Nafurahia na kufarjika Sana,sana nionapo mwendelezo wa kazi zilizoachwa na Hayati Magufuli. Pongezi kwako Mama Samia hata Kama awamu yako itamalizika kwa kukamilisha tu miradi yote ilyoachwa na Jpm pasipo kuongeza yako bado Utaenziwa Sana maana, wengi hawaamini wakirejea historia ya baadhi ya awamu zilzopita.🌄🗻🇹🇿
Mm kwa huyu mkuu wa mkoa wangu sina shaka nae najuwa kila kitu kitakuwa sawa maana naona uzalendo na uchapa kz ndani yake hana mchezo ndo wazalendo wachache walo baki nchin kwetu nakupenda sana bro kz njema
Magufuli Magufuli Magufuli Magufuli Magufuli,,,hautosahaulika kabisa katika historia ya nchu hii. REST IN ETERNAL PEACE OUR HERO.
Amen
Nafurahia na kufarjika Sana,sana nionapo mwendelezo wa kazi zilizoachwa na Hayati Magufuli. Pongezi kwako Mama Samia hata Kama awamu yako itamalizika kwa kukamilisha tu miradi yote ilyoachwa na Jpm pasipo kuongeza yako bado Utaenziwa Sana maana, wengi hawaamini wakirejea historia ya baadhi ya awamu zilzopita.🌄🗻🇹🇿
Hakika
Akamilishe ilioachwa ndio anze ya kwake maana ya mwanzo na yeye anahusika
@@dulabori9922 hakika
Uthubutu wa JPM haukuwa wa dunia hii, Daah!
Viwango vya juu
Alama za jpm
Mm kwa huyu mkuu wa mkoa wangu sina shaka nae najuwa kila kitu kitakuwa sawa maana naona uzalendo na uchapa kz ndani yake hana mchezo ndo wazalendo wachache walo baki nchin kwetu nakupenda sana bro kz njema
Safi
Wkt Wa Magufuli huyo mkandarasi tungeona anavyokoma kujibu maswali!..leo hii wanaongeaongea hapo wakimaliza wanardi ofisini kunywa maziwa!Tutamkumbuka JPM!
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia pia imejidhatiti kuhakikisha miradi yote ya kimkakati inakamilika, iko macho.
Wewe nawe sasa tufanyeje na ameshafariki ? Tukamfufue!!!
@@dulabori9922 tumuombee apumzike kwa amani
Safisana bmg kwa taarifa hii maana kila cku tunapita hapo stend na hatujui kinachoendlea. Pia twamshukuru Mkuu wa mkoa mwanza kwa ufatiliaji wako.
Ahsante sana kwa mrejesho
Na ile inayojengwa nyamongoro vpi
@@jacksonkagwala5097 tukijaaliwa kufika, tutaleta updates
Jamani mbeya wakurugenzi mpoo mbona hatuna stendi mmenyamaza au mbeya haina watu wanaoitakia mbeya maendeleo?
Mbeya tumezidiwa hadi na sumbawanga