Vunja bei atoboa siri ya mafanikio yake, "Mpenzi alinikataza"/'"Sijawahi kulala polisi".
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- #Kumekucha #Kishindo, Aprilii 22, 2021.
#ITVTanzania #KumekuchaKishindo #Mubashara
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our TH-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Nimejifunza kitu kikubwa Sana ubarikiwe sana
Very smart guy reminds me of Ruge Mutahaba RIP.
Big inspiration to the youth
#Tomuchmoney
Sure
Very humble speaking
Fred ana mengi sana kichwani ,kuhusu biashara
Sichokagi kumsikiliza uyu brother, Mungu akubariki sanaa brother...Very inspiring
>>>Me pia
Huyu jamaa kiukwer nimemuona Kama Ruge Mtahaba
@@jasperleopord4838 kweli kabisa
Barakoa yenyew inasemaj
Nashukuru kaka kwa kutufungua
Matangazaji ya ITV yamelala lala tu, hata hayana maswali ni kuitikia tu, sasa mtu amesema alikua mtumishi wa Umma hata kumuuliza alikua anafanya kazi gan hamna, mtu anasema amesoma sana hata kumuuliza elimu yake hamna, nnnhhhiiii!!! aaanhhaa!!!
amesoma BCom pale UDSM na MBA mzumbe.Huyu jamaa ni smart
Unadharau sana boya wewe
Ulidhani ana form4,asingesema kasoma LA saba Na form4 ni elimu ya taifa
Barakoa linamchanganya..anatangaza na Barakoa jmn khaa
nnnhhhiiii!!! aaanhhaa!!!
Litangazaji libovu sana
Khaaa jamaa anatangaza na barakoa
Mmmmh kijana wangu ur a
Very smart nafurahia SN hudaharau kabila lako umeongea uhalisia wako mm ninaekujua all ur are talking is real tumekua wote Safi bro nakuombea ufike mbali maana umebeba wakinga wengi SN nyuma wanakutegemea kwa maono yko.. mm mwenyew kwa uwezo wa Allah nitapambana.
Braza Fred my role model..nakukubal san
that's My broo Vunjabei
Barakoa linaboa kaka sauti kama uko kwenye chungu...
Hahahaha
Hongera Fred nakukubali sana
😂😂😂
Good message
Nice........fredy...( Vunja bei )
Mungu azidi kumuinua maana ana moyo sana ya kusaidia vijana wenzake
Unanihamasishaa sana fread kibiasharaaa
Hana tofauti na mtu anakuwa kwenye gari mwenyewe ukiwa umevaa barakoa. Very pathetic
Hongera kaka wewe kweli Ni kioo Cha jamii una tuhamasisha Sana vijana broo
Yupo smart sana lakini nimependa hakuibeza elimu ! Bado elimu Ina mchango mkubwa sna
jamaa unajibu maswali vizuri sana
Iko poa sana
Man of fact
Huyu jamaa anafaa apewe hata saa nzima maana anakitu Cha kufunza vijana.
Na siyo mchoyo wa material, harafu muwazi tu yuko open kinyamaa
Mungu nisaidie na mimi nitoboe
✊✊
Mwandishi very low,vunja Bei alikuwa na vingi vya kusema
Ndio wakinga wengi na wachaga
yaan nimependa umekuja media yakiustarabu ukavaaaa kiustarabu
Uko vzur xana vunja bei
Kuna kitu huwa najifunza kupitia ww kila ninapokusikiliza
Eti mtu ana dislike hii duuuh! Kweli hakuna kitu utatoa kitakuwa perfect kwa kila mtu
Ana wivu
Dunia ina mambo ya Ajabu Sana😅
😎
Kabisa binadamu wa ajabu sana
Go baby
Uko juu sana.una akili nyingi
Huyu jamaa ni kichwa
Gudi bro
Sawa sawa
Sio uwongo nawajua vzr familia yake niwafanya biashara kaka ake namjua vzr sio ajabu haya maendeleo
Fredi na CF/Makambako wana uhisiano wowote ki Familia?
Sasa wewe na hilo libarakoa lako what for? Huyo director wako nae Taahira kama wewe
Mask ya nn bro😒
Mnatisha watoto bnaa distance ur self wash ur hands mask doesn't protect that much only that t prohibit u from touching ur 👃
Mika 2 mbele nitakuja nikiwa karibia wewe Umeongea point nzito..wakinga nawakubali Sana ..mnajituma ,,najifunza kutoka kwako kwa kusikia ..hii comment note
Kalibu kwetu ukingani tukupe elimu ya biashara
Duuu kuajiriwa inatakiwa kujiangalia
What
Huyu mbwa aliye vaa barakoa mpaka kafanya kipind kiwe kinaboa!
Baba ako nae sio mbwa kwani ?
Unaboa sana sasa kwann umwite mwenzako mbwa kwa kua amevaa barakoa
Smart Generation tuko nyuma yako.
5:48 Brother kuna wasambaa wakina Makurunge wamejazana hapo kariakoo
Wakinga weng sana kkoo hao wasambaa hata 200 hawafik pale
Na wanyakyusa kibao wapo Kama wakina rungwe palace hotel wengi tuu wanna maduka pale kariakoo
@@amenyemwansile631 idadi yao bado hawafikii wakinga kwa wing
mim sio mkinga ila wakinga bro nawasikia sanaaaaa, ni wengi kariakoo pale
@@innocentherman5101 unaamini Cha kuambiawa Mimi nilidhani umewaona ndugu
Kuna vitu vingi nimejifnz
Huwa sipitwi na interview zako hata wiki iishe ntafungua tu maana huwa napata vya kujifunza,,,,,uje na moshi ,,,, laki tano na sisi wa moshi
Wekeni access ya kudownload please
Upo vizuri maliza na biashara ya chakula hasa mafuta ya alzet hio no moja kwa wewe unaweza kwani Ina biasha Mara 2 shudu na mafuta Nina PhD ya mtaa
Kweliii Kaka vijana unatufundsha njia za kutokea
Mapembeloo kinga jangu
Uyu jamaa nae anasifa sn kila cku ctori ioio moja mamaee
Utabaki hivyohivyo
Xx hilo li barakoa tutajuaje ka ww n kijana mwenzetu,...litoe bhna,
Vunjabei mimi nakubari sana wewe nimuekezaji mzuri nakuombauwekeze na kweujenzi wa majumba nibiashara nzuri
Kuwekeza kwenye nyumba ni kulaza Hela ya mzunguko...hiyo ni akili ya kizamani
Napingana na wewe ...biashara ya majengo kama una mtaji mkubwa ndo biashara bora kbs...ishu ni mtaji wako tu
Unastahili kua ulipo
Kula dislike kwa kuvaa barakoa.
M
Hongera sana
Correct