Tujadiliane Tanzania na Zitto Kabwe

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • TUJADILIANE TANZANIA
    2018
    Karibu katika sehemu ya nne ya kipindi cha Tujadiliane, ambapo hii leo tume mualika Mbunge wa jimbo la Kigoma mjini na Kiongozi wa chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe.
    Kipindi hiki kina andaliwa na vituo vya Radio vyenye masikani yake katika mkoa wa Mwanza (Radio Free Africa, Radio SAUT Fm, Kiss Fm, Metro FM, Mkombozi Fm, Radio Afya, Kwa Neema Fm, Living water Fm, HHC Alive, Sengerema Fm, City Fm, Iqra Fm, Mwananchi, Habari leo, Daily News, Star Tv) kwaku shirikiana na Umoja wa klabu za waandishi wa habari Tanzania (UTPC).
    Waandaji: Vyombo vya habari kutoka Mkoa wa Mwanza na UTPC
    Walio rekodi: Power of media production
    Maneno Muhimu: ACT- Wazalendo, Bunge, jimbo, Upinzania, Azimio la Tabora, Azimio la Arusha, Miiko ya uongozi, Utawala bora, Wakulima, Ilani ya chama,Kigoma, Mipango miji, Michikichi, Tujadiliane, Waziri, Tanzania, Tamisemi, Miundombinu, Wanafunzi, OGP, Ujiji, Reli, Ujenzi wa miundo mbinu, Mimba kwa wanafunzi, Ujenzi wa miundo mambweni, Zahanati, Mikopo, Milioni hamsini kila kijiji, Waziri Mkuu, Ofisi ya rais, Baraza la mawaziri, Halimashauri, Fedha, Elimu, Elimu bure.
    #utpc2017
    #tujadilianetanzania
    #tujadiliane

ความคิดเห็น • 112