JE, UNAJUA KWANINI VITU VYAKO VINAKWAMA?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 เม.ย. 2019
- SEMINA YA ''FAMILY DELIVERANCE'' MWANZA 15/03/2019 - 17/03/2019 KUTOKA HUDUMA YA REALITY OF CHRIST MINISTRY (Sinza Mori, mkabala na Ofisi za TAMWA) INAYOONGOZWA NA MTUMISHI SUNBELLA KYANDO.Kwa mawasiliano 0657 - 173322.
Faileur of my progress,,, marrige,, and busines,,, today am getting out of this trap in jesus name
I'm so blessed with this message, niombie Mtumishi wa Mungu nichomoke niende ng'ambo.Nimekataliwa mara mbili kwa embassy lakini ninaamini baada ya kusikia hili neno nitarudi na ushuhuda!!
Bwana Yesu tufungue kutoka kwa hii kifungo.Maisha yeti yamekwama kwa sababu ya minyororo....Bwana Yesu tumechoka tufungue kwa sababu wewe tu ndio unaweza!
Asante Roho mtakatifu kwa masomo haya.....Asante sana Yesu Asante Yesu kwa sababu ya mwanzo mpya!Asante kwa sababu tumefunguliwa
Amina nami nimefunguliwa piyaaa
Mtumishi nimekuelewa,Hawa akina shimei ni wengi Sana ktk maisha yetu.
Amina nimeguswa nimeliA MUNGU ANIVUSHE
Am from Kenya be blessed dad keep on preaching so that we delivered
Mimi naona huyu mtumishi ametumwa kwa ajili yangu. It's like he was talking about me! I thank God for him
Amina .... Neema ya Mungu izidi kuwa juu yako, mafundisho yako yanafunua.
Muhubiri sunbella, Mungu akubariki sana nimekua nikifuatilia jumbe zako na zimenifunza mengi i thank God for you am from kenya, thnks
Amen Amen ibelieve to b delivered from poverty,, and relationship,,
Asante baba leo nimejua maana halisi ya kufunguliwa..umetisha baba Kuna kitu nimefunguliwa ghafla..nikupate wapi nije nikushuhudie baba.
Amen daddy much love from Kenya 🇰🇪 🇰🇪
Barikiwa 🙏 sana mtumishi mungu akupe viwango vya juu zaidi.god bless you
Mungu, MUNGU, mungu
Niombee mchungaj yaan uliyoongea yananihusu..yote nilifunguliwa mpka kwenda mpk nchi za nje nimerud maisha yngu ypo vile vile hpo kwenye Jerusalem nimeelewa sanaa..Eeh YESU mwana wa Mungu naomba uniokoe ktk jina la YESU halie hai🙏🙏Am Blessed 👏👏
Ili somo ni la mwaka 2019 April kwangu nimelipata leo naomba mungu akanivushe, kwenye mipaka ya kazi mipaka kwenye biashara mipaka kwenye familia Mungu naomba univushe. Amina.
Amina Amina Amina Amina
Yesu nisaidie niweze kutoka mahari hapa sipakwangu, Ee Mungu wangu nisaidi peke yangu siwezi.
Shalom naomba mnitag mwendelezo wa hii
Dah ! Resistance ! This is so deep , its so deep to be comprehended. The limits . So insightful . This is my message . I have such stories and patterns.
Mungu wangu umeruhusu nisikilize ujumbe huu tena usiku. Nakuomba uingilie kati.Uondoe kila mpaka na ntakuja hapa kushuhudia.
Mungu anakutumia sana mtumishi na haya mafundisho yana pumzi ya uzima🙏
Babangu weee kanifungua macho kweli , barikiwa mtumishi wa Mungu....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ili somo nilangu kabisa pastor, Mungu naomba kuanzia leo nifungue
Loving your preaching from Kenya🙏. Am blessed
Amina Mungu namimi nifunguwe kwenye vifungo vyafamilia
Mtumishi Mungu akubariki sana. Yaan ninashindwa nikubariki kwa baraka ya aina gani ili moyo wangu uridhike. Wewe ni mwalimu mzuri sana.
Mtumishi wa Bwana niko Arusha nakukubaligi sana,,Nakuelewa sana
Kama kwenye familia yangu tumekamatwa na roho ya umaskini, naikataa kwa Jina la Yesu
Amen mtumishi, tunaomba upate kibali uje mbeya pia
Great service with a lot of message of deliverance and courage to pray in FAITH. Be blessed Mcungaji.
Amen mtumushi barikiwa sana
Amen....a powerful message
Shalom Baba MUNGU wako atukuzwa, Leo ktk Somo hili umenifungua kiroho.
Ubarikiwe mtumishi kwaujumbe mzuri naamin kupitia neno hili ,nitavuka tena kwakishindo.
Somo zuri sana,ubarikiwe sana mtu wa MUNGU, hayo yote unayosema ni kweli, nimelima shamba,tumemtafuta mteja,kesho tukavune ,Leo jioni wakaingia watu wakavuna,ni mzigo mkubwa sana,ni more than 9 million, tukalima tena,tukaibiwa na anaelinda shamba,nimejitaidi kumpeleka mchumba nyumbani, amerudi tu,mahusiano yakapungua,mara hanitambui,akaoa, sasa hivi nakaa kwenye relations, more than 3yrs mwisho nikauliza lini tunaishi, nikaambiwa bado my be after 2yrs .mtu wa MUNGU inaumiza.
Amin
Pole sana
@@renatusdeogratias2108 asante sana,
Ameeeeeeeeen, nabarikiwa toka Songea, mtumishi ubarikiwe na Bwana, navuka kiimani.
Amen pastor 🙏
Good message 👏at good time. Thankyou God am blessed
MUNGU akubariki Mtumish
Amen pastor, through this word let God bless me and change my life
Ameeeeeen pstr barikiwa sanaaaana ❤❤
Mungu wako awe Mungu wangu mzee!! Najisikiaga kwamba ninajaa kila ninaapo kuona nakukusikia!!
am blessed daddy.. mtumishi naomba uniombee nina miaka miwili sisave pesa mshara wote natuma kenya kwa wtt niombee
Mungu akubariki sana mchungaji for this message! Napenda sana mafundisho yako
Be blessed servant of God.
Be blessed so much MOG for the great revelation you have revealed the hidden secret, May God continue to use you mightly
praise God man of God, I am based in kenya, if someone want to talk to you how can I get your contact?
@@clementinenyoks8854 kunakuaga namba hapo ya watsap yke
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu umenifunza kitu Cha muhimu Sana, Nehema ya Bwana yesu ikutoshe.
Baba ubarikiwe mahubiri yako yananigusa sana ,,,,na huwa naingia kwenye mahusiano ,yanavunjika,,na sasa nimeongea kwenye ndoa,,napo nika unasuasua
Ur the best in teaching Man of Living God 🙏🙏 blessed.. though iam Shimel in Marriage n economic
Amen asante sana mchungaji kweli neno
Nabarikiwa Sana nawapata nikiwa Omani
MTUMISHI wa Mungu Uko vizuri sana Mungu Akubariki Sana
Mtumishi, Mungu aendelee kukubariki naomba namimi Mungu anikumbuke katika eneo la uchumi na afya yangu
Hakika Mungu atafanya
God bless you
Natamani sana kujua kanisa lipo wapi maana navutiwa sana na mafundisho yako mtumishi wa Mungu
Bwana yesu asifiwe naitwa aderina naomba maombi yako pasita nisaidie mafanikio yanguu sivuki na fanya biashara mitaji ina haribika madeni mengi baba nisaidie nipokagera mafungu ra kumi natoa kwa uaminifu
neno la Mungu liliko ndani yako linaponya moyo wangu
Asante sana mchungaji Naoba uniobee jia zangu zifunguke hayo yote umehubiri diyo hunitedekea niko Kenya
Neno hili ni funguo kweli Mungu atu vushe kabisa Mungu akuzidishiye baba
B blessed man of God more and more Grace 🙏🙏
am blessed this is my message
Nina barikiwa sana na mafundisho yako mpakwa mafuta wa bwana somo hili linanigusa sana
Nipo kwenye mpaka wa kiuchumi
God bless you .neno limenigusa sana hakika mungu anaenda kunifungua
Much Love from kenya
Mungu akikupa mkate na pia anakupa mbegu upande ili ubalikiwe
Amen Mtumishi, God bless you
So powerful,thank you Lord
Amen mtumishi ninakuelewa vizuri hajawahi tokea kuelewa
UBARIKIWE SANA MTUMISHI
Amen 🙏
Barikiwa mtumishi Mungu azidi kukuinua viwango na viwango
Nakuelewa Sana mtumishi...
Be blessed man of God
Amen and Amen!
Am blessed 🙏🙏🙏
Amen am blessed
God bless you 🙏 pastor 🙏
Nashukuru Mungu Kwa mafundisho haya kupitia mtumishi wake
Barikiwa Mchungaji ujumbe huu ni yenye ukweli akina Shimei ni wengi katika kazi na kwa jamii.
Nafwata somo hili toka DRC
Amen pastor God bless u
Kweli poster. Nimejikuta nalia, Mungu aniwezeshe kutoka katika hiyo mipaka
Baba MUNGU wako atukuzwa kila Leo, Hakika NENO hili limekuwa funguo kwangu , NGUVU za MUNGU zimenishikia hapa chumbani kwangu. Jina la Bwana YESU liimidiwe milele, aimen aimen.
Tunashukur kwa somo paster. Ila nahitaji msaada wako peke yangu siwezi. Nina matatizo pastor
Amen
Mtumishi Mungu akubariki sana kwa mafunuo hayo.
Amen mtumishi barikiwa sana
Amina
Ubarikiwe Sana mtu wa MUNGU
ameeen!
🙏🙏🙏
Asante Mtumishi wa Mungu
Barikiwa Sana mtumishi kuna mahali unanivusha
Nakusii ukiona sms iyi au ukiambiwa kuhusu sms iyi Mzee; basi utamke Ata Neno moja kwa uruma yako kwa sisi tulio watumishi na tunapenda kutumiwa kama ambavyo Mungu anavyo kutumia ata zaidi
Kweli Yesu Jina lako Limetukuka kuliko majina yote
Nimebarikiwa sana
Ubarikiwe sana mtumishi Neno la ukweli
Ameen
Mbalikiwe sana
Bwana asifiwe mtumishi wa mungu, nisaidie.
Ameni
Mungu nisaidie pls nakuomba kupitia maombii ayaaaa
Amen🙌🏿
Blessed