MAZINGE AFUNGUKA KWA NINI MABALAA YALIWAKUTA MAHAKIMU MAPOLISI WOTE WALIOMFUNGULIA KESSY MIAKA HIYOO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2024
  • Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

ความคิดเห็น • 47

  • @kassimjuma6151
    @kassimjuma6151 18 วันที่ผ่านมา +11

    Moja kati ya masheikh wanao lingania Dini ya Allah ambae na mpenda kwa moyo wangu wa dhati juu ya hili basi ni sheikh Mazinge Allah amuhifadhi

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 16 วันที่ผ่านมา +2

    Mashallah Mazinge kofia mzuri akonaroho safi Allah akueke akufungulie yakheri na baraka Inshallah na nyote mulokuwa pamoja twa mpenda kwa Ajli ya Allah

  • @user-vi8sz5zo4d
    @user-vi8sz5zo4d 18 วันที่ผ่านมา +2

    Nakupenda sheikh Mazinge kwa ajili ya Allah. Nakusukiliza from Cairo Egypt. Nakuombeya Allah muweza akubali dua yako na uende kuhiji.

  • @AliJuma-go4rc
    @AliJuma-go4rc 18 วันที่ผ่านมา +2

    Allah akupe umri mrefu Sheikh Habib Mazinge ❤❤❤❤

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 16 วันที่ผ่านมา +1

    Sheikh Mazinge yupo vizuri sana kwa kazi ya dini

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo 11 วันที่ผ่านมา

    Babu Babu nakupenda kwajili ya mungu

  • @MamaP-ro2xw
    @MamaP-ro2xw 18 วันที่ผ่านมา

    Assalaam aleikum mashekhe wetu ma shaa Allah mungu awastiri awajaalie jannatul firdaus ,sheikh mazinge njoo mombasa uwanja wa tononoka uwafunze hawa ndugi zetu kwa adam njia ha yaki na ya kweli mbele ya Allah shukran

  • @planetanimals9547
    @planetanimals9547 17 วันที่ผ่านมา

    Mashallah sheikh mazinge Allah akupe umri mrefu na afya njema

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo 11 วันที่ผ่านมา

    Yahata mpe 2)13 Tito daa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @zaharanituwano6615
    @zaharanituwano6615 16 วันที่ผ่านมา

    Namlingania shekh Mazinge aachie ndevu asizinyoe ndivyo 2me amrishwa na Mtume we2 s.a.w. nakuvuga ndevu ni (Wajibu)lazima nime shafikisha nanyi mkishieni..

  • @allyway999
    @allyway999 17 วันที่ผ่านมา

    Mazinge Allah amekupa IQ kubwa mno Allah akupe kila lakher wallahi

  • @user-np1bf6me4u
    @user-np1bf6me4u 18 วันที่ผ่านมา +1

    Saimu masuali yako nimependa sana ila huyo ust mazinge akitumiwa pesa kidogo anaidharau mimi na mpenda na fatilia sana mapambano yake napenda ila hakuna alokosa kasoro

    • @kherithewriter665
      @kherithewriter665 18 วันที่ผ่านมา

      Kwan uliwahi kumtumia akaidharau

  • @jaystrongmagaboy1633
    @jaystrongmagaboy1633 15 วันที่ผ่านมา

    Sheikh Mazinge nakupenda bure.

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka mazinge ukianzisha account ya mchango wako wa kwenda hija mimi wakwanza kukuchangia takacho jaaliwa ili mradi tu nipate dua zako.

  • @zingzong3928
    @zingzong3928 13 วันที่ผ่านมา

    Maashallaah maashallaah

  • @kerosenealimasi8019
    @kerosenealimasi8019 13 วันที่ผ่านมา

    Safi

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh 11 วันที่ผ่านมา

    Professor hiyo kilemba au kofia😂😂😂😂mungu awape umri mrefu

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y 15 วันที่ผ่านมา

    MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-np1bf6me4u
    @user-np1bf6me4u 18 วันที่ผ่านมา

    Kumbe kwenda hija ni millioni 10 tu 😮

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 18 วันที่ผ่านมา

    Waislamu, tukumbushane kuwa tunapo zungumza mguso wa maswala ya DINI hapatakiwi mzaha. Rejeleeni aya ndani ya kitabu kitukufu Qur'an na maelekezo ya Mtume Muhammad s.a.w. huto ona penye ucheshi. Mazinge na Gwao. Maswala yanayo husu DINI hapatakiwi mzaha. Simulizi zote tulizo achiwa na Mtume, hakuna za kuchekesha the same kwenye Qur'an. Amesema Mtume kuwa. hakika mini Muhammad ni mfano wa Qur'an na matendo yangu, ukifuata matendo yangu utakuwa umeifuata Qur:an na ukiifuata Qur'an utatenda ninavyo tenda mimi. Muda umekaribia hebu angalieni ile nyota inayo andamisha mwezi je ipo?

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 17 วันที่ผ่านมา +1

    Ww waambiea umekwenda hijjah lakn unamuhoji mazinge kifitna mambo ya Pete yahusu Nini ni hyo mada mnayoiongelea?mbona cc waislamu Bdo tuko nyuma?kw stayle hii hatufiki na hatutofika,mnapandikiza chuki wa wahadhiri na masheikh na waumini acheni hii tabia uislam usogee hta kidogo

  • @jafarimtimkuu
    @jafarimtimkuu 17 วันที่ผ่านมา

    Amaashaallah

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 18 วันที่ผ่านมา

    🤣🤣🤣🤣🤣 masha'allah sheikh wetu mpendwa

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z 18 วันที่ผ่านมา

    Mazinge

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 16 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo 11 วันที่ผ่านมา

    Babu Babu bwana

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca2830 15 วันที่ผ่านมา

    Ndacha bado yupo tz

  • @BuruhaniAdamWawa
    @BuruhaniAdamWawa 17 วันที่ผ่านมา

    Professor DD, Tupo Maidha

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 18 วันที่ผ่านมา

    😂😂shekhe mazinge hiyo baraka shee au soksi ya kuchujia chai😂😂😂😂😂

  • @Chemba67
    @Chemba67 17 วันที่ผ่านมา

    GWAO, MAZINGE HAITAJI KUANGALIA CAMERA KWAKUA MAZINGE NI MMOJA TU AFRIKA NA SAUTI YAKE INATOA TASWIRA YAKE HALISI NA INATOSHA.

  • @mirzah117
    @mirzah117 17 วันที่ผ่านมา

    Kwenye uchawa ndio mnaharibu

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 18 วันที่ผ่านมา

    Bendera chuma mlingoti chuma . Ccm

  • @sautikuu212
    @sautikuu212 18 วันที่ผ่านมา

    Sheikh mazinge analeta mambo ya uchawa

    • @user-np1bf6me4u
      @user-np1bf6me4u 18 วันที่ผ่านมา

      Hana mambo hayo kabisa huyo labda humjui vizuri huyo ukimpenda atakupenda naukimuudhi anakurarua bila chenga

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 18 วันที่ผ่านมา

      @@user-np1bf6me4u acha kutetea ujinga, sasa hivyo anavyofanya kuna tofauti gani na mwijaku anayewasifia watu ili anufaike?

    • @SaleheAmiry-mx1yn
      @SaleheAmiry-mx1yn 18 วันที่ผ่านมา

      Acha maneno machafu wewe

    • @HajiMasmenti
      @HajiMasmenti 17 วันที่ผ่านมา

      We ndo chawa bwege ww

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 17 วันที่ผ่านมา

      @@HajiMasmenti mapenzi yenu yasiyotumia akili kwa sheikh Mazinge yanawafanya muwe vipofu msiione hata haki, mtu anakosea lakini hamuoni. Hatari sana hii

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 18 วันที่ผ่านมา

    hata salam hajui, ....wabarakatihi. endelea kujifunza

    • @user-mf2ll7nz5g
      @user-mf2ll7nz5g 18 วันที่ผ่านมา

      Salamu gani we hasidi

    • @nailaomar4810
      @nailaomar4810 18 วันที่ผ่านมา

      Subahna Allah binadamu mungu atuhidi

    • @user-np1bf6me4u
      @user-np1bf6me4u 18 วันที่ผ่านมา

      Huyo profesa eti hajui Salam wewe unamapungufu sibure

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 17 วันที่ผ่านมา

      Acha ujuaji kwani wewe ujawai kukosea matamshi,we ni kajinga

    • @aliakrabi8321
      @aliakrabi8321 17 วันที่ผ่านมา

      @@sadathboutique6253 ukikosea kama una elimu unajirekebisha hapohapo, acha matusi