HISTORIA YA JIJI LA DAR NA IKULU YA DAR ILIVYOKUWA KITOVU CHA WASOMI TOKEA MWAKA 1865, SHEKH ZUBER
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- saimugwao ni chanel inayojihusisha na habari zinazohusiana na uislam na matukio yote yenye faida kwa jamii tunapatikana tik tok face book instagramu jina saimu gwao
me ni mkristo, ila nimependa sana iyo historia. kwa kweli inaonekana huyu shehe anachosema ni kweli kabisa. na ni maneno yaliyojaa hekima.
Nimefurahi sana kuwa unapenda ukweli na huwa ukweli unabaki ni ukweli tuu hata ikipita miaka elfu utafichuliwa tuu..fuatilia video hizi ili ufaidike..th-cam.com/video/gL16UggL21w/w-d-xo.html
Allah akulaze Mahala pema sheikh wetu 🙏akupe kauli thabit insha allah
Yaarabi mlaze mahala pema peponi yaarabi takabal-dua
innalinlah wainailaih raajiuun
MUNGU akuweke mahala pema peponi immam wetu wa masjid mtoro
MUNGU alitie NURU kaburi lako aaamin.
hama kwel uhongo unakufa ukwel unabaki huu ni ukwel ulio hai allah akutangulie shk zuber bin yahaya
Innalilah wahinahilah warahajiun ya rabbi akupatie nusra na akuweke ktk firdausi
Allahumma ghfril lahu
اللهم إرحم موتانا وموتى المسلمين واجعل قبورهم روضة من رياض الجنة ولا تجعله حفرة من حفر النار اللهم امين يارب العالمين
yani ndio kwanza leo nimeipata hi hadithi ila chakusikitisha ni kugundua sheikh huyu msema kweli kwa hekima ya hali ya juu ameshatangulia mbele za haki Mwenyezi Mungu amrehemu amjalie kauli Thabit
Mashallah!!!!
Mwenyezimungu akuhifadhi alifanye kaburi lako kua sehemu ya viwanja vya peponi,
Innalilah wainailayh rajiun
INNALILLAH WA INNA ILAH RAJUUN ALLAH AWAHIFADHI MASHEKH WETU PEPONI
"AAMYN"
Kumbe Watanganyika mlituandama zamani
Innalillahi wainna ilayhi raajiun,
M'mungu akupe qaul thabbti akusameh dhambi zako,firdaous iwe makaazi yako shekh wetu dua turakumbea.
Sultan Al Ghaothy Allahuma Amiin
اامن
innaalillah wainnaailaih rraajiun Allaahumma ghufir lahu warhamhu
Allah amrehem amape makazi mema Peponi
Innalillah wainna ilayh rajiun mbele yko nyuma yetu Allah akupe kauli thabit akusameh dhambi zako
Aammin YAARABIY amlaze pahala pema
Hii historia ya kweli. Apatikane mwislam afanye baathi, aandikie shahada ya PhD historia hii adhwiim inayopotezwa.
MUM mpo? Kisha zichapishwe nakala za kutosha. Clip hii muhim, Saim Gwao muitunze.
Inna lillah wa hinna hillah rajúín
Allah akulaze mahala pema Sheikh wetu in shaa Allah
Shekh zubery ALLAH ailaze pema pepon roho yako
Inna lilahi wainna ilaihi Raajiuuna
Ewe Mola Msamehe Sheikh Wetu Zubair bin Mussa Bin Yahya
Na Umpe Rehma Zako
Innalilah wainalilah rajiun...!_@#Hii ni zaidi ya Darasa kabisa Ukweli wa Nchi Hii unafichwa Mpaka kesho ila Nimepata japo kujua Alhamdulilah
Allah akurehemu shekhe zuber akulaze mahalapema peponi
Inna lillahi waina ilayh rajiun
innalillahi wa innalillahi raajouun
Allah Amrehemu Shekhe Wetu Hakika Ametufundisha Mengi Sana
Allah akurehemu Mzee wetu.
Allah akupe kauli dhabit inshaallah
Innalillah wainnalillah rajun
Inalillah wainah ilaihi rajiuni🤲
Innalilah waina illah rajiun Allah mjalie wajalie pepo mashekhe wetu wazazi wetu na waislam wote waliotangulia mbele ya haki amiina,
mashaahlaah shekh bin zuber m/mungu ampe firdaus inshaahlaah
Mwenyenzi'mungu'akulaze'pema'peponi
Innalillahi wainna ilayhi rajiuun
rip Mzee Wangu mungu akuweke pema amina
Kilashekhe alietoa historia ya uisilamu mda mfupi mtasikia kafa nandiomana wanaotoa historia niwazee Allah atukinge na madhwalim
mwenyez akutilie wepesi insha - allah
Ya Allah mrehemu na mpe qaul thabit
Innalillah waina lilay rajiuun Allah akujalie kauli thabit
Mtukufu ni Mungu peke yake na si waislam au wakristu
Allah amulehem.chehe wetu.amupanulie kabiri lake amupe.mwanga nandoto.nzuri.mpaka yaumuri.kiama
Mungu amrehemu amjaalie kupana Firdaus ya juu. Asante kuanzia Sheikh huyu na waliohusika kuchukua picha na kuituma TH-cam mungu awabariki..
Innalilah wainalilah raajjiun
innalilahy wainna ilayhy rajiuun.mwenyezmungu akupe.kheri zoote za kabri na akuindoshee mabaya yooote kwenye kabri lako inshaallah
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun
Allah akurehemu sheikh pamoja na wazazi wetu na wema waliotangulia. Ukweli utabaki kuwa ukweli. Na Uongo haubadiliki kuwa ukweli. Ila mara nyingi huwanza uongo kisha huja ukweli.
Zamani tuliambiwa binadam alikuwa nyani kabla ya kuwa binadam.
Innalilahi wainailaihi rajiun Allah akulaze mahali pema peponi in sha Allah
Allah akurehem shekh wetu kwa maneno makubwa cjawai kumsikia hats mufti mkuu akichambua histolia kama hyo upon sahihi
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك
Allah akujaalie nuru kwenye kaburi inshaalah. Amin
Historia nzuri inatukumbusha tujitambue na tujue nn cha kufanya maana tumepambana na tunahitaji tupambane zaidi inshallah
unajua history Bwana Yesu akubariki sana..! na siku akirudi akufufue bila uharibifu..!
Steven Hinjo allah arehemu msamehe muingize peponi kwa rehema zako ya allah kwa baraka za bwana wetu mtm mhmd s.w.slm
kwahiyo hilo ndo liliwatoa kwao...sawa...nani aliyewakamata waafrika kuwapeleka utumwani.mbn hatuambiani ukweli.
Conrad Buberwa kila mtu amehusika kwenye utumwa kwa njia moja ama nyingine, utumwa unaenda sawa na historia ya binadamu, wazungu walifanyiana utumwa dhidi ya wao kwa wao mwanzo katika zama za mawe na za kati, waafrika dhidi ya wao kwa wao katika zama hizo, waarabu na wahindi pia wao kwa wao, utumwa ulikithiri katika kipindi cha mwisho cha ubepari, na mabepari walikuwa ni wazungu tu, waarabu na wahindi walikuwa ni madalali wa kuuza watumwa kwa wazungu, baadhi watumwa walinunuliwa kutoka kwa machifu vibaraka wa wazungu, hivyo basi utumwa haukuanzishwa na waarabu na wala waarabu hawakuwa wanunuzi wakubwa wa watumwa, ila wazungu walikuwa ndo wanunuzi wakubwa wa watumwa kwa sababu waliwahitaji wafanyakazi kwa ajili ya kulima mashamba yao amerika ya kaskazini na kusini. Na ukisoma uislamu vizuri utajua kuwa moja ya matendo mema na makubwa sana ni kumuacha mtumwa kuwa mtu huru na pia moja ya makosa makubwa sana ni kumfanya mtu huru kuwa mtumwa, hivyo basi uislamu haukusapoti utumwa ila uliutambua utumwa na kutoa fursa kwa wamiliki kutafuta radhi kwa mola wao kwa kuwaacha watumwa huru na kuwahamasisha watumwa kujikomboa kutoka kwenye utumwa.
@@conradbuberwa6792 huko utumwani waafrika walipelekwa bara gani? na bara gani lenye watu wengi weusi waliochanganyikana na watu weupe ambao wote sio asili yao?! na ni nani aliyewapeleka huko na kuwatumikisha kwa maslahi yake?!
@@jumahamis227 hata na bi yusuph aliuzwa na wafrica hawa wanauchukia uislam unajua kisha yesu kwa ujinga wao wamemfanya ni wa wa zingu na manbii wote ni wamoja na wametoka bara la earbu nashangaa huyo yesu ni mtume wa mmungu hata yesu walimpiga na kumsulubu na mayahudi mayahudi wana fini yao wanagonga vichwa na ukuta ndio dini yao mmungu aliwaalasni kwanza wslikua watu wanao pendwa na mmungu ilia kwa kukufuru kwao kua hamna mmungu ndio wakallaanika
Inalilay wainairay rajuon
Innaa lillaih wainnaa illaih rraji'oun. Allah akuhifadhi Sheikh wetu. Maana tumepata msiba mkubwa sana ktk taifa letu la Tanzania. Tutaendelea kukumbuka na kuzikumbuka nasaha zako ulizotuachia. M/Mungu akutangulie. Aaamiiin
Hamna sauti katika khutba ya pili
Allah akulaze mahala pema pema shekh wetu
Kwa kweli nimekukosea sheghe unatisha kwa historia sana nisamehe bwana
Inna lillahi wa Inna Ilaihi Raajiu’un Allahumma ghufirlahu warhamhu
Watu wema hawadumu mwenyezimungu amrehemu
Asante maalim
#انا الله وانا الیه راجعون الله#اناالله ما اخذا وما اعطی وعنده لکل شیٸ الی اجل مسمی اللهم غفرله وارحمه واجعل جنة الفردوس مأواه #اللهم غسل خطیاه کما ینقی الثوب الابیض من الدنس#اللهم جعل قبره روضة من ریاض الجنة # وجمعنا معهم فی دار کرامتک ومستقر رحمتک مع عبادک الصالحین#لهم دار لسلام عند ربهم وهوولیهم بما کانوا یعملون#انک ادی الامانة وبلغ الرسالة#ونصح الامة# وجاهد فی الله حق جهاده حتی اتاک الیقیین#
اامن بارك الله لك
ALLAH ampe pepo. Amiin.
Innalillah wainna ilayh rajiun
Ebwana ehh kumbe shekhe atupo nayee Allah amlaze mahari pema ishaalla
Allah akuhifadhi apunguzie adhabu zakabri
Allah Akbar innah Lillah wahin Lillah rajiun Allah akujalieh uko uendako
Allah akusamehe uripotereza
asante sheh kwa historia
Allah Akbar
Duu!!! Somo zito somo hili yafaa kila muislam likae kichwan mwake
Yaani wamefanya uhalibifu dhulma kupora mali za kiislam laanakum.
طيب الله أثره
Umeacha kitu kikubwa mwenyezi mungu akulipe heri ishaallh
Inalilah wainailah rajiun mpe kaul thabit
Innalillah wainna ilayh raji'un kanisaidia Sana kazi yangu ya kuifanya Tanzania kuwa nyumba ya Amani.
Nabii wa uongo, angalia usiwe ktk dalili za qiama
NABII ILYAAS/ ELIYA mmh !!!?CIO kweli
Huyu apelekwe hospital akacheki akili
Unabii cyo ropo ropo yako
Maashallaaah maashallaaah
historia nzuri
Innallilahy wainna ilaihy raajiun
Innalillahi waina ileyhi rajiuna, mungu amuweke mahalapema peponi.
Uongo huo hizo ni siasa za dini mbona kabla sultan said toka Omani kulikuwa na missionary na dini ya kwanza kufika zanzibar ni ukristo wa k rc
Mzee unajitahidi kuwa shija masikio watu wazi ma na akili zao kipindi hicho kulikuwa na umilikishwaji rasmi wa Mali hata hata huyo unaemsema akanunua u wanja? ????😂😂😂😂😂
Walikuwa takriban 1000 umesema wanaenezwa dini ya haki ya kiislam kwa hiyo wakatoka huko ujerumani kufanya fitina watu elfu moja wasienezwe uislam
Muongo wewe dar es salaam haikutakana na hilo unalolisema iliasisiwa na sultan turmbul ilimaanishi bandari salaam na waarabu hawakuju kueneza uislam bali kufanya biashara ya utumwa vipusa na bidhaa nyingine..uislam hiyo ilikuwa dini yao tu Acha mihemuko ya dini ya uongo na hiyo dini yenu ya majini na mashetani😀😁😂😃😃
@@casttraining1575wewe ndio muongo na hujui kitu, we no zako wanatoa fact sio porojo tu kama la,na wewe toa ushahidi wako
Ndio maana baba wa Taifa akataka kuhamia dodoma na Magufuli nae akapigilia misumari akashikilia kuhamisha ili kuindowa kabisa ukweli halafu Waislam wenzetu hamuaki mpaka anafika kuwafutia kodi za nyumba wanajeshi Waranzania wanampogeza anataka kutimiza ndoto zake atawale maisha Waislam tuamke tuzijuwe mbinu hizo namna gani tunavyochezewa akili zetu
الله يرحم زوبيري
Jamal Salim
Mungu akupe mwanga wamirere
Please please add some more clips from Sheikh Zubair speeches
Taqbiir
allah yarham
Umeacha pengo ungekuepo tungeendelea kujifunza mungu akurehem.
SAIMU GWAO HII VIDEO IKIFIKA MBELE SAUTI INAPOTEA ,,, KAMA UTAWEZA KUIWEKA TENA KWA MARA NYINGINE TUTAFAIDIKA SANA NA MAWAIDHA YA AL MARHUM SHEIKH ZUBERI IBUN YAHYA,, ALLAH AMREHEMU,,AMIYN....
Innalillah wannailahi rajiuuun
Makafiri wabaya
Waislamu wenzangu munaziona athari walizoziwacha wenzetu?sina elimu ya kutosha ila nahisi hii na sadaqatu jaaria,Allah nasisi usitufishe ila ispokua tumeacha athari nzuri katika dini yako ambazo zitakua na manufaa ya kheri kwa wengine yaa raabb.
Ndio zetu Waislam
الحق يعلو ولا يعلي عليه
amani ya alha iwe juyako
aslm baba yakwmtu ndio hivyo
Innalillahi wainnailaihi raajiun
wahusika wakuuu ndio hao
Kweli kwenye ukweli upingwa uislam ni dini ya haki Mungu muweza was kila jambo
Hugo sheghe kwanza historia ya DSM huiijui maana hio yote ilikuwa ni eneo LA Zanzibar
Kabisa br
No
Sasa wewe unataka dini, au unamtaka Mungu? Badala ya kuwaza juu ya Mungu! Unawaza juu ya uislam ambao asili yake ni Waarabu. Sisi waafrika asili yetu mizimu, ila kwa neema tumempata Yesu.
KAFIRI WEWE NEEMA YA YESU UIPATE WAPI
WAKATI YESU MUISLAM
ALIKUWA AKIFUNDISHA MSIKITINI KAMA HUYO OSTADH
Hili jinga usimlaum hajasoma wenzie wakristo sasa wanafatilia sana uislam wanajua kua ni dini ya haki yy anasema yesu haitwi yesu ni wao walpa jana hilo na mzungu hana mitume kwao mitume wote asli yao no nchi za kiarabu ukifatilua mi ba shanga wano sema ni dini ya warabu bora warabu wana dini kwa kua mitume wote imetokea kwao joradn sirya irag palistine misri yemen kuliko hao wazungu walio beba picha ya mzungu wapi na yesu ni isa ametajwa ktk quruan na pia ibrahim nai kizazi chake isa na muhamnad saw)
Farilia migadhara utajua ukweli mzungu hana dini kaweka bench tu kukussnya pesa
Assalam Aleykum,Sheikh Mbona Kuanzia Dakika Ya 43 Na Kuendelea Hakuna Sauti?Naomba Uipitie Upya!
Kweli baada ya khutba ya mwanzo inaishia dakika ya 40 baada ya hapo ni picha hakuna sauti ila nadhani kipande cha pili ni marudio ni marudio ya ile ya mwanzo..
Mbona hutuba imekatwa (haikumalizika) ??
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun, baada ya kusikia khuta yako sasa kama nimepata suala la kujiuliza hivi . jamani nauliza nime angalia video clip ya mazishi ya huyu sheikh sija muona sheikh mkuu wa mkowa wa Dar-es-alaam au hakuwa na Taarifa.
Alikua hayupo dar
Watotot wetu tusiache kuwaeleza historia hizi hususani Ukoloni
Yaani sisi wakunduchi no watu wa asili
tunawaomba masheghe wetu mliobaki mtusaidie kuandika historia ya UISILAM kabla na baada uhuru katika nchi yetu. ili WAISILAM wa sasa na wa baadae waufahamu WAISILAM wanamchango gani kwa nchi yetu
Ipo nenda kasome vitabu vyake Mohamed Said vinauzwa maktaba nyingi tuu hapa Dar..au nenda Google andika mwana historia Mohamed Said utazikuta kurasa nyingi fungua ufungue bongo lako yaliyofichwa na Nyerere..pia zipo video zake humu TH-cam..th-cam.com/video/gL16UggL21w/w-d-xo.html