Mimi nilishaonana na Eunice, nilishangaa kuona ukarimu wake wa kutukaribisha na kutufanya tujisikie nyumbani. Zaidi sana anavyoonhoza saña, hata alipotumwagia maji niliona ni kweli wenye mapepo yanatoka. Pia anapocheza na watoto wenzake kwa Amani bila kelele. Hapendi ile Rosary kubwa iliyowekwa juu kwenye sanamu ya Bikira Maria ikushatumika iachwe, ikitumika ipekwe mahalii pake mara moja😢
Nasikitika sana Baba wa mtoto yunis.Anatumia utapeli mkubwa sana niomba maji lakini nasikitika sana mpaka hivi leo sikupata hayo maji nanikiuliza ana sema nitatuma lakini bado mwaka wa pili huu.arudishe hela yangu tu.
Uongo labda aliota na mjinga anamporomote mtoto au amekaririshwa nakumbuka Siku za nyuma alitokea shehe Sharifa mashehk wakawa wanazunguka hapa Tanzania, Kenya,na kwingineko kumfanya ni mradi kujipatia pesa acheni hizo na wewe mtangazaji naona unaelekea huko kwa Mashehk wa Sharif
Wengine wanaweza kubadilishwa na maji ya mtoto lakini baba wa mtoto yeye habadiliki.Baba Yunis, rudisha mama wa mtoto awalee watoto wake kwa amani. Hilo ndilo jambo la muhimu
Kumbe alimwacha mama wa anayemfanyia utapeli! Dunia ina mambo! Ndo watu mjue hapo anaye tawala ni shetani, angekua ni Yesu yasingetokea hayo! Huyo mtoto anatumiwa na guvu za giza coz Mariam hana mamlaka kuzidi Yesu! Hapo Yesu hana nafasi kabisa ! Ni wazi shetani yupo kazini na watu wamefungwa fahamu zao kabisa! Ni huruma sana!!@@hilttiti8550
Nataka niwaulize nyie nyote mnaokubali kama yesu ni bwana na mungu wenu hebu jalibu Filipino anathamani Gani mzazi wake alimbadilisha nguo bwana wetu na mwokozi wetu akamuogesha tunaye muhabudu mwana wa mungu anajua kula yake vaa yake na lala yake mama Pelee aliyejaliwa mimba kutoka juu
Hahaha Hongera kwa kupata kitega uchumi,,sasa bikira Maria anawaambia mjenge nyumba ya mawe,na mnasemaga hamuangaliwi mavazi mnaangaliwa rohoni inakuaje tena mnaangaliwa Hadi nyumba na waungu wenu😂
Kanisa Linamheshimu kwasababu ni Mama wa Mkombozi wetu Yesu Kristo ambae Mwanae alikuja kuukomboa ulimwengu ukiwemo na wewe kama Mungu mwenyewe alimpa heshima hio Mimi na wewe ni nani tusimuheshimu. Kwa mfano Wazazi wetu waliotuzaa tunawaheshimu je na Mama wa Yesu je ambae mwanae alikufa msalabani Kawajiri yetu Sisi kwanini aonekane kama sikitu chochote tukimdharau tunakosea
Wewe kana ni mkristu na unamwamini Bw. Yesu Kristu, utaamini pia Yesu alizaliwa na Mama Maria. Na kama Mama Maria ni Mama Wa Yesu wewe unawezaje kumdharau? Kwa mfano wa kawaida unaweza ukamdharau Mama yako? Au je mtu akimdharau Mama yako utamchukuliaje? Kumbuka hata pale msalabani Yesu alimwambia Yohana tazama Mama Yako. Pia akamwambia Mama Maria, Mama tazama mwanao. Maana yake ni kwamba Bwana Yesu alimkabidhi Mama yake wanadamu wote kupitia Yohana
Lies. Bikira Maria is not bikira anymore alizaaga watoto wengi na mumewe alikuwa jusufu. Bibilia hakusema amebarikiwa kuliko wanawake wote bali inasema Maria amebarikiwa miongoni mwawanawake. Maria ashakufaga zamani zakare. Read your Bible and do not be decieved in this last days. Soma Mathew, Mark, Luke and John for more iformation kuhusu topic hii.
Vizazi vyote wataaniita mbarikiwa kwakuwa Mwenye nguvu amenitendea Makuu. Nyie mnaomsema vibaya endeleeni na mnachoamini . Joseph hakumjua hata baada ya kumzaa mkombozi wetu.
Bikira Maria uliyemtokea mtoto Yunis Julias Ogoti naomba uniombee kwa Mungu baba nifanikiwe.
Amen
Sisemi kitu Wacha mapenzi yake mwenye enzi Mungu yatimike adui wapende wasipende katika Jina la Yesu Kristu.Amani
Amen
Namshukuru sana mama yangu bikira maria kwa zawadi ya uhai
Amen
Amen 🙏🙏🙏 I'm watching you from middle east.
Be blessed
Mimi nilishaonana na Eunice, nilishangaa kuona ukarimu wake wa kutukaribisha na kutufanya tujisikie nyumbani.
Zaidi sana anavyoonhoza saña, hata alipotumwagia maji niliona ni kweli wenye mapepo yanatoka.
Pia anapocheza na watoto wenzake kwa Amani bila kelele.
Hapendi ile Rosary kubwa iliyowekwa juu kwenye sanamu ya Bikira Maria ikushatumika iachwe, ikitumika ipekwe mahalii pake mara moja😢
Nakubaliana sana na wewe mwandishi wa Habari. Tunapaswa kuwaombea wazazi wa Eunice
Barikiwa sana
Amen
Naomba mbarikiwa Eunice aniombe Pamoja na familia yangu
Amen
Kwelii sadaka ya Yukis ? Au ni sadaka ya baba ili aweze kuwachukua wake wengine?
Fuata moyo wako unachoamini
Wewe mzee taperi kama babu WA kikombe acha utaperi watu
Barikiwa sana
Barikiwa sana
Nasikitika sana Baba wa mtoto yunis.Anatumia utapeli mkubwa sana niomba maji lakini nasikitika sana mpaka hivi leo sikupata hayo maji nanikiuliza ana sema nitatuma lakini bado mwaka wa pili huu.arudishe hela yangu tu.
Tulishauri, anayetaka maji aende nyumbani, hii mambo ya kutumiwa maji inaleta usumbufu usio na maana
Uongo labda aliota na mjinga anamporomote mtoto au amekaririshwa nakumbuka Siku za nyuma alitokea shehe Sharifa mashehk wakawa wanazunguka hapa Tanzania, Kenya,na kwingineko kumfanya ni mradi kujipatia pesa acheni hizo na wewe mtangazaji naona unaelekea huko kwa Mashehk wa Sharif
Shika sana imani yako
Amina
Sasa hayo maelekezo nayo mlipewa na Mama Bikira Maria,,?
Yapi?
Naomba namba
My Question is, who made for her the clothes even the vail those clothes are they concegrated or not😅
Why Eunice did not put ordinary clothes? Who will answer me. Not for bad. It's just a concern.
Herself
Nauli toka kilimanjaro hadi kumfikia eunice ni sh ngap?
Ulizia Arusha- Mwanza huko huko uliko watakuambia. Kisha Mwanza- Tarime hadi Bukama ni 18,000
Mimi binafsi namkubali Aunise. Walio na wivu washindwe
Barikiwa
Ulimwengu una roho nyingi. Watu hufuata yoyote.....bila wenyewe kuuliza Mungu kama wanachoona ni roho wake.
Ni kuzidi kumwomba Mwenyezi Mungu
Ameen
Mimi ni fransisca mbithe kutoka Nairobi Kenya sr unice siti kuniombea uparikiwe sana
Amen
Natamani nipate namba za wazazi wake ninashida na wazazi wake nakumbuka nilishagika hapo kwao lakini namba nilipoteza kwa bahati mbaya
Tuwasiliane
@@BMGOnlineTV sawa lakini mawasiliano ni namba ya simu tu naomba kuipata
Amina. Mimi naitwa Teddy Mhenga. Naomba unionbee.
Amen
Amen
Barikiwa
Naomba namba ya simu.
Iko kwenye hii video
Wanamnyima mtoto haki yake ya kuwa kama watoto wengine kwa tamaa zao, hamna chochote hapo, baba ameongeza mke kwa utapeli
Waombeeni sana
Wengine wanaweza kubadilishwa na maji ya mtoto lakini baba wa mtoto yeye habadiliki.Baba Yunis, rudisha mama wa mtoto awalee watoto wake kwa amani. Hilo ndilo jambo la muhimu
Baba Yunis, mtoto akikuwa atajionea utapeli wako. Sasa ni mtoto na unamtesa sana
Kumbe alimwacha mama wa anayemfanyia utapeli! Dunia ina mambo! Ndo watu mjue hapo anaye tawala ni shetani, angekua ni Yesu yasingetokea hayo! Huyo mtoto anatumiwa na guvu za giza coz Mariam hana mamlaka kuzidi Yesu! Hapo Yesu hana nafasi kabisa ! Ni wazi shetani yupo kazini na watu wamefungwa fahamu zao kabisa! Ni huruma sana!!@@hilttiti8550
Wewe usiye amini baking hivyo sawa motor ni wa baba na mama yake haikujusu saaaaanaa
Naomba uniombee nipate kazi nipate Amani
Amen
🙏
Nayitwa alphonsine nayishi Burundi muniombeye
❤❤❤
Niombee mtoto yunis nasumbuliwa na afya
Imani yako na ikuponye, amen
Tumsifu Mama maria siku zote.
Amen
Tazama kutoka kenya mama maria tuombee
Barikiwa
Nataka niwaulize nyie nyote mnaokubali kama yesu ni bwana na mungu wenu hebu jalibu Filipino anathamani Gani mzazi wake alimbadilisha nguo bwana wetu na mwokozi wetu akamuogesha tunaye muhabudu mwana wa mungu anajua kula yake vaa yake na lala yake mama Pelee aliyejaliwa mimba kutoka juu
Barikiwa
Bado anaendelea hadi leo 4/08/2024
Ndiyo
Shukulani. Kwa mungu Mimi naitwa Rose gathoni kutoka Kenya niombee
Barikiwa sana
Rose wewe huwezi kuomba? Biblia/neno la Mungu linasema. Ombeni bila kukosa. Halisemi ombeweni bila kukoma.
Au babu wa Loliondo
Labda
Mungu mpe yunis Miaka mingi ya kuhishi mm naomba yunis anikumbuke kwa maombi yake kila mara amen
Amen
Amen mm naomba munguam ampe sister eunis miaka 112 wishi afanye jazz ya mngu
Amina
The comment above is a very ignorant one.Truth will come to you very late to your disappointment.
God bless you
Hahaha Hongera kwa kupata kitega uchumi,,sasa bikira Maria anawaambia mjenge nyumba ya mawe,na mnasemaga hamuangaliwi mavazi mnaangaliwa rohoni inakuaje tena mnaangaliwa Hadi nyumba na waungu wenu😂
Amini, unachoami. Siyo lazima uamini na kufuatia hii habari. Mungu akubariki uamini hicho unachoamini
Mambo ya imani
Amen
Umbwa nyie mwaona ni rahisi
Kuwa mtulivu
Kwa kweli sinamashaka na huyu mtoto sema Baba yake tapeli mkubwa
Mungu amsamehe sana, mwombee pia
Ivi Waroma Maria aliwafanyia nini mbona mnamchukulia kama ndio Mungu wenu kuna siri gani kati yenu na Maria?
Kanisa Linamheshimu kwasababu ni Mama wa Mkombozi wetu Yesu Kristo ambae Mwanae alikuja kuukomboa ulimwengu ukiwemo na wewe kama Mungu mwenyewe alimpa heshima hio Mimi na wewe ni nani tusimuheshimu. Kwa mfano Wazazi wetu waliotuzaa tunawaheshimu je na Mama wa Yesu je ambae mwanae alikufa msalabani Kawajiri yetu Sisi kwanini aonekane kama sikitu chochote tukimdharau tunakosea
Wewe kana ni mkristu na unamwamini Bw. Yesu Kristu, utaamini pia Yesu alizaliwa na Mama Maria. Na kama Mama Maria ni Mama Wa Yesu wewe unawezaje kumdharau? Kwa mfano wa kawaida unaweza ukamdharau Mama yako? Au je mtu akimdharau Mama yako utamchukuliaje? Kumbuka hata pale msalabani Yesu alimwambia Yohana tazama Mama Yako. Pia akamwambia Mama Maria, Mama tazama mwanao. Maana yake ni kwamba Bwana Yesu alimkabidhi Mama yake wanadamu wote kupitia Yohana
Watakujibu
Amen
Amen
Uwongo mtupu
Imani tu
Lies. Bikira Maria is not bikira anymore alizaaga watoto wengi na mumewe alikuwa jusufu. Bibilia hakusema amebarikiwa kuliko wanawake wote bali inasema Maria amebarikiwa miongoni mwawanawake. Maria ashakufaga zamani zakare. Read your Bible and do not be decieved in this last days. Soma Mathew, Mark, Luke and John for more iformation kuhusu topic hii.
Barikiwa
Unapendekeza aitwe nani???
@@aminamacha5594kwani Biblia imesa anaitwa nani?
Vizazi vyote wataaniita mbarikiwa kwakuwa Mwenye nguvu amenitendea Makuu. Nyie mnaomsema vibaya endeleeni na mnachoamini . Joseph hakumjua hata baada ya kumzaa mkombozi wetu.
Joseph aliishi miaka mingapi wewe mjua biblia?
Amina
Barikiwa
Amen
Barikiwa
Au babu wa Loliondo
Yunis wa Bukama
Amina
Barikiwa
Amen
God bless you
Amen
God bless you
Amen
Barikiwa
Nafurahi xana mm n Martha nyanchera kutoka Kenya kisii naomba sister eunis uniombe
Sasa unalalamika nini Baba Yuni?yote yapokee tu kwa imani.Wale ni Mababa wa Kiroho
Amen
Barikiwa
Amen
Barikiwa