MWANZO MWISHO: VILIO NA SIMANZI MAZISHI YA ABIRIA WA MV NYERERE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ก.ย. 2018
- Leo Sep 23, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza mazishi ya Kitaifa ya miili ya watu 09 katika kijiji cha Bwisya, walofariki Sep 20, baada ya Kivuko cha Mv. Nyerere kuzama ndani ya ziwa Victoria kisiwa cha Ukara Wilaya ya Ukerewe Mwanza.
Like kama pia wewe umetoa machozi pindi miili inapoingizwa kaburini tuwaombeeni dua wenzetu wametangulia mbele za haki hatujui sisi tutaiyaga dunia kwa namna gani😭😭😭😭
Rozina Hamisi 😭😭😭😭😭😭
inalillahi waina ileihi mngu awalaze pema
So sad....huu ni msiba wa taifa, Serikali iangalie upya vivuko vyote vilivyobakia ili maafa kama haya yasije yakatokea tena...Mungu azipumzishe kwa amani roho za marehemu wote waliofariki katika kivuko cha Mv nyerere...pole kwa wafiwa, pole WATANZANIA
Poleni sana ndugu na dada zetu watanzania kwa yote yaliyomfika. Naomba mwenyezi Mungu awe nanyi kwa huu wakati mgumu. POLENI TENA SANA TAIFA LA TANZANIA KWA UJUMLA. MOLA AWE NANYI.
Tuwaombee mungu ndugu zetu waliopoteza maisha like kama na wewe umetokwa na machozi
Poleni sana wanamwanza na poleni sana watanzania tunakuomba he mwenyezi Mungu aziweke roho za marehemu mahali pema peponi Anina
Raha ya milele uwape Eeh Bwana na mwanga wa mbinguni uwaangazie wapumzike kwa amani Amina
Ee mwenyez Mungu tizama roho za waja wako ........Utujalie roho ya uvumilivu na ujasiri wa kuendelea kuishi katika imani yako hasa katika kipindi hiki kigumu. Mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani .Amina
Eeeeehe mungu tujalie mwisho mwema PUMZIKENI kwa AMANI ndugu zetu wote wa mungu kwake tutarejea
Pole Sana wafiwa na watanzania kwa jumla... machozi yamenimwaika kwakweli hii ajali haito saulika Mungu awatie nguvu katika kipidi hichi....Allah awaeke pema palipo na waja wema Amiin.
Daa ! Very painful but tumwachie Mungu
Kuishi nibahati
Kufa nilazima
So Tuombe mungu
Kilawakati emen
Eee Mwenyezi Mungu,wape nguvu watoto wako,were mungu ndio mfariji was kweli.Bwana ulitoa na Bwana umetwaa jina lako litukuzwe.Amen
Mungu tuhurumie sisi Watu wako.
Hii ni ajali ambayo haikuweza kuzuilika. Mungu ndiye mtoa uhai na uzima wa mwanadamu.
Juhudi za serekali zinapokelewa na juhudi zote za serekali zinaonekana. Hii ajali ni muhimu kwetu kutukumbusha ya kwamba maisha yetu ni ya muda hapa duniani. Basi mwanadamu amua leo UUMCHE BWANA MUNGU MUUMBAJI WETU. Amen
Poleni sana ndg jamaa na marafiki mlio kutwa na msiba. Ni pigo kubwa sana kwa kila mtu. Sote kwake allah tutarejea
Waah!!kwa kweli kifo hakina huruma,ardhi/kaburi nalo halitosheki limemeza watu wengi na bado najua mimi pia linaningoja siku yangu ikifika Mola awafariji ndugu na jamaa wote wa waliofiwa,amen.
Eeeeh mwenyezi Mungu zipokeye roho zawo na huwalaze mala pema peponi wapumzike kwa amani amina.
Ee Mwenyezi Mungu Baba wa Rehema na Upendo wapokee ndugu zetu katika Ufalume wako wa Mbinguni wakapumzike Milele. Tunawapenda Sana ndugu zetu. Wamekuita Sana hiyo siku na ukawaitikia nakuwaoumbatia. Na pia Mungu uendelee kukumbatia Familia zao wakajazwe nguvu zaidi. Amina.😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😢
Ehee mwenyezi mungu tuangalie waja wako ss tusamehe dhambi zetu
Amiin ya Rabby
poren wafiwa
Ehee mwenyezi mungu tuangalie wajao wako ss tusamehe dhambi zetu, wapumzishe kwa amani, Na roho zama remix zilazwe mahalipema peponi ( Amina )
polen sana
Sending our deepest sympathies and condolences from Kenya,may God heal the nation of Tanzania and all the families affected by the Mv Nyerere ferry disaster.Wishing you the grace of God and His peace that surpasses human understanding.
Watanzania nawapenda sana naomba tuwe wote wakati wamajonzi kama huu na wale watakao tumia ajari hii kujipati kiki kwa masirahi yake au chama chake naomba akamatwe na kupewa adhabu kali kwani ajali nikitu ambazo hazinaga kinga mungu ndio kiongozi wa yote apewe sifa kwa ukuu wake amina
Nmelia .....hadi kumshkuru ALLAH........mungu atujalie mwisho mwema n.a. awaruhum narhum 😭😭😭😓 musiba huu wallahi
OH God this is so sad. Thank you for this video it shows how Tanzania cares for its people. May those mothers and families be comforted. That was very difficult to watch.
Poleni sana wafiwa wote.
Mwenyezi mungu azilaze mahala pema peponi roho za ndugu zetu hawa waliotangulia mbele ya haki
Innalilah wainna ilaihi rajihuni.
Poleni sana ndugu zangu watanzania Mungu awafute machozi wakati huu mgumu
Poleni Ndugu zetu Watanzania
Eh Mungu twahitaji faraja toka kwako hongera sana kwa taïfa la wa tanzania
Eee mwenyezi mungu wapokee waja wako na uwape malaz mema ,ameen
Poleni Tanzania, Mungu awape nguvu ya kuhistahimili machungu
Eemola wasamehe mauti wetu nauwarehemu woote nauwaweke pema palipo nawema wako waliotangulia, Amin, allahuma ighfirlauhuma warahmhuu wamasaknuhu fill janna
Pumziko la milele uwape ee bwana wapumzike kwa aman amina
Tumrudie Allah jamani.hii ni dalili za sku za mwishoooo..watu watakufa kwa makundi.😭😭😭
😭😭😭😭😭😱😱😱😱😱 Eeeh mungu wapumzishe mahali pema Kama niazabu shateseka Sana mungu baba 😭😭😭😭😭
Yoooo inauma kueli poleni wafiwa woooote
Munguazilaze rohozamarehem Maharapema peponi
So incredibly sad. The loss of so many. Rest in Peace to those who passed and bring healing to the families and friends who lost loved ones. Those who are responsible for this negligence should have charges pressed.
Dah mungu wangu tanzania yangu jaman 😭😭😭😭 pole san
poleni sana watanzania mungu awape nguvu, mi ni mkenya lakini sote tu ndugu moja
My condolences to all Tanzanians....
Marehemu wapumzike kwa amani, poleni sana wafiwa mungu awape nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu mlichonacho
mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponiii....polen kwa wote mliopoteza ndugu zenu mungu akapate kuwatia nguvu katka kipnd hiki kigumu....
Nashauri kwenye vivuko idadi ya abiria mizigo pamoja na magari vibandikwe sehemu za wazi ili kila mtumiaji aone na kujua kabla ya kufanya maamuzi ya kupanda. Mungu walaze pema peponi ndugu zetu.
mbele yao nyuma yetu mungu aliwapenda zaidi ndio kawachukua mwenyewe
Mungu awalaze mahali pema peponi Amiinaa. Pole kwa Taifa nzima.
Heaven could’nt wait for you
Pole tanzania kwaujumlaaa mungu atupe nguvu
Poleni sana nduguzetuu wafiwa Kwa msiba Mkubwa usio saulika mungu awape nguvuu Na imani
Poleni ndugu zetu mungu awatie nguvu
Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi amina.
Inalillah wainaillayh rajighuna poleni sana wafiwa pamoja na tanzania hili nipigo kubwa sana kwa taifa letu
Poleni mandugu zetu from kenya
Allah Awahifadhi Ndugu Zetu Inna Lilahi Wainna Ilahi Rajiun
May God give strength to the Familys that r affected.
Mwenyezi mungu aradhe roho zao mahari pema
innalillah wainnalillah Rajuun hakika msiba mkubwa sana dah Allah awa samehe madhambi yao Ameen yarabby
Tusamehe bwana mungu twaomba wapokee kwenye pumnziko LA milele
duh hili jika hatar Eerrtgg
duh hili jika hatar Eerrtgg
mungu awapumzishe kwa amani na awasamehe makosa yenu yote, akawape pumziko jema.Amina.23.09.18.
Kilichopangwa na Mungu mwanadam hawez kizuia pumzikeni kwa Amani wapendwa wetu mbele Yao nyuma yetu AMEN
Ooooh Mungu wangu this is very painful rest in peace all.
Eeeh mungu awatieguvu watanzania waliopoteza jamaa zao 😢😢😢😭😭😭nikiwa mkenya naomboleza nyanyi wapendwa inauma sana ndooo
Dunia ni duara tena yaisha mungu awe na wao
Oh nooo😭😭😭😭😭😭
My condolences to the families.. may their souls rest n peace
Innalilahi wainnailahi rajiuun Allah wasamehe marehem wetu wote
Poleni sana ndugu zetu katika kipindi hiki kigumu.. mola awafariji na kuwapa nguvu.
So sad may there soul rest in peace
pole sana.
Poleni sana wafiwa wote allah awape subira kwa kipindi iki kigumu
Mungu awape nguvu.awa ponye miyoyo.
Heeeeeeeeeeeeee😭😭😭😭😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😭😭😭
poleni wafiwa, Pole kwa taifa zima la Tanzania, pole kwa wazazi na jamaa wa hawa wotee. inauma sanaaa ila hakuna aijuaye kesho. mda wote tujitakase kwa kutubu dhambi
inauma sana,,pole Tanzania
RIP ndugu Zetu watanzania
Mungu awalaze mahal pema pepon Amin
Mola awalaze mahali pema peponi palipo na waja wema niuchungu but atuna kubali kazi yake Mola ainaga makosa poleni wafiwa
Nikiangalia tena hii video inazidi kuniumiz nakumbuka pind hii Mel inazama mm ndo nilikuw namzika mpenz wng niliyempenda san ,nimeamn kifo kibaya naumoa mno na sitosahau , ukifiwa ndo unajua maumiv ya kifo daah pumnziken kwa aman
nimelia kama mtoto,haki inauma sana.May their souls rest in eternal peace
Dajhhhh mungu zilaze roho zawaja kwausalama hadi machozi yamenitoka kwakweli
So sad may they rest in peace.my condolences to their families
Inna lillah wainna ilayhi rajiun😢😢😢
Na mungu awape moyo familia zao
NAWAPA POLE WOTE WALIOFIKWA NA MSIBA, MY NAME, MR BOB SOSY A,K,A KATIA. FAYA SINON, ARUSHA
Mungu azipumzishe roho za marehemu waliotutangulia amin
😭😭😭Pumzikeni kwa amani
yesu ukawe faraja kwawafiwa wote
Poleni sana
Poleni sana watanzania pia sisi wakenya tunalia na nyinyi mungu ailaze roho zao pahali pema peponi
Innalillah wainali rajiun emung bb wahifadhi pahali pema peponi
😭😭😭😭😭pole ndugu wafiwa Pole TANZANIA
It's so sad lkn mipango ya mungu haina makosa mlale pema
Mungu uwarehemu ndugu zetu wapumzike kwa Amani.
Eee Mungu uwape nguvu wale wote walio fiwa na ndugu jamaa na marafiki.
so painful but God knows why
Ee Mungu tulinde natuepushe na mafa nautusamehe dhambi zetu
Mungu awapokee waja wake😭🙏
daah inauma ila kaz ya mungu aina makosa ..r.i.p😢😢😢
Uwiiiiiiiiiiiii ewe mwenyezingu wasamehe wajawako wahifadhi na uwaongoze njia yaheli amina sisi sote tutalejea
Amina Salum amiiin kwa sotee yaraby
In Sha allah
poleni sana watanzania
Ee Mungu. turihemu sawasawa na fadhili zako
Aiii,aiii poleni sana dungu zetu waa
INNA LILAH WAHINNALILAH RAJIUN""Sisi ni wa mola na kwake tutarejea allah awape kauli thabiti
Jaman poleni sana dah😢😢
mungu awape wepesi katika wakatihu mgumu wapemdwa
Naomba wachunguze vivuko vyote
Oman Oman kwel kabisa
mungu azilaze rohozamarehem haomaharipema peponi
Inalillah wainailaih rajiun pollen tz
Na mungu awatie nguvu waliofiwa
Ewe mwenyesi mungu wape imani waliofia huzuni kweli.
so painful let RIP
Eeeeh mwenyezi mungu ulie umba mbingu na arthi nakuomba upokee roho zahawa ndugu zetu walio tuacha