THE CLASSIC MKANDAMIZAJI PT 1:KUJA MJINI NA NDOTO ZA KUA RAPPER/BYSER ALINIPA HASIRA/NILIFELI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ธ.ค. 2023
  • Masanja Mkandamizaji ni muigizaji na mchekeshaji mwenye mafanikio makubwa,alikuja mjini akiwa na ndoto za kua rapper mkubwa na kufanikiwa,lakini safari yake ilikua na mambo mengi na mwishoe kuwa muigizaji,nni kilitokea?hii ndio hadithi yake

ความคิดเห็น • 24

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 7 หลายเดือนก่อน +5

    Arudi tena jamani he is so amaizing💥💥💥💥

  • @user-ti7nf4jc8g
    @user-ti7nf4jc8g 3 หลายเดือนก่อน

    Masanja nakupa big up sana unaongea kweli wa maisha yako toka

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 7 หลายเดือนก่อน +4

    Leo mmenifurisha mnoooo,,,mapicha picha hakuna kabisa

  • @mosesoballaonlinetv2579
    @mosesoballaonlinetv2579 7 หลายเดือนก่อน +3

    Dah! Ila Masanja eti pigo la mwisho la Getril dah nmecheka sana😅😅😅

  • @rahimchardluck
    @rahimchardluck 7 หลายเดือนก่อน +4

    hii interview nzuri jamani....watu wako jamaica 😀😀😀😀😀😀 nimependa jamaa anaongea yeye yani hii sasa ndio interview..mwamba tangia kakaribishwa anafunguka mpaka mwisho yani iko bieeeee

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 7 หลายเดือนก่อน +1

    2008 alikuwa tayari star na ze comedy ilikuepo tayari unaongelea 2003 huko

  • @malickkasuga4805
    @malickkasuga4805 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe Jabil ndoulinibania BSS 2005 Bilcanas

  • @zenahussein2242
    @zenahussein2242 7 หลายเดือนก่อน +3

    Atakuua huyo na mikono yake huyoo 😂😂😂

  • @chambertalkshow9437
    @chambertalkshow9437 7 หลายเดือนก่อน

    Noma sana 😅

  • @a-zproduction8143
    @a-zproduction8143 5 หลายเดือนก่อน

    Amazing sana ila please Kuvi boresha sound system please 🙏

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  5 หลายเดือนก่อน

      Ok ndugu japo naona iko fresh lakini tutafanyia kazi maoni ndugu

    • @a-zproduction8143
      @a-zproduction8143 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@KuviFacts ndio ifanyie kazi maana inasound kama umerecord sauti Ina noise halafu uichuje kwa kutumia Adobe Audition Sasa Kuna namna itasound kama Ivo Sasa Kaka lkn bonge la kipindi Mzee keep it up Bro.❤

  • @dinyoabeli9028
    @dinyoabeli9028 7 หลายเดือนก่อน

    Mwendelezo plz

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock3530 7 หลายเดือนก่อน

    Masanja kanichekesha sn, Yani kipindi kimekuwa kifupi, umenikumbusha dar West tabata,

  • @stuartikonko1941
    @stuartikonko1941 7 หลายเดือนก่อน

    Cyo 2008 kala katoka bss ya Kwanza ilikuwa 2006 kwo itakuwa nyuma ya mwaka huo

  • @AfricanAlphaBeats
    @AfricanAlphaBeats 5 หลายเดือนก่อน

    Sound mbov

  • @abednego3876
    @abednego3876 7 หลายเดือนก่อน

    Mpo kwenye pipa au drum
    😅

  • @selemanimsangi7805
    @selemanimsangi7805 7 หลายเดือนก่อน +6

    Daah! Mbona fupi sana pia nilitaka kujua ile ngoma ya nakataa Ugali kwanini hakutoa video,pia kuna ile nyingine inaitwa Wadogo zangu aliwashirikisha Joti na Mpoki

    • @malickkasuga4805
      @malickkasuga4805 7 หลายเดือนก่อน +3

      Hii ni part 1 part 2 ishapanda itafutee

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 7 หลายเดือนก่อน

      Masanja umetisha

  • @samirmswahili
    @samirmswahili 7 หลายเดือนก่อน

    Kuvichaka

  • @immabahatiimmabahati2373
    @immabahatiimmabahati2373 6 หลายเดือนก่อน

    Rudi tena

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc9156 7 หลายเดือนก่อน

    ✊🏿👮🏿‍♂️

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Arudi tena jamani he is so amaizing💥💥💥💥