara katika mambo ya uchumba bint alikosea taratibu Mungu amsamehe

  • @noelmunuo4660
    @noelmunuo4660 7 หลายเดือนก่อน +4

    Marehemu nae alikuwa na shida ya akili tena ni mjinga kupita kiasi, imagine mtu mmegombana mpk kaka yako kaja kukusaidia iweje ukakutane nae tena?? Chukua passport weka hapo nje ya mlango wako aikute abebe apite hv, hawez ipeleke police then mpigie simu akaifate hapo, ikishindikana ipeleke hotelini alipofikia Acha reception Rudi nyumbani yeye ataikuta hapo sasa mtu kasahau passport kwako unampeleka mpk hotelini chumbani kitandan huyo marehemu nae alikuwa anashida ya akili na yeye

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman2035 8 หลายเดือนก่อน +7

    Innalillah wainnaillah rajiun Allah amsamehe makosa yake na atie nuru ktk kaburi lake
    Allah amiiin

  • @eshu-tanzania2791
    @eshu-tanzania2791 6 หลายเดือนก่อน

    Innalillah wainnalilah rajiun Allah,
    Msamehe makosa yake na mpe kauli dhabiti ameen.

  • @OlipBeautyCorner
    @OlipBeautyCorner 17 วันที่ผ่านมา

    Mimi jamani hawa watu tuishi nao tu ila,mhh tuwasikilizege wazazi wetu tu sometimes,maana,sitii neno ila nimejifunza kitu kikubwa sana

  • @deuskusaga8156
    @deuskusaga8156 7 หลายเดือนก่อน +1

    Daa!! Mungu atusaidie

  • @benadetharange9899
    @benadetharange9899 8 หลายเดือนก่อน +2

    Habari mim nashida na wew dada naomba unisaidie

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 8 หลายเดือนก่อน

    Thank you kwa mafunzo Shena, you look so beautiful 😍

  • @TeloAwor
    @TeloAwor 8 หลายเดือนก่อน +4

    Duh ni muhimu kumwomba Mungu na kuwa lakini sana online dating

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 8 หลายเดือนก่อน +4

    Alafu Huku ulaya .waauwaji note wakiua uwawanasema ni ugonjwa wa akili .wana shirikiana na maloya wao.

  • @DavidDavid-wf5ug
    @DavidDavid-wf5ug 7 หลายเดือนก่อน +3

    Ila ukishapenda hayo yote huyaoni na kama huyo binti wa london amekaa miaka hata salam hapati siyo rahisi kuona red flag

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 8 หลายเดือนก่อน +5

    Aki inasikitisha sio simu tu wanacontrol adi mind yko hii kitu imehenea shena chunguza kuhusu mind control huwalezee watu hapa kabla yakuingia mahusiano na watu sana Italy mambo hayo yapo na rafiki yngu alikuwa na mwanaume wa ivyo adi kifo kikamkuta kawekewa sumu baada yakurudi Africa 😢

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 8 หลายเดือนก่อน

    Duh mtihani kweli jmn inasikitisha kweli kuna umuhimu sana wa kuiskiliza ile sauti ambayo unaiskia ndani yako hisia zile ambazo unaziona hakika

  • @shamzone388
    @shamzone388 8 หลายเดือนก่อน +1

    Subhana allah
    Allah atustiri yarab….

  • @DavidDavid-wf5ug
    @DavidDavid-wf5ug 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenye afya ya akili anaweza.kutumia mtandao kiasi hicho na vipi mwenye afya ya akili anafungwa?mimi sijui

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 หลายเดือนก่อน

    Makubwa,yaani mi nikuletee passport
    Thubutu ningeituoa nje huko angeikuta huko

  • @susans4490
    @susans4490 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ahh Sheena mbona unatuangusha unatamka Omari lol ni Omar

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ni story nzuri iliyo nje ya maisha halisi. Yaliyoelezwa katika maisha HALISI haiwezekani.

    • @ninjaisma7983
      @ninjaisma7983 8 หลายเดือนก่อน

      Ameitunga sio😅😅

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 8 หลายเดือนก่อน +3

    Daaha hatariiii sana Mungu atusimamie rip to her Kwakweli

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed7118 7 หลายเดือนก่อน

    Wanawake ni wengi juu hawafikirii sana wanaamini maisha ya online

  • @hanswan1
    @hanswan1 8 หลายเดือนก่อน +1

    Da shena leo nimekuwahi live nini jamani...even though story inasikitisha sana.

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hata uwislam aurusu iyo mambo walifanya makosa

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 8 หลายเดือนก่อน +5

    TATIZO sio dieting saite Watu wa AFYA ya Akili WaPo kibao ,mitaani au ktk Nyumba Za IBADA na nakadhalika nakadhalika kikubwa NI kumuomba AhllA akupe mtu mwenye AFYA ya Akili.

  • @hamadramadhan8422
    @hamadramadhan8422 7 หลายเดือนก่อน

    Tunawezaje kuingia online date?

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂 online dating ndio kiiichochoze kiiichomfanya nadin kuingia kwenye mitihan

  • @halimahassan3031
    @halimahassan3031 5 หลายเดือนก่อน

    Inna lillah wanna ilaih rajiuun

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 8 หลายเดือนก่อน

    Hii ya leo umeipiga kama taarifa ya habari😃👍

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 หลายเดือนก่อน

    Mi ukishakua millionaire,mmmh napgopaa an

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin6017 8 หลายเดือนก่อน +2

    Duuh ni hatari sana,ahsante kwa ku-share nasi hiki kisa cha kweli😭🙆🏿‍♂️naendelea kujifunza.

  • @abdulmauya4874
    @abdulmauya4874 7 หลายเดือนก่อน

    HABARI NZURI NA YA KUSIKITISHA NI FUNZO KUBWA SANA NA UWELEWA MAKINI ZINGATIA VYEMA YATOKANAYO.

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z 8 หลายเดือนก่อน

    Ukweli kbs

  • @bab_seif
    @bab_seif 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nina shida na ww nitakupa tele

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 8 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo kifo kulikuwa kinamnyemelea tu maana hadi kabakwa bado tu anamfata mh innalilahi wainnailaihi rajiun ❤

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 8 หลายเดือนก่อน

    Nawapa pole wadada

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe kua singo ndo ilikua usalama wake

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe maisha marefu sana dada ❤

  • @mohammedsaqry3036
    @mohammedsaqry3036 8 หลายเดือนก่อน +4

    Bull shit hawakufata misingi na sheria za dini na mila pia desturi za kiungwana na hiyo ndio alistahili Allah Atustiri na familia zetu

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 8 หลายเดือนก่อน +1

    So sad story

  • @Mimi.Official
    @Mimi.Official 8 หลายเดือนก่อน

    Waah 😢

  • @ireneboniventure7434
    @ireneboniventure7434 7 หลายเดือนก่อน

    Me kuna mtanzania tena tulikytana TikTok live akaomba number akapewa 😂 tena mtanzania

    • @ireneboniventure7434
      @ireneboniventure7434 7 หลายเดือนก่อน

      Alikua akintumie Hela baadae ana seek so much attention

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  7 หลายเดือนก่อน +1

      Na wanakua wepesi kutoa pesa ili wakununue
      Pole aiseee

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 7 หลายเดือนก่อน +1

      SIO KILA MWENYE PESA NI MWEMA

  • @FarajaKihembwe
    @FarajaKihembwe 8 หลายเดือนก่อน

    Pole kwa Familia ila huyo dada alikuwa namba 9 wamafala

  • @joharikitundu
    @joharikitundu 8 หลายเดือนก่อน

    Hapa watu wenye pesa naona story nyingi wanatumia muhuaji ni hatatizo la afya ya akili .
    Jaribuni kufuatilia true story

  • @stonetown578
    @stonetown578 8 หลายเดือนก่อน

    Si vibaya na si uzuri vile vile online dating.

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 8 หลายเดือนก่อน +2

    Niliwahi kukutana na American fulani ambaye pia nahisi alikuwa na shida fulani. Alikuwa na mazoea ya kucheka kama dakika tano bila kuzungumza. Nilimuogopa 😂

  • @nyamwizajane5627
    @nyamwizajane5627 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa akili yangu mimi naona huyu hana tatizo lolote la akili kwa nini alipata akili ya kutorojea Tanzania?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 7 หลายเดือนก่อน +1

      UNA AMBIWA KAKAMATIWA TZ BRO

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 8 หลายเดือนก่อน +1

    Uongo huyo nadin kamgeuka bada ya huyo mwaname alimsomesha ndio mana hajakubali

    • @MiriamVienna
      @MiriamVienna 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ulikuwepo wakati wanasomeshana?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 7 หลายเดือนก่อน +1

      KUMBE UNAWAJUWA JIRANI ZAKO AU