REV. DR. ELIONA KIMARO: SADAKA ILIYOBEBA FURSA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 พ.ย. 2023
  • IBADA MAALUMU YA SADAKA YA UJENZI WA KANISA LA ANGLICANA ST. JAMES ARUSHA 19. 11. 2023
    SOMO: SADAKA ILIYOBEBA FURSA
    (OFFERINGS & OPPORTUNITIES)
    Mwanzo 22 : 9 - 18
    Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
    Kwa maoni na ushauri:
    Smu :+255655516053, +255754516053
    TH-cam : Rev. Dr. Eliona Kimaro TV
    Barua Pepe: rev.kimaroe1@gmail.com

ความคิดเห็น • 20

  • @marymalongo6855
    @marymalongo6855 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amina baba mtumishi hakika nimebarikiwa sana, Mungu wambinguni akanifunulie macho yangu yaone chemichemi ya uzazi

  • @DathzuiMjutbduaen
    @DathzuiMjutbduaen 2 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa neno iyo amen amen

  • @ericksonsteve4075
    @ericksonsteve4075 5 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen Amen

  • @busandashanyangi6742
    @busandashanyangi6742 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mtumishi Kimaro unanibariki sana. Kindly naomba ruhusa kukuona

  • @judithkabunduguru9491
    @judithkabunduguru9491 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe saaana Mtumishi, hakika namuona Mungu kupitia mahubiri yako.

  • @ericksonsteve4075
    @ericksonsteve4075 5 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @user-cc4be3le6h
    @user-cc4be3le6h 6 หลายเดือนก่อน

    Amina Baba Mchungaji hakika nimebarikiwa sana,. Mungu aendelee kuitunza hiyo neema aliyoiweka kwako

  • @DorahKavishe
    @DorahKavishe 5 หลายเดือนก่อน

    Amen mtumish ninabarikiwa sana

  • @volontekambale8514
    @volontekambale8514 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu aku pandishe vi wango kwa viwango mchungaji hakika ni me barikiwa kwa neno la leo. Volonte From DRC Beni

  • @OkuliMushi
    @OkuliMushi 7 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi nimebarikiwa

  • @PsRuthMalick
    @PsRuthMalick 2 หลายเดือนก่อน

    Injili tamu namna hii ila ninachoshangaa watu wamekauka kaa hawaelewi!!

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent9836 7 หลายเดือนก่อน

    Moyo wangu unamwadhimisha bwana sana kwa ajili ya mtumishi Wake Dr kimaro,matamanio yangu ni kumwoma kwa macho yangu hapa mugumu Serengeti, kiukweli baraka zangu zimesababishwa moja kwa moja na mafundisho ya Dr kimaro, mungu akubariki sana,

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana azidi kukutumia akupe hekima ya kiMungu

  • @Annawangwe
    @Annawangwe 7 หลายเดือนก่อน

    Nimepata tumaini jipya tena Mungu wa Mbinguni aendelee kukupandisha viwango vya juu zaidi na zaidi.

  • @marystellakimaro1023
    @marystellakimaro1023 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @user-hc7tk1ws9g
    @user-hc7tk1ws9g 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mwema mno

  • @esthermliga4875
    @esthermliga4875 7 หลายเดือนก่อน

    Amen amen amen amen, sifa na utukufu Kwa Mungu Kwa ajili na namna Mungu anavyokutumia mtumishi wake ktk kufundisha maarifa ya Mungu Kwa wanadamu !! Nimebarikiwa mno

  • @vanessahopley8906
    @vanessahopley8906 6 หลายเดือนก่อน

    Kiukweli kupitia aya bauiri kunamna ni mepokea

  • @JaneMaiga
    @JaneMaiga 7 หลายเดือนก่อน

    mtumishi nabarikiwa je?naweza kukuona lini?