Ujenzi wa Daraja ZANZIBAR mpaka DAR ES SALAAM kuanza, Naibu Waziri aeleza Bungeni

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 72

  • @wilfredaxwesso7394
    @wilfredaxwesso7394 ปีที่แล้ว +2

    Upuuzi mtupu kweli kweli ,yaani mnataka kuiuza nchi sasa kwa miradi isiyokuwa na tija wakat wananchi hata kula yao shida ,shule shida hadi ikatumika fedha za uviko ,afya changamoto kibao miundo mbinu shida na deni la Taifa limepanda sana ,ushauri wangu kwa wabunge Msishibe sana minofu ya kuku afu mkatoa hoja sizizogusa maisha ya wananchi na msipende vya bure mtasababisha vizazi vijavyo kuishi kama digidigi

  • @mohdomar8846
    @mohdomar8846 ปีที่แล้ว +5

    Allah atuhifadhi na janga Kama hili wazanzibar tunamuachia Allah ndie muweza was Kila jambo

  • @bellalygeomecky1145
    @bellalygeomecky1145 ปีที่แล้ว +7

    Huku ndio kunaimaliza asaaaaaa zanzibar......

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 ปีที่แล้ว +5

    Musifanikiwe maisha

  • @mohdkhamis3857
    @mohdkhamis3857 ปีที่แล้ว +3

    Mm kwa upande wang napenda kusema kwanza ni vyema serikal zetu zote 2,zikatengeneza barabara za ndanii

  • @issahassan8361
    @issahassan8361 ปีที่แล้ว +2

    اللهم انصر زنجبار
    ومن أراد زنجبار سوء فعليك يا الله
    اللهم آمين.
    Km unaipenda zanzibar itikia ameen ili hilo daraja lisijengwe maana hao wana lengo baya na zanzibar

    • @shabanially1008
      @shabanially1008 ปีที่แล้ว

      Amen🙏

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 5 หลายเดือนก่อน

      Ubaguzi hatutaki sisi. Sisi ni wamoja. Acha kuwa mjinga.

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln ปีที่แล้ว +2

    Kwanini msijenge daraja kutoka unguja hadi pemba maana ndio nchi moja

  • @saheedali7467
    @saheedali7467 ปีที่แล้ว +3

    Kama likijengwa na bado niko Hai nitatumia uchawi wangu wote lisisimame kwani mimi kama mzanzibari silikubali darajani Hilo.

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi ปีที่แล้ว +1

      Kwani daraja lina ubaya gani? Hata kama hakuna Muungano, daraja ni kitu cha kawaida. Mbona kuna nchi kibao tunapakana nazo kwa madaraja? Basi kama vipi zikataeni na meli 🙄🙄🙄

    • @westserengeti5608
      @westserengeti5608 ปีที่แล้ว

      Kwa nini

    • @nakalikyumile3234
      @nakalikyumile3234 6 หลายเดือนก่อน

      Kweli hii ngozi ya ajabu sana,hivi kwanini tunapenda kubaguana?afrika hii ni moja

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 ปีที่แล้ว

    ingelikuwa wazanzibar % 99 wakristo wasingekuwa na haja ya kujenga au kufikiria hiyo yote kt pana udini lakin inshaa allah kwabaraka zake Allah na kitume kila alokuwa na ubaya wake kwa wazanzibar Allah awapeperushe na hilo dataja kwabutukufu wa Allah halitadumu

  • @hassanbilali1697
    @hassanbilali1697 ปีที่แล้ว +2

    Jambo jema lkn maendeleo yasipimwe kwa miundombinu pekee bali yaangazie maisha ya watu

  • @ahmadjoka6755
    @ahmadjoka6755 ปีที่แล้ว +1

    Ukiwa mung Kate ganisha znz na tanganyika basi hili halitowezekana milele, tanganyika ni kubwa sana kwanini mnaitaka znz kwa nguvu zote wa zanzibar hatutaki na mung aepushe jambo hili

  • @debdahchannel9159
    @debdahchannel9159 ปีที่แล้ว +2

    NIZULI SANA HILI JAMBO ILA TAFADHALI SERIKALI YETU ZINGATIENI MIKATABA YA HAO NDUGU MSIJE KIUZA MPAKA KIZAZ CHA TANO CHA WA TZ

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x 6 หลายเดือนก่อน +1

    Majambazi na ombaomba watajaa ZANZIBAR

  • @mussahassan1779
    @mussahassan1779 ปีที่แล้ว +8

    Hakuna nchi inayoitwa Tanzania bara musipotoshe ni
    Tanganyika na Zanzibar ❤

    • @jonamnyone8014
      @jonamnyone8014 ปีที่แล้ว

      Kwani jina kaliwezi kubadilishwa? Mfano Congo, Zaire

    • @mussahassan1779
      @mussahassan1779 ปีที่แล้ว +1

      @@jonamnyone8014 hizo ni nchi 2 zimeungana tanganyika na zanzibar ndio ikajengwa Tanzania
      Mbona zanzibar bado ipo jinalake

    • @edwinmsuya3813
      @edwinmsuya3813 ปีที่แล้ว

      Ukiunganisha majina ya hizi inchi mbili unapata jina gani

    • @EliasPaul-qs2ib
      @EliasPaul-qs2ib ปีที่แล้ว

      Usijitoe ufahamu kuhusu kilichotokea 1964

  • @amenyemwansile6919
    @amenyemwansile6919 ปีที่แล้ว +1

    Barabara nyingi hapa tanzania hazijajengwa hilo daraja litaghalimu hela nyingi za nchi ambazo zingejenga barabara nyingi huku tanzania bara

  • @issahassan8361
    @issahassan8361 ปีที่แล้ว +2

    Km mnaweza kweli jengeni pemba to unguja

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 ปีที่แล้ว

      Pemba Unguja ni mbali kuliko bara Unguja ama Pemba bara

    • @issahassan8361
      @issahassan8361 ปีที่แล้ว

      @@filamupictures9349 hujui jambo tulia kijana

  • @user-bw8lt8wy1i
    @user-bw8lt8wy1i 5 หลายเดือนก่อน

    Safi sana tufanane wanafiki wa kubwa nyie wazanzibar nyie si mlifurahia bandar zetu kupewa waarabu mnao waabudikia naamuomba mungu ajaalie lijengwe haraka haraka 9:52

  • @abdulhakimjuma9112
    @abdulhakimjuma9112 ปีที่แล้ว

    Hichi kitanzi chengine cha kuitundika zanzibar na kila mzanzibari mwenye kujitambuwa hatakubaliana na hili na inshallah halitajengwa allah awashulikie kwanza maadui wote wazanzibar

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa4687 ปีที่แล้ว +2

    Hiyo Kama magu angeweza lakini mliopo mnafurahisha bunge

  • @MuchachoFm
    @MuchachoFm ปีที่แล้ว

    Hatr sana🎉

  • @shammhagama2527
    @shammhagama2527 ปีที่แล้ว

    Litawezekana na Mungu yuko pamoja na Watanzania

  • @mohammedhimba1647
    @mohammedhimba1647 ปีที่แล้ว +1

    Barabara za ndani ni tatizo sasa gharama ya daraja hilo tutajenga barabara ngapi jamani tusemeni ukweli vijijini hizo zilizokuwepo mbovu

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 ปีที่แล้ว

      Mohammed,hawa watu wanamalengo yao ya kisiasa.
      Kuna mambo muhimu zaidi,kwa sasa,ya kuyafanya badala ya hiloo daraja.Mahospitali na huduma zake ziko katika hali mbaya,barabara hazisemeki,elimu iko chini.

  • @kassimabdulla3787
    @kassimabdulla3787 ปีที่แล้ว

    Kama muna uwezo huo, kwanza jengeni daraja la kuunganisha visiwa vyetu viwili Unguja na Pemba kwani hii ndio nchi moja kwa jina la Zanzibar. Unguja na Tanganyika ni wapi na wapi. Ushauri wangu kwa viongozi wa Zanzibar jambo hilo wasilikubali hata kidogo. Venginevyo wao sasa ndio watakao imaliza dola ya Zanzibar.

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 ปีที่แล้ว +2

    Huu ni mpango mzima wakutaka kuimeza Zanzibar,

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 6 หลายเดือนก่อน

    Hivi ubaguzi huu utawasaidia nini wazanzibari?

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 ปีที่แล้ว

    Mnapenda wawekezaji kwakuwa tunapenda mambo mepesi bila kujua madhara yake kwanini serikali isiwekeze yenyewe iongeze uchumi?kama Haina uwezo Sasa ikusanye nguvu kwanza uwekezaji ukizidi taifalinashindwa kujitegemea

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 ปีที่แล้ว

    Kujenga daraja kuingia watu kwa makundi wazanzibar mkingiziwa wtanganyika m3 wazanzibar hamna nchi tena

  • @talibfoum8643
    @talibfoum8643 ปีที่แล้ว +3

    Kabla ya kujenga daraja pitisheni tuwe na serekali tatu kwanza baadae ndo mujenge daraja

  • @musaakim2853
    @musaakim2853 ปีที่แล้ว

    😅😅😅😅 balaa kweli hii vipovu ndio wasiona

  • @w4058
    @w4058 ปีที่แล้ว +1

    Hatutaki Daraja la aina yoyote washaona kijicho cha Bakhressa boti zake zinatosha looo mahasidi nyie

    • @muzneali4747
      @muzneali4747 ปีที่แล้ว +1

      W405 Bakhresa atabaki kuwa Bakhresa kama ameweza kuleta boti atashindwa kuleta mabasi ?? TENA yenye tecknologia mpya unasafiri na basi kama upo ndani ya ndege kwahilo daraja Kwa Bakhresa hizo SIO SHIDA zake

  • @patrikkjohnssonz
    @patrikkjohnssonz ปีที่แล้ว

    Safi

  • @tours15
    @tours15 ปีที่แล้ว

    Unguja na Pemba itapendeza zaidi ila kwa Zanzibar na Tanganyika litakua ni janga kubwa kwa Zanzibar.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 6 หลายเดือนก่อน

      Janga kivipi fafanua tuelewe shida iko wapi

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 ปีที่แล้ว

    Iloo halijii na halitokuwa hatutaki Zanzibar jengeni mikoani kwenu uko yanakushinden

  • @officialmaasai4602
    @officialmaasai4602 ปีที่แล้ว

    Utekelezaji miaka 40 ijayo

  • @Worldunite
    @Worldunite ปีที่แล้ว

    Binafsi sioni umuhimu wowote wa kutengeneza hilo daraja, rais alishatuambia kuwa mikopo yote hiyo tutalipa sisi wananchi na hivi tuna madeni hadi vitukuu novyo vitakuja kulipa na madeni hayatoisha, sasa na hilo daraja tunaongeza mzigo tu vichwani, kwani pana umuhimu gani hasa? Itamnufaisha nani jmn?

  • @alybakari9046
    @alybakari9046 ปีที่แล้ว

    Barbara za ndani mashimo matupu

  • @kheriabdu7763
    @kheriabdu7763 ปีที่แล้ว +1

    Tanganyika na Zanzibar kuna shida gani

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 ปีที่แล้ว

      Tatizo ni muungano sio wa haki

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 ปีที่แล้ว

    Naro mtakopa mnaenderea kuipa inchi mzigo mkubwa

  • @allysaidi2524
    @allysaidi2524 ปีที่แล้ว

    Kwaiyo alioweka maji mnaona alikosea

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 ปีที่แล้ว

    Wazanzibari hatutaki mnajiamulia tu kama mlovojiamulia muungano 😡

  • @k2plusstudio858
    @k2plusstudio858 ปีที่แล้ว +1

    hivi ndio vitu muhimu

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi ปีที่แล้ว

    Hiyo ni ngumu kwelikweli, sidhani

    • @mopalmo5818
      @mopalmo5818 ปีที่แล้ว

      Dont limit yourself !

    • @MichaelMathew-ke6bi
      @MichaelMathew-ke6bi ปีที่แล้ว

      @@mopalmo5818 hiyo ni ngumu kwelikweli

    • @mopalmo5818
      @mopalmo5818 ปีที่แล้ว

      @@MichaelMathew-ke6bi well let's just hope for the best bro .... Ama namna gani

    • @MichaelMathew-ke6bi
      @MichaelMathew-ke6bi ปีที่แล้ว

      @@mopalmo5818 sawa

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 ปีที่แล้ว

    Safi sana hii

    • @GeorgeUsele
      @GeorgeUsele ปีที่แล้ว

      Unaijua gharama ya ujenz au ni ushabiki tu! Hapo gharama zake unaeza kuta inaweza kujenga barabara za vumbi nchi nzima

  • @jumashedafa
    @jumashedafa ปีที่แล้ว

    Nataman san liwe na litimie...Mungu asimamie ktk hil

  • @aboubakaromar652
    @aboubakaromar652 ปีที่แล้ว

    Nadhani litasaodia sana katika uchumi wa znz na bara

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 ปีที่แล้ว

    THIS IS NOT EXCELLENT TO DO ITS THATS ITS ONLY PEOPLES OF GATE MONY ZANZNZIBARI IS ZANZNZIBARI ITS NOT TANGANYIKA THIS NOT ONE COUNTRY THERE ALOTS OF MISING UNDESTAND 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿

  • @eddyeddy1337
    @eddyeddy1337 ปีที่แล้ว +1

    Wanafurahisha bunge tu siwezi kuwaruhusu upumbavu huu nafikiri wakipunguza bei ya mchele kwa masikini kwanza.

    • @ahmedhemed3983
      @ahmedhemed3983 8 หลายเดือนก่อน

      Naomba kuuliza kabla ya kujenga daraja kutoka tanganyika hadi Zanzibar kwani hakuhitajiki ridhaa ya pende zote mbili ?
      Au nimaamuzi ya upande mmoja tu inatosha

  • @ishrak3112
    @ishrak3112 ปีที่แล้ว

    Ujambazi sasa ndo utaongezeka na tutaona machogo wa aina tofauti wakija unguja na uhalifu utaongezeka na mpaka wake kabila la hazard tutawaona maduka ya darajani had hatari mbona hii ss wanataka kuiamaliza znz kwa nguvu zote yaani ss ndo wanaonesha wazi wazi kuwa hawaitaki kuiona wala kuisikia znz mnanini lkn ndugu zetu wa damu lkn