MAPUNGUFU HISTORIA YA SHABAN ROBERT!! Ndugu mwandishi, Hongera kwa kutuletea historia adhimu ya mzee wetu Shaban Robert, kazi nzuri lakini ni vyema ungeanza na chimbuko lake yani asili yake, wapi hasa Shaban Robert wazee wake walipotoka yani kwa mfano ungesema ni Myao kwa kabila tokea Mrima, Pwani ya kusini eneo la Tunduru mpaka Pwani ya Zaramo yani Pwani ya Mzizima (eneo la Magogoni au Posta, Dar es Salaam ya sasa). Vile vile kwenye hiyo miaka uliyosema ameandika vitabu ungesema ni miaka ambayo vitabu hivyo vilichapishwa kuondoa hali ya sintofahamu, Shaban Robert alifariki mwaka 1962 kuna baadhi ya vitabu umesema ameandika juu ya mwaka sitini na mbili na kuendelea yani baada ya kifo chake, watu wanaweza wakajiuliza mwaka sabini na kitu Shaban Robert ameandikaje kitabu ilhali tayari ameshakufa?! Kwenye hili tafadhali nalo lirekebishe. Hapa fanya marekebisho ya miaka ya kuchapwa kwa vitabu vyake na sio kuviandika kama ulivyosema. Hata hivyo hongera kwa kazi nzuri lakini ungeirudia hii kazi yako tena kwa kuanza na chimbuko lake namna babu yake alivyotoka kwa mguu Tunduru mpaka Mzizima ungekuwa umeisaidia sana jamii kumtambua huyu fanani wa taifa letu. Na pia fanya marekebisho hapo kwa SITI BINTI SAAD, kwenye jina la hicho kitabu cha Wasifu... sio wasifu wa BINTI SADANI, sahihi ni wasifu wa SITI BINTI SAAD hivi ndivyo unavyopaswa kusema. Kumbuka huyu bibi ndiye nguli na ndiye Muasisi wa Mziki wa Taarabu haitwi hivyo kama wewe unavyomwita, nae ana mchango wake ktk kukikuza Kiswahili kupitia mziki wake wa Mwambao yani mziki wa Taarabu asili zama hizo. Tafadhali nasisitiza irudie tena hii kazi kwa maslahi ya umma wetu ili kizazi cha sasa na kijacho kizidi kujifunza na wamfahamu vyema fanani huyu wa Kiswahili shujaa wa fasihi ya lugha ya taifa letu, lugha ya bara la Afrika. Kwa msaada tu wa vyanzo vinavyoweza kukupa historia sahihi ya mzee wetu Shaban Robert nenda TBC na hakika bado wanayo historia yake, kwani miaka ya nyuma wakati wanaitwa RADIO TANZANIA walishamtengenezea hadi historia yake ambayo iliigizwa kama mchezo wa redio. Hakika ilikuwa ni historia iliyovuta hisia za watanzania wengi sana kipindi hicho. Tahadhali tu kuna baadhi ya vyanzo vya kimtandao haviwezi kukupa taarifa sahihi kwa mfano Wikipedia historia iliyoandokwa mule ina mapungufu kwani hata mwandishi wake anasema baadhi ya vitu havijui, kwa hiyo historia yake haifai kuifanya kama chanzo kikuu cha makala au habari yako. Kiufupi tu nenda TBC TAIFA (yani TBC upande wa Radio) naamini utapata huo mchezo wa redio unaelezea historia ya maisha yake (Mwanzo mwisho) historia ambayo nadhani iliyoigizwa na manguli wa sanaa ya maigizo Tanzania kina marehemu mzee Jongo ktk kundi la Rahaleo. Ahsante sana.
Kiukwl bro nime injoi xna kuhusu hii story na venye ulivo isumulia. Kuanzia muusika, family na kazi zake. Pia bila kusahau na wasifu wake kwetu. Safi xna bro. Kazi nzr mno. 👏👏👏🏃♂️🌹
Kusadikika😂😂😂😂 kitabu kimenitesa Sana nikiwa advance. Wale team HKL nipeni like zenu🤗🤗
Hahaaa
Hahahaha inch ya kufikirika sema mm advance niliipania hakuna kitabu kilichonishinda
Shaban robert....legend,mashair ya hela yote....namkubali sana,fund wa fasihi andishi...
MAPUNGUFU HISTORIA YA SHABAN ROBERT!!
Ndugu mwandishi,
Hongera kwa kutuletea historia adhimu ya mzee wetu Shaban Robert, kazi nzuri lakini ni vyema ungeanza na chimbuko lake yani asili yake, wapi hasa Shaban Robert wazee wake walipotoka yani kwa mfano ungesema ni Myao kwa kabila tokea Mrima, Pwani ya kusini eneo la Tunduru mpaka Pwani ya Zaramo yani Pwani ya Mzizima (eneo la Magogoni au Posta, Dar es Salaam ya sasa).
Vile vile kwenye hiyo miaka uliyosema ameandika vitabu ungesema ni miaka ambayo vitabu hivyo vilichapishwa kuondoa hali ya sintofahamu, Shaban Robert alifariki mwaka 1962 kuna baadhi ya vitabu umesema ameandika juu ya mwaka sitini na mbili na kuendelea yani baada ya kifo chake, watu wanaweza wakajiuliza mwaka sabini na kitu Shaban Robert ameandikaje kitabu ilhali tayari ameshakufa?! Kwenye hili tafadhali nalo lirekebishe. Hapa fanya marekebisho ya miaka ya kuchapwa kwa vitabu vyake na sio kuviandika kama ulivyosema.
Hata hivyo hongera kwa kazi nzuri lakini ungeirudia hii kazi yako tena kwa kuanza na chimbuko lake namna babu yake alivyotoka kwa mguu Tunduru mpaka Mzizima ungekuwa umeisaidia sana jamii kumtambua huyu fanani wa taifa letu.
Na pia fanya marekebisho hapo kwa SITI BINTI SAAD, kwenye jina la hicho kitabu cha Wasifu... sio wasifu wa BINTI SADANI, sahihi ni wasifu wa SITI BINTI SAAD hivi ndivyo unavyopaswa kusema. Kumbuka huyu bibi ndiye nguli na ndiye Muasisi wa Mziki wa Taarabu haitwi hivyo kama wewe unavyomwita, nae ana mchango wake ktk kukikuza Kiswahili kupitia mziki wake wa Mwambao yani mziki wa Taarabu asili zama hizo.
Tafadhali nasisitiza irudie tena hii kazi kwa maslahi ya umma wetu ili kizazi cha sasa na kijacho kizidi kujifunza na wamfahamu vyema fanani huyu wa Kiswahili shujaa wa fasihi ya lugha ya taifa letu, lugha ya bara la Afrika.
Kwa msaada tu wa vyanzo vinavyoweza kukupa historia sahihi ya mzee wetu Shaban Robert nenda TBC na hakika bado wanayo historia yake, kwani miaka ya nyuma wakati wanaitwa RADIO TANZANIA walishamtengenezea hadi historia yake ambayo iliigizwa kama mchezo wa redio. Hakika ilikuwa ni historia iliyovuta hisia za watanzania wengi sana kipindi hicho.
Tahadhali tu kuna baadhi ya vyanzo vya kimtandao haviwezi kukupa taarifa sahihi kwa mfano Wikipedia historia iliyoandokwa mule ina mapungufu kwani hata mwandishi wake anasema baadhi ya vitu havijui, kwa hiyo historia yake haifai kuifanya kama chanzo kikuu cha makala au habari yako.
Kiufupi tu nenda TBC TAIFA (yani TBC upande wa Radio) naamini utapata huo mchezo wa redio unaelezea historia ya maisha yake (Mwanzo mwisho) historia ambayo nadhani iliyoigizwa na manguli wa sanaa ya maigizo Tanzania kina marehemu mzee Jongo ktk kundi la Rahaleo.
Ahsante sana.
Upoa sahihi sn
Kweli kabisa Shaban kakitendea haki kiswahili Afrika mzima
Nakupongeza sana kaka Davistar
Kiukwl bro nime injoi xna kuhusu hii story na venye ulivo isumulia. Kuanzia muusika, family na kazi zake. Pia bila kusahau na wasifu wake kwetu.
Safi xna bro.
Kazi nzr mno.
👏👏👏🏃♂️🌹
lucas kinawiro l"
Safi sana keep it up 👏👏
Dav unajua sana...your too smart brother
Marudi mema
Namkubali marehemu Shaaban Roberts
Vyema sanaaaa
Napenda fasihi sana
Jaman hivi vitabu vyake havipatikani softcopy mtandaoni kama kusadikika na utu busara ?
Davistar upo juu
Nc brother
WA KWNZA
Davistar mata nakukubali kwa,masimulizi matamu pia tunaomba utupe istoria ya raulent nkunda
Shabani Robert 🤗
Mbn story ya Freemason uja endeleza....?
Imeendeleza
shabani ufukwe hahahaaaaa
HUYOO NDIO SHABANI ROBATI BHANA ILA SASA WATU TUKO BIZE KUTAFUTA UMBEA INSTA NA 🙄🙄🙄🙄🙄 mungu tunusuru na hili pepo
Familia yake ikumbukwe
😂😂😂😂😂 yallah maasalamu davistar acha uchokozi basi ndio umeamua kutukumbusha shuleee
Tumekumbuka sana na nimepata hamu ya kwenda kutembelea shule niliyosoma wiki hii
@@DavistarMataMediaDM hahaha salama zitamfika na sababu za ujio wangu pia nitamweleza
Hakika Shaaban Robert ni tunu ya taifa letu
Do!
Amefariki 1962 na ameandika vitabu hadi 1978????
Huyu nimdigo wacha kujichosha mbweha wwe
Kweli hakunamanufaa kwani hata kaburi walitaka liodolewe
Sasa hata kaburi walitaka liondolewe kwa Nini.!?
Saf
Waafrika tuwaenzi Mabingwa Wetu ili Kizazi Kijacho Kiwajuwe.