REV. DR. ELIONA KIMARO: MBINGU ZIKUFUNUKIE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- IBADA YA JUMAPILI YA KUSIFU NA KUABUDU JAN 8, 2023.
KICHWA CHA SOMO : MBINGU ZIKUFUNUKIE
Marko 1:9 - 11
9 Ikawa siku zile, Yesu alikuja kutoka Nazareti ya Galilaya, akabatizwa na Yohana katika Yordani.
10 Mara alipopanda kutoka majini, akaona mbingu zinapasuka, na Roho, kama hua, akishuka juu yake;
11 na sauti ikatoka mbinguni, Wewe ndiwe Mwanangu, mpendwa wangu; nimependezwa nawe.
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maoni na ushauri:
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Mbingu zinifunikie pamoja na uzao wa tumbo langu. Kwa Jima la Yesu. Amen
Mbingu zinifungukie ktk biashara yangu.
Mwenyezi Mungu akubariki baba Mchungaji Dr Eliona Kimaro. Asante kwa mahubiri na mafundisho na ufafanuzi mzuri wa neno hili. Baba Mchungaji namuomba Mungu mbingu zako zikufunukie hata kwa mapito haya ya wakati huu.
I blessed much pastor with your preaching,, our Lord bless u more to still preaching us 🙏🙏
Nimebarikiwaaaa sana. Neno limekua langu hakikaaa vile vilivyoandikwa nitavipataaaa
🙏🙏🙏 Nitaishii katika andiko la kuyaishii utambulisho 🙏🙏🙏🙏
asante mchungaji unafasili vizuri sana maandiko binafsi na kuelewa kuliko kawaida mungu akufugulie mbingu katika huduma yako natamani nikuone
hivi ndio nimeskiza hii neno la mbingu inifungukie miezi mbili kabla ya huu mwaka kwisha..napokea hii neno Nina imani mbingu inifungukie.. amen
Mubgu akubariki sana Baba yetu mchungaji Kimaro Mungu aendelee kukubariki sana tunakuombea baraka tele
Saaa inakuja nasasa ipoooooo!!!! Mbingu zinanifungukiaaaaaaaaaaa🙏🙏🙏.
Saa inakuja, na sasa ipo! POWERFUL! Mbingu zimenifunikia/ kupasukia. Eeeh MUNGU mbingu zimpasukie Allan atoke kwenye mateso. Ameeeen.
Ameen Ameen baba nami mbingu zinifunukie
See Mungu mponye mama yangu kwa jina la yesu
Aba yaaan baba ... tunaendelea kuomba kwa ajili ya jiwe hili la waashi yaan mchungaji kKimario...mtunze mlinde mjalie utukivu siku zoote za maisha kwa kuwa bwana ulimjua tangu tumbon mwa mamae ..eeeh Yesu mfalme wa amani.....mtoe katika matole yooite aliyopwkwa na uelimishaji wake ukamfanye atoke ktk matope hayo .ktk jina la Yesu ...ameen
AMEEEEN
Amen
Mbingu zinifungukie Mimi na watoto wangu Ameen Ameen
Ameeeeeeeen 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗👏👏👏👏👏👏mwaka huu mbingu zikapasuke juyamaisha yangu namiye
Ameni
L
AMEEEEN AMEEEEN AMEEEEN, MUNGU akubariki kwa ufunuo uhu🤲
Nakupenda Eee MUNGU wangu.
Mbingu zikanitambulishe na uzao wangu, ndoa yangu na kila nilichonacho. Amen
Be blessed man of God
Mungu ukafunue mbingu kwaajili ya familia yangu
Nanifunuliwe Maisha yangu uzao wangu na familia yangu kwa jina la yesu
Ameen Baba yangu kupitiya maombi tuko nafunguliwa vingi Baba🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Amen amen.Nami naomba mbingu zifunguke juu ya wanangu awaonyeshe njia ya mafanikio yao
You man of God, you are a blessing to my life 🙏 🙌 pray for me
Amen in Jesus name
Amina mbingu Zina pasuka kwajina la baba lamwana laroho mtakatifu amenni
God bless you 14:08
Mbingu zinifunukie 2023 kwa jina la Yesu
Amen baba Mchungaji
Amen
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
Naomba mwaka huu mbingu zinifungikie kwa jina la Yesu Kristo.
Ameen
Amina mbingu zikanifungukie mimi na familia yangu mwaka huu 2023.
Ameni Ameni
Nataka mbingu ikapasuke ee bwana Yesu naomba unilinde na naitaji neema na baraka maishani mwaka huu
Asante sanaaa
Namwomba Mungu Mbingu zifunguke zinipe utambulisho wangu sahii
Amina mtumishi ubarikiwe. Mbingu zinifunukie nikauone utukufu wa Mungu juu yangu
Ameen
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Aminaaaaa hallelujah
Ameeeeeen🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌👐👐👐👐
YESU nataka Imani yangu iiinuke
Amen mtumishi wa mungu bwana asifiwe nimefurahia huduma ya maombi yame nibariki 🙏🙏
Fitina ya Wayahudi hazita weza🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Amen
Waaaaah Amazing thank you powerful amen glory to be God bingu ya himefunguka 👏👏👏🙏
AMEEEEN
+
Ooooh Leo 9.7.23 DR.ELIONA KIMARO kkkt KIJITONYAMA ametujulisha kanisa kuwa amedhaminiwa na Mchj Maksai KIMARA kwenda Israel wiki ijayo. Na leo ni ushuhuda wa pamoja walikotoka. MUNGU awalindeni WOTE . KIMARA na kiijitonyama. Mpenyo mnao BABA!
Mbingu Zika funuke kwenye Maisha na biashara yangu
Oooh!! So Great,
Mimi ni mshindi in Jesus name
C H A C H U! MBAYAAAA, OOOH , CHACHU , TUJIHADHARI NA WENYE KULETA CHACHU KAMA MASADUKAYO NA MAFARISAYO, MUNGU SIKIA KUOMBA KWANGU JUU YA WENYE CHACHUNKTK FAMILIA.
🙏 Amina uzidikubarikiwa Dr Rev
AMINA
Mbingu zilizo juu ya kichwa changu zilifungwa kwa shaba na ikafunuliwa Yesu alipobatizwa
Amen🙏🙏
AMEN AMEN
🤣🤣🤣🤣Dah!! Wakatangulia vichaaa! Mlipimwa kwelikweli. Mungu akuzidishie Mtumishi neno limenibariki saaana
Hakika Mbingu Mbingu zikufunukie Mchungaji kwa Nguvu na rehema za msalaba wa Yesu MCH Kimaro
AMEN
BANGO KUBWA ANDIKA" ZAMANI ZA PONTIO PILATO" MBINGU ZIMEFUNGUKA, ANWANI IMEBADILIKA, YESU AMEFUFUKA ! USHINDI USHINDI USHINDI.
Mbingu zimenifungukia
Zamani za Huyo ponitio pilato 😂😂😂😂😂😂😂 mwenye masikio naasikie Neno laMungu ambalo Roho anayaambia makanisa.
Ameen Baba🧎🙏
Evaluation personal critical evaluation. Eee mu gu MBINGU zimfunukie Allan na ANGELA.. mpenyo eee mfalme usikie kuomba kwangu juu ya FAMILIA YANGU.
Zamani za posopilato🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤗🤗👏👏🙌👏😂👏😂
Mbingu zinifungukie ktk biashara yangu.
Ameni Ameni
Amina
Ameen
Amen 🙏
Amen