BOKASA: RAIS ALIYEKULA NYAMA ZA WATU, AKAACHA WAJANE 17, WATOTO 50..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • BOKASA: RAIS ALIYEKULA NYAMA ZA WATU, AKAACHA WAJANE 17, WATOTO 50..
    KARIBU utazame historia ya kiongozi, Jean Bedel Bokasa, aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kati aliyeweka rekodi ya kuacha wajane 17 na watoto 50..
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
    (+255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    HABARI MPYA DAILY:
    bit.ly/habarimpya
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    bit.ly/mikasa_y...
    GLOBAL RADIO TV:
    bit.ly/255globa...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    bit.ly/exclusiv...
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    Subscribe bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 163

  • @lilialilychiku2126
    @lilialilychiku2126 4 ปีที่แล้ว +14

    Napenda sana sauti yake ,je ww?mpe like

  • @zuwenaalamini4158
    @zuwenaalamini4158 5 ปีที่แล้ว +90

    Uko vzr Sana bro.ngonga like kama unamkubari mtangazaji👍

  • @rayanjoseck4458
    @rayanjoseck4458 4 ปีที่แล้ว +9

    Ukatili wowote wa Africa utapata ulianzia kwa mafunzo kutoka inchi za wazungu...asili ya Muafrika ni ukarimu na upendo,so sad hua twajisahu, Asante bro kwa historia nzuri...ubarikiwe

    • @naominyonyi5162
      @naominyonyi5162 4 ปีที่แล้ว

      Hiyo siyo kweli,watawala wengi waafrika walikuwa makatili toka enzi za mababu.kumbuka ukabaila.waafrika ni ving'ang'anizi wa madaraka sana.

    • @rayanjoseck4458
      @rayanjoseck4458 4 ปีที่แล้ว

      @@naominyonyi5162 zamani we divided into clans na heshima ilikua sana dhidi ya kila jamii, wazungu wakaona njia nzuri ya kututawala ni divide and rule strategy

  • @AbuodSeleman
    @AbuodSeleman 6 หลายเดือนก่อน +1

    documentary zako nzur sana

  • @marijanimpapai6705
    @marijanimpapai6705 4 ปีที่แล้ว +1

    Fantastic

  • @petroshalua4566
    @petroshalua4566 5 ปีที่แล้ว +9

    Mtangazaji uko vizur uko vizuri💥💥💥💥💥

  • @emmyemmycute6028
    @emmyemmycute6028 5 ปีที่แล้ว +15

    Unakuja km mtigwa alafu unakataa woow nice voice 👌😘

  • @ambiamash2194
    @ambiamash2194 5 ปีที่แล้ว +6

    Gud narrator gud voice

  • @lusajojacobkijyombo6383
    @lusajojacobkijyombo6383 5 ปีที่แล้ว +8

    Big up man

  • @givanwesonga6031
    @givanwesonga6031 4 ปีที่แล้ว

    I like narrator

  • @winfridamwamban1078
    @winfridamwamban1078 4 ปีที่แล้ว

    Hatariiiii

  • @lydiamuli3328
    @lydiamuli3328 5 ปีที่แล้ว +4

    Thanks for your history

  • @abdallahmgotto7474
    @abdallahmgotto7474 5 ปีที่แล้ว +6

    Uko vzur bro

  • @jingumwamwaazizi911
    @jingumwamwaazizi911 4 ปีที่แล้ว

    Safi

  • @vakweraphael6392
    @vakweraphael6392 5 ปีที่แล้ว +6

    Soo tremendous

  • @aliykibabe9033
    @aliykibabe9033 5 ปีที่แล้ว +15

    Kama mtiga vile daaaah wcb mungu anawaona

    • @zubedaseif2950
      @zubedaseif2950 5 ปีที่แล้ว

      Mungu anawaona vipi? Mbona diamond ashaandika instagram Mtiga Abdallah alikuwa ashalewa umaarufu. Hakuwa na nidhamu

    • @feisalbaruan7227
      @feisalbaruan7227 4 ปีที่แล้ว

      Nilijua mtiga

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 4 ปีที่แล้ว

      Yaani ili mtu aendelee lazima awe serious na kazi na yule chalii alikuwa analewa pombe na sifa vyote kwa wakati mmoja alaf anatangaza eti bila yy hakuna de story book

  • @seifhamisi208
    @seifhamisi208 5 ปีที่แล้ว +4

    Sasa naona kdg unaaza kusmulia vzr good sana

  • @rev.mosesgathuo2830
    @rev.mosesgathuo2830 5 ปีที่แล้ว +4

    Dunia duara jameni. Wah!!

  • @queensjuma1832
    @queensjuma1832 5 ปีที่แล้ว +21

    🤔mm nasoma comment tu💃💃💃

  • @Boaz22
    @Boaz22 5 ปีที่แล้ว +22

    Nchi gani?maana sijajua alikua kiongozi wa nch gani,.nimesikia central Africa..sasa nchi gani?

    • @shaabanochungo4624
      @shaabanochungo4624 5 ปีที่แล้ว +2

      Central Africa Republic

    • @mataamiry6720
      @mataamiry6720 5 ปีที่แล้ว +4

      We nae vp ndugu yangu kwani hujui kama kuna nchi inayoitwa afrika ya kati.mbona afrika kusini ipo

    • @jumashebby1666
      @jumashebby1666 5 ปีที่แล้ว +7

      Kwa kifupi hiyo nchi inaitwa R.C.A. kwa Kifaransa tamka (eer see aa) kirefu chake ni République dé Central L'Afrique, inatamkwa "Repablike de sentral Lafrike". Maana yake: Jamhuri ya nchi ya Afrika ya kati. Itazame ktk ramani ya bara la Afrika hapo katikati utaiona.

    • @Exorcist-1111
      @Exorcist-1111 5 ปีที่แล้ว +1

      Hauko pekee yako Mimi pia sijui

    • @anjelasaid6098
      @anjelasaid6098 5 ปีที่แล้ว

      Central Africa

  • @nickymark4841
    @nickymark4841 4 ปีที่แล้ว

    Ride It Ma Man You Can👊

  • @Kawishe
    @Kawishe 5 ปีที่แล้ว +8

    Ananias Edgar kafungua njia .Hana Mpinzani..nimepita mahali nimekuta wengi wamewekewa spika nje wanasikiliza simulizi hadhim msimuliaji Ananias Edgar.

  • @luganoesomu5301
    @luganoesomu5301 5 ปีที่แล้ว +9

    Kuanzia 1:56 hadi 2:04 aliepo kwenye video ni IDD Amin raisi dikteta wa Uganda na sio bokasa anaezungumziwa.

    • @lostkeykk
      @lostkeykk 5 ปีที่แล้ว

      Kweli

    • @lostkeykk
      @lostkeykk 5 ปีที่แล้ว

      Kosa kubwa hilo

    • @Qeek_Smart
      @Qeek_Smart 4 ปีที่แล้ว

      Bokasa ametangulia kwa mbele jaribu kuangalia tean

    • @Qeek_Smart
      @Qeek_Smart 4 ปีที่แล้ว

      Mbele ya idd Amin ndo bokasa

    • @luganoesomu5301
      @luganoesomu5301 4 ปีที่แล้ว

      @@Qeek_Smart good

  • @johnsonlenas8227
    @johnsonlenas8227 5 ปีที่แล้ว +17

    Story za edga tamu mpaka kwenye mabasi tunazikuta!

  • @allymapinda8804
    @allymapinda8804 5 ปีที่แล้ว +3

    Kwa nini mmebadilisha ile back ground music? ilikuwa inaendana vizuri sana na na hizi documentaries.

  • @kukamusa1947
    @kukamusa1947 5 ปีที่แล้ว +14

    Ufaransa imechaza na Afrika sana.... Lazima pia sisi tucheze nao.

  • @karimamir1998
    @karimamir1998 5 ปีที่แล้ว +7

    Mmepoteza wa muhimu sana sekta Ananias Edgar na Denis Mpagaze, haya bhana mi niliishahama kwa ajili hawa jamaa.

    • @mumewangu2937
      @mumewangu2937 5 ปีที่แล้ว +2

      kwel aseeh

    • @nkingwashadrack3411
      @nkingwashadrack3411 5 ปีที่แล้ว +1

      Hapa hamna tena Sauti gani hii sasa mrudisheni jamaaa.!!

    • @amandaseleman5444
      @amandaseleman5444 5 ปีที่แล้ว

      Karim Amir unajua Maana ya kuhama au unaropoka mbona bd upo na hao unaowataka kwan ulikuw unawalipa wewe??

    • @karimamir1998
      @karimamir1998 5 ปีที่แล้ว +2

      @@amandaseleman5444 hawa jamaa walivutia sana, saiv global tv hawana tofauti na amber rutty

    • @adenymwatebela5494
      @adenymwatebela5494 5 ปีที่แล้ว

      Angalia ujumbe unaopata sio sauti tu Mbona jamaa yuko poa

  • @mosesnjenga2767
    @mosesnjenga2767 5 ปีที่แล้ว +9

    'Bangui' unataamka 'Bangii'!

    • @samuelmaloba4939
      @samuelmaloba4939 4 ปีที่แล้ว

      Lakini si kiswahili neno latamkwa lilivoandikwa? KM video ni vi de o

  • @khadijaomar8427
    @khadijaomar8427 5 ปีที่แล้ว +3

    Dunia

  • @patrickpatson9671
    @patrickpatson9671 4 ปีที่แล้ว +1

    Je

  • @dottodossa2018
    @dottodossa2018 4 ปีที่แล้ว

    Braza nakukunalisana

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 5 ปีที่แล้ว +7

    hii sauti kama yule jamaa wa the story book au ninafananisha maana jina ndio silijui alikua anaitwa nan wa WCB aliyeondoka WCB

  • @kalkaalpharmacyclinic
    @kalkaalpharmacyclinic 5 ปีที่แล้ว +9

    wapi ananias edgar ????
    yeye ndie mambo yote

    • @lydiamuli3328
      @lydiamuli3328 5 ปีที่แล้ว

      Kila mtu na nafasi yake

    • @nasrabel3687
      @nasrabel3687 4 ปีที่แล้ว

      Huyo bokasa alikuwa mchawi tu, atakulaje nyama za watu?

  • @theChiral
    @theChiral 5 ปีที่แล้ว +4

    Ukiona jina au neno usilolijua vizuri , tafuta kujua matamshi yake. Ukiweza Hilo utakuwa umemaliza kila kitu.

  • @jeannettezawadi6307
    @jeannettezawadi6307 4 ปีที่แล้ว +1

    Les français vous là . Mupo hapa 🙂

  • @issabaharan9784
    @issabaharan9784 4 ปีที่แล้ว

    Evarst ndaishimie

  • @rajmkonje7149
    @rajmkonje7149 5 ปีที่แล้ว +1

    BOKASA amefanana na MBOWE sana sijui ni NDUGU

  • @adolphyamin1245
    @adolphyamin1245 4 ปีที่แล้ว +6

    Mtangazaji unataka kumuiga Ananias Edgar, ila unaongea haraka sana...

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 2 ปีที่แล้ว

    Alikuwa abasaidiwa hao wake xake

  • @yahabibiyahayatiyahayuni7339
    @yahabibiyahayatiyahayuni7339 4 ปีที่แล้ว +2

    hii story inavutia sana

  • @mosesnjenga2767
    @mosesnjenga2767 5 ปีที่แล้ว +6

    'Francois' hutamkwa kama 'Fransoa'!

    • @jumashebby1666
      @jumashebby1666 5 ปีที่แล้ว

      Sio Francois, ni François. Pale kwenye (C) unaweka ile ya Kifaransa (Ç) na haitamkwi Fransoa, Bali hutamkwa Franswaa.

  • @jacklinyalay1170
    @jacklinyalay1170 4 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭

  • @kondolukari1803
    @kondolukari1803 4 ปีที่แล้ว

    Je..nikweli alikua akila watu au nikatika kumpaka matope

  • @hadija846
    @hadija846 4 ปีที่แล้ว +1

    Hatari tupu❌

  • @goodluckymartin334
    @goodluckymartin334 5 ปีที่แล้ว +1

    Ananias edgaaà yuppooo wapiiiiii

  • @raiye5621
    @raiye5621 5 ปีที่แล้ว +5

    Duh hatari sana
    Dunia simama nishuke kkkkkk

  • @chogomniko727
    @chogomniko727 4 ปีที่แล้ว +1

    Eeehh

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 5 ปีที่แล้ว +4

    Wapi Ananiasi Edigar

  • @emmakifimbo8044
    @emmakifimbo8044 4 ปีที่แล้ว

    Bokasa wa Tanzania

  • @lugishoboy6280
    @lugishoboy6280 5 ปีที่แล้ว +5

    Mtiga ndo fundi jaman hawa wengine wanajalib tuh

    • @smktv9659
      @smktv9659 5 ปีที่แล้ว

      ananias edgar unamjua ww

    • @smktv9659
      @smktv9659 5 ปีที่แล้ว

      fanya tu una search ananias edgar alaf ckiliza saut ya dhahabu

    • @imbatokamoyoni2209
      @imbatokamoyoni2209 5 ปีที่แล้ว

      Kwani Stori tunasikiza sauti au kiini cha Stori??

    • @narymwamba7723
      @narymwamba7723 4 ปีที่แล้ว

      Wote wamemfuata jamaa anaitwa @ananias edger yy ndo Alie Anza global tv

  • @CetribeaBurundibwiza-tz5le
    @CetribeaBurundibwiza-tz5le 5 ปีที่แล้ว +5

    Beside him being dictator, he was a sellout too, kama Tundu lisu

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 ปีที่แล้ว

    Huku africa tuna viongozi takataka mdomana bara lipo gizani miaka yote hiyo 😡😡

  • @EnglishKona
    @EnglishKona 5 ปีที่แล้ว +5

    Duuuuuhhhh

  • @desdelnyamiti
    @desdelnyamiti 5 ปีที่แล้ว +2

    Naona mnamuiga Denis Mpagaze na Ananias Edgar, mshafeli

  • @jovithaalberto4906
    @jovithaalberto4906 4 ปีที่แล้ว

    Wanyab

  • @homoerectus4434
    @homoerectus4434 4 ปีที่แล้ว

    Kawasaki honda tuyota mitsubitche

  • @UNO-xt7we
    @UNO-xt7we 4 ปีที่แล้ว

    Sio mbaya Moto wa Mungu lazima upate nyama na kaburini anatiwa majiti uko Malaika wa Mungu wako bomba katika kutia majiti uko ndani kaburini MUNGU AKUENGEZE MAJITI UKO CHINI.

  • @tizosanga1813
    @tizosanga1813 4 ปีที่แล้ว

    Nasisi tuwatimue mijibwa koko yaende kwao

  • @shijaathanas1897
    @shijaathanas1897 4 ปีที่แล้ว +1

    Anania Edgar. Ni ndio mkali wa story sio ww unasoma kabisa

  • @ashashabani9178
    @ashashabani9178 5 ปีที่แล้ว +12

    Tunamtaka ananias edga

    • @nkingwashadrack3411
      @nkingwashadrack3411 5 ปีที่แล้ว

      Kweli kbsa tunamtaka jamaa..!

    • @saidgwimo8370
      @saidgwimo8370 5 ปีที่แล้ว

      Anani anaweza kwakweli

    • @saidiselemani7786
      @saidiselemani7786 5 ปีที่แล้ว +1

      @@nkingwashadrack3411 ediga kiboko

    • @lydiamuli3328
      @lydiamuli3328 5 ปีที่แล้ว

      Tafuta hii hadidhi by Ananias heading"BOKASA; RAISI MJINGA DUNIANI

  • @solomonandrew2038
    @solomonandrew2038 4 ปีที่แล้ว

    Kuna mahusiano gn na udikteta na sura mbaya

  • @abdulkibizo1446
    @abdulkibizo1446 4 ปีที่แล้ว

    Jumong

  • @markmwoshi213
    @markmwoshi213 5 ปีที่แล้ว +4

    Uko poa

  • @OmanOman-hr6cb
    @OmanOman-hr6cb 4 ปีที่แล้ว +2

    Uyu alikuwa Rais wa wap

    • @maryjohn8785
      @maryjohn8785 4 ปีที่แล้ว

      Oman Oman Africa ya kati capital city Bangui

    • @ayushjhay1979
      @ayushjhay1979 4 ปีที่แล้ว

      Uganda

  • @starlivingchannel845
    @starlivingchannel845 5 ปีที่แล้ว +3

    Unakuja kuja sasa piga kazi baba

  • @edwinedward3736
    @edwinedward3736 4 ปีที่แล้ว

    Rais mpuuzi uyu baadae c alikimbilia Ufaransa na akaishi maisha ya tabu xn na hela zake alizoweka Ufaransa wakamdhulumu

  • @joharijumajohari6417
    @joharijumajohari6417 5 ปีที่แล้ว +2

    duh

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 4 ปีที่แล้ว

    Hizo ni stori za kutengeneza wala hazina ukweli ni majungu tu

    • @jamesernest2668
      @jamesernest2668 4 ปีที่แล้ว

      Propagation ,what did he lack that he ate human flesh,

    • @munirahmed7753
      @munirahmed7753 4 ปีที่แล้ว

      @@jamesernest2668 can you eat a human flesh? You just try and see wat will happen my friend don't take politics propaganda

  • @juliasmadema6536
    @juliasmadema6536 4 ปีที่แล้ว

    Munge ariefaki juzi

  • @mosesnjenga2767
    @mosesnjenga2767 5 ปีที่แล้ว +3

    Hii hadithi imejaa uwongo kuliko ukweli,hizo stori za kukula watu ni hekaya na propaganda tu!

    • @mkenyahalisi9406
      @mkenyahalisi9406 5 ปีที่แล้ว

      Unajua aje bro

    • @Kabaka_II
      @Kabaka_II 4 ปีที่แล้ว

      Upo sawa...huwa zinatengenezwa ili kumuongezea mtu ubaya

    • @salmaalimusa547
      @salmaalimusa547 4 ปีที่แล้ว

      Kabisaa wazungu wanatulisha sumu nass tunaamini

  • @salimsalum7728
    @salimsalum7728 5 ปีที่แล้ว +5

    Mie kwangu naona kama propaganda za wazungu zidi ya watu weusi

  • @samsonmwanda8748
    @samsonmwanda8748 5 ปีที่แล้ว +11

    Aaaah uyu dawa yake ni mbunge wa iringa msigwa de great

    • @luluabel6850
      @luluabel6850 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂u made ma day

  • @fintaniferx9535
    @fintaniferx9535 4 ปีที่แล้ว

    Malaisi wengi wa Africa ni wauwaji

  • @adammjomba1554
    @adammjomba1554 4 ปีที่แล้ว

    Mzee Bokasa alikua mwehu kama Savimbi Na yeye alicha watoto Na wanawake kibao tatizo lako wanajisahau sans,

  • @hamisiramadhani8661
    @hamisiramadhani8661 4 ปีที่แล้ว

    Huu niuwongo idiamini pia tunaambiwa nae alikuwa anakulanyama zawatu

  • @janephilipo1156
    @janephilipo1156 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu so mtiga au nano

  • @ismailnamtuma1830
    @ismailnamtuma1830 4 ปีที่แล้ว

    nani mwengine aliyegundua kuwa huyu jamaa ni anasoma na kutafsir maandishi yanayopita chini hapo?

  • @makende82
    @makende82 5 ปีที่แล้ว +3

    walimuweka madarakani na wakamtoa madarakani

  • @jescamartin3820
    @jescamartin3820 5 ปีที่แล้ว +3

    Dunia inamambo jmn

  • @teddykaeni45
    @teddykaeni45 5 ปีที่แล้ว +2

    Du''',,anatishaaaa.

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 4 ปีที่แล้ว

    Na yy kafa nifikili kaluka

  • @allythabit5175
    @allythabit5175 5 ปีที่แล้ว +2

    Vingine nmekubar lakn kula nyamaa hiyo ya binadamu hapo sisi hapanaa

    • @amaschila5777
      @amaschila5777 5 ปีที่แล้ว

      Ally Thabit kawaid mbn me nakul

  • @obadianiwagila2704
    @obadianiwagila2704 4 ปีที่แล้ว

    Hiyo Nazi kutangaza ya ananis Edgar Nazi nyingi msibake fani

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 5 ปีที่แล้ว +2

    Tunarudi kwenye maandiko, utauwa na kuridhika ni faida kubwa

  • @mzeeahmadi8836
    @mzeeahmadi8836 4 ปีที่แล้ว

    duuh

  • @tommillia7816
    @tommillia7816 4 ปีที่แล้ว

    Lucky he escaped with his life n lived till his death..
    Am sure his extended family members are still very wealthy people ..

  • @sospeterkamala5481
    @sospeterkamala5481 5 ปีที่แล้ว +3

    Ananias hata mfanyaje hamumfikiii

  • @nancyandrew9273
    @nancyandrew9273 5 ปีที่แล้ว +6

    Mtinga ni wewe?

  • @heritier5119
    @heritier5119 4 ปีที่แล้ว

    Waafrika hawawezi kujiongoza

  • @gamirsomchand7130
    @gamirsomchand7130 4 ปีที่แล้ว

    Mtagazaji heri uimbe kuliko stori

  • @manenomdivenmbaga818
    @manenomdivenmbaga818 5 ปีที่แล้ว +4

    Sisi tunamtaka ananius edga

  • @rockychannel9193
    @rockychannel9193 4 ปีที่แล้ว

    Mafunzo ya kijeshi hayo. kuzoea kukula chochote for survival and you end up eating haman beings too

  • @frimasonidunia86
    @frimasonidunia86 4 ปีที่แล้ว

    jiungereo.uwebrioneyazaidi..+255762297199

  • @paschalmashimba3584
    @paschalmashimba3584 4 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji muongo huyu