Brother Joel Nanauka samahani kwenye hiyo swali uliloliuliza la watu watano wa karibu kama sifikishi hiyo idadi nitafanya nini ili itimie na nitajuaje ndo watu sahihi kwangu
Kaka nauka nakukubali Sana na unanisaidia Sana Kwa vipindi vyako,,Yani nipo darasan ninaposikiliza vipindi vyako,,naomba uriply kaka Mimi ni shabiki yako,,na wewe ni mwalimu wangu kaka
Kak Nanauka habari za asubuh hata nashukuru Sana kwa masaada wako japo tafadhl sana nahitaj kupata namba Yako ya simu ambayo ipo Whatsapp kuna jambo linanisumbua sana aisee tuweze kuwasiliana tafadhl.
Dah wewe ni mwamba kwa kweli. Natazama video zako na Huwa naishia kusema moyoni lakini Leo imebibidi nicomment. Hongera sana
Ahsante sana 🙏🏼
Thanks alot brother
Brother Joel Nanauka samahani kwenye hiyo swali uliloliuliza la watu watano wa karibu kama sifikishi hiyo idadi nitafanya nini ili itimie na nitajuaje ndo watu sahihi kwangu
Nasubili kwa hamu kubwa somo lako kaka Joel nanauka
Mkuu nimeanza kukufuata kwenye mitandao
Nanauka namshukuru mungu kunikutanisha na ww lakin pia mkuu wangu wa shule isakwisa mwakilama. Wa lufilyo sekondar kupitia yeye nimekufaham
Kwer hii doz kaka Joel Yan nichakula Cha akili safi,,tusaidie kisakolojia kaka nauka,,usichoke tusaidie Kwa mawazo mazur kaka
Kaka nauka nakukubali Sana na unanisaidia Sana Kwa vipindi vyako,,Yani nipo darasan ninaposikiliza vipindi vyako,,naomba uriply kaka Mimi ni shabiki yako,,na wewe ni mwalimu wangu kaka
Thank you brother tunazidi kujifunza kila siku. God bless you
On Wait 😢
🙏🙏
5 TOP CLOSE PEOPLE OOH SIR JOEL IT IS TASK
Baba, mama, mpenzi au mke na watoto na at least rafiki mmoja
👂📝🤔
Unatishaaaaa.......
Tupo
Sawa SANA brother
Kaka nanauka jaribu kuwa unaongea kiswahili sana tupo wengi hatuelew siuna juwa
Daa dk 18 azihishe 😢 kweli weee boss unaifluence kwangu
It was real helpful to me ❤
Happy new year Joel I love you❤❤ you are a good friend
Ahsnte sana kwa darasa
Pamoja sana
🙏🙏🙏,! Mungu akubariki kaka joel, ur knowledge transform my life kwa kiasi kikubwa sanaa
Ameen Ameen Mungu ni mwema🙏🏼
Deep matters
Okay 👍
Mimi niko na wa 4 kwa kweri bora wao wakose ila wahakikishe mambo yamekaa sawa
Kaka utaratibu wa kuhudhuria vipindi vyako ukoje?
Natamani sana nihudhurie
Ata mie
🙏
❤
✍️✍️☝️
Sas mimi sipati usingizi ni fanyeje?
Kak Nanauka habari za asubuh hata nashukuru Sana kwa masaada wako japo tafadhl sana nahitaj kupata namba Yako ya simu ambayo ipo Whatsapp kuna jambo linanisumbua sana aisee tuweze kuwasiliana tafadhl.