HlSTORIA ..MJUE KIJANA ANAETENGEZA MILIONI 120 KWA MIEZI 3 ATOBOA SIRI NZITO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 89

  • @AronThomas-ws1sy
    @AronThomas-ws1sy ปีที่แล้ว +6

    Hongera sana na Mimi ni mkulima wa nyanya nipo mwanza unatumia mbegu gan

  • @PeterOchieng-di7my
    @PeterOchieng-di7my ปีที่แล้ว +6

    Mwezangu umeniongezea jitihada sana. Nyanya nyanyua nyanya nyanyasa.

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 ปีที่แล้ว +3

    Nyanya nyanyua congratulations 👏 brother mungu Aibariki sana kaziyako

  • @abbycherop4138
    @abbycherop4138 ปีที่แล้ว +4

    Nice congratulations ,🇰🇪

  • @sylviacornely4688
    @sylviacornely4688 ปีที่แล้ว +2

    uko vzr kaka, unajiamini sana, endelea Ivo ivo, Mungu yupo nawe

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 ปีที่แล้ว +3

    Tupe no. Your very special and blessed ulijua kushika fusa umejitahidi kijana lakini umejitahidi MUNGU Amekusaidia amelipa Nguvu.

    • @daudbulba9153
      @daudbulba9153 ปีที่แล้ว

      Kaka naomba namba yako mimi nalima ila sio kisasa kama wewe

  • @chillypips-yq6vh
    @chillypips-yq6vh ปีที่แล้ว +6

    Emanuel aliwekeza kupata knowledge first be careful 📌📌📌

  • @stanleyevanda797
    @stanleyevanda797 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana brow

  • @RazaliaHamandi-jy7fh
    @RazaliaHamandi-jy7fh ปีที่แล้ว +2

    Hongera Sana kaka nimejifunza hyse

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 ปีที่แล้ว +10

    Hey mtangazaji samahani kwenye swala la kipato anachopata maana usijetusababishia hao TRA kamatabkamatabwakaanza kuvamia kukamata wakulima kulipa KODI

  • @user-hp1xe4tf4p
    @user-hp1xe4tf4p 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kakaang kweli upo na Akili sana umeniamasisha sana kwa kilimo cha nyanya

  • @MudiMsangi-kk4ed
    @MudiMsangi-kk4ed ปีที่แล้ว +2

    Aloooo Braza umenikosha sana , nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewe😂😂😂😁

  • @fredrickandrew798
    @fredrickandrew798 ปีที่แล้ว +4

    Congratulations/ hongera sana nakutakia kila la kheri, watu kama hawa waachwe wa thrive ili waajiri watanzania wengi zaidi. Lakini utakuta watu wa kodi za ndani wataanza kukupigia hesabu za kodi ya mapato. Please let us work hard, fursa kwenye Kilimo ni dhahiri tuwatie moyo wajasiriamali kama hawa.

  • @user-ew4io7vp1k
    @user-ew4io7vp1k 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kaka,naomba nije kujifunza

  • @apolinamushi23
    @apolinamushi23 ปีที่แล้ว

    Knowledge is power 🤝 hongera Sana bro

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Kaka?kilimo sio kutu cha sjabu.ila watu wskisha soma huona Kilimo ni kazi ya chini haiwahudu wao.lkn wanahitajia Kula vizuri!

  • @revinmlay5031
    @revinmlay5031 2 หลายเดือนก่อน

    Big up brother,👍

  • @ezekielenock4650
    @ezekielenock4650 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera sanaaa na mimi natamani kulima nyanya mkuranga vipi hali ya hewa inaruhusu kweli?

  • @christianmwasakogo5579
    @christianmwasakogo5579 ปีที่แล้ว +1

    ❤ hongera sana

  • @josiahkulwa5318
    @josiahkulwa5318 ปีที่แล้ว +2

    Great 👍

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji Asante Sana kwa namba ila nahi namba ya mkulima.

  • @mwaisunilaizer8438
    @mwaisunilaizer8438 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana ndugu

  • @kamanda007
    @kamanda007 ปีที่แล้ว

    Bongo fursa kila kona, hongera kwa kuonyesha njia

  • @albertalistides5428
    @albertalistides5428 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana Bro. Mimi mwenyewe nalima nyanya, ila nimepata funzo fulani kwako. hasa hilo la kufeli mara ya kwanza ukaamua kuchukua kozi fupi kutoka SUA.

  • @user-il7dy5ug2m
    @user-il7dy5ug2m 11 หลายเดือนก่อน

    Hongela😊

  • @Mwalimdan8494
    @Mwalimdan8494 ปีที่แล้ว +2

    …that’s the point, kilimo ni biashara wa sio cha walifeli kimaisha ka tunavyo fikilia🇹🇿🇰🇪

  • @NeemaSanga-tu1gk
    @NeemaSanga-tu1gk ปีที่แล้ว

    Safi sana kaka umekua mfano kwa wengi

  • @MariaMroso-eo2wt
    @MariaMroso-eo2wt 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana

  • @alphakissendi4585
    @alphakissendi4585 ปีที่แล้ว +3

    Na mbegu anayolima ni Dhahabu F1

  • @PauloMsando
    @PauloMsando 3 หลายเดือนก่อน

    Nice connection

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 หลายเดือนก่อน

    Waogo sanaaaaaa

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera

  • @user-ds5tu6xy2v
    @user-ds5tu6xy2v ปีที่แล้ว

    kaka hongera sana, nimepata ujuzi zaid ya niliokuwa nao, Mungu azidi kukubariki, na pia vijana tujifunze kutoka kwa kaka yetu aliyejiajiri yeye kama yeye kupitia kilimo bora.
    "Nyaya nyanyua, nyanya nyanyasa"

  • @sylivanomwanossa8213
    @sylivanomwanossa8213 3 หลายเดือนก่อน

    safi sanaa

  • @agapejosceline8262
    @agapejosceline8262 ปีที่แล้ว +2

    Congrarulation .
    Kazi njema na hongera sana.
    Short courzi ya kilimo ina patika wapi? Na tamani kui soma pia

    • @allyhuyu1892
      @allyhuyu1892 ปีที่แล้ว +1

      rudia kuisikiliza tena utajua tu

  • @nyanchokachacha9954
    @nyanchokachacha9954 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana Kijana.

  • @gervas58
    @gervas58 หลายเดือนก่อน

    Kweli mm ni mtaalamu hiyo kauli ni kweli

  • @happylemboto9103
    @happylemboto9103 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @allandavid752
    @allandavid752 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa sijamuelewa alipata hela akalima heka tisa akapata milion 70 halafu akaongeza heka moja.. why alitoka kwenye heka mbili akarukia tisa kutoka kwenye tisa kaongeza moja tu

    • @alphoncepeter6765
      @alphoncepeter6765 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kuna vitu anaongea simwelew kwanza haelezei vizuri kuhusu mtaj wake its seems ana mtu behind the scene anaeisimamia shoo nzima ukute hata kusoma aliyempeleka ni huyo mtu

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 8 วันที่ผ่านมา

      @@alphoncepeter6765😂😂😂😂 watu bwana wanatupiga kamba sana

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 8 วันที่ผ่านมา

      watu wanatupiga kamba sana 😂😂

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 ปีที่แล้ว

    Maono Alipewa na Mungu akayaatamia na kujitia Nguvu

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nyanya nyanyua nyanya nyanyasa 😂

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba no simu emmanual kwa ushauri kilimo

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 ปีที่แล้ว +2

    Zake

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ ปีที่แล้ว +6

    Nilichojifunza hapa kabla hujafanya lolote lazima uwe na Elimu na hilo jambo

  • @zainabumahenge2048
    @zainabumahenge2048 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana kwa kuwa mkulima umetupa hamasa

  • @idrisamngagi284
    @idrisamngagi284 ปีที่แล้ว +1

    Muandishi km magu

  • @Jackylmariam-qy6qe
    @Jackylmariam-qy6qe ปีที่แล้ว +1

    Hii ni interview Bora za wakulima wote walioojiwa inamotivate

  • @realskywalker4509
    @realskywalker4509 7 หลายเดือนก่อน

    heka moja kreti 200 ni ndogo sana... heka moja mazao madogo kreti 600

  • @MasoudHamad-dx9mt
    @MasoudHamad-dx9mt หลายเดือนก่อน

    Nahitaji kujifunza kilimo zaidi

  • @PartSany-xe7ls
    @PartSany-xe7ls 10 หลายเดือนก่อน

    Namba zake pls

  • @Trey2k365days
    @Trey2k365days ปีที่แล้ว +2

    Iga ufe😂

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 8 วันที่ผ่านมา +1

      jamaa mjanja mjanja 😂😂😂

    • @Trey2k365days
      @Trey2k365days 8 วันที่ผ่านมา

      @@Leeeeeeee-96 nasemaje iga ufe 😂😂😂😂😂

  • @PartSany-xe7ls
    @PartSany-xe7ls 10 หลายเดือนก่อน

    Naombeni namba za huyo mbaba ili anifundishe vizur

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwandishi anaambiwa anauliza tena

  • @EsterManka
    @EsterManka 10 หลายเดือนก่อน

    🙌🏻🙌🏻

  • @AsanterabiNkya
    @AsanterabiNkya 9 หลายเดือนก่อน

  • @user-ft8vo2tl2b
    @user-ft8vo2tl2b 8 หลายเดือนก่อน

    Wakulima wenzangu tunaolima nyanya tusikate tamaa kwa garama ya uwekezaji wake hizo niporojo tu tupambane tu

  • @user-iz7gj6oc2u
    @user-iz7gj6oc2u 3 หลายเดือนก่อน

    naomb namba ya mawasiliano

  • @hosianaminja7034
    @hosianaminja7034 5 หลายเดือนก่อน

    Kantangaze akiingia chambani ukishindwa kumtoa utajua hujui kilimo utakiona kigumu

  • @user-rm3lp9hi1n
    @user-rm3lp9hi1n 9 หลายเดือนก่อน

    Uvumi muache jamani wakulima wasijekuvamiwa na TRA

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 8 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk ปีที่แล้ว

    Iga ufe 😂😂😂

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 8 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

  • @user-nt6zo4no5l
    @user-nt6zo4no5l 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi, nilijalibu, kulima, nikanyanganywa, mashine, ya, kuvutia, maji, na, mkuu, wa, wilaya, aliniludisha, nyuma,. roho, inauma,. Sintosahau, maishani, mwangu

    • @BeatusNgereza
      @BeatusNgereza 24 วันที่ผ่านมา

      Kwanini mkuu wa wilaya alikunyanganya

  • @zuhurasaidi7390
    @zuhurasaidi7390 10 หลายเดือนก่อน

    Tupe namba yako

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 ปีที่แล้ว

    kila kitu kina maana ukikitumia vzr hata degree watu wanafanya mambo makubwa sana! ni wewe tu na akili yako!!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 ปีที่แล้ว +2

    Kwani wewe nani kombo kama sikuelewi

    • @anithapaulo6470
      @anithapaulo6470 ปีที่แล้ว

      Mimi naomba namba ya huyo kijana anielekeze vizuri

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 8 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 ปีที่แล้ว +2

    Short course tu ndo imemunyanyua, hayo madegree miaka 3 au 4 wastage of time!

    • @EugenAssenga
      @EugenAssenga ปีที่แล้ว +1

      Kweli elimu inatuset pabaya sana

    • @EugenAssenga
      @EugenAssenga ปีที่แล้ว +1

      Atufundishwi kupamban na mtaa

    • @seifkulwa3346
      @seifkulwa3346 ปีที่แล้ว

      Inatufanya vilema wa akili, na mwisho hakuna ajira

    • @chriskuboja4234
      @chriskuboja4234 ปีที่แล้ว

      Hiyo short course amefundishwa na nani?

    • @daudmasawe4459
      @daudmasawe4459 ปีที่แล้ว

      Ndugu naomba nisaidie namba ya kupat wot pamp ya nch 8 au kum ntapat wapi na mipir yake

  • @user-mg2jv2cx5d
    @user-mg2jv2cx5d 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba nipatie namba mimi ejo.e.mbwamb