MAISHA YA NDOA YALIVYOBADILIKA NA KUA MAUAJI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 88

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 8 หลายเดือนก่อน +5

    Mwanamme alikua mbaya sana kwakweli 😢 angemuacha tu ili aishi maisha yake 💔 hope kina dada mmejifunza kwamba si kila king'aacho ni dhahabu.

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 8 หลายเดือนก่อน +2

    Inauma saana.kuliko kuuwa ni bora kuwaacha hapo na kuondoka.kitu ambacho huwezi kumrudishia mtu hupaswi kukichukua.uhai aliotupa Mungu Acha yy mwenyewe auchukue kwa wakat wake.

  • @EmmyNamoyo
    @EmmyNamoyo 8 หลายเดือนก่อน +7

    Niliona hii story inasikitisha sana na nilijifunza kuwa usiwahi amini mtu yoyote i mean yoyote very sad story 😔

  • @jackynygard2123
    @jackynygard2123 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna umuhimu sana wa kua na rafiki wa kuaminika maishani, hususani sisi tunaoishi ughaibuni, tunajitenga na kutengana sana, ni vizuri kua na mtu unaeweza kumuamini na kumshirikisha kwenye masuala nyeti kama hivi.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 8 หลายเดือนก่อน +2

    Asante Shena kwa kushea hii habari. Ni huzuni, inasikitisha na ni hasara kubwa isiyofahamika. Binaadam hatuko sawa kimtazamo, kifikra na kimapenzi. Uzaniae ndie kumbe sie lakini, kuonana, kukutana na hadi kupendana kwenye mtandao sio tatizo kwasababu wapo watu wengi wanaonufaika, walionufaika na itaendelea kuwa ni sehemu nzuri na ya haraka kuonana na mtu au mchumba mtarajiwa. Udhaifu upo baina ya watu lakini ni wachache sana na tukio hili ni ushahidi wa uchache huo. Kwa bahati nzuri au mbaya huwezi kumjua mtu mzuri au mbaya mpaka mkutane kwa aidha siku kadhaa pengine muishi pamoja na ndio maana, Wazungu wengi ili waishi nawe watakujaribu kwa miezi au hata miaka kabla hajakuamini. Msiba lakini ni vigumu kumjua mtu undani wake

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli ni ngumu sana
      Ni kuomba Mungu sana tu.. Huyo dada ameishi na mume wake more that 8years na mwisho akafanya hayo
      Ni mtihani mkubwa sana

  • @BertherKapesa
    @BertherKapesa 8 หลายเดือนก่อน +6

    Tusilazimishe mapenzi.

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 8 หลายเดือนก่อน

    Very sad story😭, Shena Ubarikiwe sn Kwa Elimu unazotoa Kwa Ndugu zako🙏

  • @witnessfelix3336
    @witnessfelix3336 8 หลายเดือนก่อน +2

    Dah😢 Mungu atuokoe kwakwel

  • @SawayaNm
    @SawayaNm 8 หลายเดือนก่อน +2

    These stories is our daily bread here! Especially after social media! If you look deeply us human beings we are born in natural have our egos out of control! If you ask your God to lead you through control your egos! You will smell a lot of situation before get out of control!

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hatari na nusu huku ulaya ni nomaaaa aiseee Mungu atusaidie yaanimumewake anaongea Kama hajui kitu ndio zao hizo usipokuwa makini na wazungu ndio hivyo wanakusukumizia matatizo rip to her

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 8 หลายเดือนก่อน +5

    Ogopa sana wazungu!

    • @AngelaLyimo-d7x
      @AngelaLyimo-d7x 7 หลายเดือนก่อน

      Sio watu

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 6 หลายเดือนก่อน

      Waarabu je?

    • @atomphoton5000
      @atomphoton5000 6 หลายเดือนก่อน +1

      @@vanessalaizer4363 waarabu wengi wanatesa na kutuma tuma tuma sana wafanyakazi ila kuua mtu huwaga hawana hao sana sana wanajilipuaga wenyewe na mabomu ila wazungu ni makatili kila staili zote za vifo wamebuni na kufanya wao

    • @rosesevent
      @rosesevent 3 หลายเดือนก่อน

      @@vanessalaizer4363 mwaraabu kheri alipue nchi nzima kuliko uguse familia yake 😂😂😂 wale noma

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 8 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢😢😢Jana tu wamezika Moshi mke ameuwa mumewee mhhhh maisha ya sasa na ndoa jmn ombeni sana Mungu mm nipo single natafuta tu pesa Mungu anisaidie

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 หลายเดือนก่อน

      Inasikitisha sana jamani

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 8 หลายเดือนก่อน +2

      🤣🤣🤣 eti upo single huyo kija mdogo mdogo 🤣🤣 mnaambiana tupunguzane tu kiu ndiyo atakuchinjaaaaa🤣🤣🤣

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kumuacha asiyekupenda aende hili ni tendo la upendo wenye D 2 wataelewa hii code

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 8 หลายเดือนก่อน +3

    Very sad 😔

  • @Jp2025content
    @Jp2025content 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nilichojifunza kulazikisha kitu kuna muda unaona ishara zote mume or mwanaume hakutaki bac amrkushoka bado upo tu ukiulizwa watoto kuna mapenzi makosa yanasameheka ata akicheat lakin unajua anajutia huyu apo kiksamehe ipo ila mtu anakunyanyasa kukudharau kwakua ana hela upo 😢ndo inakukost ushaur wanawake naona kisa mkeiona isho talaka imeekwa kwa maana so kama mungu hajui kwanin kaiyeka tujifunze na unaanzaje kumpenda mtu hakupend😢tena we huna kinaa🙌

  • @MartinaMartinafrancis
    @MartinaMartinafrancis 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli ujibali kwamba mapenzi yameisha usilazimishe

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hicho Kisa Shena kinahuzunishaaa , Bora angeikimbia familia kuliko kuwauwa na watoto waliokuwa hawana hatia ya hayo mahusiano plus kichanga kilichokuwa Tumboniii

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 หลายเดือนก่อน

      Yani inasikitisha sana
      Tena amewatumbukiza watoto kwenye Tank za mafuta wakiwa hai 🥲

  • @PaulsenMgema
    @PaulsenMgema 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hii documentary niliona discovery ID kwenye dstv

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 8 หลายเดือนก่อน

    Yaani Jamani acheniii 😢😢😢

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hatua alizochukua ni mbaya mno hata Kama mke alikuwa anafosi kwanini aue mke na watoto ni mmuuaji

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 8 หลายเดือนก่อน +3

    Maisha ya mtandao yanadanganya usinikumbushe kibubu challenge mdada alituaminisha unajichanga pesa kumbe mwenzetu mume wake anauza madawa haramu

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 หลายเดือนก่อน +1

      Maisha ya mtandao tuyaache kwenye Macho tu

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 hivi na yeye alisalimika kweli na kifungo yule dada yani tunatakiwa kuwa na subra sana na mitandao hii watu wanaishi maisha ya kuigiza watazamaj tunaona kama reality kumbe maigizo

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 7 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli apa nikisa cha kusikitisha na nifunzo kubwa sana inasikitisha kwakweli.

  • @sund2553
    @sund2553 27 วันที่ผ่านมา

    Afu mkaka mzuri tu ukimpat utasema umeopoa

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hiki Kisa niliwahi kisikiliza yaani Very Sad

  • @lilyjones3584
    @lilyjones3584 7 หลายเดือนก่อน

    Jamaa anadai haamini kama mke na watoto hawapo nyumbani! Eti anawataka warudi!! Halafu taarifa polisi imetolewa na rafiki/jirani. Damu aliyoisaliti itamtesa sana. Story ya kusikitisha mno 😢

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 8 หลายเดือนก่อน

    Namkumbuka huyu dada kumbe alikufa 😢😢😢

  • @navioma4882
    @navioma4882 8 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢😢😢😢😢

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 8 หลายเดือนก่อน

    Mauwaji kama haya yanatokea sanaa tuu hata hapa Belgium. Kitu kinachoumiza ni pale wanapoingiza watoto kwenye matatizo yao.

  • @mariambakari8065
    @mariambakari8065 7 หลายเดือนก่อน

    Shena ubarikiwe

  • @FarajaKihembwe
    @FarajaKihembwe 8 หลายเดือนก่อน +6

    Halafu utasikia dada zetu wavivu wakiafrica wanasema wazungu wanajua kutunza wake zao kuliko wanaume wakiafrica, sijui wanaangalia kwenye muvi au vipi maana nahuku wapo wahuni kuliko hata uhuni wenyewe

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 หลายเดือนก่อน +5

      Watu wabaya wapo kila kona ya dunia

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 8 หลายเดือนก่อน

      Binadamu wote wakiwa wabaya wabaya tu

    • @Mimi.Official
      @Mimi.Official 8 หลายเดือนก่อน

      Visa hivi mbona viko telephone huku Africa. Nikuomba tu mungu atusaidie

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@OfficialDatingAssistanceumependeza da sheena

  • @upendomahenge3802
    @upendomahenge3802 8 หลายเดือนก่อน

    sad story, tunachoweza kujifunza nikwamba tujifunze kuona dalili mbaya za mwanzo na kufanya maamuzi kabla mambo hayajakuwa makubwa,tuache mambo ya kuvumilia kwenye ndoa bila sababu za msingi, tuishi kwa haki na upendo,sasa huyo kama ameweza kuuwa mke wake atashindwa vip kuuwa hata ndugu zake, he is like Animal,tujiepushe na hasira za binadamu. yaani nimeumia mnoo hasa kwa watoto.

  • @vero57
    @vero57 8 หลายเดือนก่อน +1

    MWANAUME HUYO WA HOVYO SANA!! UNAUWA FAMILY YAKO KWA MCHEPUKO !!!! MIMI HAPA NIMEJIFUNZA KITU , MAPEZI YANA UWAA KWA KWELI

    • @aminaabdulghanim8256
      @aminaabdulghanim8256 8 หลายเดือนก่อน

      Imani ya dini ikiwa chini shetani anakuingia poatu.

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 8 หลายเดือนก่อน

    Very sad, hapa ilitokea pia mama wa ki ghana na Binti yake , waliuliwa kwa gas na mume wake wa kizungu . Jamani mapenzi mkutimkuti.

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 7 หลายเดือนก่อน

    Alikua M- Tz?

  • @PriscillaGathokumi
    @PriscillaGathokumi 8 หลายเดือนก่อน +1

    Watu waache kurazimisha mapenzi

  • @JazilaSiraja-st8cu
    @JazilaSiraja-st8cu 6 หลายเดือนก่อน

    Mapenz ya kuonesha mtandaoni s kla mtu anafurahia

  • @JulianaJackson-lz6vq
    @JulianaJackson-lz6vq 8 หลายเดือนก่อน

    Mapenzi...Unapendana na mtu anakupiga tukio unaisi kupoteza tumain.hiyo story inahuzunisha sana tunapitia haya

  • @ShukranMwakyambo
    @ShukranMwakyambo 8 หลายเดือนก่อน

    Leoo niko no 1

  • @DestinysChild-nn7ug
    @DestinysChild-nn7ug 8 หลายเดือนก่อน

    Duh!!? 🥺

  • @SinaHafidhi
    @SinaHafidhi 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe nao ni waongo

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ni binadamu utofauti wetu n'a wao ni rangi tuu

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@devothasimbi6495ndio

  • @minzandaki9830
    @minzandaki9830 8 หลายเดือนก่อน

    Aisee ni hatari mnoo. HAKIKA AFYA YA AKILI HUMPATA YOYETO HAIJALISHI.

  • @FaustineTz
    @FaustineTz 8 หลายเดือนก่อน

    Duu😢

  • @maryamkhamfar4029
    @maryamkhamfar4029 8 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji 8 หลายเดือนก่อน

    Alivy mkavu anjifny anauchungu wanaume mmmh NI htr

  • @ibraoman2745
    @ibraoman2745 8 หลายเดือนก่อน +1

    Yaan mm nikiona hizi changamoto najikuta nawachukia sana wanaume sitaman kabis kua kweny mahusiano kabisa

    • @FredMaulid
      @FredMaulid 7 หลายเดือนก่อน

      Mwamini tu mungu wapo wame wema na waovu pia ila mume mwema utamjua kwa matendo na muovu pia Kuna siku uongo ma ukweli hujitenga kuhusu mume mwema na mkweli hivyo omba mungu mume mwema yupo

  • @LucyJoseph-pb4um
    @LucyJoseph-pb4um 8 หลายเดือนก่อน

    Duuuuuuuuh

  • @BertherKapesa
    @BertherKapesa 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sheina mimi nataka kuja ulaya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 หลายเดือนก่อน

      Karibu sana

    • @anithamsoke2329
      @anithamsoke2329 8 หลายเดือนก่อน

      Moyo wa mtu hakika ni kichaka. Asante shena kwa ushauri mzuri. Mm inafikia hatua binadamu nawaogopa kabisa. Sijuh tumekuwaje yaani mtu anaweza badirika kama anaingiliwa na mapepo halafu akishafanya tukio ni kama pepo linakaa pembembeni kumtazama.
      Duniani kweli kuna mengi ya ajabu na kusikitisha sana.
      Nimejifunza mapenzi yakiisha bora kukubali tuu na kutolazimisha yaendelee maana kulazimisha kunakuja na pande mbili.
      Duh! Huyo baba hawezi pata raha au furaha duniani mpk anakufa manake damu za watoto na mke zitamlilia kila akijaribu hata kufumba macho yake.
      Sijuh dunia inatupeleleka wapi.

  • @HappyPallangyo-vt7xx
    @HappyPallangyo-vt7xx 8 หลายเดือนก่อน

    𝔍𝔪𝔫 watoto

  • @BertherKapesa
    @BertherKapesa 8 หลายเดือนก่อน

    Sheina mimi nataka kuja ulaya

  • @SamiraMakame-w9c
    @SamiraMakame-w9c 8 หลายเดือนก่อน

    Cruel man

  • @judithmussa-le1gj
    @judithmussa-le1gj 8 หลายเดือนก่อน

    Tamaa ya kuolew na wazungu.wazungu wanawangilia kinyume n maumbile

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 หลายเดือนก่อน +2

      Muombe Mungu sana akupe maarifa ndio kitu pekee unahitaji kwasasa

    • @snico2275
      @snico2275 8 หลายเดือนก่อน +2

      Kwani hao weusi hawaingilii? Mtu anaweza kubadilika haijalishi ni mzungu au ni muafrika

    • @judithmussa-le1gj
      @judithmussa-le1gj 8 หลายเดือนก่อน

      Huo ndo ukweli si tunaona wasichana wengi wakitoa ushuhuda.

    • @zidatv1122
      @zidatv1122 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli dada zetu wanafanya siri, kwa sababu waliwapenda wazungu, chochote eanawafanyia ili tuu asiachwe hatari sana

    • @FurahaPetro-ly8jc
      @FurahaPetro-ly8jc 8 หลายเดือนก่อน

      😅😅😂😂

  • @samirasalim4203
    @samirasalim4203 8 หลายเดือนก่อน +2

    😢😢😢

  • @lovegirls3713
    @lovegirls3713 8 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢