Ukitaka faulu katika ndoa oa mwanamke uliyemshinda haya mambo manne - Sheikh Walid

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 17

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 4 หลายเดือนก่อน +4

    Sheikh wangu upo sahihi jazakhallah khairan

  • @a.856
    @a.856 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jazakallah khayran

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b 4 หลายเดือนก่อน +1

    Muombe Allah tu akujaalie mke Mcha Mungu

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh Walid manenoyo n’yakweli kama tusemavyo sisi watu watanga

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k 20 วันที่ผ่านมา

    ❤❤

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b 4 หลายเดือนก่อน +3

    Shekh ndoa haina standard formula Hakuna mwanamke wa hivyo hajui una kazi unayo yy anataka pesa
    Watu mpaka wake zao ni maboss wanalipwa kuliko waume zao lkn wanataka pesa Shekh

    • @husnamadai7052
      @husnamadai7052 10 วันที่ผ่านมา

      Mwanamke kaumbiwa kupokea sio kutoa, mwanaume atakula kwa jasho, mwanamke atazaa kwa uchungu.

  • @rahmamahadhi3055
    @rahmamahadhi3055 5 หลายเดือนก่อน +11

    Katika swala la sadaka na kuwajali viongozi wetu hasa walim wa madrasa waislam tumefeli

  • @zena2872
    @zena2872 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimesikiza mawaidha ust ukweli kabisa ndoa zikifata haya watu wAtaishi vizr .nenda na daraja lako .

  • @user-yd2nh5oh2u
    @user-yd2nh5oh2u 5 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂hapo kwenye tuonane

  • @fat-hiyarashid4605
    @fat-hiyarashid4605 5 หลายเดือนก่อน +1

    Watanasa au washanasa😂😂

  • @sulekhaabdulahi2183
    @sulekhaabdulahi2183 5 หลายเดือนก่อน

    Nooooms sheikh

  • @seifazizz4160
    @seifazizz4160 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo nmepta elim kubwa tuoe tunaofanana nao 😮

  • @mwanamkeshujaabongoflavama7180
    @mwanamkeshujaabongoflavama7180 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona sheikh atingisha miguu uku ka keti hivyo nili wahi kusikia na ninavo jua pia ki dini si haram lakini ndivo alivo shetan aki keti anakua anatingisha miguua nadhani sheikh wetu kapitiwa, mola azidi kumuongoza mana yeye ndo kio chetu pia

    • @Official83640
      @Official83640 5 หลายเดือนก่อน

      Huo ugonjwa km unavyoona kunyonya vidole kula kucha na hiyo ndy hivyo hivyo kila mtu kapewa kitu chake cha mazoea

    • @Twahamwela-ch5lz
      @Twahamwela-ch5lz 5 หลายเดือนก่อน

      Hayo maelezo uliskia ktk qur aan au hadiyth au ulimskia sheikh akisema?

    • @ommarallyhamad7435
      @ommarallyhamad7435 5 หลายเดือนก่อน +1

      Usione anafanya nn ona anasema nn