HISTORIA YA SHEIKH MSELEM HADI KUINGIA GEREZANI (EPISODE 2)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Wallahi nampenda shekh mselem bin Ally nikimuona nahisi kama namuona baba yangu mzazi Allah akupe khusnul hatima in sha Allah
amin. atupe sote mwisho mwema
Allah akulipe pepo wewe na sisi kwan hakika mmepitia mazito mno. Twamuomba Allah pia akutilie alama ya ndio kwa mtihani wako huu wewe na wenzako na awapandishe daraja na pepo za juu Akhera. Kwan hakika dunia ni mapito.
Amiin
Allah atawalipa Shekhe Mselemo hapa Duniani na kesho mbele ya haki In shaa Allah.
Yaliyo pitasindwele tugange ya jayo tufanye ibada ili tutafute radhi za Allah basi tukifa upate malipo mema peponi Inshallah
Allah Akbar sheh wetu ana juwa Sana
Jazakallah kheir
Dah! Allahu-akbar
Wazanzibar nawapenda munamsimamo sana
The only sheikh i know !!
MashaAllah Shekh Msellem Allah akuhifadhi 🤲
Ni kweli sheikh wetu,,, waislam tunakandamizwa ktk nchi hii,,,,ila wacha tu sote tutakufa
Na kinachosababisha ni tumefarakana sana tumeiacha Qur'an na sunna tukazusha mambo ktk dini Kisha tukapigwa udhalili lakin tukirud ktk dini sawasawa tutapata izza
Allah Subhaana akulipeni kheri na ahadi ya Kheri ni kweli tutakutana yotee
MaashaAllah sheikh wetu
Jazakumullahu khair Shekh Rashid kutuletea Shekh wetu mpendwa na kumfaham.
MashaAllah
Allah akulinde sheikh Mselem Bin Aly. Allah akupe afya njema
Allah akupe kila la kheri duniani na akhera Shkh.Mselem bin Ally, aya ya mwisho uliomalizia mahojiano nathubutu kusema imebeba ujumbe mzito na hata km ingkw kipindi kizima umeizungumzia hiyo tu bac ingetosha kabbisa. جزاك الله الخيروبعدالخيرجناةالنعيم،امين ثم امين ثم امين
Allah akupe kila lilo la kheri sheikh wetu mimi ni shabiki yako wallahi
Allah amjaze kheir Sheikh Mselem na Allah akulipeni la kheir alfatah tv online
MashaAllah Allah aipe nguvu idhaa yetu hii Allah ampe umri mrefu sheikh wetu huyu ila naomba kaka Rashid utuletee sheikh Othman Maalim tupate historia yake na yeye inshaAllah
Tunamuomba Allah Akubari shekhe
Allha akujalie Shee wangu natamani siku moja niwe mwanafunzi wako nipo dar unaweza nisaidia Shee
Mwenyezimungu ni mueza wakila kitu
Allah atakulipa ujira mwema shekhe moselem bin aly
Allah atakulipen hapa dunian na kesh yauml kiama shekh wet mselem bin aliy tunakupenden sanaa
Nakukubali sana shekh mselem.. na malim rashid mi napenda kukuita mzaire tuwekee vitu vizuri zaidi ya hivi
Atavitolea wapi vilivyo vizuri zaidi ya hivi?
Au amlete Nani atakae kua fasaha wa maneno kuliko mtuhuyu anae hojiwa hapa? Una hiqidi moyoni jitakase
Allah akubariki sana katika maisha yako
Sheikh mselem Ali
Allah akupe kheri uitarajiayo na usiyoitarajia kwa wema huu wakutuletea wasifu wa mtu huyu wengi tumpendae ,,nikimsikiliza mara nyingi moyo wangu hupata furaha kidogo,lakini huzuni hua kubwa nikikumbuka madhila waliofanyiwa ,,binadamu wenzetu,,waislam wenzetu na mashehe wetu hawa
Mashaalah Allah akulipe pepo Sheikh
Sheikh Rashid tunamuomba tena sheikh Mselem please tufkirie hilo
Masha Allah,,, Allahu-akbar
Allah azidi kuwahfadhi
Tunaomba pia mahojiano na sheikh farid
Mashaallah naomba number ya shekh mselem
Shukran, Pole sana Sheikh. Watupe number zake
Akasema wameufyata
Nchii hii waislam ndio wanaotolewa kafara lkn wakatolik kina slaa na wenziwe sasa wanapiga kelele za uchochozi lkn wametiwandani sikutatu wakapewa dhamana
ماشاء الله تبارك الله الشيخ وضح وطبق ما تعلمه حفظه الله
اما انصار كارومي المجرم ويصفقونه ويرقصون له سيلقون ما يستحقون يوم القيامه
و الله تمنيت أن أر ما جرى في الماضي و خاصة عنما يقول معلمنا شيخ بن علي
Tunaomba utuletee na sheikh othman maalim
Wallwahi chozi limenitoka mselem hanabaya
naomba nipate nafax
Hizi video naweza kuzipata vp?
Download tu sheikh
aje huku kwetu moshi mselem atupe mawaidha
Ulikuwa usimuulize swali kuhusu
UAMSHO
Ayo yashapita kwa nn uyarejeshe
Hiyo ndio historia ndugu yangu
Muungu akulipe heri
KIKWETE NDIE FONDESHEN NYINYI MUBAKI MAGEREZA NA SHENI AKISAIDIA NA DR. MWINYI NA MASAUNI NA SEIF ALI IDDI CHONGO JICHO NA ZAIDI ILANI YA ccm KUHAKIKISHA URITHI WA NYERERE ,AUWAWE ATAE DAI ZANZIBA IWE HURU !