Mwana FA | Tulikaa Mahakamani Miaka 7 | Nililipwa Bilioni 2.5 |Sina Hata Shilingi 10 |Bado Nipo Nipo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 60

  • @MYODMEDIAGROUP
    @MYODMEDIAGROUP  7 หลายเดือนก่อน

    Help us hit a likes record! Tap like, press subscribe, comment your opinion or questions and let's make internet history together. Ready, set, go!

    • @kliktv1533
      @kliktv1533 7 หลายเดือนก่อน

      Tumieni KISWAHILI SABABU HATA HICHO KINGEREZA CHENYEWE HAMJUI,MNABOA

    • @AlvinKhim-lc1jo
      @AlvinKhim-lc1jo 7 หลายเดือนก่อน

      Mnazingua ongeeni kiswahili apa tuko bongo😂

  • @MorisEzekiel
    @MorisEzekiel 6 หลายเดือนก่อน

    Kingereza king mkiongea kiswahil hamtaeleweka

  • @mwananganzi
    @mwananganzi 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mh.Waziri Hamisi Mwinjuma naomba nisaidie mtaji wa biashara. Mungu atakulipa.

  • @SamuelKing-d1p
    @SamuelKing-d1p 7 หลายเดือนก่อน +5

    Acheni kutumia kingereza sana tuna mengi ya kujifunza ambayo tunatakiwa tusikie kwa kwa kiswahili

    • @dianalintu5644
      @dianalintu5644 7 หลายเดือนก่อน

      wanazingua sana

    • @mussamussa9446
      @mussamussa9446 7 หลายเดือนก่อน +1

      huelewi! tafuta Chanel za Kiswahili

    • @SamuelKing-d1p
      @SamuelKing-d1p 7 หลายเดือนก่อน

      @@mussamussa9446 u don't know what you say bro, Wacha kukurupuka kureply comment usizoelewa

  • @nickalreadyknows
    @nickalreadyknows 7 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana hii ndio sababu ya ku stack na sub 300 na itakuwa kazi sana + jina gumu la ki online media uchwara Uppuz 🚮

    • @big252
      @big252 6 หลายเดือนก่อน

      Huwezi elewa kama shule hukupata atleast D mbili

  • @mpondaambrose2231
    @mpondaambrose2231 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona wingerezani sasa wanatafuta like kwa Mswahili

  • @timoliiisaya3824
    @timoliiisaya3824 7 หลายเดือนก่อน

    Hamfik popote hii channel

  • @abdulkalinga599
    @abdulkalinga599 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kiswahili muhimu hicho kingereza chenu mnazingu pod cast zipo nyingi tutawatema

    • @rynesawaya7043
      @rynesawaya7043 7 หลายเดือนก่อน +1

      Back to school 😂😂😂

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 6 หลายเดือนก่อน

      Madhara ya kukimbia shule

  • @mohamedihatibu3524
    @mohamedihatibu3524 7 หลายเดือนก่อน

    Muheza unajivunia Mh.Hamisi Mwinjuma

  • @malimanyanja562
    @malimanyanja562 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ayo maojino mmerenga wazungu au watanzania

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน +1

      Labda wazungu 😂😂😂😂😂 watumwa mpaka kwenye lugha 😅😅😅😅😅😅

  • @THELITLAB-sy5by
    @THELITLAB-sy5by 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nzuri, inafundisha, ila ni nani walengwa haswa, si ni sisi waswahili, nadhani English sio tatito ila ingekua ni hapa na pale tu, walengwa wengi watashindwa kupata walichokusidiwa, shout ot kwa Mh. waziri amejitahidi kuplay safe kubalance..

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 7 หลายเดือนก่อน

      Ndiyo sababu video ina 2weeks na viewers wengi lakini comment chache...
      Jamaa hawajafanikiwa kabisa katika hili

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 7 หลายเดือนก่อน

      Hata hivyo kinge kinamsumbua

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 7 หลายเดือนก่อน

      pia Dunia ya leo sio ya kujifungia kwa kiswahili

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 7 หลายเดือนก่อน

      @@kwisa4899 brother moja ya factor ya kwanza katika kuuza bidhaa ni kutambua soko lako...
      Nakupatia hiyo bure kabisa utanishukuru baadaye

    • @ibrahimabdallah4858
      @ibrahimabdallah4858 7 หลายเดือนก่อน

      Na. Kasoma wingereza unajua unachokisemaaa​@@kwisa4899

  • @innocentsheghembe
    @innocentsheghembe 7 หลายเดือนก่อน +1

    Muongee kiswahili bn.... kama mnaaanza na kingereza show nzima iwe kingereza..... tusupport lugha yetu😢... mbn mwana FA kaongea kiswahili.... au mnadhan hajasoma

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ushamba wanajikomba kwa mwingereza wakati hana mpango na sisi tujivunie lugha yetu

  • @AbdalaBlackford
    @AbdalaBlackford 7 หลายเดือนก่อน +1

    Punguzeni uzungu waandishi🚶

  • @KideArowo-zb7vv
    @KideArowo-zb7vv 6 หลายเดือนก่อน

    Bado utangazaji dogo uwezo wako ni mdogo unahitaji kujifunza zaidi

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 7 หลายเดือนก่อน

    Hapa ishu kiinglishi tu🙋🏾‍♂️

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 7 หลายเดือนก่อน

    It's better to use swahili languange because not all audience understand English languange.

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 7 หลายเดือนก่อน +6

    Why not using swahili

    • @cathreenmbawala7528
      @cathreenmbawala7528 7 หลายเดือนก่อน

      Surely

    • @mnyampaa_kisasa
      @mnyampaa_kisasa 7 หลายเดือนก่อน

      Mshamba sana asa mwana FA kaongea kiswahili yy kingereza wakati anaweza kuweka subtitle chini ya kiswahili 😢😢

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 7 หลายเดือนก่อน

      Si lazima

    • @babyakasha4002
      @babyakasha4002 7 หลายเดือนก่อน

      daaah wabongo bana kwaiyo mtu akiongea kingereza akichanganya na kiswahili ni mshamba analinga😅😅😂😂 hizo 2 ni lugha za taifa jamani, wakati wenzenu wanaenda shule nyinyi mnasaidia kuuza visheti. Jutieni kuboreka kwenu na kingereza sio Mwana FA😅

    • @hilmaxengineering4922
      @hilmaxengineering4922 7 หลายเดือนก่อน

      We mwenyewe umetumia kiingereza😂

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 7 หลายเดือนก่อน +1

    Taking a risk ukiwa na "support system" is worth a try.. otherwise mh

    • @dianalintu5644
      @dianalintu5644 7 หลายเดือนก่อน

      kiingereza kingi sana

  • @ElisanteNjau
    @ElisanteNjau 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bilion mbili duuuuu

  • @DanClever
    @DanClever 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mlitakiwa kiwe kiswahili ikiwa anaehojiwa hayuko tiar kuongea kingereza, kiwe kiswahili au kingereza ili iwe na ladha nzuri mmenielewa??

  • @hamiszali1434
    @hamiszali1434 7 หลายเดือนก่อน

    Kingereza chann sasa???

  • @comics3437
    @comics3437 7 หลายเดือนก่อน

    Kingereza cha kuunganisha na supa guluu, hebu ongeeni Swahili sasa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @ANTHONYDCOSTA-u5p
    @ANTHONYDCOSTA-u5p 6 หลายเดือนก่อน

    Kingereza cha nini sasa?

  • @enockkatambi4701
    @enockkatambi4701 6 หลายเดือนก่อน +1

    Huuuu ujinga nilitaka kusikiliza ila mm la saba

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂 najua unajielewa vizuri ila ni ushamba wa lugha sasa inalenga waingereza au sisi watz😅😅😅😅😅😅😅🚮

  • @daressalaampost5785
    @daressalaampost5785 6 หลายเดือนก่อน

    Sijawaelewa, bora mmengeongea kiswahili tu au kiingereza ru, najua hata MwanaFA angekuwa confident zaidi kuliko hiki mlichokifanya. MwanaFA ni mtu bora sana kama mngeongea kwa kiswahili tu, angefanya vizuri zaidi. Next time don't do this, choose only one language to deliver the message!

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverino 7 หลายเดือนก่อน

    Kwa Tanzania sishangai mtu kushindwa kuongea English vizuri, lugha yetu ni kiswahili tumekulia kwenye kiswahili, shule kiswahili, ibadani kiswahili, mtaani kiswahili, nyumbani kiswahili lazima English fluent isumbue.

  • @willykaovela5485
    @willykaovela5485 6 หลายเดือนก่อน

    Kiswaz is oky tz ....

  • @hassannjiku
    @hassannjiku 7 หลายเดือนก่อน

    Mahojiano mazur nna Wala silaumu ila taaluma ya kuchanganya lugha n upoteshaji wa maan halisi ya uelewa wa mahojiano ahsante mh hamisi mwijuma Kwa kujidai nna kiswahili japo waandishi walikuwa nna maana yao

  • @AFRiCANKiDOnline
    @AFRiCANKiDOnline 7 หลายเดือนก่อน

    Unaload sana kuongea english its better to use swahili

  • @ZaytoonZaytoonMussa
    @ZaytoonZaytoonMussa 7 หลายเดือนก่อน

    Ttzo uzungu mwing

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi255 7 หลายเดือนก่อน

    Kingereza cha nini acheni usenge nyie matako tu😢kiswahili ndo mpango

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @noelkibere8208
    @noelkibere8208 7 หลายเดือนก่อน

    Cna sh kumi kwanye ela izo

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน

    Watumwa wa lugha ni wapi ulikuta mwingereza anahujiwa kule kwa kiswahili, waziri mzima aibu jivunie lugha yako 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂

  • @widaentertainment464
    @widaentertainment464 7 หลายเดือนก่อน

    Interview yenu ingekuwa ya kiswahili tu kuchanganya lugha haipendezi kabisa