Shekh ndoa haina standard formula Hakuna mwanamke wa hivyo hajui una kazi unayo yy anataka pesa Watu mpaka wake zao ni maboss wanalipwa kuliko waume zao lkn wanataka pesa Shekh
Mbona sheikh atingisha miguu uku ka keti hivyo nili wahi kusikia na ninavo jua pia ki dini si haram lakini ndivo alivo shetan aki keti anakua anatingisha miguua nadhani sheikh wetu kapitiwa, mola azidi kumuongoza mana yeye ndo kio chetu pia
Sheikh wangu upo sahihi jazakhallah khairan
Jazakallah khayran
Muombe Allah tu akujaalie mke Mcha Mungu
Sheikh Walid manenoyo n’yakweli kama tusemavyo sisi watu watanga
❤❤
Shekh ndoa haina standard formula Hakuna mwanamke wa hivyo hajui una kazi unayo yy anataka pesa
Watu mpaka wake zao ni maboss wanalipwa kuliko waume zao lkn wanataka pesa Shekh
Mwanamke kaumbiwa kupokea sio kutoa, mwanaume atakula kwa jasho, mwanamke atazaa kwa uchungu.
Katika swala la sadaka na kuwajali viongozi wetu hasa walim wa madrasa waislam tumefeli
Nimesikiza mawaidha ust ukweli kabisa ndoa zikifata haya watu wAtaishi vizr .nenda na daraja lako .
😂😂hapo kwenye tuonane
Watanasa au washanasa😂😂
Nooooms sheikh
Hapo nmepta elim kubwa tuoe tunaofanana nao 😮
Mbona sheikh atingisha miguu uku ka keti hivyo nili wahi kusikia na ninavo jua pia ki dini si haram lakini ndivo alivo shetan aki keti anakua anatingisha miguua nadhani sheikh wetu kapitiwa, mola azidi kumuongoza mana yeye ndo kio chetu pia
Huo ugonjwa km unavyoona kunyonya vidole kula kucha na hiyo ndy hivyo hivyo kila mtu kapewa kitu chake cha mazoea
Hayo maelezo uliskia ktk qur aan au hadiyth au ulimskia sheikh akisema?
Usione anafanya nn ona anasema nn