Tambwee nakukubali kaka mkubwa sema somo yangu fa dah c mchezo hicho ni kichwa kimejaa madini nimejifunza mengi kupitia mziki wake na interview zake salute
Nice show brother LilyOmmy nikikosa kucheki kipindi chako Dah nitaumwa good job bro your my role model katika tasnia ya utangazaji. Heshima kwa Mwana FA majibu yake yako mia mia
Ana akiri sana jamaa uyu iii ni aya nimemkubari mungu kafundisha kupitia mtume muombe dua utajiri uwe wa kheri kwkua kupata mtihani kukosa mtihani pia dua muhimu
Kama kuna mafanikio kupitia kiki nanyi muige wasanii wengi wa zamani mmefeli kutojiongeza muziki kama mpira unaanzwa kuchezwa nje ya uwanja kiki zinafanya mashabiki wakae atension
Tambwee nakukubali kaka mkubwa sema somo yangu fa dah c mchezo hicho ni kichwa kimejaa madini nimejifunza mengi kupitia mziki wake na interview zake salute
much respect to this guy!True bongo flava legend!
Nice show brother LilyOmmy nikikosa kucheki kipindi chako Dah nitaumwa good job bro your my role model katika tasnia ya utangazaji. Heshima kwa Mwana FA majibu yake yako mia mia
Mwana Fa we ni Gwiji kwenye mziki, mashairi yako yananipa faraja katika maisha yangu.Big up broo unaweza saana tuu.
Asee Mwana FA siku ukiacha mziki nashabikia hata maisha na mawazo yako tu 😂😂😂😂😂😂
LEGEND BRO MWANA AF
Hivi Mwana FA Ulijifunza wApi Kuongea Point Kwa Mda Mrefuu
Role model Tambwe doing what he does best...Big up best Entertainment Presenter....Nice to see Mr Lil Ommy!
Nairobi, Kenya.
Engel Stan Pamoja sana
Kwel we ni mwanafalisafa
Ana akiri sana jamaa uyu iii ni aya nimemkubari mungu kafundisha kupitia mtume muombe dua utajiri uwe wa kheri kwkua kupata mtihani kukosa mtihani pia dua muhimu
Lilommy muhoji na Jaymoo. Mo techniques
Mwana FA is one of the conscious hiphop artist in Tz, he is so real! No wonder he became an MP.
Now ths my fav artist since back in the day Mfalsafaa FA! #Gangsters don't dance they..... 👻👻👻👻👻
from 254 always tuned in
Nakupata Lil ommy I real like kipind chako cha Playlist
Malawi tunakusikiliza saaana
Noma sana wajina
Nakukubali sana mwana
Lily ur Good presenter in tz never seen before lengend anajibu kwa Busara sana
Mwana fa fundi sanaaaa
Binamuuuuuuuu...nakukubali sana
Karibu darasani#mwana fa ndo professor wangu
mi ni subdcriber wa show, nice stuff brother
saanaa mzaz liliommy nice
Fa the best
Tambwe nakupata kutoka Germany 🇩🇪 big up Brother
ADAM KATET 👊👊👊
LilOmmyTV ONE ☝️ LOVE BROTHER
Huwez kuchoka ukiwa unaskiliza Fa anachokiongea salute braza Hamiss 😂😂 mwenye falsafa yako...
Safi sana Quality kali , Big Show
Nawakubari sana majembe
nice interview
Wadau leo ni tarehe 27/01/2020 naomba mnijuze hii beat ya back ground ni wimbo gani?
daaa hii kali sana broo saloot sana
Tanga boy my broo unabusaraa saanaaa
the playlist ndoo kipindi changu boraa
Nakubali kk yke makwilo
Naenjoy show zako sana Lil, go hard. Much respect from Rwanda
Kigwisi Mulindwa Clemo Pamoja sana 🙏 sema inabidi nije uko one day
Karibu sana mkuu
Lily Omy rudisha hadhi hizi, jisikilize Sasa na jisikilize nyakati hizi, ukitaka utaelewa!!
👌👍👍👍👊👊
March/19 favourite interview all time Yote sababu ya Binamu Falsafa Aksntee NyingNying Zikufikie Tambweeeeeeeee
Tambwe all the way from Toronto 🇨🇦 we get u broo ur afternoon show is 🔥🔥🔥🔥
said muhine appreciate that... 1 luv 👊👊👊
LilOmmyTV love it
Nakupata Vilivyo bro nipo Accra
Basaga Bernad Pamoja sana
Omary Tambwe nakukubali sana
Pamoja sana
Naishi New York nafuatilia kipindi chako mungu aendelee kukuzidishia more blessings my big brother. I wish I can meet one day
kulwa ngatigwa pamoja
Lil ommy inteview zako azichochi daah sijuwi itakuwaje kwenye wcb
safi sana
Big up falsafa....shout out to Lil Ommy...All the way frm Kenya I like ur show. Napenda venye unachambua ngoma mstari baada ya mistari
iko poa
Mbona umechelewa kuipandisha youtube hii ommy
Ndefu sana ilibidi tuikate mara 2, so Part 2 inakuja.
LilOmmyTV pa1 man nimekusoma..
Ni mfano wa kuigwa anaeleza maisha halisi alikotoka.il ike it
Yaani wewe ndugu yangu una akili sana mungu akulinde sana unaufahamu kweli mungu akuliwezeshe
faaaalsafa
Binamu mzee wa busara
Hiki kichwa kingne kabsaaa, Interview zake darasa tosha, hutamani neno hata moja likupite
Huyu kijana ni mwingi wa busara kweli
Killing bro Fa is fire
Vizuli juu ya vizuli (fa)
Nice uploading friend thanks for watching my livestream
Respect FA
Kila neno la FA ni kitabu cha mafundisho ya maisha
254pamoja sana bro. Interview.dem!
broo uko vizuri sana intervew ilikuwa nzuri sana nimeipenda kiukweliii
FA apewe Heshima zake_KING
Tambwe!!? Jina ya asili yangu, ya kbmb
Tambwe
pamoja sana mzaz👊👊
Uko sawa Sanaa lakini upande man u maumivu unayo
24/12/2019
Gwiji
Kama kuna mafanikio kupitia kiki nanyi muige wasanii wengi wa zamani mmefeli kutojiongeza muziki kama mpira unaanzwa kuchezwa nje ya uwanja kiki zinafanya mashabiki wakae atension
Maisha ya binamu hayana utofauti na mm
Hamis long time una nikumbusha mbali sana sometimes hua nskumbuka hom boy nakimbuka wakati niko na mamu daa poa lakini one day
Mwana f a fund nakbar Kama unaamn hro qonqa rike aenjoy mwamba
Nasubiri sn interview ya #Jumajux
#lilommy
Critical thinker
Apo kwenye investment kaongeaa ukwelkunakutik na kukataa
P
Wewe Presenter hatari sana. Unajua kuhoji sana maswali.
Chezea fa wewe daaa tisha mbaya hawa ndio wanamuziki
FA unafaa upige collbo na Roma
𝐅 𝐀... 𝐌𝐩
Tambwe najua kuwa the best song to you ni mfalme ujakosea broo ni bonge la ngoma....
naitafuta nyimbo yako inayoitwa wakati umelala
G