USTADHI SHAFII AFUNGUKA MAISHA YAKE KABLA YA MIKUTANO NA WAKRISTO NA SABATO, AMTAJA USTADH MAZINGE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • LEO USTADHI SHAFII AMETUPA HISTORIA YAKE YA MAISHA NA JINSI ALIVYOANZA MIHADHARA BAADA YA KUVUTIWA NA USTADHI HABIBU MAZINGE WA KIPINDI HICHO

ความคิดเห็น • 21

  • @omargargaar5611
    @omargargaar5611 3 หลายเดือนก่อน +3

    Allah awarehemu wazazi wko Allah awepe Njana Firdous Allah akuhifadhi sheikh wg Shafi MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah

  • @eliasharun3273
    @eliasharun3273 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu awe pamoja nawe kwa kujishughurisha na Mambo ya Mungu

  • @MuhindoJamaldin
    @MuhindoJamaldin 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole yakhe sheikh ya shukran Allah akwihifazi na akupe akhra na furaha na atujalie pepo nzuri jannah

  • @HalimaKinyashi-w7h
    @HalimaKinyashi-w7h 25 วันที่ผ่านมา

    Inshallah shekhe wetu Allah akukubali

  • @DavidMatata
    @DavidMatata 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umeongea vizuri sana mkuu... Mungu akubariki!!

  • @IbrahimIbrahim-r2x
    @IbrahimIbrahim-r2x 2 หลายเดือนก่อน

    Asalam aleikum warahmatullah taarah wabarakatu kweli she Allah akuongoze katika kheri inshallah ila mshaulin Dr sure aludi kwa Allah make anapokwenda dini aisem ivyo et mpen ushauli

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 2 หลายเดือนก่อน

    Shekh mazinge. Allah amuweke

  • @masoudnzowa4608
    @masoudnzowa4608 5 วันที่ผ่านมา

    mashallah

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe Mmafia mwenzangu!

  • @samuelkombo3559
    @samuelkombo3559 15 วันที่ผ่านมา

    Umebatika kutokujua mama maana kupoteza mama kwa umri flali inatutesa kbs

  • @BURUNDIB
    @BURUNDIB 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sasa lakini mama hangependa upotee usijuwe mgu

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 2 หลายเดือนก่อน

      Mguu na mkono anavijua

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@kdloon2030 😂

    • @muslimmuslim512
      @muslimmuslim512 2 หลายเดือนก่อน

      Mngu yupi?

  • @kizitototo8923
    @kizitototo8923 วันที่ผ่านมา

    Waislam , WAKRISTO NA WAYAHUDI hawa wote NI DINI AMBAZO ZINATUMIA MANABII WAMOJA. WOTE MANABII WAO NI IBRAHIMU MUSA , DAUD. UTOFAUTI UNAKIJA KWA YESU PEKEE. WAYAHUDI NA WAISLAM WANAKAATAA YESU KUJIITA mwana wa MUNGU . Wayahudi HAWAKUKUBALI KABISA YESU KUJIITA MWANA WA MUNGU , WAYAHUDI ILO HAKUBALI KABISA wamefana mno na shafii. Maana YESU KWA KUSEMA HIVYO wayahudi walijua anamaananisha YEYE YESU ATAKUWA NI MUNGU maana kuwa mtoto wa MUNGU O NI JAMBO LA AJABU. kweli YESU ALIFANYA HIVYO ILI LIWE FUMBO kwa watu na YESU ALISEMA NAWAFUNDISHA KWa mafumbo ili msugudue SIRI YA MUNGU

  • @mikidadikiga90
    @mikidadikiga90 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamba

  • @SundayMbatia-hr8qp
    @SundayMbatia-hr8qp 2 หลายเดือนก่อน

    Ametaja watu weng lakin cjakia jina la dokta sule, wakat amepita mikonon mwake

    • @AbasMabuli
      @AbasMabuli 2 หลายเดือนก่อน

      Amshataja mbona sema labda hujasikiliza mahojiano yote

  • @maase2023
    @maase2023 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu anaongelea majini kwa kuwa hajawahi kukutana na majini wala kumiliki wala kuwajua ! Siku atayokutana na jini mmoja tu basi huyu hataongea tena kuhusu viumbe hao

    • @MaryamIssa-y7v
      @MaryamIssa-y7v 2 หลายเดือนก่อน

      @@maase2023 ivi mtaacha lini utaahira umekaribishwa wali unaulizia ugali ugenini punguzeni utaahira

    • @maase2023
      @maase2023 2 หลายเดือนก่อน

      @@MaryamIssa-y7v nakuambia huyu shafi siku atayokutana na jini mmoja tu basi huyu ataugua sana na hataongelea tena au kuwakejeli majini! Hajakutana nao ajue nguvu zao ndio maana anabwata sana