MCHUNGAJI MSIGWA AMVAA MBOWE kwa MARA ya KWANZA MKUTANONI kwa CCM - AFICHUA MADUDU YOTE ya CHADEMA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 405

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  หลายเดือนก่อน +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @jdanny497
      @jdanny497 หลายเดือนก่อน

      Pimbavu hakuna mchungaji kama wewe tapeli

  • @YangaNews
    @YangaNews หลายเดือนก่อน +10

    Tanzania tuamke huu upuuzi wakna msigwa usituteke ccm imeharibu nchi yetu

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b หลายเดือนก่อน +5

    Loo hakika siasa ni mchezo mchafu hivi msigwa unaikashifu chadma iliyokupa umaarufu namengine kweli? Ccm kuweni makini mtu huyu hana maana kabisa . Mimi si mwanasiasa na sina chama ila hapa msigwa hufai kabisa.Unajitambulisha ati mchungaji mchungaji gani mnafiki wa kiwango hiki? Mwogope Mungu wewe.

  • @philliminusmugereza5699
    @philliminusmugereza5699 หลายเดือนก่อน +1

    Peter Msigwa Kawaombeladhi Wanachama Na Viongozi Wa Chama Kikuu Cha Upinzani CHADEMA. Kinacho Tetea Mwananchi Wa Tanzania. Kabla Haujaokota Makopo, Umewakosea Sana Watanzania. Hasa Wanachadema. Siamini Kama Kweli Ni Mchungaji. Unayejua Miiko Na Maadili Ya Uchungaji. Naomba Nikupe Pole Sana. Kwa Hicho Ulichokifanya Cha Kusaliti Chama Kilichokutoa Tongotongo Machoni Na Kwenye Ubongo Wako.

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc หลายเดือนก่อน +2

    Nasikia ulichukua pesa,Ili ukishinda uenyekiti wa Kanda uibomoe Chadema,Mbowe Hana njaaa amesemwa mengi,Lakini mwamba Yuko imara sana,Utabomoka mwenyewe

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs4539 หลายเดือนก่อน +6

    Hii njaa Msigwa juzi tu unaiponda Ccm unatuchanganya ndg Msigwa kweli tusiwaamini wanasiasa

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 หลายเดือนก่อน +12

    Njaa mbaya sana, Esau akiuza haki yake ya ukubwa wa familia Kwa CHAKULA tu, Hana tofauti na huyu nyumbu

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o หลายเดือนก่อน +5

    Wa Na siasa Malaya Malaya kama huyu kibaka msigwa mwalimu Nyerere Alisama ni hatali Sana Kwa nchi yetu Hatakiwi kuaminiwa Na mtu mwenye Akili timamu

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997 หลายเดือนก่อน +4

    Ila nja nimbaya sana mwanadamu hata anamkana mungu

  • @MelkizedekUrio-xl1jp
    @MelkizedekUrio-xl1jp หลายเดือนก่อน +4

    jamani njaaa inatesa huyu ni msigwa kweli

  • @SolomonKaay-gq3gl
    @SolomonKaay-gq3gl หลายเดือนก่อน +23

    CCM ulikuwa unaitukana kila ulipo fika,leo unaisema chadema haukuwa mtoto useme ukuijua ccm,waombe radhi watanzania wewe CYO mtu wa kuaminika milele.

    • @mkude
      @mkude หลายเดือนก่อน +1

      Kama hujui siasa hiyo ndo siasa,siasa hakuna adui wa kudumu Wala rafili wa kudumu,kwahiyo usishangae msigwa kwenda ccm.labda kama utakuwa hujui siasa

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน

      Solomon yamemfika huyo acha ayamwage hiyo ndiyo Siasa mchezo mchafu

    • @polokotomwalusamba1132
      @polokotomwalusamba1132 หลายเดือนก่อน

      Hafai hata kumpa dakika kumskiliza

  • @oswadrdaniel819
    @oswadrdaniel819 หลายเดือนก่อน +4

    Njaa inakuua we lipa fazira

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 หลายเดือนก่อน +4

    Mtu mzima lakini unaongea Utoporoo tu puuzi kabisa
    kwa hiyo unatuona watanzania hatuna akili, puuzi kabisa msigwa

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd หลายเดือนก่อน +1

    Nawahumia sana Watoto wako kuwa .na baba wa namna hii!!! Ingekusaidia kidogo kama NDOA yako na MAFISADI HAO WANGEKUOA kabla hujashindwa uwe nyekiti kanda angalau Wapumbavu wangekupa heshima kidogo,lakini hata wapumbavu hawawezi kukuheshimu kwa sasa!!! HAKUNA ANAYE KUELEWA KABISA KWANZA USO WAKO UMETAHAYARI(AIBU).

  • @user-jg2dy4kb6j
    @user-jg2dy4kb6j หลายเดือนก่อน +2

    njaa na kukosa uongozi imemfanya afike apo wakimtema ccm hana pa kwenda ndo mwisho wake

  • @reginaruta3249
    @reginaruta3249 หลายเดือนก่อน +6

    Wachungaji hawatakiwi kuwa wanafiki. Futa ilo jina kabisa.

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 หลายเดือนก่อน +4

    Yaani wamekupa ubunge miaka 10...mwenyekiti wa kanda miaka 5... Leo heti chama hakikufai...
    Kama waliuawa ndugu za watu wa chadema ina maana wauaji ndio hao uliojiunga nao?
    Msigwa mtu mpumbavu sana...

  • @Anithawilielemi-uh3ww
    @Anithawilielemi-uh3ww หลายเดือนก่อน +3

    Msigwa anatabia kama ya jamaa moja kwenye Biblia Kwa jina SANBALATI aliyenunuliwa kwa chumvi ya jero akasahau damokrasia aliyowahi kuhapia.

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 หลายเดือนก่อน +2

    Baada ya kuitukana CCM na kuwadhalilisha viongozi wa CCM, wakiwemo Marais, kwa miaka mingi, wananchi wengi na CCM hawakuamini. Huko utatumiwa kama toilet paper na meisho kutupwa chooni.

  • @user-ou1ls6oj2f
    @user-ou1ls6oj2f หลายเดือนก่อน +2

    Unajitambulisha mchungaji huna haya hubiri kilichokuhamisha utafutaji pesa huna haya kabisa

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li หลายเดือนก่อน +3

    Ata watu huna kitu wewe aibu sana angalia watu hao ndiyo watao kumpigia kura wapo 7 tu msigwa umeisha kabisa

  • @DahHodges777
    @DahHodges777 หลายเดือนก่อน +2

    Bora ungestaafu siasa tu.
    angalau hiyo ingekuletea heshima na utu..ila kwasasa hata namna kuongea umebadilika kwa kifupi unaitesa nafsi..

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku หลายเดือนก่อน +5

    Kwani,mkutano huo inanihusu chadema.eleza utakayoliganyis taifa.

    • @user-jr3mg3ko6m
      @user-jr3mg3ko6m หลายเดือนก่อน

      Huoni aibu kenge wewe Malaya wewe njaa inakusumbua

  • @AbeliIrikaeli
    @AbeliIrikaeli หลายเดือนก่อน +3

    Madakitari.wa afia.ya.akli.waongezwe jamani
    Apa tunapo elekea wagonjwa wata ongezeka Kwa kasi

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r หลายเดือนก่อน +3

    Yani hili tahira kweli,kwa hiyo umeona ni bora uungane na wauaji

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r หลายเดือนก่อน +1

    Tahira hili yani ukishakula hela ya ccm unakuwa boya

  • @HulumaKisakali
    @HulumaKisakali หลายเดือนก่อน +3

    Huna maajabu mchungaji mzima ovyo mmbea wewe

  • @ericksimon3899
    @ericksimon3899 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu sijui ni mchungaji wawap

    • @mgungulem3187
      @mgungulem3187 หลายเดือนก่อน

      Huyu ni mchunga njaa

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi หลายเดือนก่อน +2

    Simwami mutu kwenye maisha yangu

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 หลายเดือนก่อน +12

    lakini msigwa umesahsu mlivyofanya vigisu kwa zuberi zitto kawe?hizo ndizo sera zao

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd หลายเดือนก่อน +1

      ZITO HANA LOLOTE ZAIDI YA UDINI NA KUPENDA UKUBWA!!! ANGEPEWA UWENYEKITI TAIFA CHADEMA, ANGEUZA CHADEMA YETU!!! MH. MBOWE SI MALAYA WA KISIASA NI MWAMBA WA SIASA SAFI NCHINI NDIYO MAANA CHADEMA NI IMARA SANA AMEIJENGA KWA HALI NA MALI KWA GHARAMA KUBWA!!!

  • @duniakidogo8516
    @duniakidogo8516 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe ni mchumia tumbo kweli. Lakini pia IQ yako ni chini ya kiwango. Imekuchukua miaka 20 kutambua kuwa ulipotea? Ama kweli hufai, hufai.
    Ongea sera na si chama kingine. Au Huna sera? Hayo ni machungu ya kukosa kura. Pole kaka

  • @LesiJama
    @LesiJama หลายเดือนก่อน +3

    Acha njaaaa msigwa hakuna mtanzania atakaye kuelewa

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa uchungaji huo, hakika hukawii Kula Kondoo. Mzee unatamaa. Aminia ulikotoka wamekushepu. Usiache kuwashukuru.

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q หลายเดือนก่อน +3

    MaFara katka nchi hiibado wapooo eti ili nalo ni lichungaji

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v หลายเดือนก่อน +4

    Njaa itawamaliza wanasiasa wa nchi hii.

  • @tumainieverest9928
    @tumainieverest9928 หลายเดือนก่อน +3

    mSIGWA NJAAA ITAKUUA MAPEMA

  • @LucyVenant
    @LucyVenant หลายเดือนก่อน +3

    Msigwa unajipya umechoka ,upati ata ujumbe wa nyumba kumi

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 หลายเดือนก่อน +3

    Tamaa mbele mauti nyuma shezi kabisa

  • @lutembekarodi
    @lutembekarodi หลายเดือนก่อน +2

    Pole Msigwa nakuona unavyoshindana kuulazimisha moyo wako useme usiyoyaamini. UTATESEKA HIVI MPAKA LINI Msigwa? Kwa vyovyote vile huwezi kupata amani.

  • @MarkoFabiano-s5u
    @MarkoFabiano-s5u หลายเดือนก่อน +6

    Njaa nimbaya

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli siamini masikio yangu mpaka nalia yaani umefikia hatua mpaka unamwita mbowe nkurunzinza? Kweli Dunia mayowe

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 หลายเดือนก่อน

      Kumbuka pia huyu alikuwa mjumbe kamati kuu, hiyo huyo anayemsema Nkurunziza ndiye alikuwa akisimamia vikao vya kumpitisha kwenye UONGOZI wa Kanda na Ubunge,
      Watu hatuna shukrani aiseee

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl หลายเดือนก่อน +3

    Huyo njaaaaaaa. Msipompa cheo huyo shauri Yenu. Ok

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 หลายเดือนก่อน +2

    Mchungaji, mh we mjinga kwel kuna mchungaji malaya wa siasa km wewe.

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 หลายเดือนก่อน +2

    Hasiraaaaaaaaaaa usipopata muda wa kutafakari zitakufanya uwe...........

  • @user-lx2lo2lp8m
    @user-lx2lo2lp8m หลายเดือนก่อน +1

    We kima,nilikushauri mapema shirikiana na chama,ila dhambi itakayokumliza ni kumsakama mbowe,huna muda mrefu,amini!...

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 หลายเดือนก่อน +20

    Hahahahaa njaa kweli ni mbaya sana

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 หลายเดือนก่อน +2

      Punguza stress kijana wanasiasa sio wenzako, tafta pesa

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 หลายเดือนก่อน +1

    Mm sio mwanasiasa lakin mpaka sasa naona mwisho kwako nmbaya,pia hauna mvuto tena hata huko ccm

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5y หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mtu naona amechanganyikiwa ata anachoongea akijulikani mpelekeni kwa mwamposa 😂😂

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 หลายเดือนก่อน

    Kati ya watu niliowadharau sana tena sana ni wewe Mch. Msigwa. Wewe ulikuwa mpinzani mkubwa sana wa CCM. Leo CCM kuna nini cha pekee kilichofanyika kilichokushawishi kuhamia CCM.
    Mara mia zaidi ungeachana na CHADEMA halafu ukabaki bila chama chochote cha siasa au ungeanzisha chama kipya, na si kujiunga na chama kile kile ulichokinga kwa nguvu zote miaka yote.
    Ni aibu kubwa sana.

  • @StephenMpallange
    @StephenMpallange หลายเดือนก่อน +4

    Unakijenga CCM kwani kina hali gani,je kiko dhoofu hali?Hapo umesema kweli CCM imechoka,jaribu kukijenga,kwani kimechokwa na hakipendwi.

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 หลายเดือนก่อน

      Usiusemee moyo wa mwingine😅😅

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc หลายเดือนก่อน +2

    Miaka kumi Ulikuwa Mbunge kupitia Chadema,Hapo je?Leo hii unataka kuidhibu Chadema yote?Umekufa kisiasa wewe ni Yuda iskariote,

    • @HatibuSozi
      @HatibuSozi หลายเดือนก่อน

      Usinge shindwa na sugu tungekuamin ila kwa hili ni njaa tuuuuuumchungaji mzima

  • @jescalutahoire8125
    @jescalutahoire8125 หลายเดือนก่อน +2

    Tunahitaji Siasa za kistaarabu siyo kusemana, haitusaidii wa Tanzania. Tunataka maendeleo siyo maneno

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ni mchungaji aliasi kazi ya Mungu akaja kwenye siasa.
    Sasa kakosa chadema kakimbilia ccm kutafuta chakula.wa hovyo tuu

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 หลายเดือนก่อน +13

    Loooo, msigwa kwa heri umesha kufa kisiasa hutosikia tena kwakweli kama usemi wako akiri ndogo haiwezi kutawala akiri kubwa kwahiyo msigwa unatawaliwa na akiri ndogo ya CCM hakika njaa haijawahi kumuacha mtu salama halafu angaria msigwa hata hotuba unapangiwa ya kusema

    • @IkoUwasi-it6qy
      @IkoUwasi-it6qy หลายเดือนก่อน +1

      Kazi mnayo chadema yaani mtu akitoka chadema kwenda ccm eti njaa akili huna ana njaa gani mtu Kawa mbunge miaka 10

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 หลายเดือนก่อน

      @@IkoUwasi-it6qyNdo nashanga Msigwa amewauma sana chadema Msigwa kwenda CCM 🤣🤣🤣 Msigwa ni mtu makini msomi hana haja na pesa amefata ukweli . Sasa chadema badala mjitafakari kwanini amehama mnasema njaa pole sana ufahamu wenu ndo umekwamia hapo

  • @sebastianmakassy8083
    @sebastianmakassy8083 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona umelamba matapishi yako?

  • @LaurentMpilu-qe6lq
    @LaurentMpilu-qe6lq หลายเดือนก่อน +1

    Ogopa sana kupingana na moyo wako, yaani unasema Leo ni jumapili mdomoni, lakini akilini inakwambia Leo ni jumanne

  • @SolomonKaay-gq3gl
    @SolomonKaay-gq3gl หลายเดือนก่อน +3

    Hauna point kabisaaa.

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv หลายเดือนก่อน +2

    Mzeee wa kununuliwa bei cheeeee

  • @rugemalilalucas4533
    @rugemalilalucas4533 หลายเดือนก่อน +2

    Mavi kiraka unajipya zaidi ya njaa ya asubuhi chooni.

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 หลายเดือนก่อน +1

    ,😂😂😂😂 Hiii nchi inachekesha
    . kwa kweli

  • @ephrahimkivuyo4275
    @ephrahimkivuyo4275 หลายเดือนก่อน +14

    Ila msigwa ni mpumbavu sana tena sana we ni mpumbavu mnoooooooo

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 หลายเดือนก่อน +1

    Nani alimpeleka SA kusoma?

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x หลายเดือนก่อน +1

    Kuna mafataki wakiona mke amefiwa na mume wao kazi ya nikuvizia kuwatongoza wajane
    Huyu mjane alishindwa kuvumilia hisia Kila la kheri ww mjane upate mapenzi moto

  • @EuniceMadaha
    @EuniceMadaha หลายเดือนก่อน +1

    Njaa mbaya sana

  • @mamafaiza1720
    @mamafaiza1720 หลายเดือนก่อน +7

    Njaaa mbayaaa

  • @kelvinmgaya-gp8jk
    @kelvinmgaya-gp8jk หลายเดือนก่อน +2

    Njaaaa haijawahi mwacha mtu salama

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 หลายเดือนก่อน +1

    Kwenda zako msaliti ww hii ni baada ya kukosa uongozi, tuache na chadema yetu,njaa tuu huna jpya

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 หลายเดือนก่อน +14

    njaa ya madaraka inakusumbua umekula vya sisisem lazima ulipe kwa kuongea utumbo

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf หลายเดือนก่อน +1

      Pole mchungaji Imani yetu Kwa wachungaji inaanza kupunguwa

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน

      Punguza makasiriko

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 หลายเดือนก่อน

    Shikamoo siasa

  • @tunumigila8995
    @tunumigila8995 หลายเดือนก่อน +1

    Wamemwaga mboga, amemwaga ugali.😅😂😂😂😂

  • @polokotomwalusamba1132
    @polokotomwalusamba1132 หลายเดือนก่อน

    Huyu alitoka ccm akaja nccr mageuzi akaenda tlp akaja chadema sasa amerudi kwenye jeneza lake ili aendelee na safari yake ya kutibu njaa huyu sio mwanasiasa wa kumuamini anaangalia upepo wa kupata pesa hana lolote alichokimbia chadema kaenda kukitafuta ccm njaa ni mbaya sana uenyekiti wa kanda alioshinda sugu ndio ulipelekea yote hana hoja zaidi ya unafiki huyu mtu sio strong kabisa ni dhaifu hakubali matokeo huko alikoenda anasubiri V8 apeperushe bendera ya ukuu wa mkoa wowote atakao pewa watanganyika tusidanganyike na wahuni wa aina hii.

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji หลายเดือนก่อน +6

    Jaman khaaa

  • @richardjafu7404
    @richardjafu7404 หลายเดือนก่อน

    Unajidhalilisha sana, na Kwa kweli hata uchungaji wako una mashaka sana. Njaa imekuzidi.

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 หลายเดือนก่อน

    Mh Msigwa umepoteza ubora wako, hakika Mwanasiasa akikutakia usiku mwema, hakuna namna Toka nje ukajiridhishe kuwa ni usiku au la!!
    CCM ndo baba lao,

  • @-hm8mn637
    @-hm8mn637 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu Msigwa fala sana, Hana mpya anatoa ushuzi tu mdomoni mwake. Kuna haja gani ya kumwita mwenzake majina ya kijnga jinga

    • @user-od2mc4mj4e
      @user-od2mc4mj4e หลายเดือนก่อน

      Nindugu yangu lakin kwa Hilo amefeli baada ya uchaguzi hatapewa cheo atalud chadema kwa kutambaa

  • @davidmachumu3150
    @davidmachumu3150 หลายเดือนก่อน +3

    Mchungaji haya maneno unayaongea kwa wananchi wa Dar ,vema. Ungeongea huko mikoani kuliko wa Dar waelewa sana, unaonekana hoppless😅

    • @jumannemussa8281
      @jumannemussa8281 หลายเดือนก่อน

      Kakudangany nan kama wanaich wa dar waelevu

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila หลายเดือนก่อน +1

    Umekubali kuongozwa na akili ndogo,?

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 หลายเดือนก่อน

    Hata SISI CCM TUNAKUSHANGAA mchungungaji.

  • @emanuelmsangi6686
    @emanuelmsangi6686 หลายเดือนก่อน

    MTU anasema watu waliuwawa kwwnye uchaguzi badala ya kuhoji ni nani aliwauwa anaishia kutukana upinzani..sasa apo hoja yake ni IPI?

  • @shedrackpallangyo4004
    @shedrackpallangyo4004 หลายเดือนก่อน

    Kama chama hakufai ilikuawaje utumikie miaka 10 ya ubunge na miaka5 ya m/kiti je ungepata nafasi m/kiti ungetoka kwenye chama weka akiba ya maneno

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 หลายเดือนก่อน

    Inasikitisha hata ccm wenyewe hawajamchangamkia kwasababu wanajua anachoongea hapo sio yeye ni njaa tu

  • @hashimsalum7025
    @hashimsalum7025 หลายเดือนก่อน +1

    Umefisilika msigwa tafuta kazi nyingine, hamna cha maana unachoongea, hizo ni chuki binafsi

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 หลายเดือนก่อน

      Ila kawahi mno kufirisika, amesahau KUWA amewaacha kondoo porini

  • @JofuAmuko
    @JofuAmuko หลายเดือนก่อน

    YAANI KUKOSA CHEO TU !!!!!! UNAHAMA CHADEMA !!!!! NA HUKO WASIPOKUPA CHEO ITAKUWAJE ???? TAMAA ZIMEKUPONZA, UMEMSHINDWA KWA POINT CHACHE TU,, ETI UMEHAMA, UMEKWISHA HABARI YAKO !!!!!

  • @user-vl5xv2xd6e
    @user-vl5xv2xd6e หลายเดือนก่อน

    Msigwa huna tofauti na Nyoka wewe kushindwa ndiyo unazungumza upumbavu uliokuja kichwani Umelelewa na Chadema shukururani ndiyo hiyo mwache Mh.Mbowe wewe ni mnafiki nyoka Cobra shika Adabu

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 หลายเดือนก่อน

    Hivi wewe si ndio ulikuwa unatutukana sana leo unawatukana viongozi waliokulelea mpka umefika hapo uwe na akiba ya maneno mheshimu Kiongozi wa CHADEMA aliyekulea usiruhusu hela ulizopewa uonekane bwege maana hata hapa ndani ya chama hatukuamini

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn หลายเดือนก่อน

    Huyo ndio msigwa bwana niliwaambia chadema wamejimalize wenyewe.acheni matusi msigwa amefuata demokrasia alipoiona inafaa

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 หลายเดือนก่อน +1

    Hasira zina kusumbua huna lolote

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928 หลายเดือนก่อน

    Hakukanusha alipoambiwa na msukuma kuw Hela anazo zitumia ni Hela za ccm

  • @piusrweyemamu3900
    @piusrweyemamu3900 หลายเดือนก่อน

    Mbona bado ongea yake ni kana ya Mh. Mbowe hata sauti pia!!!

  • @korogwemandari
    @korogwemandari หลายเดือนก่อน +6

    Hicho ndicho kimesababisha ukaukosa mwenyekiti wa Kanda?

    • @Flaviosafari
      @Flaviosafari หลายเดือนก่อน

      Chadema makini

  • @hassankilongo8061
    @hassankilongo8061 หลายเดือนก่อน

    Huyu Jamaa ni mbaya kuliko shetani. Yaani nimemsikiliza mpaka mwili unanisisimka. Ni Mchungaji wa kanisa gani huko Iringa, na ana wafuasi kwelii?

  • @planetbrand
    @planetbrand หลายเดือนก่อน +1

    Hata unavyo ongea sera huna!!Hayo ndo umeyaona leo baada ya kukaa miaka 20?😂

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 หลายเดือนก่อน +5

    Njaa mbaya

  • @BenardZephaniah
    @BenardZephaniah หลายเดือนก่อน

    Pia si vizuri kutumia la Nkurunziza kwa nini asitumie jina la mhusika? Warundi laiti wangekusikia wangekushtaki maana huyo kwao japo alishatangulia ni mtu wa kuheshimika saana eloo

  • @AishaNdinadyo
    @AishaNdinadyo หลายเดือนก่อน +1

    Na ww ulikuwa ulikuwa kiongozi ulifanya nini ww

  • @IddyWahabu
    @IddyWahabu หลายเดือนก่อน +1

    Hivi angepata kuwa mwenyekiti wa Kanda angeyasema hayo au kama ni mzalendo kwanini asiyaseme hayo kabla ya kushindwa

    • @user-ex1zm6fd4f
      @user-ex1zm6fd4f หลายเดือนก่อน

      Chizi uyo alipanga kukiacha chama hakiwa mwenyekiti wa kanda watu wamestuka mapema

  • @IsmailKidongo
    @IsmailKidongo หลายเดือนก่อน +1

    Kwisha abari yako boraungeamia act wazalendo

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka หลายเดือนก่อน

    Ni aibu yupi kwako kwahiyo mabaya unayoyataja yalikuwa yanafanywa na ccm na ccm UKo wapi

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 หลายเดือนก่อน

    Kama tunasukumwa na mihemko ya uchama,akili haziwezi kufunguka na kutafakari vizuri,tuamke maendeleo ya nchi yetu yatachagizwa na akili iliyo pevuka.

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle หลายเดือนก่อน

    MCHAWI MKUBWA WEWE UNAYETAKA KUFANYA WATANZANIA TUENDELEE KUWA MASKINI KWAAJILI YA CCM WAONGO KABISA.