REV. DR. ELIONA KIMARO: ADABU ILIYOBEBA HATIMA 'SELF-DISCIPLINE'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ส.ค. 2023
- IBADA YA JUMAPILI (KUSIFU NA KUABUDU NA FUNGU LA KUMI) 06 AUGUST 2023
SOMO : "ADABU ILIYOBEBA HATIMA"
"LIFE DISCIPLINE"
Mithali 1 : 1 - 7
1 Mithali za Sulemani, mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli.
2 Kujua hekima na adabu; kutambua maneno ya ufahamu;
3 kufundishwa matendo ya busara, katika haki na hukumu na adili.
4 Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na hadhari;
5 mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu ayafikie mashauri yenye njia.
6 Kufahamu mithali na kitendawili, na maneno ya wenye hekima na mafumbo yao.
7 Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.
Mhubiri : Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053
Amen baba
Mungu azidi kukutia nguvu na kipawa Zaid baba mchungaji
Amen
Mungu naomba unijalie adabu kwenye maisha yangu 😢😢🙏🙏
Somo jema sana. Ubarikiwe Mtumishi ili uzidi kuigusa Mioyo ya Wengi. Ni somo tunahitaji kulisikia kila mara.
Mungu nijalie kiwango cha self discipline,kiwango cha financial discipline and economic discipline,amen
Barikiwa saana Baba Mch kwa Somo lako hili.
Hakika nimebariliwa saaana na ninaendelea kubarikiwa.
Kweli watu wengi tunaqngamia kwa kukosa Adabu.
Adabu Adabu Adabu Adabu.
Barikiwa saaana mtumishi WA Mungu.
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu. Asante kwa mafundisho mazuri leo nimejifunza mambo mengi sana. Nabarikiwa sana na mafundisho yako. Natoka Kenya.
Mungu akubariki sana baba Kwa huu ujumbe
Baraka zikufuate popote kwa kutengeneza maisha yetu
Amen Baba wanivusha sana afu pia umekua mwalimu wangu wa kingereza kila ninapo sikiliza mahubili yako najifunza pia kingereza hadi rahaa 😂 Ahsante sana Baba Mungu azidi kukupa Afya
❤❤❤❤❤❤❤ praise Jesus Christ of Nazareth
Thanks 👍 Dr
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki mtumishi kwa mafundisho mazuri
Thanks pastor kwa mafundisho
I will forever respect and love my dad pastor Eliona kimaro. May almight God continue keeping up your peace and happiness
Mungu tusaidie,Baba Mungu akuinue zaidi
Amina ubarikiwe 🙏🙏🙏
Ameni barikiwa na bwana
Powerful baba Mchungaji
Baba tumsifu yesu kristu baba kimaro. Unatutenga sna sisi tuliombali kwakutoposti mafundisho yako mazuri na ya miujiza kwetu mikubwa
Baba sijawahi pata mafundisho makali kama haya.Leo nimebadili mtazamo wangu.
Ameni Baba!!
000
Ameeen
Ameeen barikiwa 🙏
amina
🙏🙏🙏🙏🙏
Maisha ni adabu. Amen