Vunja bei atoboa siri ya mafanikio yake, "Mpenzi alinikataza"/'"Sijawahi kulala polisi".

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
  • #Kumekucha #Kishindo, Aprilii 22, 2021.
    #ITVTanzania #KumekuchaKishindo #Mubashara
    Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our TH-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

ความคิดเห็น • 91

  • @aloyskamalamo1675
    @aloyskamalamo1675 3 ปีที่แล้ว +16

    Nimejifunza kitu kikubwa Sana ubarikiwe sana

  • @funnymen194
    @funnymen194 3 ปีที่แล้ว +8

    Very smart guy reminds me of Ruge Mutahaba RIP.
    Big inspiration to the youth
    #Tomuchmoney

  • @alfredzunda4655
    @alfredzunda4655 3 ปีที่แล้ว +5

    Very humble speaking

  • @leonardgervas7515
    @leonardgervas7515 3 ปีที่แล้ว +14

    Fred ana mengi sana kichwani ,kuhusu biashara

  • @johnrogath1066
    @johnrogath1066 3 ปีที่แล้ว +14

    Sichokagi kumsikiliza uyu brother, Mungu akubariki sanaa brother...Very inspiring

  • @genetic_online_tv
    @genetic_online_tv 3 ปีที่แล้ว +2

    Barakoa yenyew inasemaj

  • @neemasky822
    @neemasky822 ปีที่แล้ว

    Nashukuru kaka kwa kutufungua

  • @johwilly8723
    @johwilly8723 3 ปีที่แล้ว +14

    Matangazaji ya ITV yamelala lala tu, hata hayana maswali ni kuitikia tu, sasa mtu amesema alikua mtumishi wa Umma hata kumuuliza alikua anafanya kazi gan hamna, mtu anasema amesoma sana hata kumuuliza elimu yake hamna, nnnhhhiiii!!! aaanhhaa!!!

    • @jacksonsilvery5963
      @jacksonsilvery5963 3 ปีที่แล้ว +3

      amesoma BCom pale UDSM na MBA mzumbe.Huyu jamaa ni smart

    • @emmamatemu8225
      @emmamatemu8225 3 ปีที่แล้ว +2

      Unadharau sana boya wewe

    • @magecharles7158
      @magecharles7158 3 ปีที่แล้ว

      Ulidhani ana form4,asingesema kasoma LA saba Na form4 ni elimu ya taifa

    • @magerito6811
      @magerito6811 3 ปีที่แล้ว

      Barakoa linamchanganya..anatangaza na Barakoa jmn khaa

    • @muzikizaidi
      @muzikizaidi 3 ปีที่แล้ว

      nnnhhhiiii!!! aaanhhaa!!!

  • @mulangilakabwarebenson5128
    @mulangilakabwarebenson5128 3 ปีที่แล้ว +4

    Litangazaji libovu sana

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 3 ปีที่แล้ว +5

    Khaaa jamaa anatangaza na barakoa

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmh kijana wangu ur a
    Very smart nafurahia SN hudaharau kabila lako umeongea uhalisia wako mm ninaekujua all ur are talking is real tumekua wote Safi bro nakuombea ufike mbali maana umebeba wakinga wengi SN nyuma wanakutegemea kwa maono yko.. mm mwenyew kwa uwezo wa Allah nitapambana.

  • @manduatechnology1055
    @manduatechnology1055 3 ปีที่แล้ว +1

    Braza Fred my role model..nakukubal san

  • @haidaryjoe5546
    @haidaryjoe5546 ปีที่แล้ว

    that's My broo Vunjabei

  • @ngonyani1
    @ngonyani1 3 ปีที่แล้ว +5

    Barakoa linaboa kaka sauti kama uko kwenye chungu...

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 2 ปีที่แล้ว

    Good message

  • @hakusfakir7364
    @hakusfakir7364 2 ปีที่แล้ว

    Nice........fredy...( Vunja bei )

  • @qasimsaid2486
    @qasimsaid2486 3 ปีที่แล้ว +9

    Mungu azidi kumuinua maana ana moyo sana ya kusaidia vijana wenzake

    • @samwelmassi1932
      @samwelmassi1932 3 ปีที่แล้ว

      Unanihamasishaa sana fread kibiasharaaa

  • @rajalfred3859
    @rajalfred3859 3 ปีที่แล้ว +4

    Hana tofauti na mtu anakuwa kwenye gari mwenyewe ukiwa umevaa barakoa. Very pathetic

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile631 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera kaka wewe kweli Ni kioo Cha jamii una tuhamasisha Sana vijana broo

  • @CharlesNgelata
    @CharlesNgelata ปีที่แล้ว +1

    Yupo smart sana lakini nimependa hakuibeza elimu ! Bado elimu Ina mchango mkubwa sna

  • @MosesSanga-oo9du
    @MosesSanga-oo9du 8 หลายเดือนก่อน

    jamaa unajibu maswali vizuri sana

  • @ajeyplatnumz7436
    @ajeyplatnumz7436 3 ปีที่แล้ว +2

    Iko poa sana

  • @shabanially8022
    @shabanially8022 3 ปีที่แล้ว

    Man of fact

  • @johanesjohn8471
    @johanesjohn8471 3 ปีที่แล้ว +14

    Huyu jamaa anafaa apewe hata saa nzima maana anakitu Cha kufunza vijana.

    • @ignassindabaha1813
      @ignassindabaha1813 3 ปีที่แล้ว

      Na siyo mchoyo wa material, harafu muwazi tu yuko open kinyamaa

  • @david2tsh834
    @david2tsh834 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu nisaidie na mimi nitoboe

  • @MartinMadimilo-z6w
    @MartinMadimilo-z6w 9 วันที่ผ่านมา

    Mwandishi very low,vunja Bei alikuwa na vingi vya kusema

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 ปีที่แล้ว +1

    Ndio wakinga wengi na wachaga

  • @abubakarkhamishaji2849
    @abubakarkhamishaji2849 3 ปีที่แล้ว +6

    yaan nimependa umekuja media yakiustarabu ukavaaaa kiustarabu

  • @elibarikisospita8804
    @elibarikisospita8804 9 หลายเดือนก่อน

    Uko vzur xana vunja bei

  • @nasrafadhili8941
    @nasrafadhili8941 3 ปีที่แล้ว +3

    Kuna kitu huwa najifunza kupitia ww kila ninapokusikiliza

  • @partnersah8802
    @partnersah8802 3 ปีที่แล้ว +11

    Eti mtu ana dislike hii duuuh! Kweli hakuna kitu utatoa kitakuwa perfect kwa kila mtu

  • @Ibraah06
    @Ibraah06 3 ปีที่แล้ว

    Go baby

  • @benardethamhela4898
    @benardethamhela4898 2 ปีที่แล้ว

    Uko juu sana.una akili nyingi

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa ni kichwa

  • @remichimogu-eb3yq
    @remichimogu-eb3yq ปีที่แล้ว

    Gudi bro

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 3 ปีที่แล้ว

    Sawa sawa

  • @magecharles7158
    @magecharles7158 3 ปีที่แล้ว +3

    Sio uwongo nawajua vzr familia yake niwafanya biashara kaka ake namjua vzr sio ajabu haya maendeleo

    • @iddimngazija1957
      @iddimngazija1957 3 ปีที่แล้ว

      Fredi na CF/Makambako wana uhisiano wowote ki Familia?

  • @nilansaid2927
    @nilansaid2927 3 ปีที่แล้ว +2

    Sasa wewe na hilo libarakoa lako what for? Huyo director wako nae Taahira kama wewe

  • @smartboyeze2190
    @smartboyeze2190 3 ปีที่แล้ว +3

    Mask ya nn bro😒
    Mnatisha watoto bnaa distance ur self wash ur hands mask doesn't protect that much only that t prohibit u from touching ur 👃

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 3 ปีที่แล้ว +2

    Mika 2 mbele nitakuja nikiwa karibia wewe Umeongea point nzito..wakinga nawakubali Sana ..mnajituma ,,najifunza kutoka kwako kwa kusikia ..hii comment note

    • @allenmethod6788
      @allenmethod6788 3 ปีที่แล้ว

      Kalibu kwetu ukingani tukupe elimu ya biashara

  • @ericfelician7996
    @ericfelician7996 3 หลายเดือนก่อน

    Duuu kuajiriwa inatakiwa kujiangalia

  • @Ibraah06
    @Ibraah06 3 ปีที่แล้ว

    What

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mbwa aliye vaa barakoa mpaka kafanya kipind kiwe kinaboa!

    • @georgeakasha764
      @georgeakasha764 3 ปีที่แล้ว

      Baba ako nae sio mbwa kwani ?

    • @rosenaadolfu99
      @rosenaadolfu99 3 ปีที่แล้ว

      Unaboa sana sasa kwann umwite mwenzako mbwa kwa kua amevaa barakoa

  • @maxpharm2714
    @maxpharm2714 2 ปีที่แล้ว

    Smart Generation tuko nyuma yako.

  • @hassanmsipi4094
    @hassanmsipi4094 3 ปีที่แล้ว +2

    5:48 Brother kuna wasambaa wakina Makurunge wamejazana hapo kariakoo

    • @sosbrayantbenjamin9701
      @sosbrayantbenjamin9701 3 ปีที่แล้ว +1

      Wakinga weng sana kkoo hao wasambaa hata 200 hawafik pale

    • @amenyemwansile631
      @amenyemwansile631 3 ปีที่แล้ว

      Na wanyakyusa kibao wapo Kama wakina rungwe palace hotel wengi tuu wanna maduka pale kariakoo

    • @sosbrayantbenjamin9701
      @sosbrayantbenjamin9701 3 ปีที่แล้ว +1

      @@amenyemwansile631 idadi yao bado hawafikii wakinga kwa wing

    • @innocentherman5101
      @innocentherman5101 3 ปีที่แล้ว

      mim sio mkinga ila wakinga bro nawasikia sanaaaaa, ni wengi kariakoo pale

    • @amenyemwansile631
      @amenyemwansile631 3 ปีที่แล้ว

      @@innocentherman5101 unaamini Cha kuambiawa Mimi nilidhani umewaona ndugu

  • @alphanyasin3915
    @alphanyasin3915 2 ปีที่แล้ว

    Kuna vitu vingi nimejifnz

  • @sirielsamweli5688
    @sirielsamweli5688 3 ปีที่แล้ว +6

    Huwa sipitwi na interview zako hata wiki iishe ntafungua tu maana huwa napata vya kujifunza,,,,,uje na moshi ,,,, laki tano na sisi wa moshi

  • @barakaenockdaniel260
    @barakaenockdaniel260 3 ปีที่แล้ว

    Wekeni access ya kudownload please

  • @salbokosaid8992
    @salbokosaid8992 ปีที่แล้ว

    Upo vizuri maliza na biashara ya chakula hasa mafuta ya alzet hio no moja kwa wewe unaweza kwani Ina biasha Mara 2 shudu na mafuta Nina PhD ya mtaa

  • @luganomwambete7090
    @luganomwambete7090 3 ปีที่แล้ว

    Kweliii Kaka vijana unatufundsha njia za kutokea

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo8691 3 ปีที่แล้ว +3

    Mapembeloo kinga jangu

  • @babgmachenje7115
    @babgmachenje7115 3 ปีที่แล้ว +2

    Uyu jamaa nae anasifa sn kila cku ctori ioio moja mamaee

  • @neltontias3827
    @neltontias3827 3 ปีที่แล้ว

    Xx hilo li barakoa tutajuaje ka ww n kijana mwenzetu,...litoe bhna,

  • @selestinmajura8782
    @selestinmajura8782 2 ปีที่แล้ว

    Vunjabei mimi nakubari sana wewe nimuekezaji mzuri nakuombauwekeze na kweujenzi wa majumba nibiashara nzuri

    • @abufirdaus4254
      @abufirdaus4254 ปีที่แล้ว

      Kuwekeza kwenye nyumba ni kulaza Hela ya mzunguko...hiyo ni akili ya kizamani

    • @nickylyanga2139
      @nickylyanga2139 ปีที่แล้ว

      Napingana na wewe ...biashara ya majengo kama una mtaji mkubwa ndo biashara bora kbs...ishu ni mtaji wako tu

  • @immajuzo2440
    @immajuzo2440 3 ปีที่แล้ว +1

    Unastahili kua ulipo

  • @BongoCryptos
    @BongoCryptos 3 ปีที่แล้ว +1

    Kula dislike kwa kuvaa barakoa.

  • @edwinnyabikwi560
    @edwinnyabikwi560 3 ปีที่แล้ว

    M

  • @tithotweve-my9zj
    @tithotweve-my9zj ปีที่แล้ว

    Correct