KISA CHA MZAZI KUKATAA POSA YA MWANAMFALME | WANAUME HAWAFUNDWI KABLA YA NDOA - SHEIKH OTHMAN MAALIM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ค. 2024
- Sheikh Othman Maalim akitoa funzo na elimu kwa waislamu juu ya masuala ya ndoa na maisha ya vijana. Sheikh ameegemea zaidi kuzungumza na vijana pamoja na wazazi juu ya kutengeneza jamii zenye familia bora. Kwa kuanza na wanandoa husika hususani vijana wa kiume.
_________________________________________
Yaliyomo kwenye video hii (Chapters):
0:00 - Watu wanapenda sana visa vya Othman Maalim
1:20 - Al Ma'arif Media intro
1:29 - Wema haupotei bure bure
2:10 - Vijana na kuyapanga Maisha yao (Mf: kuchagua mke bora, marafiki bora)
3:28 - Changamoto ya jamii kukosa maadili
6:23 - Tengeneza vizuri kikosi chako cha familia
7:58 - Wanachuoni ambao hawakuoa
9:55 - Kabla ya kuoa fanya hivi
11:55 - Ugomvi baina ya wanandoa
13:01 - Wanaume tunakosea mara nyingi (kwasababu hatufundwi)
14:43 - Kisa cha kadhi kutaka kumuozesha mwanawe
18:10 - Wanaume wanaooa hawafundishwi
19:48 - Matokeo ya wanaume kutokufunzwa
22:16 - Namna ya kuongea na mkeo (mf: muite kwa majina mazuri)
24:00 - Haki za wanandoa kwa wenza wao
25:26 - Wazazi angalieni watu wa kuwapa binti zenu
27:30 - Faida ya kumuozesha binti yako kwa mchamungu
28:19 - Ukipenda sana akili inapotea
30:57 - Watu huchokana
32:38 - Kisa cha imamu Abuu Hanifa kutokuaminiwa na mama yake katika mambo ya dini
35:19 - Jizuie na jambo hili
36:50 - Kisa cha Amir wa waislamu aliyekataliwa posa ya kijana wake
48:18 - Abuu Wadaa akaenda kutangaza mtaani kuwa amaeoa
50:44 - Baba mkwe kumpa mali mume wa binti yake
51:57 - Kwanini hakumuozesha binti yake kwa kiongozi
53: 33 - Mwisho
==================================
Tazama Video nyingine kwenye channel yetu
1. Video Title: UBORA WA MIEZI MITUKUFU NA UZITO WA AMALI ZIFANYWAZO NDANI YAKE
▶ • UBORA WA MIEZI MITUKUF...
2. Video Title: RAHA KATIKA NDOA UTAIPATA KWA KUMFANYIA WEMA MKE WAKO | NDOA ZA WAZEE ZAMANAI
▶ • RAHA KATIKA NDOA UTAIP...
3. Video Title: KISA CHA ALIYESAIDIWA NA SHETANI || IBILISI ANA MBINU NYINGI || NI MUONGO
▶ • KISA CHA ALIYESAIDIWA ...
*******************************************
Our Social Media:
🟥 Instagram 👇
/ almaarifmedia
🟦 Facebook 👇
/ almaarifonlinetv
⬛ Tiktok 👇
/ almaarifmedia
*******************************************
Channel yetu nyengine 👇
/ @thefikra
_________________________________________
Produced by: 𝗔𝗹 𝗠𝗮'𝗮𝗿𝗶𝗳 𝗠𝗲𝗱𝗶𝗮 𝗣𝗿𝗼𝗱𝘂𝗰𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗶𝗻 𝟮𝟬𝟮𝟯
*******************************************
#bofyahapa🔴 #mawaidha #sheikh #maarif #ma'arif #darsa #kishki #othmanmaalim #sheikhkishki #mufti #bakwata #tanzania #hijja #ramadhanimawaidha #ramadhani #sabahalupdates #shamsualmaarif #muhadhara #mazinge #taqwa #samiasuluhu #joti #mkojanigang #mkojani #bunge #wasafi #milardayo #ihsan #zanzibar #mombasamawaidha #kenya #uislamu #listenable #trends #viral #islamic #muslims #kiswahili #arabic #ulimwengu #makka #ijumaa #swala #sunnah #islam #sheikhothmanmaalim #mawaidhamapya #mawaiza #mawaidha2024 #mawaidha2025 #mawaidha2026 #mawaidha2027 #ramadhani2025 #hakizawanandoa #hakiyamkenamume #hakiyamke #hakiyamume
*******************************************
⚠ 𝑨𝒏𝒚 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 𝒄𝒐𝒏𝒄𝒆𝒓𝒏𝒔, 𝒑𝒍𝒆𝒂𝒔𝒆 𝒄𝒐𝒏𝒕𝒂𝒄𝒕 𝒖𝒔 𝒔𝒐 𝒕𝒉𝒂𝒕 𝒘𝒆 𝒄𝒂𝒏 𝒈𝒊𝒗𝒆 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒇𝒖𝒍 𝒄𝒓𝒆𝒅𝒊𝒕 𝒕𝒐 𝒕𝒉𝒆 𝒔𝒐𝒖𝒓𝒄𝒆. ⚠
🟥 𝗣𝗿𝗶𝘃𝗮𝗰𝘆 𝗣𝗼𝗹𝗶𝗰𝘆
Dear viewers, This Privacy Policy outlines how Al Ma'arif Media ("we", "us", or "our") collects, uses, and protects any personal information you provide when you use our TH-cam channel and engage with our Islamic-based content. We are committed to ensuring that your privacy is protected. If you have any concerns about your privacy, please contact us.
🟦 𝗜𝗻𝗳𝗼𝗿𝗺𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝘄𝗲 𝗰𝗼𝗹𝗹𝗲𝗰𝘁
✔ Personal information:
When you comment, like, subscribe to or interact with our videos, your TH-cam username and profile information may be visible to us.
✔ Analytics:
We use TH-cam Analytics to gather data about video views, watch times, engagement metrics, and demographics of our viewers. This information is aggregated and anonymous.
🟪 𝗛𝗼𝘄 𝘄𝗲 𝘂𝘀𝗲 𝘆𝗼𝘂𝗿 𝗶𝗻𝗳𝗼𝗿𝗺𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻
✔ Provide content:
Your interactions with our videos, comments, and other interactions help us improve our content and provide you with more relevant information.
⬛ 𝗟𝗶𝗻𝗸𝘀 𝗮𝗻𝗱 𝗧𝗵𝗶𝗿𝗱 𝗣𝗮𝗿𝘁𝘆 𝗦𝗲𝗿𝘃𝗶𝗰𝗲𝘀
Our videos may contain links to other websites or resources. However, once you have used these links to leave our channel, please note that we have no control over these external websites. Therefore, we cannot be responsible for the protection and privacy of any information you provide when visiting such websites.
🟥 𝗬𝗼𝘂𝗿 𝗥𝗶𝗴𝗵𝘁𝘀
You can control the visibility of your interactions on our videos by adjusting your TH-cam privacy settings. You can also unsubscribe from our channel at any time. If you would like us to delete any personal information we have collected, please contact us at maarifmedia@gmail.com.
𝗧𝗵𝗮𝗻𝗸𝘀 👌💕
Kwanini tunapenda mawaidha yake Othman Maalim? ❤
Mimi sijui kwanini 😄❤
Ni mpole sana na ni Alama za uchamungu alafu ana utamu wa maneno na sauti nzuri
Ni mpole sana na ni Alama za uchamungu alafu ana utamu wa maneno na sauti nzuri
yanafundisha mambo mzur ❤ nampenda sana shekhe pia anatembea wake nawajme
Kwanza anauwez mkubwa wa kufafanua mungu amzidishie.
Hakuna Mada ambayo anaitowa Shekh Othman,ikakosa wasikilizaji wengi,hiki ni kipaji alichopewa na ALLAH,Mada zote unazotowa zinatufundisha kwa undani zaidi.ALLAH AKUPE AFYA NA UZIMA, akulinde na Kila BAYA.UZIDI KUTUELIMISHA KATIKA DINI.AMEEN
Huyu Sheikh ni Majaaz Alopewa na Mungu Allah amjaalie Umri mrefu tuzidi kuelimika kupitia Mawaidha yake
Nampenda sana ❤❤❤❤sheikh othiman maalim kwa ajili ya Allah
Kwasababu anamakini ya kuzungumza mungu ampe umri na swiha njema
Allahumma amiyn, usisahau kuSubscribe ❤️
Subhanallah kisa adhim jamani Uislam ni tamu una furaha ndani yake. Kila kitu na mtindo wake bila hivo tutateseka kihisia na maisha. ALLAH SUBHANALLAH WATAALAH atuongoze SEMA Ameen. Allah ukimueka moyoni nae ukuongoza ukimtoa moyoni nawe utateseka na duniani hadaa.
Mungu.akuzidishie.umri.mrefu.akuondolee.maradhi.akupe.mwisho.mwema.tunapenda.sana.mawaidha.yako
Alla ampe umri mrefu ili tuzidi kufaidika na mawaidha yake ya hhekima inshaallh taaala
Mungu akuweke. Alhamdulilah
MashaAllah! kwasababu anakhekma anafahamika pili mkweli MashaAllah ❤❤
Mashalla Nampeda sh kwajili ya Mawaiza ya kumjua ALLAH SUBUANA WATAHALA... MOZAMBIQUE...
Sheikh Mashallah hapendi kutetanisha waislamu kwa migawanyo ya fikraisiyo na faida. Daima mawaidha yake yanafaa binadamu wote.
Mashaallah mungu akupe Maisha mazur hapa duniani na kesho akhera
Allah akupe umri sheikh Othman maalim
Othman maalim.anafanya research vizuri. Mawaidha yake ni elimu kwa Past + Present + Future. Allah amzidishie kheri 🙏🏽
Mimi natoka Kenya natamani sana kuwa ninaishi kwa Mchina Zanzibar ni enjoy na kufaidika zaidi na Mawaidha ya Sheikh. Kwakweli kabisa mawaidha yake yanagusa umma khaswa tabiya. Ufasaha na kina Cha mawaidha Mungu ampe umri tuzidi kufaidika.
❤❤TabarakaAllah ❤❤❤❤❤....Allah akupe umri uzidi kutukumbusha In sha Allah
Mashaallah sheikh wetu mungu akupe afya uzidi kutupa dawaa
Amin ya Rabby
Allahumma Amiyn. Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
Shekhe mungu akuweke maisha marefu
Mungu akuwe daima shekhe
Hawa ndo masheikh wetu wema nawaombea Allah awafanyie wepesi sn ktk Kaz ya dawa
Amin ya Rabby
Allahumma amiyn. Naam Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
Amiin
Shukraan jazakallah kheir sheikh mawaidha mazuri saana
Allahumma amiyn. Naam Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
Sheikh jazakum llah🥰
Mashaallah napenda mawaidha yako Allah akujaze kheri
Maashallah mawaidha ya shekh wet yanatufunz meng
Allah azid kukupa umri mrefu udumu kutupatia mawaidha sheikh wetu .
Mawaidha mazuri Allah atuongoze kutimiza haya innshAllah. Sheikh wangu Allah akupe umri uzidi kutuelimisha.
Allahumma amiyn. Naam Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
Allahuma Amiin
Allah akupe maisha malefu
Allahumma amiyn. Naam Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
Mashallh
MashaAllAH ana ujuzi wa kueleza ki fasaha na ukaingiwa na hofu juu ya Allah na mafunzo alokupa
Sheikh Allah akupe umri mrefu uzidi kutufahamisha
Allahumma amiyn. Naam Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
Mashallah MUNGU akuzidishie inshallah 🤲🤲🤲
Mashallah...eti na mimi nacheka..uku
Mashallwh ya maalim
Mashallah tabarakallah amazing daawah.
ماشاءاللہ
Nakupenda kwa ajili ya Allah
Shehk othman nashukuru sana kwa hadisi na mawaiza ambae unatusomesha barakaAllah fiikum
Mashallah
MANSHALLAH ❤️❤️
Mungu akupe Manisha marefu❤
Mashallah ❤
Maashaallah Allah akujalie kwakweli tunakupenda 🇧🇮🇧🇮
Mansha allah napenda anavyo elimisha
Mashaallah mawaidha mazuuri sana❤❤❤❤❤
Masha Allah
Allah akuweke , Mashaallah.
mashallah
Mashaallah
Yanafundisha mazuri❤
Naam Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
Mash Allah
Naam Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
Inshaa Allah
Barakallahu fiikum
Allahumma amiyn. Naam Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
Maashaallah Allah akulinde na mahaasid Ustadh Othman
mawaidha matamu.
Amin ya Rabby
Allahumma amiyn. Naam Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
Duu shehewetu.mzazi.alie.kuzaa.mwenyezimungu ape.umri.mrefu.naazi.kumpa.subra
Mashaa Allah
Allahu baarik
God bless you❤
Mawaidha yake huaga nayaelewa sana
Maaashaallah
Mashaallah 🥰 🥰
Shehe na mimi nacheka huku
MaaShaaAllah. Naam Tafadhali, kama bado hujaSubscribe basi usiache kuSubscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
Allah akupe umri mrefu wenye kheri uzidi kutuelimisha
Allahumma amiyn thumma Amiyn. Usisahau kuSubscribe kaka tuzidi kuwa pamoja.
❤
Assalamualaikum! Sheikh Othman,vipi mtu anaweza ongea na wewe kwenye WhatsApp,Kuna kitu nataka nikueleze iliuaelimishe waislam na wengine,hichi kisa kimenihuzunisha sana haswa Kwa wailam,na pia lingine ni kuaelimisha Hawa ladyboss ambao wanawafanya wasichana wa nyumba kua si viumbe 😭😭😭😭
subhanalha
Naam Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
❤❤
Ilakwamimi siwezi.kukuchukiya napenda uendelee mpaka kesho
Sasa nifanye nioe 🫠🫠🦥🦥
Allah bark sheikh
Me nlkuwa naomba namb yake
Nadhani ingekuwa bora kwenda nyumbani kwake/msikitini kwake Zanzibar. Namba yake ni ngumu kuipata.
😂😂😂
ManshaaAllah Alhamdullah
Anaongea vitu halisi ambavyo vinatokea katika jamii
Maashaallah
Mashallah
Mashaallah
Tabarakallah. Naam Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo
Maashaallah
Naam Tafadhali, Subscribe channel yetu kwa mengi mazuri yajayo