Cwezi kuipinga ndoto ya diamond ila na mwijaku na yy kaongea point wote wapo sawa ila mwijaku kamshauri vizuri kwny ushauri na diamond ndoto yake ipo vzr sana kikubwa amuombe Mungu na aongezee juhudi plas nia
Sns waambie rekodi ya harmonize mpaka mda huu ontrend ziko goma 4 za mjeshiii so album bali ni back to 🔙 tafuta hii rekod kama ipo natoa feza ila isiwe goma za alibam sisi atutegemei kolabo kama ao upande wa pili 💊 💊 💊
Mwijaku ameongea facts na logics vizuri sana bila kupindisha popote! Ila wafuasi wa Diamond wenye akili mbili hawawezi kumuelewa kabsa. Lazima wamuone kaongea pumba tu! Big up sana,bro Mwijaku. Uko sahihi sana,kaka! Diamond,chukuwa changamoto ya mwijaku huyo uifanyie kazi.
Wewe unawazimu kama mwijaku pia huyo monda huo utajiri alio nao sai nani alijua atakua nao kutajirika ni akili yako broo sio kua na marafiki wenye pesa...na hio ndoto yake nabhakusema ataitimiza lini
Kwa spidi aliyonayo diamond toka nenda kamwambie hadi leo angalia alivyo, inatoshakuamn kwa maajabu anayotuonyesha. alikuwa wa tandale huyo msisahau 😂 leo uwezi jua kaona nini.
first viewer tuanze kulipwa😅 we are so lonely huku
Cwezi kuipinga ndoto ya diamond ila na mwijaku na yy kaongea point wote wapo sawa ila mwijaku kamshauri vizuri kwny ushauri na diamond ndoto yake ipo vzr sana kikubwa amuombe Mungu na aongezee juhudi plas nia
Kingkiba salute
Mfalume n mmoja tuy King 🤴 fundiiii kama Fundiiii
Sns waambie rekodi ya harmonize mpaka mda huu ontrend ziko goma 4 za mjeshiii so album bali ni back to 🔙 tafuta hii rekod kama ipo natoa feza ila isiwe goma za alibam sisi atutegemei kolabo kama ao upande wa pili 💊 💊 💊
Mwijaku ameongea facts na logics vizuri sana bila kupindisha popote! Ila wafuasi wa Diamond wenye akili mbili hawawezi kumuelewa kabsa. Lazima wamuone kaongea pumba tu! Big up sana,bro Mwijaku. Uko sahihi sana,kaka! Diamond,chukuwa changamoto ya mwijaku huyo uifanyie kazi.
Umekula
Wewe unawazimu kama mwijaku pia huyo monda huo utajiri alio nao sai nani alijua atakua nao kutajirika ni akili yako broo sio kua na marafiki wenye pesa...na hio ndoto yake nabhakusema ataitimiza lini
Mbona mumekimbiya voice ya king kiba
🤣 🤣 🤣 Wanajuwa n ya moto
Wanamuogopa, huyo ni moto
Mond ndo star wa mziki wa bongo Kaka piga kazi maneno ya ushindani na watu yasikusumbue
Huyo D VOICE Mungu amsaidie tu kwa kweli
😅😅😅😅😅😅😅😅nmecheka kwa nguv
😂😂😂😂😂
Hio ngamia ni yule lavalava
Konde boy jeshiiiiii mnyamaaaaaa no bustaaaa
DRC congo tuna pendant Sana Tanzanie ❤🎉🎉
King Kiba heshima sana
Ilikuwa occasion gani mpaka wakakusanyika hivi wote?
Huyu Alikiba mdharahu tu ila ndio Bongo flavour. Siku mtajishebedua kama Kanumba alivyokiwa Bongo movie
Love
D'voice🎉🎉
Wote humu hmnaakili mwijaku punga
Pure bongo flava🔥🔥🔥
D voice to the air😅😅😅😂
Dope
Watu wengi hapa akiwemo baba levo, ommy na mondi mwenyewe Wana sura za tabasamu feki
Huyu Voice mbona wanamkaushia ivo
Niaje 🎉🎉🎉🎉🎉
Nime penda hapo kwa mbuzi🐐🐐
Nimelipend xn hili jambo
Mfalme akija kaeni kwa kushangaa keeenge
mnatuharibia bando letu,an hakuna hata kipande cha alikiba alf mnapost tu
Wasanii wanafiki sana aseeh hapo wakati sauti ya king. Inasikika wame poaaaa kabaki muimbaji namondi wengine wana zugazugakucheza.
Sio lazima wote waimbe😅
Kwa spidi aliyonayo diamond toka nenda kamwambie hadi leo angalia alivyo, inatoshakuamn kwa maajabu anayotuonyesha. alikuwa wa tandale huyo msisahau 😂 leo uwezi jua kaona nini.
King kiba Ni kama Maji usipoyanywa utayaogea
Duuuh😂😂
Duuuu Kwalipi
Tangu lini😂😂😂
King Kiba kiboko yawa jinga ❤❤
😂😂😂😂😂wewe kweli chawa manyoya
Hili tamasha mmh
Apo rafiki wake wa kweli ni B levo tu walobaki wote ni fake
Ulisikia wp mtu ukapendwa na kila mtu
Including your comment to
@@Mina.15 including your replying too
Hilo kundi zima akitokea king kiba anawaacha chaliii 😂
Haaa hapo ipigwe komasava😅😅wote chali na ali kiba wenu😅
@@storytime1204 hakuna cha cassava wala mwangaluka ipigwe follen angel kama mond atabakia
@@happylimo5766 jina la nyimbo tu huwezi kuandika unadhani ndio watu watasikiliza?😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti follen😂😂😂😂hyo follen imeishia kenya hapo😂😂
Where the f i alkiba
Mwijaku anachangamsha sana😂😂 hapo vunjabei kaogopa 😅
Style up bana video mbovu kama ambae mumerekodi na simu..sns taasisi kubwa tafteni video grapha mzuri ashoot proper content
😂😂😂😂
Sasa Abby umevaa nini yarrabi😢