Online dating for me its a Biggest No! Pia watu wenye matatizo ya akili ni wengi sana na huwa wanakuwa very kind mwanzoni, baada ya muda mfupi weeee utaona rangi zote
Wanawake saa ingine hu ignore red flags sababu anaona kuanza upya ni ngumu na pia pressure kutoka katika jamii. Mwanamke ukiona kama mtu humuelewi elewi bora ku move on and never look back.
Kwa ufupi innalillahi wa inna ilaihi rajiuna uislamu uliweka taratibu ukizifuata utafanikiwa ukienda kinyume utapata madhara katika mambo ya uchumba bint alikosea taratibu Mungu amsamehe
Marehemu nae alikuwa na shida ya akili tena ni mjinga kupita kiasi, imagine mtu mmegombana mpk kaka yako kaja kukusaidia iweje ukakutane nae tena?? Chukua passport weka hapo nje ya mlango wako aikute abebe apite hv, hawez ipeleke police then mpigie simu akaifate hapo, ikishindikana ipeleke hotelini alipofikia Acha reception Rudi nyumbani yeye ataikuta hapo sasa mtu kasahau passport kwako unampeleka mpk hotelini chumbani kitandan huyo marehemu nae alikuwa anashida ya akili na yeye
Aki inasikitisha sio simu tu wanacontrol adi mind yko hii kitu imehenea shena chunguza kuhusu mind control huwalezee watu hapa kabla yakuingia mahusiano na watu sana Italy mambo hayo yapo na rafiki yngu alikuwa na mwanaume wa ivyo adi kifo kikamkuta kawekewa sumu baada yakurudi Africa 😢
TATIZO sio dieting saite Watu wa AFYA ya Akili WaPo kibao ,mitaani au ktk Nyumba Za IBADA na nakadhalika nakadhalika kikubwa NI kumuomba AhllA akupe mtu mwenye AFYA ya Akili.
Niliwahi kukutana na American fulani ambaye pia nahisi alikuwa na shida fulani. Alikuwa na mazoea ya kucheka kama dakika tano bila kuzungumza. Nilimuogopa 😂
Asante sana shena nimejifunza kitu hapa, poleni sana family ya nadin
Online dating for me its a Biggest No! Pia watu wenye matatizo ya akili ni wengi sana na huwa wanakuwa very kind mwanzoni, baada ya muda mfupi weeee utaona rangi zote
Asante saana Shenaa kwa kazi nzuli kwenye mtandao wako
Shukran dear 🙏
Sante dada barikiwa nauzidi kutuelimisha aki
@@OfficialDatingAssistancewe Shena nae funika kichwa chako.
Wanawake saa ingine hu ignore red flags sababu anaona kuanza upya ni ngumu na pia pressure kutoka katika jamii. Mwanamke ukiona kama mtu humuelewi elewi bora ku move on and never look back.
Uko sahihi kabisa,
Asante hii inatokea muda unapita sasa. Inasikitisha na kutisha. Mungu atuepushe.
Asante kwa habari kujifunza muhimu sana
Weldone Shena
So sad jamani.😢😢
Mungu awalinde watoto wetu. Pole kubwa kwa hii familia
Asante Shena Kwa kuzidi kutuelimisha pole sana Kwa Wana familia ya dada
Asante sana Shena, ndo maana nakupenda unagusa huku na huku.
Aliona red flags zote na zilikuwa wazi, saa nyingine ni vizuri kuhusisha mtu wa karibu kila movement na kumuomba Mungu sana.
Baadhi wanaobahatika kupata mke/mume mtandaoni aliyesahihi ni bahati sn,hivo kuomba Mungu sn.Bora ukutane na unayemfahamu.
Huwezi kuoa wala kuolewa na mtu usiemjua from no where unariski sana maisha yako ya online
Sasa alikamatwa wapi hujaeleza uk au tz
Kuna wanaobahatika wanaopoa vitu Safi.
Sasa mtandao ni wa dini yenu watu wasiyokuwa na zambi iweje tena uwe na sintofahamu. Acheni kiburi Cha dini
@@ameerabdalla3820TZ
@@bundaman8542MTANDAO WA DINI YAKO MPUUZI WEWE
Kwa ufupi innalillahi wa inna ilaihi rajiuna uislamu uliweka taratibu ukizifuata utafanikiwa ukienda kinyume utapata madhara katika mambo ya uchumba bint alikosea taratibu Mungu amsamehe
Marehemu nae alikuwa na shida ya akili tena ni mjinga kupita kiasi, imagine mtu mmegombana mpk kaka yako kaja kukusaidia iweje ukakutane nae tena?? Chukua passport weka hapo nje ya mlango wako aikute abebe apite hv, hawez ipeleke police then mpigie simu akaifate hapo, ikishindikana ipeleke hotelini alipofikia Acha reception Rudi nyumbani yeye ataikuta hapo sasa mtu kasahau passport kwako unampeleka mpk hotelini chumbani kitandan huyo marehemu nae alikuwa anashida ya akili na yeye
Innalillah wainnaillah rajiun Allah amsamehe makosa yake na atie nuru ktk kaburi lake
Allah amiiin
Amiiin
Innalillah wainnalilah rajiun Allah,
Msamehe makosa yake na mpe kauli dhabiti ameen.
Mimi jamani hawa watu tuishi nao tu ila,mhh tuwasikilizege wazazi wetu tu sometimes,maana,sitii neno ila nimejifunza kitu kikubwa sana
Daa!! Mungu atusaidie
Habari mim nashida na wew dada naomba unisaidie
Thank you kwa mafunzo Shena, you look so beautiful 😍
Duh ni muhimu kumwomba Mungu na kuwa lakini sana online dating
Alafu Huku ulaya .waauwaji note wakiua uwawanasema ni ugonjwa wa akili .wana shirikiana na maloya wao.
Ila ukishapenda hayo yote huyaoni na kama huyo binti wa london amekaa miaka hata salam hapati siyo rahisi kuona red flag
Aki inasikitisha sio simu tu wanacontrol adi mind yko hii kitu imehenea shena chunguza kuhusu mind control huwalezee watu hapa kabla yakuingia mahusiano na watu sana Italy mambo hayo yapo na rafiki yngu alikuwa na mwanaume wa ivyo adi kifo kikamkuta kawekewa sumu baada yakurudi Africa 😢
Duu kweli tuombeaneni jamani
Sana
Duh mtihani kweli jmn inasikitisha kweli kuna umuhimu sana wa kuiskiliza ile sauti ambayo unaiskia ndani yako hisia zile ambazo unaziona hakika
Subhana allah
Allah atustiri yarab….
Mwenye afya ya akili anaweza.kutumia mtandao kiasi hicho na vipi mwenye afya ya akili anafungwa?mimi sijui
Makubwa,yaani mi nikuletee passport
Thubutu ningeituoa nje huko angeikuta huko
Ahh Sheena mbona unatuangusha unatamka Omari lol ni Omar
Ni story nzuri iliyo nje ya maisha halisi. Yaliyoelezwa katika maisha HALISI haiwezekani.
Ameitunga sio😅😅
Daaha hatariiii sana Mungu atusimamie rip to her Kwakweli
Wanawake ni wengi juu hawafikirii sana wanaamini maisha ya online
Da shena leo nimekuwahi live nini jamani...even though story inasikitisha sana.
Hata uwislam aurusu iyo mambo walifanya makosa
TATIZO sio dieting saite Watu wa AFYA ya Akili WaPo kibao ,mitaani au ktk Nyumba Za IBADA na nakadhalika nakadhalika kikubwa NI kumuomba AhllA akupe mtu mwenye AFYA ya Akili.
Well said 📌
Tunawezaje kuingia online date?
😂😂😂😂😂 online dating ndio kiiichochoze kiiichomfanya nadin kuingia kwenye mitihan
Inna lillah wanna ilaih rajiuun
Hii ya leo umeipiga kama taarifa ya habari😃👍
Mi ukishakua millionaire,mmmh napgopaa an
Duuh ni hatari sana,ahsante kwa ku-share nasi hiki kisa cha kweli😭🙆🏿♂️naendelea kujifunza.
HABARI NZURI NA YA KUSIKITISHA NI FUNZO KUBWA SANA NA UWELEWA MAKINI ZINGATIA VYEMA YATOKANAYO.
Ukweli kbs
Nina shida na ww nitakupa tele
Huyo kifo kulikuwa kinamnyemelea tu maana hadi kabakwa bado tu anamfata mh innalilahi wainnailaihi rajiun ❤
Kweli
Nawapa pole wadada
Kumbe kua singo ndo ilikua usalama wake
Mungu akupe maisha marefu sana dada ❤
Bull shit hawakufata misingi na sheria za dini na mila pia desturi za kiungwana na hiyo ndio alistahili Allah Atustiri na familia zetu
So sad story
Waah 😢
Me kuna mtanzania tena tulikytana TikTok live akaomba number akapewa 😂 tena mtanzania
Alikua akintumie Hela baadae ana seek so much attention
Na wanakua wepesi kutoa pesa ili wakununue
Pole aiseee
SIO KILA MWENYE PESA NI MWEMA
Pole kwa Familia ila huyo dada alikuwa namba 9 wamafala
Hapa watu wenye pesa naona story nyingi wanatumia muhuaji ni hatatizo la afya ya akili .
Jaribuni kufuatilia true story
Si vibaya na si uzuri vile vile online dating.
Niliwahi kukutana na American fulani ambaye pia nahisi alikuwa na shida fulani. Alikuwa na mazoea ya kucheka kama dakika tano bila kuzungumza. Nilimuogopa 😂
😂😂
Kwa akili yangu mimi naona huyu hana tatizo lolote la akili kwa nini alipata akili ya kutorojea Tanzania?
UNA AMBIWA KAKAMATIWA TZ BRO
Uongo huyo nadin kamgeuka bada ya huyo mwaname alimsomesha ndio mana hajakubali
Ulikuwepo wakati wanasomeshana?
KUMBE UNAWAJUWA JIRANI ZAKO AU