SHUHUDIA TUKIO LA AJABU ALILOFANYA SHEIKH OTHMAN PEMBA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Ma Sha Allah,Allah akujaze kila lenye kher na ww Shekhe wetu Othman Maalim🤲
MashaAllah, Sheikh hongiera kwa kazi nzuri ALLAH akulipe kheri innshaallah hpa na kesho akhera.
Asalam Alaykum warahmatullah wabarakatuh Mashallah mashallah Allah awape maisha marefu na Afya njema inshallah ❤ wote Anae toa na wasaidizi wote inshallah
MashaAllha Ata mimi natamani siku moja nikuoene sheikh Atha an Maalim.. Umenijenga kiimana kwa mawaidha Mungu akupee umri mrefu tuzidi kufaidika wengi
MashaAllah
Mungu awafanyie waislamu wote wepes na awarahisishie kwenye Maisha
Ma Shaa Allah....mwenyez mungu akujaalie Pepo ya firdaus
Mashallah mashalllah mashallah allah atubarik pajona n mashekh wetu Amin🤲
Mashaallah tabalkallh mwenyezimungu akuongoze
Mashallah tabarakallah thanks
Kwa kweli afrika wa masikini ni wengi tunamuomba mungu atuondolee umasiki africa
Mashaallah ❤❤❤❤
Allah amueke umri mrefu wenye kheri na nyinyi
Ma Shaa Allah.
Ndo maanake nampenda nakumheshimu Sh Othman Maalim 😢
Masha Allha
Nampenda sana uyu shekh
Mashaallah
I love othman maalim and am not from that of the world JazaakAllah.
Aminn
Ingelikuwa wabunge wawakilishi mawaziri wakurugenzi makatibu wa kuu matajiri wa zanzibar wangefanya kama ivvo kuwasaidia masikini na jamimii kama alivyofanya shekhe othmani maalim umasikini ungepungua zanzibar
hawa ndio warith wakweli wa mtume s.a.w popote shekh ulipo toka tabligh kundi siku 40 utie nguvu watu wa dawa na tabligh
Na mimi nakupenda kwa Ajili ya Allah ya Sheikh Othman Maalim.
Nakufatiliya kutokea Oman. My country is Rwanda.
Nahapa mbele yamungu mwanangu wakiume nitampa jina hili la othman arithi kilakitu najua badae ataniombea kama mzazi wake nifuraha sana mwanao kushika dini kama hivi
HUYO SI MWANZAZUONI BHAANA...TUACHE KUPAKANA MAVUTA.
HUYO NI TWAALIB ILM KAMA MIMI NA WEWE.
Ila muhandisi hadi video inaisha hatujuwa hiyo sehemu ni wapi pemba sehemu gani hapo
Mimi namini matajiri tulio nao Zanzibar ni wagumu kutoa mali zao kwani ukiangalia wazanzibar ni wafanya biasharara wakubwa lakini tunaroho mbaya katika kusaidiana na kuoneana huruma
maa shaa Allah 🎉🎉 Allah amlipe kila la kheir sheikh othman maalim na amfanyie wepes ktk mamb yake na amjaalie kuwa ni miongoni mwa waja wema wa peponi aamin
AAMIIN AAMIIN YAA RABBIL ALAMIIN
Amiin thummah amiin
Baarak Allah, hongera sana sheikh Othman Maalim, bw. Bopar, sheikh Rashid Salim, kikundi cha Al Fatah, na wote walioshiriki kutekeleza jambo hilo la kuwakumbuka ndugu zetu. Allah awalipeni ujira wenu na kuwamiminia kheir na barka biidhnih
Piakgm wapowaisilam hawajiwezi kalibuni hataramadhanikwawoningumu shekhenasiniwaislam
MASHAA ALLAH
MASHAA ALLAH
MASHAA ALLAH
ALLAH BARQI kwa kila mnasho kifanya nijambo la kher ALLAH yupo pamoja na nyny
Mashallah nimelia kwa huzuni na furaha Allah akulinde Sheikh Othman maalim nakupenda sana❤❤
Mzushi kava kapero hatari sana vaa vazi la kisunna alilovaa mtume mhamad sw acha mavaz ya kiyahudi
acha ujuaji ndugu
Maasha allah mpk natowa mchoz kwafurah kuwakumbuk ndugbzetu jaman mungunampe kilalenye kher huyu baba bopar dunian nanakher alipotowa mungu amuongezee
Masha Allah hadiraha
Aamin yarabilla alamina
Amiin 🤲
Sheikh Othman afwan nakuomba msaidie dadaetu mwislam anaelala chini ya mti roho inaniuma sana ya Rabi mpe mja wako nusra ya haraka ya Allah
Assalamu alykum naomba kumfahamu uyo mtu
Wajiitao Salafi na wajifunze mema na hekima kupitia wale wawaitao watu wa bidaa
Alhamdulillahi,MashaAllah,hakika waja wema wangalipo,Rabbi akulipe mema leo/kesho Sheikh Othman,Aamin!
pemba maeneo gan jamn ii😊😊
Mansh Allah
Nakupenda sana sheikh wngu
Masha allsh mungu akufanyie wepesi katika hali zote nakupenda kwa ajili ya allah
❤❤❤mashaallah shekhe wallah allah akuhifadhi,,,ww pamoja ncc pia uzidi kutuelimisha kwa ajili y allah ,,nakupenda sana
Maashallah Maashallah Maashallah tabarack rahman ❤❤❤allah awazidishie kwa kile walichokitowa hakika ni neema kubwa mno Maashallah mkono kwa mkono had pepon 🕌🫶🤝🤝
MashaALLAH tabarakallah, umeKumbuka Kwenu msambweni. But sikupenda jinsi mlivyowapiga picha hao mlo wasaidia
MashaaAllah Allah awalipe kher ya Rabbi 😢😢
Jmnii na mm nna hamu pia ya kumuona sheikh Othman maalim ❤❤❤❤ npo pemba tumbe vp shekh Rashid mbn tumbe hakufika jmniiii
MaashaAllah baarakallah feekum Allah akufanyie wepesi sheikhe wetu nakupenda sana kwaajili ya Allah
Mashaa'allah
Maashaallah maashaallah maashaallah BARAKALLAH FIIKIY yaa SHEKHE OTHUMAN MAALIMU ❤kwa AJILI YA ALLAH 🤲 YAA ALLAH NAOMBA umhifadhi SHEKHE WETU KIPENZI
Mashallah shekhe wetu mungu akufanyie wepesi kila penye uzito
MAASHAALLAH Allah tukubalie funga zetu na sadaka zetu karibu na nyumbani kiwani pia tunakukumbuka sana
Masha Allah❤
Mimi ni MKIRISTO kutoka Kenya lakini nipenda mafundisho ya sheikh Othman,,,Mwenyzi Mungu amwongezee hekima,,,,,nampenda kwa sababu hana time ya kupinga UKRISTO yeye anawaonya watu kwa njia zao mbaya
Wallah nampenda sheikh huyu ❤❤❤ mungu amufanyie wepesi insha'Allah kwenye mambo yake dunia na akhera
Mashallah Allah amjazie palipo pungua ushallah🙏🙏🙏
Naam Shekh vizurisana viongoziniborakuonekana live siokwenyemitandaotuu kama unavyosemahaliningumu Shekh twakuomba umkumbushe raisiwetu awemzalendo mpendakwaosimtumwa,Mungu ibariki Tanzania ameen
mashaalah mimi kutoka Ethiopia
Mashaallaah watabarakaallah shekhe mwenyezi Mungu azidi kukuhufadhi vyema ishaallah ww pamoja na wengineo wenye roho kama yako mpaka machozi yanitokaa 😢😢😢😢😢
Allah akuifazi shk osmani❤❤❤
Masha Allah mzee wetu Bopari njoo na huku kwetu Michenzani ya Pemba hatujawah kupata msaada wowote , wazee huku pia wanashida sana.
MASHA ALLAH
MA SHA ALLAH
Nakupenda bure Babangu 😢
Dah!!!!huyu shekh ninavyompenda?Hata akitaka nimpe Bint amuoe bure Wallah Wabillah Nampa.
Mashallah ❤❤❤ Allah ampe moyo uo uo 🙏🙏🙏
Maashaallah
Allahu akbaru,allah amwajalie kila lenye kheri.
Wapo matajiri wengi sana lakini wao udhamini wao ni mpira na starehe zingine,allah awaongoze
Allah Ampe umri shk othman azidi kutuelimisha katika dini na amjaalie khairal jazaa kwa kazi yake njema. Kutoka Mombasa tunapenda sana mawaidha yake.
Amiin thummah amiin
Maashaa allah allah akuzidishie shekh wet kufanya hidma za jamii
Nimesoma post ila Kuna baadhi ya wapemba hawajapenda hilo jambo mtihani kwa kweli ila shekh wetu alhadullah umefanya jambo la heri Allah akulipe heri
Sheikh Othman maalim twakupenda❤kwa Ajili ya Allah
Allah awatakabalie sadaka zao na wote waliofabikisha hili jambo la kheir Allah awalipe
MaashaAllah
Hivi ndio inavyotakiwa kwa masheikh
Mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹
Shekh Othman nakupenda kwajili ya ALLAH 😊
Mashaallah Allah mlipe shekhe wetu othuman allh akbaru ❤❤❤❤ 5:00 5:03
Mashallah kuna sehem insitwa makangale wilaya ya micheweni huko pemba pia ina hitaji msaada😢😢😢😢
Ma sha Allah
Mashallah mungu akupe umri mrefu shekhe othman malimu
Maashallah baarakallah fiiq
❤Allah akbar
Masha,Allah huyu ni mja wa pepon moja kwa moja na ukipata nafas yakuonana nae live usimwache kumpa mkono wa salam na muombe lau dakika moja akuonbee duaa huyu dua yake haina pazia nawambie huko mnaokaa na Sheikh mna neema ila hamjui kama mnaneema jaman huyu sheikh me nampenda sanaaaaaaaaaàaa kwa ajili ya Allah
Weeee muogope Allah nani kakupa taarifa kuwa ni mtu wa peponi umekuwa mtume na wewe au
Usiseme ivoo dua yake haina pazia weeee muogope Allah mapenz yasikufanye ukamuas allah
Huyu shekhe ndo wakwanza kufanya kitendo kama hicho shekhe mkubwa apande baskel thubut weeeeeh
Mashalla mungu akuzidishiee mwalm wetu
Maasha allah tabaarak llah.
Jakallahu kaira ❤❤❤ i love you lillahi taala..
😢😢yaraby nataman nikae katika madrassa nisomeshwe na huyu ustadh kabla umaut wangu😢😢😢😢
Baarakallahu fiy humaa
Kheri in shaa Allah. Mtangazaji punguza kusifu sifu
Mshallah masha leyo umechezeya juwa kesho allah atakupa kivuli
Manshallaah allaah awalipe kila la kheri❤❤❤
Allaah akulipe thawabu tele
Alie changia kutoa sadaka, kamwe ajuti, amekwisha ona palipokwenda amana hile
Allah..akujalie mema na kizazi chako na jamaa zako..na umbri wamema akuwekee shekhee wetu Othman maalim..atuwe wenye Kufata mema uliotufundisha chakula Charohoo...tuongonge mema na vizazi vyetu kutoka kwako nakupenda sana biin..Allah..Shukuran jazillah uzidi kutupa mema wenye kufata ..Allahhumma Ameen Ameen ya rabbi Allah Ameen Ameen
Mashallah mashallah Allah awatunze wewe nafamilia yako shekh Othman maalim
😢allah akupe tawfiiq nahuku manyara tunakuelewa
MashaAllah............ni mfano mzuri wa kuigwa na iwe hamasa kwetu waislam kuinuana na kusaidizana Allah awalipe heri nyingi
Ma Shaa Allah kwa kweli hata Mimi nimejikuta najichekesha Alhamdulillah
Maa shaa Allah...Allah awabarik na kuwalipa malipo makubwa Wote wanaojitolea ktk njia ya Allah
Mashallah allah awape wepesi
MashaAllah MashaAllah MashaAllah Allah awazidishie wote walotoa chochote kwa nduguzetu wa pemba Allah akupe umri maalim othman ❤❤❤
mashaAllah Allah a2lipe kher inshaAllah 😢😢
Mashanllah nimefurahi sana anllah akupe kila la kheri shekhe othman maalim nakupenda kwa ajili ya anllah
Masha'allah Masha'allah
Ma Sha Allah JazzakaAllahu kheir Allah awaongezee palipo pungua