Mondi ni noma na kwa bongo tumuache tu mana kawaacha mbali san wasanii wenzie. Ila kwa hekima na busara nampa40% alf kwa ubadi uhuni, unyama na vyengine vyote nampa60%
Hahaha unaongeq hivo kwqsbb hujui undani wake,hata kama ungeakua wew kweny tafrija ya watu huwezi kuonesha uwarisia wako lazima utafeki ila ukiwa nje ya tafrija au muwazara wa watu tabia yako inajulikana,ss ww unaongea hivo kwasbb humjui tabia yake vzr,ila tuliokaribu tunaijua
Mm ni shabiki yake Hadi mwisho. Nampenda sana huyu kaka , Ukubali ukatae Diamond ni mpiganaji.,mpambanaji na anjua namna ya kuvuna baraka za Mungu.!. Kwan ni mtoaji sana, anasidia bila kinyongo.. Mungu akutunze kaka. Ur my idiol!.
Ivi kwa wema anao huonyesha Platnumz.. kwann mungu asimbaliki na kutimiza ndoto zake za kuwa Number 1 tajiri duniani maana kila anae msaidia anamshukuru..Mashabiki wa Diamond tujuane kwa like 👇
Uyu kaka msitaarabu sana yupo vizuri kwakweli ndio maana anajuwa ata jinsi yakuishi na mama watoto wake zali mond hana baya kwakweli mie nampenda mpaka nampenda tena❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
hii ni maalumu sana kwa waliolelewa na Mama tu au wale Baba washinda kwenye kahawa lakini wale Baba zenu walibeba ndwika au walipamba kama Baba kufanikisha msome au kufika mlipo hii ni tunaita Baba tenda wema sifa ziende kwa Mama R.I.P Baba
Mimi muatu nakubali sana uyujama namukubali sanasijawai kumuona ila namukubali sana tena sana ninaomba sikumoja mungu anijalie nimuone nimupe hongera zake
@@JoshuwaAbraham Erick omondi ni comedian tu. Tunataka simba la masimba dangote 🦁🦁. Ameipeperusha bendela ya tz, east Africa na Africa kwa ujumla to the world.much love from Kenya.
Sifa zimezidi mnoo,binafsi kwangu baba anayo heshima kubwa kuliko mama sababu aliniacha, pia level sahihi ya uongozi wa mwanamke ni kwenye familia tu, kusaidia ulezi wa watoto na kumsaidia mwanamme katika shughuli zake za kila siku. Nyazifa za juu za kiutawala mwanamke hafai kabisa kutoa last say, ni vile tu wanandamu tunaforce nyeusi kuwa nyeupe, kamwe haujawahi kuwa Mpango wa MUNGU.
@@milazoomilazoo4494 Na wewe acha up..z kwenye comment yangu, diamond kulalia upande wa Mama yake yuko sahihi kwasababu ndiye kamlea, hata mimi nalalia upande wa Baba maana ndiye kanilea, siyajui malezi ya mama usiniforce niwe na mapenzi na Mama, otherwise that is stupidity, kaa kando na yasiyo kuhusu. Nyie mnasema hakuna kama mama mimi nasema hakuna kama Baba reasonlessuring.
KAONA KAWIN LAKIN KIUHALISIA KAFEL! Kueka Headline Kama Iyo Ya Uongo Utapata Views Kwa Iyo Video Lakin Ngum Kupata Subscribes Yani Anafanya Kujitekenya Na Kucheka Mwenyew 🤣🚮
Ni bora niwape heshima Wazazi wangu au Boss anaenipa jeuri xaxa naanzaje kumweshimu mtu ambae afungamani na mimi kwa chochote? Kama anae taka kuheshimiwa bhas apambane sana ktk utafutaji pesa
Doh! Diamond kashaupiga mwingi kwa shuhuli hii..So Diamond hata kama kuna mapunfufu kwa srrekali ya mama Samia ,pliz mulika ndio mama Raisi Samia aweze kufanya juhudi Zaidi ili kuendeleza Tanzania.#Maghufuli hoyeee
kubalikwamba diamond nimtu mwenyeroo nzuri saana tugobge lik hapa
Mujombo
Licha na kuwa na kipaji kikubwa cha muziki, Diamond platnumz ni mtu mwenye hekima na busara tele😊❤
😂❤Kabisaaa🎉🎉
Kabisa yn❤🎉
Mondi ni noma na kwa bongo tumuache tu mana kawaacha mbali san wasanii wenzie. Ila kwa hekima na busara nampa40% alf kwa ubadi uhuni, unyama na vyengine vyote nampa60%
Hahaha unaongeq hivo kwqsbb hujui undani wake,hata kama ungeakua wew kweny tafrija ya watu huwezi kuonesha uwarisia wako lazima utafeki ila ukiwa nje ya tafrija au muwazara wa watu tabia yako inajulikana,ss ww unaongea hivo kwasbb humjui tabia yake vzr,ila tuliokaribu tunaijua
@@IdarousPossy kajifunze kiswahili kwanza ndio ukuje kupiga kelele humu
Hapa ndio diamond hanapo wanyamazishaga wasio mpenda. bravo bravo bravo👋diamond.
This guy is full of wisdom alaf humble ❤
Braaaavooooooo👍👍👍👍👍❤uuu platnumz
Mm ni shabiki yake Hadi mwisho. Nampenda sana huyu kaka , Ukubali ukatae Diamond ni mpiganaji.,mpambanaji na anjua namna ya kuvuna baraka za Mungu.!. Kwan ni mtoaji sana, anasidia bila kinyongo.. Mungu akutunze kaka. Ur my idiol!.
Jamaa kumbe anajua kuongea vizur sanatu, I like it
Ivi kwa wema anao huonyesha Platnumz.. kwann mungu asimbaliki na kutimiza ndoto zake za kuwa Number 1 tajiri duniani maana kila anae msaidia anamshukuru..Mashabiki wa Diamond tujuane kwa like 👇
Uyu kaka msitaarabu sana yupo vizuri kwakweli ndio maana anajuwa ata jinsi yakuishi na mama watoto wake zali mond hana baya kwakweli mie nampenda mpaka nampenda tena❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera Sana daimond mungu akutunze
chibu chibudeeee aiseeee comasava🤝🤝 kunankitu ndani yenu mtafika mbali ALL the best,,,,,kwa hili mmeupiga mwingi,,,,, Anjela yuko sehemu sahihi
Big up
Mtoto wa tandaleee
hii ni maalumu sana kwa waliolelewa na Mama tu au wale Baba washinda kwenye kahawa lakini wale Baba zenu walibeba ndwika au walipamba kama Baba kufanikisha msome au kufika mlipo hii ni tunaita Baba tenda wema sifa ziende kwa Mama R.I.P Baba
Mimi muatu nakubali sana uyujama namukubali sanasijawai kumuona ila namukubali sana tena sana ninaomba sikumoja mungu anijalie nimuone nimupe hongera zake
Mbona usikubali
Nakubali sana mwamba, unanipa give up
Uko vizuri Sana D hongera Kaka mungu akuongoze pia endelea na moyo huo utazidi kuongezewa kaka
ifike mda huyu jamaa tumueshinu kama unapinga we pinga tuh ❤
Upo sahihi huyu ndo chibu tunayemjuwa
Kwaiyo kama kitu unakiheshim wewe unataka na sisi sote tukiheshim ama vipi
@@ISSASHABANI-sw7lxkwa hiyo unataka Kila unachokataa wewe nasi tukatae Kama wewe hutaki kaa kimya Wacha MAKASILIkO
@@ISSASHABANI-sw7lxwey museng saaana
We kenge tu kama wengine 😅😅😅😅@@ISSASHABANI-sw7lx
Thenk you bro mi namini kila kitu kina wezekana
Nakubali unyama sana simba
WASAFI ndiyo mpango mzima,
team simba wote tufahamiane
Magubika from tz
Aisee kaka una moyo sana umevumilia matusi mengi,
Namkubali sana mond💞❤🙏ongeraaaa
More love simba.❤
KAMA TUNAMKUBALI SAANA DIOMONDI PLATNUM DONDOSHA COMMENT
Mungu akubariki daimond
Mansh Allah 😊
Heshum kwake yeye simba ❤
Mungu ukuongezee bro kw kua na moyo mzuri mm npo kenya ila nazkubali kazi zko big up
Diamond endelea kubalikiwa zaid na zaidi kwa kuendelea kuwashika mkono wasanii wenzio ulichokifanya kwa Angela
Asante nakubari sana simba la masimba dangote
Simba la masimba dangote nakukubali sana❤❤❤
More love from 🇰🇪 🇰🇪 big up simba
❤❤❤simba🔥🔥🔥🔥🔥💐💐
Huyu ni msanii bora wa mda wote
🤭 🤭🤔 bado
Dah kk anajitahid xan
Diamond ❤❤❤❤
Yani nikimuona Simba,natamani angelikua tu mkenya dah🤔🤔 more love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪+254
Nyie c mnae Eric omondi
@@JoshuwaAbraham Erick omondi ni comedian tu. Tunataka simba la masimba dangote 🦁🦁. Ameipeperusha bendela ya tz, east Africa na Africa kwa ujumla to the world.much love from Kenya.
😂😂😂😂@@JoshuwaAbraham
@@AntonSamwel😂😂😂😂
Tafuteni simba wenu😂😂
good brother nakuku bali sana
Hongera sana simba
my favorite artist
Nampenda sana diamond anahangalia hali zote
Umeisha Babaaa koma sava❤😅😅
Unaposema umererewa namama wakati pichazako zinatuonyesha ukiwa namzee abduri mpaka ukiwa mkubwa sekondari wejamaa unamkosea Mzee abduri😢
Daimond msenge anachuki za kike yule.mzee alikua amuheshimu amsaidie
Kwani ukipiga picha na MTU inamaanisha amekulea
Kwaiyo ulitaka asemeje
@@AzhadSaid-j1tsio kama msenge ni wewe usiojielewa
Simba 🎉
Very nice ❤ simba turkish tekeşekurler Aslan
Kitenge na zembela ni Oscar ni wasema ukweli nyeupe ni nyeupe nyeusi ni nyeusi kwahiyo wacha waseme ukweli ili serikali itambuwe wajibu wake
Hongera sana kaka nakukubali kaka
Mm nilikutabiria utakua mwenye nafasi ya juu kabisa ya uongozi ktk serkali
Wa pi Simba ❤❤
Ata matusii naona wapinzani mmepunguza now days😂 NA SIMBA LA MASIMBA DANGOTE❤
Nc🎉
Mungu akubaliki saana🎉🎉
Sawa
😊😊😊Nakubaliii platnum
Mondy nim2 wa wa2 apewe🎉🎉🎉yake
❤❤❤❤😊😊
Sifa zimezidi mnoo,binafsi kwangu baba anayo heshima kubwa kuliko mama sababu aliniacha, pia level sahihi ya uongozi wa mwanamke ni kwenye familia tu, kusaidia ulezi wa watoto na kumsaidia mwanamme katika shughuli zake za kila siku. Nyazifa za juu za kiutawala mwanamke hafai kabisa kutoa last say, ni vile tu wanandamu tunaforce nyeusi kuwa nyeupe, kamwe haujawahi kuwa Mpango wa MUNGU.
upo sahihi, Halafu ukiongea hv Kuna wajinga watapinga wakisema ni mfumo dume ila ukweli ndo huo
Acha kuongea unafkiiii daimondiii ni mtuuuu WA maana na kweliii kalelewa na mamaa
@@milazoomilazoo4494 Ni vema kuelewa point yangu nasi kuponda tu
Wala hajapondwa Mond hapo
@@milazoomilazoo4494 Na wewe acha up..z kwenye comment yangu, diamond kulalia upande wa Mama yake yuko sahihi kwasababu ndiye kamlea, hata mimi nalalia upande wa Baba maana ndiye kanilea, siyajui malezi ya mama usiniforce niwe na mapenzi na Mama, otherwise that is stupidity, kaa kando na yasiyo kuhusu. Nyie mnasema hakuna kama mama mimi nasema hakuna kama Baba reasonlessuring.
God bless you diamond
Sanamu ya mond inachelewa nini kuwekwa?🎉🎉🎉🎉yake mengi.
😏 awekew sanamu kafanya kitu gani cha maan chakulikosha taifa kila mtu na mtazamo wake
@@LuluDizoni raisi saana kutambuwa maskini wenye wivu ya mafanikio na kutambuwa mema ya wengine
@@LuluDizoAcha wivu ww umefanya nn kikubwa
Kwa hili diamond umetisha milele
Hongera kwa HEADLINE 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
KAONA KAWIN LAKIN KIUHALISIA KAFEL! Kueka Headline Kama Iyo Ya Uongo Utapata Views Kwa Iyo Video Lakin Ngum Kupata Subscribes Yani Anafanya Kujitekenya Na Kucheka Mwenyew 🤣🚮
Ndo media zilivyo😂😂😂lzm mu View ata km hamta watch
@@munirmuhamed5908😂😂😂
Diamond nakubali San uyo jamaa Hana baya na mtu
Yan mi nakupenda buree uko very
Umeniguza kaka mondy mama apewe heshima zake
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Namkubali
Ww ndiye msani wangu pendwa ulimwenguni.hakuna cha chris ao brown yani diamond forever labda wafufuke Jackson na 2PAC
Nakukubali sana simba la ma simba
Ni bora niwape heshima Wazazi wangu au Boss anaenipa jeuri xaxa naanzaje kumweshimu mtu ambae afungamani na mimi kwa chochote?
Kama anae taka kuheshimiwa bhas apambane sana ktk utafutaji pesa
Diamond ni mmakonde mtwara kuna vipaji sana
Simba❤❤❤❤❤
🙏🙏🙏
🤔🤔🤔Ndio maana mwijaku Anachuki kwa kukosa huu muokoto wa hii siku !!!🤣😂🤣🤔Kweli mwijaku ni Muosha Viatu vya matajiri😂🤣😂🫣🤣😂
Yuko marekani
Kak anazurura
@@iamnas95 😂🤣kaenda kuomba mchango wa deni la Kipanya kwa mangeee😂🤣🤣🫣😂🤣
Hahahaha daah!!🙌🏽🙌🏽@@AfricaQueen
❤❤❤❤❤
Uyo camera man ana d ngapi mbona abakata kicwa ca boss
Safi sana wewe jamaa mtu sana
Simba aeshimiwee
Angela ni dk ya ngapi?
❤
Me naon afanye anavy jua au xio
Sem 2an🤑🤑🤑🤑🤑🤑
Saf sana
Mama samia hakuna aliefanya
Hatr
Kwann kafanya nn daimond
Mimi Toka anaanza mziki namkubali sana hakuna zaidiyake msanii yeyote mambo akifànya anaiga Kwa daimondi
simba. ni. mottoooooo
Lakini haitoi maana ya baba hana nafasi ya matunzo kwako.
Doh! Diamond kashaupiga mwingi kwa shuhuli hii..So Diamond hata kama kuna mapunfufu kwa srrekali ya mama Samia ,pliz mulika ndio mama Raisi Samia aweze kufanya juhudi Zaidi ili kuendeleza Tanzania.#Maghufuli hoyeee
Wapi alimpomtambusha mtoa post mbona unatuburuza
Waha kigoma hatuna roho mbaya sisi kupamban mafanikio yetu ni kusaidia wengne hatunaga baya
Muha ni nani?
Safi sana zombie ila katika wamama mtowe Samia awe pembeni hana mana shenzi sana
Kimeumanaa mmakonde atafute pakujificha
Anafanya nn huyooooo mbn misogamie ni Mingi kuliko kaz?
Simba
Diamond anafata njia za BOSS RUGE
Babaa levooo sasa nikuchekaa tuuuu
Simkubali kabsa mondi
Tum heshima kwa lipi
Simba lamasimba haujui
lakini jaman mtoto wanyoka ninyoka tu kama yeye alivo mkataa mtoto wa hamisa mobeto hivo bas yeye na baba yake kamba nimoja
Maneno mazuri sna ❤@diamondi platinumz
Alhaj-aliko dangote